Friday, January 22



Rais John Pombe Magufuli leo Jan 21 2016 aliwasili Arusha ikiwa ni mara yake ya kwanza tangu ameingia madarakani, Rais anatarajia kuwatunuku kamisheni  maafisa wanafunzi wa kundi la 57/15 katika chuo cha mafunzo ya kijeshi (TMA) Monduli.
Ninayo baadhi ya matukio katika picha na nimekusogezea tayari nimekusogezea hapa chini.
DSC_6269
DSC_6298
DSC_6331
DSC_6342
DSC_6343
DSC_6348
DSC_6461
DSC_6483
DSC_6484

0 comments:

-