tag:blogger.com,1999:blog-33478153230004702552024-03-19T14:50:42.906+03:00KevyCLARITYIntelligence Plus CharacterAnonymoushttp://www.blogger.com/profile/09786424478000544580noreply@blogger.comBlogger1553125tag:blogger.com,1999:blog-3347815323000470255.post-19349022994200551682018-04-03T12:20:00.000+03:002018-04-03T12:20:09.442+03:00 "THE HIDDEN POWER." NA MALISA GJ<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<div class="post-head">
<h1 class="post-title entry-title" itemprop="name headline">
<br /></h1>
</div>
<div class="post-meta">
<div class="post-meta-wrap">
<span class="post-author vcard">
</span><span class="label-head"><br />
</span>
</div>
</div>
<article>
<div class="post-body entry-content" id="post-body-137876265225756936" itemprop="articleBody">
<div style="background-color: white; margin-bottom: 6px; margin-top: 6px;">
<span style="color: #1d2129; font-family: "helvetica" , "arial" , sans-serif;"><span style="font-size: 14px;"> </span></span><img height="640" src="https://scontent-mrs1-1.xx.fbcdn.net/v/t1.0-9/10455698_802885869803107_5611269574843038281_n.jpg?oh=e3fa082da8fc42022b425414ed8db22a&oe=587E00E8" style="background-color: transparent;" width="640" /></div>
<div style="background-color: white; color: #1d2129; font-family: helvetica, arial, sans-serif; font-size: 14px; margin-bottom: 6px; margin-top: 6px;">
THE HIDDEN POWER.!!</div>
<div style="background-color: white; color: #1d2129; font-family: helvetica, arial, sans-serif; font-size: 14px; margin-bottom: 6px; margin-top: 6px;">
By Malisa GJ,</div>
<div style="background-color: white; color: #1d2129; font-family: helvetica, arial, sans-serif; font-size: 14px; margin-bottom: 6px; margin-top: 6px;">
Mwaka 1836 binti mmoja aliyekuwa na umri wa miaka 18 kutoka familia ya
kitajiri huko Lexington, Kentucky alimuomba Mungu aolewe na Rais wa
Marekani. Licha ya kwamba utajiri wa familia yao ulitokana na biashara
ya utumwa lakini wazazi wake waliamua kuachana na biashara hiyo mwanzoni
mwa miaka ya 1800's na kuwa wacha Mungu.</div>
<div style="background-color: white; color: #1d2129; font-family: helvetica, arial, sans-serif; font-size: 14px; margin-bottom: 6px; margin-top: 6px;">
Mary alikuwa muumini wa makanisa ya uamsho kwa wakati huo
(Presbyterianism), kama ilivyo makanisa ya kiroho leo. Siku moja
akamwabia baba yake, "Mungu ameniambia kuwa mwanaume wa maisha yangu
atakuwa Rais wa nchi hii".</div>
<div style="background-color: white; color: #1d2129; font-family: helvetica, arial, sans-serif; font-size: 14px; margin-bottom: 6px; margin-top: 6px;">
Baba yake akastaajabu, lakini hakutaka kumkatisha tamaa. Akamwambia
"binti yangu, nchi hii ni kubwa sana, na wasichana wengi wangependa
kuolewa na watu mashuhuri na wenye madaraka, lakini si jambo rahisi
kuolewa na Rais. Na ukisubiri hali hiyo kutokea unaweza usiolewe kabisa
katika maisha yako".</div>
<div style="background-color: white; color: #1d2129; font-family: helvetica, arial, sans-serif; font-size: 14px; margin-bottom: 6px; margin-top: 6px;">
Lakini yule msichana akamtizama baba yake kisha akamjibu "sijali ni
wasichana wangapi wanaotamani kuolewa na watu mashuhuri, sijali nchi hii
ni kubwa kiasi gani. Ninachojali ni kuwa Mungu ameniambia kuwa siku
moja nitakuwa first lady wa nchi hii. Hilo tu"</div>
<div style="background-color: white; color: #1d2129; font-family: helvetica, arial, sans-serif; font-size: 14px; margin-bottom: 6px; margin-top: 6px;">
Maka mmoja baadae (1837) yule binti akachumbiwa na mwanasiasa machachari
chipukizi aliyekuwa mwanasheria na mbunge wa Illinois (the rising young
lawyer and Democratic Party politician) aitwaye Stephen Douglas. Kwa
kuwa Stephen alikuwa mbunge, baba wa yule binti aliamini kuwa huyo ndiye
angemuoa mwanae na angekuja kuwa Rais wa Marekani baadae. Kwahiyo ndoto
za binti yake zingetimia kupitia Stephen.</div>
<div style="background-color: white; color: #1d2129; font-family: helvetica, arial, sans-serif; font-size: 14px; margin-bottom: 6px; margin-top: 6px;">
Lakini miaka miwili baadae (1839) uchumba wao ukavunjika.</div>
<div style="background-color: white; color: #1d2129; font-family: helvetica, arial, sans-serif; font-size: 14px; margin-bottom: 6px; margin-top: 6px;">
Mwaka huohuo (1839) katika mji wa Springfield, Illinois, yule binti
akakutana na kijana mmoja msomi wa sheria lakini kutoka familia maskini
huko Indiana. Kijana huyu alikuwa amekuja Illinois kutafuta kazi. Wazazi
wake walikua wakulima maskini. Ardhi yao huko Kentucky ilitaifishwa na
hivyo wakahamia Indiana.</div>
<div style="background-color: white; color: #1d2129; font-family: helvetica, arial, sans-serif; font-size: 14px; margin-bottom: 6px; margin-top: 6px;">
Kijana huyu akapendana na yule binti na kuamua kuoana. Mwaka 1840 mwezi
December kijana akamvisha pete ya uchumba yule binti. Baba wa binti
hakufurahishwa. Akajiuliza iweje mwanae amkatae "mbunge" na akubali
kuolewa na "mtoto wa mkulima??". Kwa masikitiko akamuuliza binti yake
"unakumbuka ahadi ya Mungu kwako?". Binti akajibu "hata sasa bado
naamini."</div>
<div style="background-color: white; color: #1d2129; font-family: helvetica, arial, sans-serif; font-size: 14px; margin-bottom: 6px; margin-top: 6px;">
Miaka minne baadae (1843) wakafunga ndoa.</div>
<div style="background-color: white; color: #1d2129; font-family: helvetica, arial, sans-serif; font-size: 14px; margin-bottom: 6px; margin-top: 6px;">
Miaka 17 baadae (1861) yule kijana akachaguliwa kuwa Rais wa 16 wa
Marekani. Jina lake aliitwa Abraham Lincoln, na mkewe aliitwa Mary Todd
Lincoln.</div>
<div style="background-color: white; color: #1d2129; font-family: helvetica, arial, sans-serif; font-size: 14px; margin-bottom: 6px; margin-top: 6px;">
Mary ndiye aliyekataa kuolewa na Steven Douglas (Mbunge) kwa ajili ya Lincoln (mtoto wa mkulima).</div>
<div style="background-color: white; color: #1d2129; font-family: helvetica, arial, sans-serif; font-size: 14px; margin-bottom: 6px; margin-top: 6px;">
Baba yake Marry akiwa mzee wa zaidi ya miaka 80 alishuhudia mwanae akiwa
"First Lady" akamwambia "Mungu wako ni mkuu sana. Aliahidi na
ametimiza". Mwaka mmoja baadae (1862) mzee Robert Todd (baba yake Mary)
akafariki.</div>
<div style="background-color: white; color: #1d2129; font-family: helvetica, arial, sans-serif; font-size: 14px; margin-bottom: 6px; margin-top: 6px;">
MORAL OF YHE STORY.!<br />
Hadithi hii ni ya kweli kabisa inayomhusu Rais Abraham Lincoln na mkewe
Mary Todd Lincoln. Kuna mengi ya kujifunza kwenye kisa hiki, lakini
ningependa kukushirikisha machache niliyojifunza mimi.</div>
<div style="background-color: white; color: #1d2129; font-family: helvetica, arial, sans-serif; font-size: 14px; margin-bottom: 6px; margin-top: 6px;">
<a class="_58cn" data-ft="{"tn":"*N","type":104}" href="https://www.facebook.com/hashtag/lesson_1?source=feed_text&story_id=1145575445534146" style="color: #365899; cursor: pointer; font-family: inherit; text-decoration: none;"><span class="_5afx" style="direction: ltr; font-family: inherit;"><span class="_58cl _5afz" style="color: #4267b2; font-family: inherit; unicode-bidi: isolate;">#</span><span class="_58cm" style="font-family: inherit;">Lesson_1</span></span></a>:
Ukiomba usichoke kusubiri. Mungu akisema atakupa, basi amini atakupa
tu. Mungu wetu ni mwaminifu na hutupa kwa wakati wake. Mary aliona maono
ya kuwa first lady akiwa na miaka 18, lakini ilimchukua robo karne
(miaka 25) hadi maono yake kutimia. Sasa wewe ndugu yangu umemaliza chuo
mwaka jana umeomba kazi hata mwaka haujaisha umeshaanza kumlalamikia
Mungu. Subiri. Au umeomba mchumba mwaka wa 3 hujapata, unaanza
kumlalamikia Mungu eti wenzio wote wameolewa/kuoa. Tafadhali subiri.
Mungu atakupa kwa wakati wake unaofaa.</div>
<div style="background-color: white; color: #1d2129; font-family: helvetica, arial, sans-serif; font-size: 14px; margin-bottom: 6px; margin-top: 6px;">
<a class="_58cn" data-ft="{"tn":"*N","type":104}" href="https://www.facebook.com/hashtag/lesson_2?source=feed_text&story_id=1145575445534146" style="color: #365899; cursor: pointer; font-family: inherit; text-decoration: none;"><span class="_5afx" style="direction: ltr; font-family: inherit;"><span class="_58cl _5afz" style="color: #4267b2; font-family: inherit; unicode-bidi: isolate;">#</span><span class="_58cm" style="font-family: inherit;">Lesson_2</span></span></a>:
Ishi katika misimamo. Baba yake Mary Todd alipoona mwanae amemuacha
"Mbunge" akaolewa na Mtoto wa mkulima alimuona kama vile amepoteza dira.
Lakini binti alijua ipo siku Mungu atatenda. Na Mungu alivyo mwaminifu
hakumruhusu baba yake Mary kufa kabla hajashuhudia Mwanae akiwa "first
lady" wa Marekani. Point hapa ni kwamba jifunze kushikilia imani yako na
uwe na msimamo usioyumba hata kama dunia nzima itakuacha. Wengi
waliobarikiwa ni wenye misimamo. Jifunze kuwa focused and visionary.
Usitazame vinavyong'ara leo, tazama vitakavyong'ara milele.</div>
<div style="background-color: white; color: #1d2129; font-family: helvetica, arial, sans-serif; font-size: 14px; margin-bottom: 6px; margin-top: 6px;">
<a class="_58cn" data-ft="{"tn":"*N","type":104}" href="https://www.facebook.com/hashtag/lesson_3?source=feed_text&story_id=1145575445534146" style="color: #365899; cursor: pointer; font-family: inherit; text-decoration: none;"><span class="_5afx" style="direction: ltr; font-family: inherit;"><span class="_58cl _5afz" style="color: #4267b2; font-family: inherit; unicode-bidi: isolate;">#</span><span class="_58cm" style="font-family: inherit;">Lesson_3</span></span></a>:
kuna kitu kinaitwa "Hidden Power" yani nguvu iliyofichwa. Ni nguvu
ambayo unakuwa nayo wewe lakini inatokana na watu wengine. Unaweza
kufanikiwa sana, lakini si kwa juhudi zako bali kwa sababu nyuma yako
kuna watu wanaofanya wewe ufanikiwe. Wanakuombea, wanafunga kwa ajili
yako, wanamsihi Mungu kwa ajili yako, wanaomba ulinzi, baraka, na neema
kwako. Wanaweza kuwa wazazi wako, mwenzi wako, watoto wako, rafiki zako,
ndugu zako etc.</div>
<div style="background-color: white; color: #1d2129; font-family: helvetica, arial, sans-serif; font-size: 14px; margin-bottom: 6px; margin-top: 6px;">
Lincoln alikuwa na nguvu iliyofichwa kupitia mkewe. Yani mke wa Lincoln
(Mary) ndiye aliyemfanya mumewe kuwa Rais. Kama Lincoln asingemuoa Mary
Todd asingekuwa Rais wa Marekani. Na hata Lincoln mwenyewe aliwahi
kukiri kwamba "Urais haukuwahi kuwa ndoto zake katika maisha"</div>
<div style="background-color: white; color: #1d2129; font-family: helvetica, arial, sans-serif; font-size: 14px; margin-bottom: 6px; margin-top: 6px;">
<a class="_58cn" data-ft="{"tn":"*N","type":104}" href="https://www.facebook.com/hashtag/lesson_4?source=feed_text&story_id=1145575445534146" style="color: #365899; cursor: pointer; font-family: inherit; text-decoration: none;"><span class="_5afx" style="direction: ltr; font-family: inherit;"><span class="_58cl _5afz" style="color: #4267b2; font-family: inherit; unicode-bidi: isolate;">#</span><span class="_58cm" style="font-family: inherit;">Lesson_4</span></span></a>:
Our GOD is the GOD of imposibilities. Yale tunayoona na kudhani
hayawezekani, kwa Mungu yanawezekana. Wakati Mary akiwaza atakuwa first
lady wa Marekani, Lincoln hakuwahi kuwaza kama angekaa awe Rais. Sijui
kama unauona ugumu huu.! Imagine Mungu anakuahidi utakua "first lady",
halafu anakataa usichumbiwe na Mbunge. Anakupa mchumba mwingine, halafu
huyo mchumba anakwambia "sina hata ndoto za Urais". Ingekua ni wewe
ungejisikiaje? Wengine mngemlaumu Mungu na kutamani kurudi kwa mbunge,
right? Lakini Mungu akiahidi ni lazima atimize.</div>
<div style="background-color: white; color: #1d2129; font-family: helvetica, arial, sans-serif; font-size: 14px; margin-bottom: 6px; margin-top: 6px;">
<a class="_58cn" data-ft="{"tn":"*N","type":104}" href="https://www.facebook.com/hashtag/lesson_5?source=feed_text&story_id=1145575445534146" style="color: #365899; cursor: pointer; font-family: inherit; text-decoration: none;"><span class="_5afx" style="direction: ltr; font-family: inherit;"><span class="_58cl _5afz" style="color: #4267b2; font-family: inherit; unicode-bidi: isolate;">#</span><span class="_58cm" style="font-family: inherit;">Lesson_5</span></span></a>:
Mungu huinua vyenye nguvu katikati ya vinyonge. Unakumbuka hadithi ya
Daudi? Yesse alipoambiwa aite watoto wake wote maana mmoja wao atakua
Mfalme, aliita wote akamsahau Daudi. Imagine baba yako mzazi anakusahau.
Lakini Mungu akamfanya huyohuyo mdogo, mnyonge, aliyesahaulika kuwa
Mfalme. Lincoln nae pengine alionekana mnyonge, lakini Mungu akasema
"huyu ndiye"</div>
<div style="background-color: white; color: #1d2129; font-family: helvetica, arial, sans-serif; font-size: 14px; margin-bottom: 6px; margin-top: 6px;">
Katika maisha usimdharau mtu yoyote. Heshimu kila mmoja. Unayemdharau
leo aweza kuinuliwa kesho ukabaki unashangaa. Ipo nguvu iliyofichwa (the
hidden power) kwa kila mmoja wetu. Unaweza usiione nguvu hiyo leo
lakini ipo siku itafanya kazi.</div>
<div style="background-color: white; color: #1d2129; font-family: helvetica, arial, sans-serif; font-size: 14px; margin-bottom: 6px; margin-top: 6px;">
The hidden power.!!!</div>
<div style="background-color: white; color: #1d2129; display: inline; font-family: helvetica, arial, sans-serif; font-size: 14px; margin-top: 6px;">
<a class="profileLink" data-hovercard="/ajax/hovercard/user.php?id=100002451047207" href="https://www.facebook.com/malisa.godlisten" style="color: #365899; cursor: pointer; font-family: inherit; text-decoration: none;">Malisa GJ</a></div>
</div>
</article><script async="" src="//pagead2.googlesyndication.com/pagead/js/adsbygoogle.js"></script>
<!-- barner -->
<br />
<ins class="adsbygoogle" data-ad-client="ca-pub-8699121076413513" data-ad-slot="8927094585" style="display: inline-block; height: 60px; width: 500px;"></ins><script>
(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({});
</script></div>
Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/09786424478000544580noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-3347815323000470255.post-91262777816657681572018-01-18T06:35:00.002+03:002018-01-18T06:35:58.477+03:00KISA CHA RUBANI ALIYEIBA NA KUTOROKA NA NDEGE YA JESHI IRAQ<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<img alt="IMG_20180117_150710.jpg" class="bbCodeImage LbImage " src="https://www.jamiiforums.com/attachments/img_20180117_150710-jpg.677885/" />
<br />
<br />
Kuanzia mwaka 1952 mpaka mwaka 1963 Isser Harel alipata kuwa boss mkuu
wa mashirika yote Shin Bet (idara ya usalama wa ndani ya nchi) pamoja na
Mossad (idara ya ujasusi wa nje ya nchi). Mwanzoni mwa mwaka 1963,
alipata mbadala wake, aliyeitwa Meir Amit. Kwa siku za mwanzoni Meir
Amit alikuwa hakubaliki sana na majasusi wa mossad waliokuwa watiifu kwa
Harel, ila baada ya mwanzo mgumu, ulioanza kwa kukosa ushirikiano na
uaminifu, alifanikiwa kujenga ushawishi katika uongozi wake ndani ya
taasisi (MOSSAD)<br />
<br />
Hata wale ambao hapo mwanzo walipinga kwa nguvu zote yeye kuwa boss mkuu
wa mossad akichukua nafasi ya Harel walianza kumuheshimu, kumkubali na
kumpenda. Meir Amit alifanikiwa kuja kuwa boss mahiri wa operations zote
za mossad nje ya nchi. Chini ya uongozi wake pamoja na boss wa kitengo
cha ujasusi cha jeshi Aharon Yariv kwenye miaka ya 1960's, idara za
ujasusi za Israel zilipata mafanikio makubwa sana na ya kukumbukwa. Moja
kati ya mafanikio haya ilikuwa ni ushindi wa Vita ya siku sita mnamo
mwezi wa juni mwaka 1967 pamoja na wizi wa ndege za kivita
iliyotengenezwa nchini Soviet Mig-21. Punde tu baada ya kutwaa u boss wa
mossad mwaka 1963, Meir Amit aliomba ushauri wa mawazo kutoka kwa
viongozi wa ngazi za juu wa kijeshi ili kuweza kumsaidia kuunda malengo
makuu ya mossad, na kuwauliza ni yapi wanahisi mossad inaweza kuchangia
katika ulinzi wa taifa la Israel. Jenerali Mordecai (Motti) kamanda wa
kikosi cha anga cha jeshi la Israel mwaka 1963 alimwambia afanye juu
chini wailete ndege ya kisasa kwa wakati huo (Mig-21) katika ardi ya
Israel.<br />
<br />
Ni ngumu sana kufahamu kama Motti aliamini kuwa mission kama hiyo
inaweza kutekelezeka. Ezer Weizmann, ambaye alikuja kuwa kamanda wa
jeshi la anga kutoka kwa Hod, alipata kumwambia Hamit kitu hicho hicho
punde tu kabla ya vita ile ya siku sita. Kama ingewezekana<br />
========<br />
Mkasa ndio unaanza sasa.......<br />
Mikoyan - Guverich almaarufu kama Mig-21 ni moja kati ya ndege za kisasa
zaidi zinazokimbia kwa kasi kuzidi sauti kuruka kutoka nje ya anga la
USSR. Bado inashikilia rekodi ya kuwa ndege iliyotengenezwa kwa wingi
zaidi katika historia ya tasnia ya uundaji wa ndege za kasi, na
imetumiwa na takribani nchi 60 na katika mabara manne. Sifa kubwa ya
ndege hii ni kwamba ilikuwa na uwezo wa kubebeshwa makombora mazito na
ya masafa marefu.<br />
<br />
Kati kati ya miaka ya 1960, Mig 21 ilitumiwa kwa wingi sana na nchi za
mashariki ya kati katika mogogoro yao. Vikosi vya anga vya nchi kama
Misri, Syria pamoja na Iraq walitumia saaanaa ndege hizi hususan kwa
mashambulizi dhidi ya wayahudi.<br />
<br />
Kwa kipindi cha muda mrefu sana jeshi la anga la Israel lilipambana
kupata kwa kuiba ndege hii ya Mig 21 ili kuweza kudadavua uwezo wake
katika uwanja wa vita pamoja na udhaifu wake pamoja na kupata kujua ni
mbinu gani hutumika na majeshi ya adui katika kupambana wakiwa na ndege
ya aina hii.<br />
<br />
Idara ya ujasusi ya taifa hilo la kiyahudi (mossad) walipewa jukumu zito
sana la kuipata ndege hiyo kwa udi na uvumba katika mpango wa siri sana
uliojulikana kama "operation diamond"<br />
<br />
Katika jaribio lake la kwanza, jasusi wa mossad aliyejulikana kama Jean
Thomas aliyeishi nchini Misri alipokea amri ya kutafuta rubai ambaye
angekuwa tayari kutoroka na ndege na kuipeleka Israel kwa kuhongwa kiasi
cha pesa cha karibia dola milioni moja za wakati huo mwaka 1966.
Mission hii haikufanikiwa kwa vile rubani yule wa ndege za jeshi la anga
la misri alitoa taarifa mapema kwa vyombo vya usalama vya nchi yake
mpaka ikapelekea Thomas kukamatwa na kushitakiwa kwa makosa ya kufanya
upelelezi ndani ya ardhi ya Misri.<br />
<br />
Jaribio la pili la kuiba ndege hiyo ya Mig 21 kwa safari hii lilifanyika
nchini Iraq lakini pia halikufanikiwa kwa sababu mpelelezi wa mossad
aliishia kupigana na marubani wawili wa jeshi la anga la Iraq wakati
akijaribu kuwanyamazisha baada ya kuwa walikwisha kataa kutoa
ushirikiano wa dhati katika mpango huo.<br />
<br />
Mnamo mwaka 1964, taarifa zilipatikana kutoka kwa mjahudi mzaliwa wa
Iraq zilizopelekea mossad kufahamiana na rubani aliyejulikana kama Munir
Redfa ambaye alikuwa akichukizwa na ukweli kwamba yeye kuwa na
background ya ukristo ndio kunakofanya washindwe kumpandhisha cheo
katika jeshi la Iraq. Serikali ya Israel ilimpa redfa kiasi kikubwa sana
cha pesa, uraia wa Israel kwake pamoja na familia yake pamoja na ajira
ya kudumu.<br />
<br />
Katika mkutano wa siri baina yake na maofisa wa kiyahudi uliofanyia
ulaya, walipanga mikakati madhubuti ikiwa pamoja na kwenda Israel
kutembelea uwanja wa ndege wa kijeshi ambao engetumika kutua ndege hiyo
ya wizi.<br />
<br />
Ilipokika tarehe 16 August mwaka 1966, Redfa alipata fursa ya kutoroka
na ndege alikwa katika mazoezi ya kawaida ya kuruka, ndege ikiwa ipo na
mafuta full tank jambo ambalo ilikuwa hairuhusiwi kwa ndege kujazwa
mafuta fully ikiwa katika mafunzo. Ndege ilipita kaskazini mwa Jordan
ikiwa katika kasi ya ajabu. Redfa alitoka kutoka katika njia kuu ya
ndege kama ilivyopangwa katika mazoezi. Ndege mbili za jeshi la Jordan
ziliruka kuifuata Mig 21 ambao ilikuwa ikiruka katika speed ya ajabu
tena juu kabisaaa kama futi 30,000 kiasi kwamba kuikamata kwa ndege za
Jordan ikawa haiwezekani. Makombora ya kutungulia ndege ya Jordan yote
yalizimwa kisha Mig 21 ikavuka anga la Jordan bila utata wowote.<br />
<br />
Ndege hii ya wizi ilipokuwa inakaribia kuingia katika anga la Israel,
ilipokelewa na ndege ndogo mbili. Ndogo lakini zilikuwa na nguvu kubwa
sana aina ya Mirage III za jeshi ya Israel ambazo ziliaindikiza mgeni
wao kwa utaratibu kabisaa mpaka katika uwanja wa ndege za kijeshi wa
Hatzor. Baadaye sana rubani mwizi Redfa alikuwa kisema hadharani kuwa
alitua na ndege ikiwa na mafuta kidogo sana sana sanaaaa.<br />
<br />
Kuibwa kwa ndege ile kulizua mijadala dunia nzima (mpaka Tanzania) huku
serikali za Urusi pamoja na Iraq wakitaka ndege hiyo kurudishwa mara
moja. Serikali ya Israel walikataa kata kata agizo hilo la kurudhisha
ndege. Ndani ya wiki chache ndege hiyo ilirushwa tena angani katika
mazoezi ya kijeshi ili kuipiganisha na ndege ya jeshi la Israel aina ya
Mirage III, pamoja na kuwafunza marubani wa IDF namna ya kupambana na
ndege za waarabu aina hiyo hiyo ya Mig 21 wakati wa Vita. Wakaja
kugundua kwamba Mig ilikuwa ni ndege nzuri sana katika mapambano ya anga
za juu sana pia ni rahisi sana kuirusha angani. Pia wakaja kugundua
baadhi ya madhaifu ya ndege ile. Mig 21 ikaja kupakwa rangi ya mistari
miekundu pembeni mwake ili waitofautishe na ndege za adui wakati wa
mapambano na ikaja kitumika wakati wa vita vya siku sita kati ya Israel
na mataifa ya kiarabu.<br />
<br />
Baadaye pia ndege ikaja kuvunjwa vunjwa na kumong'onyolewa yooote kisha kufanyiwa analysis ya kina zaidi.<br />
<br />
Tukio hili lilionekana ndio la mafanikio zaidi kwa mossad kwa vile
walifanikiwa kuvunjavunja ndege sita za maadui aina ya Mig wakati wa
Vita na Syria wakati ndege yao aina ya Mirage III ikitoka bila kuchubuka
hata kidogo.<br />
<br />
Israel wakaja wakaipeleka ndege ile marekani mwaka 1968 jambo ambalo
lilipelekea marekani kuwapa Israel ndege mpya na ya kisasa aina ya
Douglas F-4 Phantom.<br />
=========
<script async="" src="//pagead2.googlesyndication.com/pagead/js/adsbygoogle.js"></script>
<!-- barner -->
<br />
<ins class="adsbygoogle" data-ad-client="ca-pub-8699121076413513" data-ad-slot="8927094585" style="display: inline-block; height: 60px; width: 500px;"></ins><script>
(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({});
</script></div>
Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/09786424478000544580noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-3347815323000470255.post-24767233792850210782018-01-18T06:34:00.000+03:002018-01-18T06:34:45.925+03:00FRANK W.A MUHALIFU TAPELI MWENYE HISTORIA YA PEKEE FBI<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<div class="messageInfo primaryContent">
<div class="messageContent">
<article>
<blockquote class="messageText SelectQuoteContainer ugc baseHtml">
Heri ya Mwaka Mpya 2018. Si makusudi yangu kusifia Uhalifu lakini katika
Ulimwengu huu kuna akili za ziada au vipaji ambavyo watu wanavyo sema
tu matumizi yake ndo huwa yanakuwa ya kihalifu. wazungu wenzetu bado
hukaa chini na kutathmini faida na hasara ya akili za watu flan flan
hata kama walikuw awahalifu. leo hii tunamzungumzia Frank Williams
Abagnale Jr ambaye baadaye FBI ilibidi wamwajiri baada ya kumkamata na
kustaajabishwa na uwezo aliokuwa nao.<br />
<br />
<img alt="index.jpg" class="bbCodeImage LbImage " src="https://www.jamiiforums.com/attachments/index-jpg.671010/" />
<br />
Kwa wale ambao wamewahi kutizama movie inaitwa <b>Catch me if You Can</b>
au kusoma kitabu chenye jina hilo hilo bila shaka watakuwa wamewahi
kusikia kisa cha Tapeli/Msanii mmoja mwenye akili kuwahi kupata kutokea
Duniani. Huyu jamaa aliyekuwa akifahamika kwa jina la Frank W. Abagnale
Jr. Akiwa na miaka 15 alianza shughuli za kufanya utapeli au usanii
kiasi kwamba mama yake ilibidi mapeleke shule ya watoto watukutu. Frank
alipomaliza shule aliamua kutafuta ajira hasa baada ya baba yake kuyumba
kiuchumi na kusababisha awe na maisha magumu. vyuma vilikaza.<br />
<br />
Frank aliamua kuondoka nyumbani akiwa na checkbook pamoja na Usd 200
katika account yake akielekea New York City kutafuta maisha. Akiwa huko
akawa anaishi na familia ya kijana mmoja ambaye walikutana kwenye train
wakati wa safari yake basi akamuuzia uzia chai wakawa marafiki na badaye
akafikia kwao. Haikuchukua muda mrefu alifanikiwa kupata kazi katika
kampuni moja ya stationery akitumia uzoefu alioupata aliupokuwa akifanya
kazi katika kampuni ya baba yake.<br />
<br />
Frank aligundua ilikuwa ngumu sana kuishi maisha mazuri katika jiji la
new York hasa hasa ukiwa hujasoma angalau kuwa na elimu ya kwa ngazi ya
Diploma. Na ili kuweza kuishi vizuri pale jijini basi alipaswa angalau
aweze kupata zaidi ya Usd 1.50 kwa saa kiasi ambacho alikuwa akipata.
Hivyo alianza kuchangamsha akili kuwa afanye nini ili aweze kuongeza
kipato.hakuchagua kuwa punga.no. alichagua kuwa Msanii. Alifanikiwa
kupata wazo ambalo lingemsaidia kupata kipato cha ziada na hivyo
kusababisha miezi ikutane.<br />
<br />
Akaamua kuchezea leseni yake ya udereva. Ambayo mara ya kwanza ilikuwa
inaonesha alizaliwa mwkaa 1948 akarudisha nyuma na kuifanya ioneshe
amezaliwa mwaka 1938. Miaka 10 zaidi ya umri wake.hii mbinu ilifanya
kazi.watu walikuwa wakimwona ni mtu mzima kutokana na yeye kubehave na
kuonekana hivyo na pia hata urefu wake wa futi 6 na mvi za urithi ambazo
zilikuwa zimeanza kumtoka.basi ilikuwa ni rahisi kumdhania kuwa ni mtu
mzima. Frank hakuishia hapo. Kaanza kujifanya kama ni mtu ambaye amesoma
sana akijua hii ingemsaidia katika kuongeza mshahara wake. Hata hivyo
aligundua hata pamoja na kufanya sarakasi zote hizo yaani za kuongeza
umri na kudanganya kuhusu elimu yake bado hakuweza kupata pesa ambayo
ingemsaidia kuishi maisha mazuri kama alivyokuwa ametegemea.akaamua
kuchemsha tena akili.<br />
<br />
Atafutaye hachoki. Frank alikumbuka kuwa alikuja New York akiwa na
chekcbook na alipofika new York alifungua check account kupata blank
checks. Akadhamiria kutumia hizo checks kwa hali ambayo ingempa faida
Zaidi kuliko ambavyo ilikusudiwa.yaani kufanya usanii/utapeli.<br />
<br />
Frank akafanya maamuzi magumu. Akaamua kuacha kazi na kuanza kufanya
utapeli kwa Mabank kwa kujiandikia check feki. Alishafanya jambo hili
hapo kwanza na hivyo akawa ameendeleza huu mchezo wa kujiandikia check
feki na kuvuta mapene kutoka bank.akijipatika Madollar kibao. Lakini
alishtuka kuwa si muda mrefu mapolisi watakuwa wanafaham mchezo wake
hivyo akaamua kuondoka kwenda sehemu nyingine na kubadilisha jina.<br />
<b><br />
Mpango wa Kujifanya Rubani wa Shirika kubwa la Ndege Duniani.</b><br />
<img alt="Abagnale_and_Stewardess.jpg" class="bbCodeImage LbImage " src="https://www.jamiiforums.com/attachments/abagnale_and_stewardess-jpg.671014/" />
<br />
Frank W akiwa na mtoto mmoja mkali baada ya kutoka kumgegeda.<br />
<br />
Alipata wazo la kujifanya rubani hasa baada ya kushuhudia mara nyingi
marubani walivyokuwa wakipata heshima katika jamii. Alishashuhudia
marubani wengi wakiwa nje ya H<b>otel ya Commodore</b> wakila bata na
mademu wakali wa kibongo,kitasha,kihindi,kiarabu na kilatino aka admire
sana ile life style na siku zote alikuwa akiwaza maisha yale ya kula
bata kwa kwenda mbele.Na akaona ili sasa aweze kuzi cash zile bad checks
zake bila bugudha au kutiliwa mashaka basi inabidi ajifanye naye ni
rubani. Hapo tayari alikuwa ameshaziandika cash kadhaa ambazo inabidi
akazi cash.<br />
<br />
Basi akaamua kupata sare za marubani wa Shirika la ndege la <b>Pan Am</b> <b>(Pan American</b>) na kujifanya yeye ni mmoja wa Marubai wa Panam. Akaanza kufanya mchakato mtoto wa mjini… wanasema <i>"kuku hafi kwa utitiri </i>"na ndivyo ilivyo kwa mtoto wa mjini hafi kwa njaa. Akampigia simu wakala wa manunuzi wa <b>Pan American Airlines Corporate</b>
makao makuu na kuwaambia kuwa yeye ni Rubani(pilot) wa Kampuni hiyo ya
Panam na kuwa katika Hotel aliyokuwa anaishi walipoteza Sare yake ya
kazi. Jamaa kule wakamwambia hamna noma basi aende kuchukua hiyo sare
katika Kampuni ambayo wao wame specialize katika kutengeneza uniform za
Pan Am mtaa wa 5th Avenue. Naye pasipo kuchelea alifanya hivyo. Siku
hiyo hiyo aliafanikiwa kupimishwa Sare na akawapa namba ya Mfanyakazi
ambayo aliibuni alipokuwa akijaza form.<br />
<br />
Hatimaye frank alitoka katika lile jengo akitabasamu kimoyo moyo akiwa
ameshikiria sare yake mkononi akiwa amefanikiwa kuvuka kikwazo kimoja
wapo katika mchakato wake. Ili sasa kujihakikishia nafasi ile akaamua
kutengeneza na kitambulisho cha Pan Am. Baada ya kuangalia katika vile
vitabu vya simu maarufu kama Yellow Pages frank aligundua kuwa <b>3M </b>ndo
ilikuwa Kampuni inayohusika na utengenezaji wa Vitambulisho kwa
Makampuni Mengi ya Ndege ikiwepo Pan Am. Akawasiliana na kampuni hiyo
akijifanya yeye ni Afsa manunuzi ambaye amedhamiria kutengeneza
vitambulisho vipya kwa ajili ya Kampuni yake. Akaomba wakutane na
mhusika wa 3M kwa ajili ya maongezi Zaidi. Akakutana na afsa wa Kampuni
anayehusika na mauzo na huko akapewa catalogs mbalimbali za vitambulisho
walivyo navyo.katika hilo akagundua kitambulisho ambacho kinafanana na
vinavyotumiwa na Pan Am. Akamwambia mhusika wa ile Kampuni alitaka apewe
copies za sample za vitambulisho ambacho kitawekwa picha na details
zake kama mfano ili akawaoneshe wafanyakazi wenzie vitambulisho vile
vitakuwaje. Kitambulisho kile kilifanana kabisa na vile vya Pan Am
isipokuwa ilikosekana Logo tu.akatengenezewa akachukua akawaoneshe
wafanyakazi wenzie kama alivyojinasibu kwa yule jamaa.<br />
<br />
Frank alitatua tatizo hilo la kukosekana nembo kwa kuamua kununua mfano
wa ndege ya Pan Am. Yaani toy ambapo katika hilo akanyofoa hiyo alama
ambayo ni famous sana na kwa umakini akaibandika kwenye kitambulisho
chake na kilionekana kama vile vile ambavyo vinatumika na maruban wa Pan
Am. Kikwazo kingine akawa amekivuka. <b>Sasa ana sare na kitambulisho.</b> Safari yake ya kuelekea kula bata ikawa inazidi kukaribia.<br />
<br />
Akawa amaebakiwa na maeneo mawili Zaidi ya ku clear. Alitakiwa kuwa na leseni ya <b>FAA </b>ambayo
kila rubani anapaswa kuwa nayo na pia awe na ufahamu kuhusiana na
shughuli za Airlines. Kwanza akaamua kutafuta habari nyingi kadri
awezavyo kuhusiana na usafiri wa anga,urubani na pia maneno au
terminologies ambazo zinatumika katika kada hii ya usafiri wa anga.
Akaanza kuwa anaingia library kujisomea ingawa alikuta vitabu vingi
vimekuwa outdated.lakini alijitahidi kupata ABCs za Urubani.<br />
<br />
Akaona ili kuweza kupata habari za uhakika na za kuaminika basi aanze
kufanya utaratibu wa kupata habari hiz kutoka kwa wahusika wenyewe yaani
wafanyakazi na marubani.akaanza kuandaa mahojiano na wafanyakazi wa Pan
Am akijifanya yeye ni mwanafunzi anayefanya research project kuhusiana
na kampuni hiyo na marubani wake. Lilikuwa ni wazo bora kabisa lenye
akili. Alijipatia utajiri wa habari za uhakika pamoja na ufahamu
kuhusiana na sera,kanuni na taratibu kama msaidizi wa rubani. Co-pilot.
Aina ya ndege zinazotumika na njia za kimataifa zinazotumika.jamaa akawa
fiti sana katika eneo hilo.<br />
<br />
Zaidi Zaidi alipata kufaham kuhusiana na deadheading. Deadheading ni
mfanyakazi wa ndege ambaye anapata kipaumbele cha kusafiri kwa kutumia
ndege nyingine kwenda sehemu mbalimbali bure kwa ajili ya kwenda kufanya
shughuli flani. Mwajiri ndo anayelipia hii safari kwa kila kitu.hapa
frank alitasabamu na kuona sasa ameuchinja.maana akiwa kama rubani pia
deadheading atakuwa sometime anasafiri kwenda sehemu mbalimbali duniani
kwenda kula bata akilipiwa na kampuni. Mungu ampe nini Frank? Upele?
Elimu yote hii aliihifadhi kichwani mwake akiendelea kujikita Zaidi
katika kukamilisha mpango wake.<br />
<br />
Issue iliyokuwa inafuatia sasa ilikuwa ni kupata leseni ya FAA aligundua
kuwa bila leseni hiyo asingeweza kujifanya yeye ni rubani.sababu wakati
mwingine marubani walitakiwa kuonesha leseni ya FAA ikiwa angepanda
ndege nyingine kama Staff yaani deadheading. Si unajua zile za kibongo
hata kwenye daladala wakati konda akidai mchango wa mafuta utasikia <i>“mi stafu”</i>
basi ndo na wao ili uonekane staff basi sometime utaulizwa tuoneshe
leseni yako ya FAA. Frank aligundua FAA walikuwa na Branch hivyo
akajiita Frank Williams na kuwa ametumwa akachukue documents za maelezo
ya vitambulisho baada ya kutumiwa mail ndugu yake ambaye ni rubani.
Akachukua ule mfano wa vitambulisho toka kwenye barua na vipeperushi vya
FAA akaiweka kwenye printer na kuifanya iwe ndogo akaibandika kwenye
karatasi maalum na kulaminate. Shabash ! frank alikuwa tayari
ameshaula.huwezi amini ilikuwa copy right kama zile zile za
marubani.alitabasamu tena na kurusha ngumi hewani ya kujipongeza huku
akianza kufurahia jinsi ambavyo atakuwa anakula bata na watoto wakali.<br />
<img alt="6a00d8341c39e853ef015431fb2881970c-320wi.jpg" class="bbCodeImage LbImage " src="https://www.jamiiforums.com/attachments/6a00d8341c39e853ef015431fb2881970c-320wi-jpg.671015/" />
<br />
frank akiwaza amezungukwa na watoto wakali.<br />
<br />
Frank sasa alikuwa amekamilika.ana kila kitu. Leseni ya FAA, leseni ya
urubani, Sare na Ufaham kuhusiana na kazi hiyo. Yaani kifupi alikuwa
yupo Gado Ile mbaya. Ukimcheck hivi we mwenyewe unaingia King kuwa jamaa
ni Rubani..mkipiga stories za mambo ya huko hewani ..unaweza jikuta una
come jinsi alivyokuwa fresh.<br />
<b><br />
Safari tayari ya kuanza kula bata na kutapeli Mabank duniani</b><br />
<br />
Basi mshkaji akakaza mwendo akiwa ametinga sare zake za kirubani na
vitambulisho vyake vyote akiwa anatumia jina la Frank Williams akaenda
mpaka Bank kwenda kufungua Account akiwa ametinga sare au uniform za
marubani akitembea kimikogo kabisa kwa kujiamini. katika mabenk yote
aliyopita walikuwa wakimheshimu sana maana miaka hiyo ya 1960s marubani
walikuwa wanatesa sana kitaa...kama una demu wako hajielewi elewi trust
me rubani angeweza kukupora kirahisi sana akamgonga akakuachia maumivu.
yaani walikuwa wanaonekana mambo safi sana na wanaheshimika ile
kinoma.tena Zaidi yeye kutoka Kampuni kubwa ya kimataifa. hawakujua.
hawakujua maskini, kuwa huyu alikuwa bwana mdogo tu tapeli msanii wa
kiwango cha standard gauge.<br />
<img alt="frank-abagnale-pilot.jpg" class="bbCodeImage LbImage " src="https://www.jamiiforums.com/attachments/frank-abagnale-pilot-jpg.671016/" />
<br />
<br />
Frank akawa amekuwa mcharo ile mbaya. Mademu wengi walikuwa
wakimzimia..hasa wale mademu wafanyakazi wa kwenye ndege na si unajua
walivyo wakali… basi wengi wakawa wanamjia tu kwa nyuma <b>"frank tunakuzimia"</b>
n.k. jamaa hakuwanyima haki yao.akawa anawapa tu.anawapa,
anawagaia,anawakita na mashine,anawapa mkono,akawa anawacharaza
bakora,anawapiga kwa ukuni...si unajua ukishakuwa mwana utamaduni
humchapi mwanamke kwa fimbo...unamchapa kwa ukuni.watu wa kale toka
zamani.... Ikawa yeye ni mtu wa kuwa na list. Anatick tu huyu tayari,
huyu tayari..huyu bado next week. Kumbe aogope nini na uzushi upo
pembeni?<br />
<br />
Kwa kujiamini kabisa akaamua kusafiri kama deadheading kuelekea
Miami..si umewahi zisikia beach za Miami ?(tamka mayami) alipanda pipa
ndege ya Eastern Airline 127 akiwa na sare zake na kujaza form akiweka
details zote. Akiwa huko ndani akaenda mpaka kukaa sehemu inaitwa
cockpit huko alikaa kwenye seat na kuwa tayari kwa swali lolote ambalo
angeulizwa na marubani. unajua kosa moja tu lingemfanya wamshtukie na
wampeleke segerea kunyea debe? Jamaa alikuwa anajiamini ile mbaya akakaa
mle ndani ame chill tu kama mtalaam ile kinoma.<br />
<br />
Kinyume na matarajio yake marubani wala hawakujishughulisha naye kule
mbele kwenye chumba chao mwishowe wakatua Miami na hapo akashusha pumzi
za kushukuru..afadhali.kutoka hapo Frank akagundua sasa atakuwa kila
mara anasafiri kama deadheading kwa miaka kadhaa ijayo.ilikuwa bure na
alikuwa anaweza kwenda sehemu yoyote ya dunia ambako angeenda ku cash
zile check zake fake. Jamaa akawa anakula bata tu na watoto wakali toka
mataifa mbalimbali. Wakati anahojiwa anasema hivi vitu vitatu
vilimsaidia sana katika shughuli zake za utapeli hapa duniani.1.
mwonekano wake 2. Umakini wake katika kutambua mambo 3. Kufanya utafiti
wa kina kabla ya kufanya jambo lolote.<br />
<img alt="pan-am-pay-check2.jpg" class="bbCodeImage LbImage " src="https://www.jamiiforums.com/attachments/pan-am-pay-check2-jpg.671030/" />
<br />
<br />
Anasema alijifunza jinsi ya kuweza kutapeli kwa kupitia cash baada ya
kufanya utafiti kwa kuangalia details flan flan kwenye check. Na
kuhakikisha kuwa anazichezea hizo namba katika namna ambayo itachukua
muda sana kugundua kuwa zile namba zimechezewa check ni fake. Hivyo
alikuwa akiziandika zionekane ni za mbali sana ili zichukue muda mrefu
kufuatiliwa na hvyo kumfanya aweze kujitolea pesa tena na tena katika
bank hiyo hiyo.<br />
<br />
Zaidi Zaidi frank alikuwa anafanikiwa sababu alikuwa pia anafungua
akaunt ya ukweli kwa jina la kufikirika.na mara kadhaa alikuwa akitumia
check deposit ya ukweli na kuwapa bank address ambayo alikuwa kiishi au
sanduku la barua ambalo angepokea check husika. Hizo information
zilikuwa zinafanya transaction iwe ya kuaminika kabisa.akawa
anajiandikia check kwa jina lingine na kwend ku draw pesa katika banks
mbalimbali hapa duniani. Inawezekana hata bongo alifika…(ila sidhani
miaka hiyo tulikuwa bado sana). Na pale bank husika ilipokuja kugundua
kuwa check ilikuwa ni fake yeye alikuwa tayari ameshaondoka yupo pande
nyingine ya dunia...<br />
<img alt="l7obPab.jpg" class="bbCodeImage LbImage " src="https://www.jamiiforums.com/attachments/l7obpab-jpg.671026/" />
<br />
..................................................................................................................................<br />
<b>SEHEMU YA PILI</b><br />
<br />
Frank aliendelea kuishi maisha haya ya kuhama hama na kuwakwepa mapolisi
kila sehemu huku akiendelea kula bata na watoto wakali. Kiufupi maisha
yalikuwa yamemnyookea hasa, ingawa alikuwa anaishi kwa mashaka kiasi
flani lakini alikuwa smart sana. Maelfu ya dollar alizokuwa anatapeli
kwenye mabenk alikuwa anazificha kwenye masanduku salama ya kuhifadhia
pesa <b>(safe deposit boxes)</b> kila sehemu ya nchi ili hizo pesa
zitumike ikiwa atapata msala. Alishajua kuwa amechagua kuishi maisha ya
namna hiyo hivyo anapaswa kuwa tayar tayari wakati wowote akipata msala.
Mtu mwingine ungefikiria kuwa jamaa jinsi alivyokuwa na pesa ana
anavyokula bata na mademu kila sehemu alikuwa ana enjoy sana. Hapana.
Alifikia hatua akachoka maisha ya kuwakwepa mapolisi na akawa wakati
mwingine anakuwa mpweke sana.kwenye mahojiano anasema kila mtu
aliyekutana naye hakuweza kudumu naye maana alikuwa anajitambulisha kwa
fake name. si jina lake halisi.hivyo akawa hadumu na marafiki. Mademu
anagonga tu halafu anaanza mbele hataki kudumu na demu muda mrefu maana
ilikuwa ni risk sana.”<i>hivyo ye anapita tu”</i> ....<br />
<br />
Frank alishajua kuwa yale maisha hayakuwa ya kudumu hivyo alikuwa
anaishi kwa umakini sana lakini alijua kuna siku tu angekamatwa. Kweli
siku hiyo ilifika. Alikuwa akisafiri kuelekea Miami akiwa kwenye ndege
kama kawaida deadheading..yaani anasafiri bure. Ndege aliyopanda ikatuka
Dade County na akiwa ndani ya ndege maofisa wa polisi watatu wakamfuata
na kuanza kumhoji. Yeye alikuwa amejenga utulivu mzuri tu akidai kwa
kujiamini kabisa kuwa yeye ni Frank William na kuwa ni Pilot bado wale
maofisa walimchukua kwa ajili ya mahojiano Zaidi.<br />
<br />
Akiwa anahojiwa frank akatoa kitambulisho chake fake na kwa
kuwahakikishia kabisa akawapa majina ya marubani,wafanyakazi,masela
kibao wa kazini wengine wa PanAm aliokuwa anafanya nao kazi. polisi
walipowapigia jamaa hao waliwahakikishia kuwa jamaa ni mwana/mfanyakazi
mwenzao wapo naye kitambo tu wanapiga naye mzigo PanAm bila shida yoyote
tena mtu peace sana hana noma wala kokoro. Na Frank alikuwa mjanja sana
aliweza kujichanganya na wenzie kila alipokuwa akisafiri na wakamwamini
kuwa ni Rubani kweli kweli. Polisi walipopata huo uthibitisho kwa
masikitiko, wakamwomba msamaha kwa kumsumbua na kumchelewesha.
Akawaambia wasijali anajua wapo kazini na dunia imeharibika hivyo
wanatimiza wajibu wao. hamna noma peace and love.na polisi walihisi
pengine angeweza washtaki kwa kumharass..jamaa aliwahakikishia yale
yamepita na yaliyopita si ndwele wagange yajayo...wakapeana tano na
mapolisi akaondoka zake.kuanzia hapo akaamua kutulia kwanza kidogo kwa
muda flan kwa kiingereza tunaita ku lay low for a while. Atulie kwanza
kucheck hali ya hewa.<br />
<br />
<b>FRANK AWA DAKTARI WA WATOTO </b><br />
<br />
Akiwa Atlanta Frank alifanikiwa kupata eneo flan limetulia sana ambalo
vijana wengi walikuwa wamechukua apartments akaamua naye apange eneo
hilo kwa mwaka mmoja. Na huko alijiandikisha kama ni doctor akiwa
anajaza mkataba wake wa kupanga hizo apartment. Na kudai ni daktari
ambaye alikuwa amekuja kupata mapumziko ya mudA mrefu kutokana na kupiga
kazi kwa muda kwa miaka mingi akiwa daktari wa watoto yaani
pediatrician. mshkaji alikuwa msanii kinyama.<br />
<br />
Basi jamaa akawa amejenga utulivu maeneo hayo.anakula tu pesa zake za kuwaibia mabenk.<i>wewe unahangaika kuwatapeli waswahili wenzio maskini laki laki zao.mwenzio anayaibia mabenki hata dhambi hapati sana.uongo?</i>
Siku moja ametulia home anacheck zake movies akasikia hodi. Kwenda
kufungua akakutana na jamaa mmoja ambaye alijitambulisha kuwa ni doctor.
Frank akaona huu sasa msala kakutana na doctor mubashara kabisa kaja
kumtmbelea.maana alijua ishu yake ingebumbuluka.wakiwa katika maongezi
alijitahidi sana kutengeneza utulivu na mwishowe akaja kugundua yule
doctor hakuwa interested sana kuzungumzia masuala ya kazi.alikuwa
alikuwa mtu wa watoto sana… hivyo huko kwenye mademu sasa ndo akamkuta
frank kwenye profession yake kabisa aliyozaliwa nayo...sehemu husika ..
wakawa wanapiga sana stories kuhusu mademu na kuanza kuwagonga
..wakagundua wote ni wazee wa mabinti na hivyo wakawa marafiki sana.<br />
<br />
Yule doctor akamwomba Frank siku moja amtembelee katika hospital
anayofanya kazi.pasipo kigugumizi frank alikubali. Na ikawa anamtembelea
kila mara na mwishowe frank akawa anafahamiana na wafanyakzi wengi tu
pale hospitalini. Si unajua mtoto wa mjini anavyojichanganya haraka na
watu.hii ilimsaidia sana maana aliweza sasa kujifunza juujuu kuhusiana
na udaktari wa watoto.mwishowe hata aliruhusiwa kuwa anaingia library
huko alijitahidi sana kujifunza udaktari wa watoto kama ambavyo alikuwa
akijinasibu.<br />
<br />
Jamaa alionekana kufit sana kwenye hii nafasi alionekana anaipenda sana
kazi na mwishowe siku moja meneja wa ile hospital akataman aonane na
frank waongee kuhusu ajira pale kazini. Yaani alimpenda frank akapenda
naye afanye kazi katika ile hospital. Dah…. Frank akaona huu sasa
msala,ishakuwa noma.maana hakuwa daktari wa ukweli Zaidi ya usanii
tu.akawa anajaribu sana kukwepa hiyo hali lakini jamaa alikuwa
akimsumbua kila wakati kuwa waonane waongee. Mwishowe akakubali. Na yule
meneja akamwambia kitu ambacho zaidi kikamshangaza frank.alimwomba kuwa
awe anasupervise wanafunzi wa udaktari wanaokuja mafunzoni shift za
usiku kuchukua nafasi za daktari ambaye alikuwepo aliyepata
dharura.frank alikataa… lakini meneja alimshawishi sana.kabla ya hapo
frank alikuwa amepewa nafasi ya kuwasimamia wagonjwa mbalimbali pale
hospitalini baada ya kuwa amepata kibali cha kufanya kazi Jimbo la
Georgia.<br />
<br />
Frank alikuwa na ujanja flan kukwepa maswali ambayo alikuwa hayafaham
pindi aulizwapo. Ikiwa ingetokea angeulizwa kitu ambacho hakijui basi
angekifanyia mzaha au utani na mwishowe kingepotezewa.yaani ilikuwa
huwezi mbananisha kwenye maelezo ambayo hayajui...atakuuzia uzia chai
mtacheka ishu itapita. Basi baada ya kuachia ile kazi ya usimamizi wa
wagonjwa kwa mhusika mwingine siku zote ule uwezo wake wa kufanya
masikhara na utani vilimsaidia sana kuficha ukweli kuwa hakuwa amesomea
udaktari. Zaidi zaidi wafanyakazi wengi walikuwa wakimpenda maana
alikuwa mtu wa chai sana na ucheshi kuwafanya wacheke muda mwingi kumbe
mshkaji ndo anafukia fukia mashimo kwa style hiyo.hakuwa na beef na mtu
wala ujivuni.alikuwa mtu wa watu sana.Basi aliendelea ku maintain ile
nafasi yake kama daktari msimamizi sababu hakuwa akilazimika kufanya
kazi yenyewe Zaidi ya kusimamia inavyofanywa na madaktari wengine.<br />
<br />
<b>Siku za mwizi ni arobaini.</b> Siku moja mtoto aliletwa chumba cha
wagonjwa wa dharura akiwa amejeruhiwa mguu.frank akaitwa kwenda
kusaidia. Naye aligundua hapo ndipo rangi yake itajulikana kama ni
nyekundu au njano.akaona isiwe shida haraka naye akawaita wale vijana
waliokuwa mafunzoni akawakabidhi ile kazi halafu yeye akasimama serious
kuwaangalia wakipiga kazi.huku akikagua kagua.nao kwa kutaka kupata sifa
kwa msimamizi wao ambaye ni frank wakapiga ile kazi vizuri sana. Lakini
jambo hili lilianza kumpa shida kiasi kikubwa sana. Sasa alianza kuwaza
kuwa anacheza na maisha ya watu hivyo akaona si suala la kulifanyia
mchezo. Frank akaamua kuondoka hapo hospitalini maana alishagundua kuwa
angeweza kuhatarisha maisha ya mtoto.aliamua kujiuzulu baada ya muda
mfupi wa lile tukio alikuwa ameshafanya kazi kwa miezi kadhaa haukufika
mwaka. Akaamua kuelekea jimbo la Lousiana.<br />
<br />
<b>MAISHA YA FRANK LOUSIANA AKIWA NI MWANASHERIA</b><br />
<br />
Frank akiwa Lousiana siku moja alikutana na moja ya mademu aliowahi
kuwagegeda miaka ya nyuma. Huyu dada alikuwa mfanyakazi wa kwenye ndege.
Frank alimwambia yule dada kipindi kile kuwa alikuwa ni co-pilot yaani
rubani msaidizi. sasa akwambia si hivyo tu ila pia alikuwa ni
mwanasheria. Alisomea urubani na pia alikuwa Mwanasheria.frank akawa
anaendelea kumgegeda yule mrembo kwa mara nyingine tena. anajilia tu
kiulani. ukitaka kupata mademu wakali unatakiwa uwe mjanja mjanja.<br />
<br />
Siku moja wapo kwenye party usiku wakila bata yule dada akamkutanisha na
mwanasheria aliyekuwa akifanya kazi kwa mwanasheria mkuu pale jimboni.
Yule jamaa akavutiwa na Frank sababu Frank alidai kuwa yeye alipata <b>Degree yake ya Sheria toka Chuocha Harvard.</b>
Jamaa akaona hiki kichwa sana maana Harvard wanaosoma kule si watu wa
mchezo mchezo.ni Vipanga hasa si Chuo cha vilaza hata kidogo. Jamaa
akamwambia kuna nafasi katika ofisi ya Mwanasheria mkuu. Akamwambia
ambacho alipaswa kufanya ni kupeleka tu transcript yake kwa ofisi ya
mtihani na kuomba nafasi ya kufanya mtihani ili akifaulu aajiriwe kwa
hiyo nafasi.<br />
<br />
Hii ilikuwa changamoto ambayo ilimpa hamu pia ya kujaribu, akiamini nayo
atashinda tu.baada ya kufanya maongezi na mwanasheria frank aliamua
kwenda kutengeneza transcript bandia/fake kutoka chuo kikuu cha Harvard.
Alifanya kwanza utafiti ni kozi gani zinafundishwa chuo cha
Harvard.alikusanya kila ambacho kilihitajika kwa ajili ya kutengeneza
mfano wa transcript hiyo. Aisee… mpaka amemaliza ile transcript ilikuwa
kama original.yaani mle mle….ingawa hakuwa amewahi kuiona transcript
halisi toka chuo cha sharia.ilionekana kuwa ni yenyewe kabisa na akaamua
kwenda kujaribu.<br />
<br />
Hatua iliyofuatia ilikuwa ni kufanya mtihani .hivyo frank akanza
kujifunza sheria kwa week kadhaa kabla hajaenda kufanya mtihani.alipoona
na mambo mengi tayari anayafahamu aliedna kujiandikisha kwa ajili ya
kufanya mtihani.akawapa transcript yake ya magumashi. akaruhusiwa
kufanya.Alichemsha…si unajua hakuwahi kusoma sheria katika maisha yake
yote. Lakini alikuwa na advantage..ule mtihani uki fail unaweza tena
kuja kufanya tena na tena.unaruhusiwa kurudia.hivyo akarudia tena na
this time jamaa alipasua kinoma na akapewa leseni ya kufanya kazi kama
mwanasheria.<br />
<br />
Na hapo hapo akaomba kazi kwa mwanasheria mkuu wa hilo jimbo ikafanyika
interview.akafanikiwa kuajiriwa kama legal assistant akiwa anafanya kazi
kama upande wa corporate law.akawa mbali na marupurupu mengine analipwa
mshahara wa usd 13,000 kwa mwaka miaka hiyo. Ulikuwa mshahara mkubwa
sana. J<i>amaa alionesha kipaji cha ajabu sana cha utapeli na usanii katika historia hapa duniani</i>.katika
ile ofisi kulikuwa na mfanyakazi mwingine mpya aliajiriwa ambaye yeye
alisoma Harvard kiukwel kweli. Jamaa akawa ana mghasi sana kwa kutaka
kila mara wapige stories za chuo na kutaka kuzungumzia jamaa wengine
ambao walisoma pale chuo wakamaliza mwaka huo.akaona hii sasa itakuwa
issue jamaa asije akamuumbua bure. Akaamua kuachana na kazi yake hii ya
uana sheria na kuamua kutafuta kazi nyingine.<br />
<br />
Akaamua kurudia ile kazi yake ya kwanza.lakini safari hii akaamua kuwa anafanya kazi shirika la ndege la <b>Trans World Airways(TWA) </b>hivyo
akajipatia sare,akatengeneza leseni mpya ya FAA,na kadi na kila kitu
kilichotakiwa kama alivyofanya kule PanAm. Akaanza kupiga kazi tena
akisafiri sehemu mbali mbali duniani na ku Cash bank mbalimbali ambazo
kipindi kile hakuzigusa.<br />
<br />
<b>FRANK AKIWA UTAH (Profesa wa Sociology)</b><br />
<br />
Jamaa katika pita pita yake akafika mpaka Jimbo la Utah hili jimbo
lilimvutia kwa uzuri wake na pia kuw ana warembo wengi sana. Jamaa
akenda mpaka maeneo ya kampasi za chuo...daah aliona watoto wakali
sana.asikwambie mtu.udenda ulimtoka akajua hapo sasa inabidi kupiga
kambi ili aweze kuwagegeda ipasavyo watoto warembo. <i>Nia alikuwa nayo ,uwezo (pesa) alikuwa nao na sababu pia alikuwa nayo.</i><br />
<br />
Jamaa akaomba kazi chuoni ili afundishe. Alipata akawa anawapiga pindi
watoto warembo hapo chuoni.huku jioni anawapangia ratiba ya
kuwagegeda.apewe nini na shetani?acha awachape watoto warembo.<br />
<br />
Jamaa akaamua sasa ahame kile chuo akaombe chuo kingine kufundisha chuo cha <b>Brigham Young University</b>. Akafanya appointment akijifanya yeye ni <b>Profesa wa Sociology</b>.
Akawa amewasiliana na Dean na kumwambia alifanya kazi ya kufundisha kwa
miaka kadhaa kabla hajaacha na kuwa Rubani. Na akasisitiza sasa anataka
kurudi katika kazi aliyokuwa akiipenda sana. Kazi ya ualimu. Yule dean
alivutiwa sana na uzoefu mbalimbali aliokuwa nao frank na pia uchangamfu
wake.<br />
<br />
Akiwa na vyeti mbalimbali feki Frank akafanikiwa kupata interview na
Dean akaamua kumwajiri akiwa amevutiwa naye sana. Akakubali kumpa ajira
akiwa amepewa kozi moja aifundishe kwa semester nzima. Jamaa akaamua
kwenda library kujiandaa kwa ajili ya kufundisha kozi hiyo. Hatimaye
kwel akapewa mkataba wa kuajiriwa kwa semester moja awapige kipindi
watoto wa kidosi akiwa kama <b>Profesa Frank</b>.alionekana kufurahia
kazi hii mpya ingawa ilikuwa ni kwa muda tu maana hakuwa amepata mkataba
mkubwa. Anapiga vipindi lakini pia anapata muda jioni wa kuwagegeda
watoto wazuri ambao wanasoma pale chuoni na salary anapata kama kawa. J<i>amaa alikuwa anaua ndege wawili kwa jiwe moja.kazi na dawa</i>.
Kazi hii hakudumu nayo sana kwa kuwa dean alimtaka kuwa asubiri nafasi
itokee ya kudumu kwa kuwa chuoni hawakutaka tena kuajiri walimu wa muda
mfupi.<br />
<br />
<b>SAFARI YA KWENDA CALIFONIA.</b><br />
Frank akaondoka zake Utah huku akiwa amejilia kiasi cha kutosha nanii za
watoto wakali wabichi wa UTAH…akaamua kuelekea Califonia. <i>(Unaukumbuka wimbo wa <b>Tupac califonia Dream</b>? Hili jimbo nalo lina maraha yake huko Marekani. Binafsi niliwahi fika huko kumekucha hasa)</i>
akiwa anaelekea huko akafikiria kurudia tena kazi yake ambaya huifanya
vizuri zaid. Kuandika check za magumashi.kipindi hiki akawa amepata
uzoefu mkubwa zaidi katika kipengele hiki. Aliweza kuandika check kubwa
kubwa za maelfu Zaidi ya mara ya kwanza.aliweza kujikusanyia Zaidi ya
USD 100,000 kwa kipindi hicho. Ukiziconvert kwa sasa zinakuwa nyingi
Zaidi.<br />
<br />
Alikuwa kijana mdpgo mwenye mkwanja wa kutosha kwa umri wake….alikuwa na
ukwasi mwingi tu huyu bwana mdogo.bado alikuwa na upweke kiasi
flani.maana kumbuka alikuwa ana vitambulisho mbalimbali.mara doctor,mara
mwanasheria,mara profesa,mara…. Yaani ili mradi jamaa aliweza kuwa kila
kitu.<i>angeamua hata kufake kuwa yeye ni baba yako ungemwamini
nakwambia.angekuja angekueleza yeye ndo baba yako kweli kweli huyo uliye
naye siye..na angeweza hata kumshawishi mama yako…usiombee ukutane na
frank mtaalam</i>.jamaa alikuwa kichwa hasa.<br />
<br />
Basi katika pita pita zake akafanikiwa kumpata mtoto mmoja mkali
sana.wakapendana. huyo binti alikuwa ni mfanyakazi wa kwenye ndege. Na
nikuambie kitu? Ukitaka watoto wakali sana… angalia wafanyakazi wa
kwenye ndege,aisee ni wazuri sana..kama umepanda panda ndege wengi wao
ni wazuri sana.sema yale maumbo yetu ya miss bantu huyapati.<br />
<br />
<b>SEHEMU YA MWISHO.<br />
</b><br />
<br />
Basi frank akawa amempenda sana yule mtoto na alitamani kabisa kuwa
waishi wote na katika kuzidiwa na mapenzi ye mwenyewe akaamua tu
kumwambia ukweli yule binti.akajichana ye mwenyewe. Unajua hakuna kitu
kigumu kama kukaa na siri…trust me ni ngumu sana yaani sometime
unatamani hata uende porini ukaseme siri yako then baada ya hapo
unajisikia kama umetua mzigo mkubwa.kama tu ile story ya <i>mfalme aliyekuwa na masikio ya punda.</i>
Yeye aliamini kwa kumwambia huo ukweli basi yule mwanamke atamsamehe na
kuyachukulia yale kama ni madhaifu yake na wakasonga mbele pamoja
wakiishi real sasa.maana jamaa alikuwa hata hujui leo ye ni frank au
john au abel....<br />
<br />
Mshkaji alifanya kosa. Usiwaamini sana mademu… jamaa alitegemea kuwa
demu angemwona amekuwa mwaminifu na sasa wasonge mbele kumbe sivyo.dem
akaenda kumchoma FBI na kuwalezea alipo. bahati nzuri Jamaa wa machale
alifanikiwa kuwatoroka akawa tena anaishi maisha ya kimachale machale.
Jamaa akasafir mpaka ufaransa. Na akiwa katika ndege akakutana na demu
mmoja mkali mfanya kazi wa kwenye ndege wakaanza mahusiano. Aligundua
kuwa baba wa yule demu anamiliki duka la kuprint pictures na stationary.
So akawa anatamani sana akutane na baba wa yule binti.kweli ikatokea
akakutana na baba ya bint yule.frank akamwambia mzee kama atakuwa tayari
kupiga naye kazi.yaani waprint kazi moja yenye mshiko kwa ajili ya
PanAm.frank akamwambia mzee anampa tenda ya kuprint check 10,000 za
payroll kwa wafanya kazi wa PanAm.yule mzee hakuwa na hiyana akaona
mchongo si ndo huu. Akapiga kazi<br />
<br />
Frank akazichukua hizo checks na kuanza kuzitumia katika Mabank kadhaa
hapo hapo ufaransa.akajikusanyia makwaru kwaru (pesa) kibao. Halafu
haraka sana akapanda mwewe kurudi USA ambako pia aliendelea kujikumbia
mkwanja kwa njia zake haramu za kimazabe mazabe.<br />
<br />
Muda si mrefu baada ya kurudi US. Siku moja Manjagu wakambananisha
airport ya Boston akiwa anataka kupanda mwewe akale bata jimbo lingine.
Jamaa wakamweka kwanza korokoroni ili waendelee kukusanya ushahidi
mbalimbali kuthibitisha kama alikuwa ni yeye yule jamaa mtukutu sana
Frank A.jr hata hivyo Manjagu /polisi walishindwa kupata kwa usahihi
ushahidi wa kutosha yeye ni nani hasa. Walikuwa wamweka tu korokoroni
hajapelekwa hasa segerea kwenyewe.ushahidi wa kutosha ukawa umekosekana
na mwishowe akaachiwa kwa dhamana akiwa ameponea chupuchupu kuja
kukamatwa na FBI ambaye alikuwa ametumwa kwenda kumtafuta. Jamaa ikawa
kama wamempiga chura teke… si unajua humkomoi ukimpiga chura teke
unamwongezea mwendo. Basi akazidi kuwa jasiri badala ya kukatishwa tamaa
au kuingiwa woga.<br />
<br />
Baada yu ya kutoka akaenda kuazima sare za walinzi au sercurity guard na
kwenda kusimama pale pale uwanja wa ndege ambako mamwela walimkamata
masaa kadhaa yaliyopita. Alikuwa ameshikiria mfuko mkubwa maalum ambao
alikuwa anasubiria watu waweke deposits/pesa zao kila wanapokuwa
wanapita au kusafiri kama ulivyo utaratibu. Wakawa hawana shaka wanaenda
wanaandikisha zinahesabiwa wanakuja wanaweka kwenye ule mfuko/begi
maalum alioshika frank wanaendelea na shughuli zao. Lile begi lilipoanza
kujaa aliamua kulibeba kupeleka kwenye gari alilokuwa amekodi. Lilikuwa
zito maana kulikuwa kumewekwa mapene kichele (pesa nyingi sana). Basi
wale jamaa wengine wakaamua kumsaidia mshkaji pasipo kujua wanamsaidia
mwizi katika mchakato wa kuondoka na pesa za wizi.jamaa siku ile ile
moja tu alipiga zaidi ya usd 60,000 akaweka begani akalala nazo
mbele.ilikuwa noma ile mbaya…. Polisi walikuja kumgwaya hapo baadaye si
kwa usanii ule.<br />
<br />
<b>Kukamatwa</b><br />
<br />
Frank akawa anaonekana ameshindikana karibia kwenye kila kitu alichokuwa
akifanya.alifanikiwa kuwakwepa manjagu na hata FBI kwa kila mpango
mpya.aliendelea kufikiria namna ambavyo ataendelea kupiga mkwanja mrefu.
Akaja na wazo lingine.aliamua kuwa kwa sasa hatakuwa anasafiri peke
yake. Atakuwa anasafiri na warembo kibao. hii itasaidia aweze kuwa ana
cash mkwanja zaidi .maana unapokuwa umezungukwa na mademu watu
hawakutilii shaka hata kidogo hivyo akaona aibuke na mbinu hi ya
kutembea na watoto kadhaa wakali.<br />
<br />
Akiwa anatembelea<b> Arizona </b>Frank akaweza kufanya mchakato wa
kuoana na Director/Mkurugenzi aliyekuwa anahusika na masuala ya
wanafunzi vijana katika vyuo vya serikali jimboni hapo.yaani kuwapeleka
vyuo mbalimbali wanapoomba na pia kushughulika nao wanapomaliza kwa
masuala ya ushauri na kazi. Akawa amaeongea naye uwezekanao wa kuajiri
wanawake wengi kama maafisa uhusiano kwa ajili ya PanAm. Na akamwambia
wanawake ambao atakuwa amewachagua watapata hata nafasi ya kwenda
kutembelea Ulaya kipindi cha majira ya joto. zaidi zaidi hao wanawake
watapewa mpaka uniforms au sare za PanAm,watapewa mshahara na barua za
ajira pindi wamalizapo tu masomo yao.<br />
<br />
Ilikuwa patashika pale chuoni watoto wazuri wengi waliomba hiyo nafasi…
kila mtu alitamani awe mfanyakazi wa kwenye ndege..na si unajua watoto
wakali wanapenda maisha yale ya kuzunguka tu na mwewe angani huku wakial
bata sehemu mbalimbali duniani.katika kusagula sagula humo ndani
akajipatia watoto nane wakaliiiiiii balaa.hawa walikuwa wakisisimkwa na
vinyweleo kusimama wakiwaza jinsi ambavyo wataizunguka dunia ndani ya
mwewe.halafu wakawa wanawaza pia jinsi ambavyo watakuwa wanalipwa kula
bata. Just imagine unaenda kula bata na bado unalipwa
pia.hawakujua.hawakujua.<br />
<br />
Lengo la Frank lilikuwa kuwatumia hao mademu wakali kwenda ku cash zile
check zake za kimagumashi hivyo akawa anaandika check za malipo makubwa
kuliko hata ya kawaida. Akiwa huko huko bado alikuwa anawala kwa zamu
tartiiiiibu.kama Analia vile.kwa hiyo muda wote akawa anazunguka nao
wakiwa wamevaa zile sare wakifurahia sana na akawa anaenda nao bank ku
cash zile pesa na huko hawakuweza kumtilia mashaka hata chembe maana
unawezaje kumtilia mashaka mshkaji amezungukwa na watoto wakali wa
kibongo,kilatino,kitasha n.k tena wamevaa sare za PanAm. Huwezi.kumbe
jamaa anawapa tu za chembe kimya kimya anafinya mpunga wa kutosha
kutokana na wao.inasadikiwa jamaa alikusanya mpunga wa zaidi ya usd
300,000 miaka hiyo. Si mchezo.<br />
<b><br />
FRANK ANAHAMISHIA MASHAMBULIZI UFARANSA (MWANDISHI WA MOVIES ZA HOLLYWOOD)</b><br />
Alipoona hii imefanikiwa akaamua tena apumzishe hii mbinu ili asije
akashtukiwa. Akaamua kwenda Montpellier huko Ufaransa. Haikuwa mbali na
alipokuwa amezaliwa mama yake. Akamua kutulia kwanza kwa muda kwenye
nyumba tu ya wastani akiwa amebadilisha jina anaitwa <b>Robert Monjo </b>na
akijifanya yeye ni mwandishi wa movies toka Hollywood.karibia mwaka
hivi alijitahidi kuishi maisha ya kawaida tu.alikuwa amechoka sana na
maisha ya kukimbia kimbia manjagu na FBI.<br />
<br />
Siku za mwizi zilikuwa zinakaribia …na jamaa alishaacha hata kuzihesabu
maana si unajua wanasema siku za mwizi ni arobaini?so kama unaiba
hakikisha ukifika 39 unaacha. Jamaa mmoja mgwadu sana wa <b>FBI alikuwa anaitwa Joseph Shea </b>huyu
alikuwa amekomaa ile mbaya kumtafuta Frank kwa miaka na miaka.maana FBI
si kwamba walikuwa hawana taarifa zake.walikuwa nazo ila walikuwa bado
hawampata ile bumper to bumper wanamlia tu timing. zaidi zaid ya kusikia
tu mshkaji kapiga huku.wakienda hayupo,wanasikia tena kapiga bank flan
wakienda hayupo. Jamaa alisema ye atakomaa naye tu mpaka kieleweke iwe
mchana au usiku,iwe masika au kiangazi. Hakuna kulala.<br />
<br />
Miezi kama minne hivi Frank akiwa France jamaa wa FBI alishapata taarifa
hizo. Unajua ilichukua miaka mingi sana kufahamu kuwa Frank hakuwa mtu
mzima ni bwana mdogo tu ambaye akili zimemzidia ameamua kuzitumia
kihuni. Yule FBI alikutana na mmoja wa wafanyakazi wa ndege ambao frank
alikuwa amewakamua. Akamwonesha picha kuwa anamtafuta jamaa.. yule demu
akakiri anamfaham jamaa na kuwa yupo ufaransa sehemu flan ame chill tu.<br />
<br />
Manjagu wa Ufaransa wakatonywa kuwa kuna mshkaji mmoja hafai
ameshaziumiza banks mbalimbali Zaidi ya Usd 2.5 Million so yupo kitaani
kwao wakamcheck. Wale wafaransa wakaona hii sasa issue yule mpigaji yupo
nchini mwao.wakaanza mfuatilia na kuja kumkuta frank anafanya shopping
mtaani kwenye kigrocery flani karibu na maskani mwake. Wakamdaka
kumpeleka <b>Montpellier Polce Station</b> kumfungulia mashtaka kwa
makosa aliyokuwa amewatendea pale ufaransa. Baada ya mahojiano frank
alikuwabli kuwa yeye ni Frank A. Jr lakini akakataa kueleze kiundani
makosa yake yote.hakutaka kuwapa habari yoyote kuhusiana na makosa yake.
Ana bahati sana angekuwa ni mbongo halafu kakamatwa bongo akingepata
kisago cha mbwa mwizi mpaka angeanza kuimba.<br />
<br />
Ndani ya week frank akawa amepelekwa kwa pirato huko ufaransa na kukutwa
na misala kibao..yaani alikutwa na madhambi au makosa mengi tu kwa
mujibu wa sheria yakiwemo hayo ya utapeli. Wakampeleka kunyea debe
segerea ya ufaransa kwa mwaka mmoja gereza moja la watu watukutu sana la<b> Perpignan</b>…. Aliishia tu kufungwa miezi sita. Ila hali ya mle ndani ilikuwa mbaya sana.wakamtoa.<br />
<br />
Akapelekwa Sweden na baadaye Ufaransa. Huko akifanikiwa mara kadhaa
kuwatoroka Manjagu na FBI na kuanza kuishi maisha ya kimachale machale…
mwishowe akajikuta anasakwa ile mbaya.FBI wakamweka katika ile list yao
ya wanted. Akajikuta hana pa kujificha na mwishowe alikuja kukamatwa
akiwa amejificha huko New York si unajua mkono wa sheria ni mrefu sana.
Na wale manjagu walishaona huyu jamaa si saizi yao wakampeleka
kumkabidhi kwa wazee wa kazi wa <b>FBI </b>( <b>Female Body Intruder</b>…
ha haha am kidding bwana si maana hiyo) huko wakampeleka kwa pilato ili
akapate stahiki zake kwa madhambi aliyowatendea wanagenzi mbalimbali.<br />
<br />
<b>Jamaa wakamhukumu kifungo cha miaka 12. Huko Virginia Gereza la Petersburg.</b>
Na hata hivyo akapata parole akiwa na miaka 26 akiwa ametumikia miaka 5
nyuma ya nyondo. Yaani alikuwa mpaka muda huo amechezea mvua 5 tu
katika 12. Akaachiwa na kupata nafasi ya kuanza maisha mapya.<br />
<br />
Baada ya kutoka segerea jamaa akaanza kuranda randa mtaani akitafuta
vibarua. Ila life lilishakuwa gumu kinoma jamaa hakuzoea ku hustle namna
ile na makashkash kibao akikimbizana na life.akawa anakamata kamata tu
vijikazi kiasi vya kumtoa angalau asilale na njaa.alikuwa mara nyingi
akijitahidi isijulikane kuwa alikuwa ni tapeli na alishawahi
fungwa.lakini mwishowe waajiri wake wakawa wanakuja kufaham ukweli na
kumfukuza.<br />
<br />
Baada ya muda Frank akaanza kuwa frustrated … yaani kama kupagawa flani
hivi kimawazo sababu alijua kabisa ana kipaji ambacho sehemu flan mtu
anaweza akakihitaji. Hivyo akawa anawaza kutafuta mteja ambaye angekuwa
interested na ujuzi wake na hivyo kufaidika nao. Hivyo akaamua kutafuta
namna ya kujitangaza. Kwa kushangaza kabisa watu ambao wangefaidika naye
walikuwa ni FBI. Hawa FBI ndiyo ambao wangeweza faidika na kipaji
alichokuwa nacho. FBi walikuwa wanahitaji kufaham namna mbavyo wahaalifu
wanatumia akili kufanya uhalifu wao ili waweze kuwakamata wahalifu hao.
Frank akaanza kuwapa lecture bure.alijua pia kwa kutoa elimu hii
alikuwa analipa kwa jamii aliyokuwa ameiumiza kwa utapeli wake.kabla ya
muda mrefu kupita ikaja kazi ambayo ingeweza kumlipa elimu aliyokuwa
nayo ikawa inahitajika sana na makampuni mengi duniani. Makampuni mengi
yakagundua yanaweza kuokoa pesa nyingi mamilioni au mabillion kutoka kwa
matapeli ikiwa watakuwa na mtaalam wa utapeli ambaye atawasaidia. Hivyo
frank akawa ni mtu ambaye anatumika kwa ajili ya kuwapa taarifa muhimu
za kuzuia matapeli.<br />
<br />
Jamaa akawa anaitwa huku na kule akawaelekeze na wanampa mkwanja wa
maana hasa. Na mpaka leo hii frank anaheshimika na makampuni mengi akiwa
amefungua kampuni yake ya kutoa ushauri na kulingana na website yake ya
<a class="externalLink" href="http://www.abagnale.com/" rel="nofollow" target="_blank">www.abagnale.com</a>
frank amekuwa akienda kupiga lecture,akifanya consultation duniani
nzima na kutoa semina na makongamano na vile vile akaamua FBI awe
anawapa ushauri bure kabisa ingawa wao walikuwa wanataka wamwajiri.yeye
aliona aitumikie FBI kwa nia hiyo ya kuwapa ushauri bure.<br />
<br />
Jamaa ameandika vitabu vingi tu,Makala na mahapisho mbalimbali na ku
design check ambazo ni salama zinazotumika na wafanyabiashara mbalimbali
wakubwa duniani. Kiuhalisia hakuna shaka kabisa kuwa jamaa amekuwa
akijitahidi sana kusahihisha makosa aliyoyafanya miaka ile ya nyuma na
kipaji au akili yake kaipelekea katika mambo ya kujenga zaidi na si
kuwapiga wenye makampuni na bank kama zamani na kula papuchi tu muda
wote. Na jamaa ukimcheki amechange sana kwa sasa akiwa na mke ambaye
wameishi naye Zaidi ya miaka 25 na kufanikiwa kupata watoto wa3. Jamaa
amekuwa mtu wa dini sana kwa sasa. Anaenda church na kushirikiana na
wadau wengine katika kujenga taifa. Ukimcheck kwa kweli ame change sana.
Kwa sasa anaishi huko Midwest na mkewe na watoto wake vidume
watatu.anakula kihalali. tuacheni uhalisi ndugu zanguni.....<br />
<br />
<img alt="frank-abagnale-jr-and-family-opening-night-of-the-broadway-production-DB38TR.jpg" class="bbCodeImage LbImage " src="https://www.jamiiforums.com/attachments/frank-abagnale-jr-and-family-opening-night-of-the-broadway-production-db38tr-jpg.673012/" />
<div class="messageTextEndMarker">
</div>
</blockquote>
</article>
</div>
</div>
<script async="" src="//pagead2.googlesyndication.com/pagead/js/adsbygoogle.js"></script>
<!-- barner -->
<br />
<ins class="adsbygoogle" data-ad-client="ca-pub-8699121076413513" data-ad-slot="8927094585" style="display: inline-block; height: 60px; width: 500px;"></ins><script>
(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({});
</script></div>
Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/09786424478000544580noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-3347815323000470255.post-90579592132777909692017-10-23T11:17:00.000+03:002017-10-23T11:17:11.397+03:00WEZI DARAJA LA KWANZA WALIOUBADILISHA MFUMO WA ULINZI DUNIANI<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
</div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://3.bp.blogspot.com/-guOQG0DF23g/We2lTBH9zFI/AAAAAAAABH8/MqYoLEbCsEQA3w-eoalamLA1HhDBtg17gCLcBGAs/s1600/index.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="194" data-original-width="259" height="479" src="https://3.bp.blogspot.com/-guOQG0DF23g/We2lTBH9zFI/AAAAAAAABH8/MqYoLEbCsEQA3w-eoalamLA1HhDBtg17gCLcBGAs/s640/index.jpg" width="640" /></a></div>
<br />
<br />
<br />
Wako watu ambao uwepo wao katika ulimwengu wamechangia kwa namna moja au
nyingine kuufanya huu ulimwengu uwe jinsi ulivyo. Wako wengine ambao
wamechangia kwa kiwango kikubwa kuifanya 'mifumo' ya dunia iwe jinsi
ilivyo. Mara nyingi watu hawa tunawasoma kwenye vitabu endapo kama
waliishi miaka mingi iliyopita na endapo kama bado wako hai huwa ni watu
tunao wahusudu na kuwachukulia kama mifano ya kuigwa.<br />
<br />
Lakini wako watu ambao ni vigumu kuwahusudu au kuwaandika katika vitabu
vya historia kutokana na jinsi ambavyo walichangia kubadilisha mifumo ya
kimaisha dunia. Moja wapo ya watu hawa ni Wezi ambao mimi binafsi
napenda kuwaita 'Wezi wa Daraja la kwanza' (First Class Thieves). Hawa
wamekuwa toka enzi za kale na wamekuwa wanaushangaza ulimwengu kwa
kiwango cha akili walichotumia na uthubutu walionao katika kutekeleza
matukio.<br />
<br />
Moja wapo kati ya wezi hawa ambao wamechangia kwa kiasi kikubwa
kubadilisha mifumo ya kiusalama ni mtu ambaye ameandika historia katika
ulimwengu na hususani taifa la ufaransa kwa kutekeleza tukio kubwa zaidi
la ujambazi na lenye thamani kubwa zaidi ambayo mpaka leo hii bado
hajatokea mtu mwingine katika nchi ya ufaransa aliyefanikiwa kutekeleza
tukio kubwa kama hilo na kwa mafanikio. Yeye binafsi hakuiba ili tu
apate kutajirika pekee na kuishi maisha ya anasa bali pia aliiba kwa
kuwa aliamini huo ndio wito wake (destiny) na aliiba ili kuudhihirishia
ulimwengu kuwa anaweza. Jina lake aliitwa Albert Spaggiarri.<br />
<br />
<br />
<br />
<b><br />
May 1976: Nice, Ufaransa</b><br />
<br />
Alfred Spaggiari moja ya watu mashuhuri kwenye jiji la Nice nchini
ufaransa na swahiba mkubwa wa Meya wa jiji la Nice Bw. Jacques Medécin,
Spaggiari ambaye shughuli zake alikuwa amebobea kwenye upigaji picha za
mitindo na matukio muhimu zaidi ya kiserika na binafsi alikuwa ameitisha
kikao kilichohudhuriwa na watu wapatao ishirini katika nyumba yake ya
mapumziko ya mwisho wa wiki iliyopo nje kidogo ya jiji la Nice. Kikao
hicho hakikuhusu upigaji picha au siasa bali aliitisha kikao hicho cha
siri na aliwaalika wahalifu kadhaa ili awashirikishe mpango wa siri
aliokuwa nao. Kati ya watu hao 20 watu watano walikuwa ni wawakilishi wa
ukoo wa Mafia wa usisili ( Sicilian Mafia) aliowaakika kutoka Italia.<br />
Akiwa anafungua kikao hicho Spaggiari aliwaeleza kuwa amewaita hapo ili
awashirikishe kwenye tukio la wizi la kihistoria na ambalo anaamini
litakuwa na thamani kubwa sana kiasi kwamba hawataitaji kuiba tena
maishani mwao ili kuishi maisha ya hali ya juu waliyoyapenda.<br />
<br />
Spaggiari akawaeleza kuwa amedhamiria kuiba katika Kuba (vault) ya benki
ya Société Générale. Ambayo ndiyo ilikuwa benki kubwa zaidi katika nchi
ya ufaransa kwa kipindi hicho na moja ya benki kubwa zaidi duniani.<br />
Lakini kabla hajaendelea zaidi na 'hotuba' yake watu kadhaa waliokuwepo
kwenye kikao hicho waliangua kicheko cha dharau na kusema kwamba
walidhani kuwa wameitwa kwenye kikao hicho labda 'celebrity' Spaggiari
alikuwa ana ugomvi na 'celebrity' mwenzake kwahiyo alitaka awalipe
wakamfanyie 'umafia' lakini kamwe hawakutegemea mtu 'mboga saba' kama
Spaggiari ati atake kuwashirikisha wao kuhusu tukio la ujambazi kwani
wanaamini kuwa Spagiari hajui chochote kuhusu uhalifu wala hajui hata "a
e i o u" za matukio ya ujambazi.<br />
Spaggiari aka kaa kimya kwa sekunde kadhaa huku macho yake yakiangaza
kwa wahudhuriaji wote wa kikao hicho na macho yake yakakutana na mzee
mmoja wa makamo aliyekuwepo pia kwenye kikao hicho ambaye walifahamiana
vyema na Spaggiari. Spaggiari akampa ishara kuwa awaeleze watu hao
waliohudhuria kikao hicho kuwa yeye ni nani, yeye Spaggiari halisi ni
nani, awaeleze kiundani wamfahamu Spaggiari zaidi ya yule wanayemsoma
kwenye magazeti, zaidi ya Spaggiari 'mboga saba' wanaye mjua.<br />
<br />
<br />
<br />
<b>UTAMBULISHO MFUPI WA "MPIGA PICHA" ALBERT SPAGGIARI</b><br />
<br />
Albert Spaggiari alizaliwa Desemba 14, 1932 katika mji mdogo wa Hyerés
ambapo mama yake alimiliki duka kubwa la mavazi ya ndani ya wanawake
(lingerie).<br />
Akiwa bado yuko katika shule ya upili, katika shule yao Spaggiari
alitokea kumpenda msichana ambaye alikuwa ni mtoto wa Mkuu wa shule.
Mara nyingi Spaggiari alijikuta anaingia kwenye matatizo na walimu
kutokana na kumshushia kipigo kijana mmoja wa kisenegali ambaye alipata
ufadhili wa kusoma shuleni hapo lakini naye alionyesha hisia za kumpenda
binti huyo. Kutokana na Spaggiari kuingia kwenye matatizo mara kwa mara
na walimu hakufanikiwa kumaliza shule kwani alifukuzwa baada ya walimu
kuchoshwa na tabia zake.<br />
<br />
Licha ya kutokuwepo shuleni Spaggiari aliendeleza uhusiano wake na yule mtoto wa Mkuu wa shule<br />
Katika juhudi za Kutaka kumuonyesha huyo binti kwamba yeye sio hoe hae
Spaggiari akamuahidi huyo binti kumnunulia pete ya almasi yenye thamani
kubwa sana. Uhalisia ni kwamba Spaggiari hakuwa na hela lakini kutoka
moyoni alipania kuitekeleza ahadi huyo ili azidi kumfanya mpenzi wake
ampende zaidi.<br />
<br />
Hivyo basi Spaggiari akamshawishi rafiki yake mmoja kuwa usiku wa siku
moja ana mpango wa kuiba pete ya almasi katika duka mojawapo hapo mjini
kwao.. Rafiki yake akakubali na wakapanga siku wakatekeleza tukio lakini
kwa masikitiko makubwa wakakamatwa.<br />
Baada ya kukamatwa na kushtakiwa mahakamani, Spagiarri alihukumiwa kwenda jela.<br />
Lakini kutokana na umri wake mdogo wa miaka 17, serikaki na Spagiarri
wakakubaliana kuwa akajiunge na jeshi badala ya kukaa jela.<br />
Hivyo basi Spaggiarri akajiunga na jeshi kitengo cha wanajeshi wa kutumia parashuti.<br />
<br />
Mwaka 1953 Spaggiari alishiriki katika vita ambayo majeshi ya Ufaransa
yaliivamia koloni lao la Indochina (Vietnam ya sasa na maeneo
yanayoizunguka). Spaggiari alikuwa ni mwanajeshi hodari na aliwahi
kujeruhiwa mara mbili katika mapambano na kutokana na uhodari wake
alitunukiwa nishani ya heshima.<br />
Lakini ni kana kwamba wizi ulikuwa ndani ya vinasaba vya Spaggiari kwani
akiwa huko huko Vietnam na kabla vita haijaisha yeye pamoja na rafiki
yake walivamia duka moja mjini Hanoi na baada ya upelelezi walibainika.<br />
Hii ilipelekea Spaggiari kufukuzwa jeshini na kurudishwa ufaransa na kufunguliwa mashtaka na akahukumiwa miaka mitano.<br />
<br />
Spaggiarri akatumikia kifungo na mnamo mwaka 1957 akarudi uraiani.<br />
Baada ya kurudi uraiani Spaggiari akajihusisha na kufanya kazi katika
viwanda vya kutengeneza makabati ya kuhifadhi vitu vya siri (Safes) na
pia akafanikiwa kupata msichana mrembo aliyeitwa Marcelle Audi ambaye
kwa kipindi hicho alikuwa anafanya kazi kama Nesi na akafanikiwa kumuoa.<br />
Baada ya kumuoa waliondoka ufaransa na kuelekea nchini Senegal ambapo
kwa kipindi hicho bado lilikuwa ni koloni la Ufaransa na wakaishi mjini
Dakar. Kwa bahati mbaya hawakufanikiwa kukaa sana Senegal kwani mwaka
1960 Senegal ilipata Uhuru na ikawalazimu warejee tena Ufaransa.<br />
<br />
Baada ya kurejea Ufaransa Spaggiarri akaanza kujihusisha na vikundi vya
uzalendo vya nchi za ulaya ambavyo vilikuwa vinapinga wazungu kuachia
makoloni ya Africa.<br />
Kikundi ambacho kilimvutia sana Spaggiarri kiliitwa OAS (Organisation de
al'rmée Secrète). Kikundi hiki kilijihusisha na shughuli za kishushushu
kusaidia kushawishi serikali ya ufaransa isiachie koloni la Algeria na
pia kilifanya shughuli zake kudhoofisha harakati za watu wa Algeria
kudai Uhuru. Spaggiari akajiunga na kikundi hiki mwaka 1961.<br />
Rais wa ufarasa wa kipindi hicho (Rais De Gaulle) mwanzoni alikiunga
mkono kikundi hiki lakini kadiri muda ulivyoenda na kuonekana wazi kuwa
suala la kuipatia Uhuru Algeria haliepukiki, Rais De Gaulle akakipiga
marufuku kikundi cha OAS na vikundi vingine vyote vyenye mlengo huo.<br />
<br />
Baada ya harakati zao za OAS kupigwa marufuku Spaggiari akabakia na
kinyongo kikubwa sana dhidi ya Rais De Gaulle. Hivyo basi mwaka huo huo
wa 1961 akasafiri mpaka nchini Hispania kwenda kuonana na mmoja wa
waanzilishi wa kikundi cha OAS mzee aliyeitwa Jenerali Pierre
Lagaillarde. Sababu kubwa ya kumfuata ni kwamba Spaggiari alikuwa
anahitaji apewe ruhusu ya kumdungua kwa risasi Rais De Gaulle ili
kulipiza kisasi kwa <i>"kuwasaliti"</i> OAS na 'raia' wa Ufaransa kwa kuunga mkono Algeria kupewa Uhuru.<br />
Jenerali Pierre akamwambia kuwa ampe 'ramani' yake jinsi alivyopanga ni namna gani atampiga risasi Rais De Gaulle.<br />
Bila kusita Spaggiari akamueleza mpango wake, kuwa msafara wa Rais De
Gaulle huwa unapita katika mji mdogo wa Hyerès na huwa wanapita mbele ya
duka la mama yake Spaggiari (mama yake Spaggiari alikuwa ni
mfanyabiashara wa mavazi ya ndani ya akina mama (langarie)). Hivyo
Spaggiari akamueleza Jenerali Pierre kuwa atakaa juu ya paa la duka la
mama yake na atakaa na bunduki ya wadunguaji na Msafara wa Rais ukupita
atampiga risasi Rais De Guelle.<br />
<br />
Jenerali Pierre akakubaliana naye kuwa arudi ufaransa na akatekeleze
mpango huo lakini akampa onyo kuwa siku hiyo atayotakaa juu ya paa la
duka la mama yake, asifyatue risasi kabla hajapata amri ya moja kwa moja
kutoka kwake (direct command). Spaggiari akakubali na kurejea ufaransa.<br />
Siku ya siku ikafika, Spaggiari akakaa juu ya paa la duka la mama yake,
msafara wa Rais ukapita mbele ya duka, Spaggiari akasubiri 'direct
command' kutoka kwa Jenereli Pierre ili amfyatulie risasi Rais De
Guelle, akasubiri na kusubiri, amri haikuja na msafara wa Rais
ulitokomea mbali na macho yake.<br />
Wiki chache baadae Spaggiarri akakamatwa na kushtakiwa kwa makosa ya
kujihusisha na vikundi vya 'kigaidi'. Spaggiarri akagundua kuwa Jenerali
Pierre 'alimuuza'.<br />
Mahakama ikamuhukumu kifungo cha miaka minne jela. Spaggiari akatumikia miaka yote.<br />
<br />
Siku ya kutoka jela ni mke wake Audi pekee aliyemkuta nje ya geti la
jela akimsubiri waende nyumbani. Spaggiari akamuapia mkewe kuwa hataki
tena kujihusisha na harakati zozote wala siasa. Kuanzia sasa kitu pekee
anachokitaka ni kuwa mume bora kwake.<br />
Spaggiarri hakuwa anatania, akafungua ofisi yake ya upigaji picha katika
jiji la Nice. Akafanya kazi kwa bidii usiku na mchana na ndani ya miaka
michache akaibukia kuwa ndiye mpiga picha bora zaidi katika jiji la
Nice, na harusi zote za hadhi ya juu ni Spaggiari ndiye alipiga picha,
matukio yote muhimu ya kiserikali na binafsi, tenda ya kupiga picha
alipewa Spaggiari. Punde si punde Spaggiari akawa moja ya watu mashuhuri
zaidi katika jiji la Nice, na akafahamiana na kila mtu muhimu kwenye
jiji la Nice. Mpiga picha Spaggiari akawa moja ya raia wanaoheshimika
zaidi jijini Nice.<br />
Lakini licha ya mafanikio na heshima yote, kana kwamba uhalifu
umeandikwa kwenye vinasaba vyake, roho ya Spaggiari ilitaka zaidi! Sio
pesa zaidi, sio umaarufu zaidi, hapana roho ya Spaggiari ilitamani
kuiba! Kufanya tukio moja kubwa kuudhihirishia ulimwengu umahiri wake
katika wizi.<br />
Roho ya Spaggiari iliwasha kwa kiu ya kutaka kuiba, na alijua bayana
roho yake haitotulia mpaka pale atakapo tekeleza walau tukio moja
maridadi la wizi. Na ili kujiridhisha Spaggiari akaamua kuwa atafanya
tukio la wizi ambalo litasimuliwa vizazi na vizazi.<br />
<br />
<br />
<b><br />
Turejee kwenye Kikao cha "Mpiga Picha" Spaggiari na wenzake</b><br />
<br />
Baada ya wote waliokuwepo kwenye kikao hicho kusikia historia hiyo ya
Spaggiari walishikwa na bumbuwazi. Wote waliduwaa kwani baadhi yao
waliwahi kusikia minong'oni mtaani kuwa mpiga picha Spaggiari ni 'mtundu
mtundu' lakini hawakutegemea kama huo 'utundu' wake aliwahi kuhusika
kwenye maisha ya hatari kama jinsi ambavyo wamesimuliwa kwenye kikao
hicho.<br />
Kwa ufupi kwa historia hiyo fupi, Spaggiari alivuna heshima kutoka kwa
watu wote ambao walikuwa wamehudhuria kikao hicho lakini swali moja
likabaki hewani, je mpango wake ni upi juu ya utekelezaji wa kuiba benki
hiyo ya Société Générale, naye Spaggiari akawajibu kuwa hicho ndicho
alichowaitia hapo kuwa wakae chini wote watoke na mpango kabambe wa
kuiba katika benki hiyo na yeye yuko tayari kusikia mawazo yao kwanza.<br />
<br />
Baadhi ya waliokuwepo kwenye kikao kile hasa wale wanachama watano
kutoka ukoo wa Mafia wa usisili, wakatoa maoni yao. Wakasema kuwa kama
anaweza kuwapa uhakika kuwa katika tarehe fulani mahususi benki hiyo
itakuwa na kiwango kikubwa cha fedha basi wao wanaweza wakasaidia wapate
silaha na kuweka mpango madhubuti wa kuivamia hiyo bank na kupora hela.
Baada ya wanachama hao wa Mafia kutoa maoni hayo Spaggiari akawapa jibu
la kuwashangaza sana, kuwa hakubaliani na mkakati huo kwasababu anataka
kwamba tukio hilo watakalotekeleza anataka waweke mpango wa kutumia
akili zaidi badala ya kutumia mabavu na silaha.<br />
<br />
Baada ya maoni hayo kukataliwa wengine nao wakatoa maoni kwamba labda
wamteke mtoto au mke wa meneja wa benki kisha watumie kigezo hicho
kumshawishi meneja awasaidie kuiba katika benki yake. Wazo hili nalo
lilipingwa na Spaggiari na akawaeleza kuwa hataki ukatili wowote utumike
katika kutekeleza tukio hili. Mzee mmoja veterani wa kikundi cha OAS
ambaye alikuwepo yeye akasema kuwa anatamani afahamu siku ambayo benki
yoyote kubwa inakuwa na kiwango kikubwa cha fedha kisha wailipue ili
kuikomesha serikali kwa 'kusaliti' kikundi chao cha OAS. Spaggiari
akamjibu kwa kifupi tu kuwa kama akitaka afanye tukio lolote kwa ufanisi
anatakiwa aweke hisia za chuki pembeni. Hivyo wazo lake hilo la kulipua
benki kwa kisasi alikuwa analipinga.<br />
<br />
Wale jamaa watano wanachama wa ukoo wa kihalifu wa Mafia, ambao
walisafiri kutoka Itali kuja kuhudhuria kikao hicho wakainuka wote kwa
pamoja na kumwambia Spaggiari kuwa wanaondoka. Wanahisi kuwa licha ya
kuwa ni kweli kama walivyosikia kwenye kikao hicho kuwa amewahi
kushiriki katika mipango ya hatari katika maisha yake lakini wanahisi
kuwa kwasasa Spaggiari ana ndoto za mchana na hayuko kwenye uhalisia
kwasababu kama anakataa maoni yote yaliyotolewa hawaoni uwezekano wowote
wa kikao hicho kuzaa mkakati wenye uhalisia wa kutekeleza tukio la
ujambazi.<br />
Spaggiari akawasisitiza kuwa wakae chini wasikilize maoni mengine
yakiwemo maoni yake lakini wanachama hao wa Mafia wakamwambaia kuwa
hawako tayari kuendelea na kikao hicho kwani wanadhani mkakati wowote
utakaowekwa hapo utakuwa ni kana kwamba wanaenda kujitoa sadaka kwani
haiingii akilini watu muwe na dhamira ya kuiba benki alafu msitumie
silaha. Mafia hao wakainuka, wakaaga na kuondoka.<br />
<br />
Kwahiyo Spaggiari akabakia na watu 15 pekee kwenye kikao hicho wengi wao
wakiwa ni wanachama wa zamani wa kikundi cha OAS. Na alivyowaangalia
nyuso zao aligundua dhahiri kuwa ndani ya dakika chache kama hatowapa
mpango wowote wa kuwashawishi kuhusu hilo tukio nao wangeweza kuinuka na
kuondoka.<br />
Spaggiari akaenda mpaka kwenye kabati la pembeni lililopo kwenye sebule
hiyo na kutoka na boksi dogo la saizi ya kati na kulibeba kwa mikono
miwili mpaka kwenye meza iliyokuwepo katikati ya sebule na kisha
akawaomba wote wainuke na kusogea karibu na meza.<br />
Baada ya wote kusogea karibu na meza Spaggiari akatoa makaratasi kadhaa kutoka kwenye lile box na kayatandaza juu ya meza.<br />
<br />
Makaratasi yale yalionyesha ramani na mpango mji wa jiji la Nice. Kuna
makaratasi yalionyesha nyumba kwa nyumba na jengo kwa jengo kwa jiji
lote la Nice. Makaratasi mengine yalionyesha juu ya mifumo ya barabara
ya jiji zima. Makaratasi mengine yalionyesha juu ya mfumo ya maji taka
ya jiji zima na hapa katika karatasi hizi za mifumo ya maji taka ndipo
hasa Spaggiari aliwataka awaeleze kuhusu mpango wake anao ufikiria.
Katika karatasi hiyo inayoonyesha mfumo wa maji taka, Spaggiari
akawaonyesha mahali ambapo benki ilipo na akaweka alama kwenye karatasi
kisha akawaonyesha mfereji wa maji taka wa chini kwa chini ( Sewer)
ambao unapita karibu kabisa na benki hiyo na pia akaweka alama kwenye
mfereji huo kisha akawafafanulia zaidi. Akawaeleza kuwa upande ambapo
mfereji huo unapita na kupakana na benki ni takribani mita 5 tu kutoka
kwenye mfereji mpaka kwenye Kuba (Vault) ya benki. Hivyo basi kama
wataweza kuchimba shimo la chini kwa chini (tunnel) lenye urefu wa mita 8
kutoka kwenye mtaro huo wa maji taka kuelekea upande wa benki basi
watakuwa wamefika katikati ya sakafu ya vault ya benki ya Société
Générale na kitu pekee kitakachobaki ni kutoboa tundu dogo kwa kwenda
juu na watakalolitumia kuingilia ndani ya vault kutoka kwenye tunnel
walilochimba kutoka mtaroni. Huo ndio ulikuwa mkakati wake.<br />
Spaggiari aliwaangalia nyuso za wale waliokuwepo kwenye hicho kikao na
alikuwa na uhakika kuwa wamevutiwa na mkakati huo ingawa walikuwa na
maswali kadhaa.<br />
<br />
Spaggiari akatoa fursa waulize maswali na swali la kwanza lililokuwepo
kwenye vichwa vya wengi lilikuwa je, watakapokuwa chini wanachimba hilo
shimo (tunnel) hawatashtukiwa kutokana na makelele na mitetemo watakayo
sababisha. Spaggiari akawajibu kuwa japokuwa tunnel la urefu wa mita 8
wanaume kama wao 15 wana uwezo wa kulichimba ndani ya siku hata 3 lakini
ili kuzuia kusababisha kelele na mitetemo amepanga kuwa shimo hilo
litachimbwa taratibu kana kwamba wanakula chakula kwenye sahani kwa
kutumia kijiko. Haijalishi itachukua wiki au miezi mingapi.<br />
<br />
Swali lingine lilikuwa je itakuwaje kama vault ina 'sensors' za kuhisi
mitetemo au sauti? Spaggiari akawajibu kuwa kuhusu hilo wampe kama siku
tatu atafahamu hiyo vault ina 'sensors' zipi na ni namna gani watakavyo
jiahami nazo.<br />
<br />
Spaggiari akauliza kama kuna swali lingine. Hakukuwa na swali. Kisha
akawaukiza, "who is in?" ("Nani atashiriki nami kwenye hili?") wote 15
waliobakia kwenye kikao hicho walikubali kushiriki katika tukio hilo.<br />
Spaggiari akawaeleza kuwa anawapa wiki moja kila mtu akamalize ratiba
zake alizokuwa nazo, mwenye familia akaage na kudanganya anavyoweza
kwani wakikutana baada ya hiyo wiki moja watakuwa na wiki kadhaa au
pengine miezi kadhaa ya kutekeleza tukio hilo ambalo halijawahi
kufanyika kabla.<br />
Wakaagana, wakatawanyika.<br />
<br />
<br />
<b><br />
SPAGGIARI NA GENGE LAKE WANAINGIA 'KAZINI'</b><br />
<br />
<br />
Wakati wenzake wakiwa wamerudi makwao kuaga familia zao ili warejee
baada ya wiki moja kwa ajili ya 'kazi', yeye Spaggiari kesho yake
alifika mpaka kwenye benki ya Société Générale na akaomba kuwa mteja
afunguliwe sanduki jipya kwa ajili ya kuhifadhi vitu vyake vya
faragha/siri ( safe deposit box) katika vault. Baada ya kukamilisha
taratibu zote za kujaza nyaraka za maandishi na kulipia gharama za
huduma hiyo hatimaye akapelekwa na muhudumu wa benki mpaka kwenye vault
na kuonyeshwa kisanduku ambacho kitakuwa chake. Kisha muhudumu akatoka
nje ya mlango ili kumpa faragha Spaggiari ahifadhi vitu vyake. Baada ya
kuachwa peke yake Spaggiari akatoa saa kubwa ya muito (alarm clock)
ambayo ilikuwa kwenye kibegi kidogo alichokuja nacho. Saa hii ilikuwa na
ukubwa wa kufanana kabisa na saa kubwa ya ukutani. Lakini ilikuwa nzito
zaidi. Na ilitengenezwa kuwa saa ya muito ambayo muda uliotegeshwa
ukifika Saa inaita na kutetema (vibration). Spaggiari akaitegesha saa
hiyo iwe inaita usiku wa manane. Kisha akaiweka kwenye kisanduku chake
alichoonyeshwa. Kisha akakifunga kisanduku, akatoka nje akakabidhi
funguo ya kisanduku kwa muhudumu na kurudi nyumbani.<br />
<br />
Baada ya wiki moja kupita na wenzake kurudi kwa ajili yakuanza kazi,
kwanza kabisa Spaggiari akawapa muhtasari juu ya alichofanikisha mpaka
mda huo. Akawaeleza kuwa hawahitaji kuhofu kuhusu 'sensor' za mitetemo
au sauti kwakuwa ameng'amua kuwa vault hiyo haina 'sensor' zozote zile.
Walipo muuliza amejuaje, akawaeleza kuhusu Saa ya muito aliyoiweka
kwenye hiyo vault na kuitegesha iwe inaita muda wa usiku. Na akawaeleza
kuwa kwa siku kadhaa amekuwa akichunguza na hajaona taharuki yoyote
kutoka kwa walinzi au alarm za ulinzi za benki zikilia hivyo ana uhakika
kabisa hakuna 'sensors' zozote kwenye hiyo vault.<br />
<br />
Spaggiari alikuwa sahihi kabisa kwani vault hiyo ni kweli haikuwa na
sensor zozote, wenyewe wenye benki waliamini kuwa vault hiyo ilikuwa
haiingiliki kwa namna yoyote (utterly impregnable) kwasababu mlango wake
wa chuma ulikuwa mnene zaidi ya kuta tatu za nyumba ya tofali
zikiunganishwa pamoja na mtu alihitajika kuingiza namba maalumu
(combination) na kutumia funguo kubwa mbili maalumu ili aweze kuufungua.
Pia kuta za hiyo vault zilikuwa haiwezekani hata mtu kuzigusa akiwa nje
kwani vault ilikuwa kati kati ya jengo la benki na kuta zake zilikuwa
nene kiasi kwamba zinazidi hata unene wa kuta tatu za nyumba ya kawaida.<br />
<br />
Baada ya Spaggiari kuwapa wenzake muhtasari huo, kawaeleza kuwa hivyo
basi saa hiyo ya muito watakuwa wanaitumia kama muongozo wa ziada ili
wawe wanachimba kwa usahihi zaidi kuekekea chini ya sakafu ya vault
(pinpointing). Baada ya kupeana muhtasari, Spaggiari akaondoka na
wenzake ili akawaonyeshe eneo la kazi.<br />
<br />
Walitumia boti ndogo kusafiri katika mto Rivera mpaka mahali ambapo
kiwango kidogo cha maji ya mto yanachepuka na kuingia katika mtaro
mkubwa wa maji taka unaokusanya maji na kupita karibu na benki
waliyotaka kuiba. Walipofika hapa walitumia maboya kuelea juu ya maji
machafu ya mtaro yaliyojaa kinyesi cha binadamu na uchafu mwingine,
walielea kuelekea mbele kwa takribani dakika ishirini wakiwa na ramani
zao mikononi mpaka walipofika sehemu waliyoihitaji.<br />
<br />
Baada ya kufika hapo Spaggiari akawapa maelekezo kuwa wanatakiwa
wachimbe moja kwa moja bila kupindisha hata kidogo kwenda mita 8 ndani
na kama watakuwa sahihi baada ya kufikisha mita 8 hizo alarm aliyoiweka
kwenye vault ikilia basi wataisikia juu ya vichwa vyao, ikimaanisha
kwamba wako chini ya sakafu ya vault.<br />
Pia Spaggiari akawagawanya wenzake kwenye shift za kufanya kazi.
Akawaambia kuwa kutakuwa na makundi mawili, kila kundi litafanya kazi
kwa masaa kumi wakati huo wengine watakuwa wamelala na akawasisitiza
kuwa ni lazima walale kwa masaa kumi. Kwahiyo shifti zilikuwa mbili,
masaa kumi kazini na masaa kumi kulala. Pia akawakataza wasiguse kabisa
pombe au kahawa kwa muda wote ambao watakuwa wanafanya hiyo kazi.<br />
<br />
Siku iliyofuata kazi ilianza. Kazi ilifanyika bila papara, taratibu na
kwa umakini mkubwa. Kazi ikaendelea kwa siku kadhaa, wiki kadhaa na
baada ya miezi miwili hatimae walifikisha tanuru (tunnel) la urefu wa
mita 8. Baada ya kufikisha umbali huo Spaggiari akawaambia wasubiri
usiku wa manane kusikiliza saa ya muito ili wajue kama wako sahihi au
la. Ilipofika usiku wa manane alarm ya saa iliyowekwa kwenye vault na
Spaggiari iliita, na waliisikia juu ya vichwa vyao kabisa. Wakapongezana
kwani sasa walikuwa na uhakika asilimia mia moja kuwa wako sahihi,
walikuwa wako chini ya sakafu ya vault na kilichobakia ilikuwa ni
kutoboa hiyo sakafu na kuchukua 'mwali wao'.<br />
Spaggiari akawaambia wenzake kuwa inabidi wapumzike kwa siku mbili
kuisubiria Bestille Day ndipo watoboe sakafu na kuchukua mwali wao.<br />
<br />
Bastille Day (siku ya Uhuru wa Ufaransa) ambayo husheherekewa kila mwaka
tarehe 14 July na kwa mwaka huu 1976 ilikuwa inaangukia siku ya
alhamisi, hivyo hii ilifanya kuwe na siku nne za mapumziko (alhamisi na
ijumaa (sherehe za Bastille Day) Jumamosi na jumapili (mapumziko ya
mwisho wa juma)). Kwahiyo Spaggiari alitaka wapate muda wa kutosha kwa
siku nne ili wachukue fedha na vitu vingi kadiri wawezavyo.<br />
<br />
Hatimaye alhamisi ikawadia na Spaggiari na genge lake wakamalizia
kutoboa sakafu ya vault na kuingia ndani. Jambo la kwanza walilolifanya
baada kufanikiwa kuingia ndani ya vault ni kuchomelea mlango wa vault
kwa ndani ili mtu aliyepo nje asiweze kuufungua.<br />
Kazi ikaanza na Spaggiari kwa kutumia uzoefu aliokuwa nao wa kufanya
kazi kwenye viwanda vya kutengeneza 'safes' akawaongoza wenzake katika
zoezi la kufungua visanduku. Kazi ilifanyika mchana na usiku kwa siku ya
kwanza ya alhamisi na kesho yake siku ya Ijumaa Spaggiari akawaambia
wenzake wapumzike kwa masaa machache ili nao washerehekee sikukuu ya
Bastille kama wenzao walioko huko mitaani. Hivyo basi Spaggiari akatoka
kwenye vault na kurudi mtaani kununua mvinyo pamoja na vyakula vya anasa
na kurudi navyo kwenye vault kwa ajili ya kusheherekea. Baada ya
kumaliza kula na kunywa kazi iliendelea usiku na mchana siku hiyo ya
ijumaa, jumamosi na ilipofika jumapili mchana walikuwa wamefanikiwa
kufungua yapata visanduku 400 vilivyokuwa na fedha taslimu, vito vya
thamani, hati fungani na vitu vinginevyo vya thamani kubwa. Inakadiriwa
kuwa thamani ya 'mzigo' wote ambao Spaggiari na genge lake walipata
unafikia Faranga Milioni 60 za ufaransa (60 million French Frans).<br />
<br />
Ilipofika muda wa mchana siku ya Jumapili mvua ilianza kunyesha na
Spaggiari akahisi mitaro waliyotumia kuingilia inaweza kujaa maji na
hivyo kufanya zoezi la kutoka kuwa gumu hivyo basi akawaamuru wenzake
waondoke kabla mvua haijawa kubwa. Lakini kabla hawaondoka aliwaambia
wenzake kuwa anahitaji kufanya jambo moja la muhimu la mwisho. Huku
akionekana akiwa na hisia na msisimko wa hali ya juu, spaggiari
alichukua kopo la rangi alilokuwa amekuja nalo pamoja na brashi ndogo ya
kapakia rangi, kisha akausogelea ukuta mmoja ndani ya vault na kuandika
maandishi makubwa yaliyo someka; <i><b>"SANS ARMES, NI HAINE, NI VIOLENCE"</b></i> ("Without weapons, nor hatred, nor violence" ("Pasipo silaha, wala chuki, wala ukatili")).<br />
Hiyo ndio 'falsafa' aliyotaka kuifikisha kwa ulimwengu mzima kujitambulisha yeye ni 'mwizi daraja la kwanza' wa dizaini gani.<br />
Baada ya hapo wakafungasha mizigo yao, wakatokomea.<br />
<br />
<br />
<b>'Maisha' Baada ya Tukio.</b>.<br />
<br />
Siku ya jumatatu benki ya Société Générale ilifunguliwa na shughuli
ziliendelea kama kawaida pasipo yeyote kung'amua kuwa kuna jambo
lilitokea ndani ya vault. Na kama ilivyo ada ilipofika majira saa Tatu
na nusu asubuhi wafanyakazi wawili walielekea kwenye chumba cha Vault
kukifungua ili kuruhusu wateja kuhifadhi vitu na wengine kuchukua vitu
walivyohifadhi. Walipofika mlangoni wakaingiza namba maalumu na kisha
kama ilivyo utaratibu wakaingiza funguo mbili katika matundu mawili juu
ya mlango na kuzungusha funguo lakini jambo la ajabu mlango
haukufunguka. Walihangaika kuzungusha funguo karibia nusu saa lakini
mlango haukufunguka.<br />
<br />
Baada ya juhudi zote hizo bila mafanikio wakaamua watoe taarifa kwa
meneja msaidizi wa benki aliyeitwa Pierre Bigou. Bw. Pierre baada na
yeye kuhakikisha kuwa mlango ulikuwa haufunguki ikabidi aagize aitwe
muhunzi ili aje kuwasaidia. Dakika chache baadae muhunzi alifika na
akaanza kuukagua mlango, na ndani ya dakika kumi na tano akawa
ameng'amua kuwa mlango umechomelewa kwa ndani na hakuna namna ambayo
wanaweza kuufungua wakiwa nje.<br />
<br />
Sehemu ya mapokezi baadhi ya wateja walikuja kwa ajili ya kutumia
visanduku vyao vya kwenye vault walianza kupaniki na ilimbidi meneja
mwenyewe wa benki ahusike kuwatuliza na kuwaondoa wasiwasi. Meneja
alitumia maarifa yake yote ya huduma kwa wateja kuwaondoa hofu wateja
wake na kuwataka wawe watulivu,<i> " Nothing to worry about monsieur. A
minor technical problem madame. Your valuables are quite safe but there
may be a slight delay"</i> ("ondoa hofu muheshimiwa. Ni tatizo dogo tu
la kiufundi. Vitu vyenu viko salama ila itachukua muda kidogo
kurekebisha.") Meneja wa benki Bw. Jacques Guenet alisikika akiwatuliza
wateja wake.<br />
<br />
Baada ya muhunzi kugundua kuwa mlango huo hautaweza kufunguka kwa nje
akapendekeza kuwa watoboe ukuta ili kuingia ndani. Viongozi wa benki
wakakubali na kazi kutoboa ukuta ikaanza. Kutokana na unene wa ukuta na
kutoboa kwa makini ili wasisababishe hasara nyingine, ilichukua
takribani masaa matatu kutoboa tundu kubwa kiasi la kumuwezesha mtu
kupita. Yule muhunzi ndiye alikuwa mtu wa kwanza kuchungulia ndani na
alipochungulia alipatwa na mshangao kana kwamba amepoteza fahamu kwa
sekunde kadhaa. Hakuamini alichokuwa anakiona ndani ya vault. Huku bado
akiwa na mshangao alimgeukia Meneja wa Benki aliyekuwa amesimama nyuma
yake na kumwambia kwa mshangao, <i>"Merde de putain"</i> ("you have been robbed" ("Mmeibiwa")).<br />
<br />
Baada ya wote bumbuwazi kuwaisha kutokana na kutoamini macho yao
walichokuwa wanakiona mbele ya macho yao, hatimae wakapiga simu polisi
na haraka sana polisi wakawasili. Baada ya Polisi kuwasili na kuingia
ndani ya vault nao pia hawakuamini kile walichokuwa wanakiona mbele ya
macho yao. Wote kwa pamoja macho yao yaliganda kwenye Ujumbe ulioandikwa
kwenye ukuta, "sans armes, ni haine, ni violence" (Pasipo silaha, chuki
wala ukatili).<br />
<br />
<br />
<br />
<b>KUKAMATWA, KUSHTAKIWA NA KUWA 'HURU' TENA</b><br />
<br />
Ndani ya miezi miwili polisi walifanikiwa kugundua kuwa Spaggiari ndiye
muhusika mkuu wa tukio lile. Haijulikana hasa ni namna gani polisi
walifanikiwa kugundua kuwa Spaggiari ndiye alikuwa 'mastermind' wa tukio
lile, kwani kumekuwa na maelezo mengi sana yanayokinzana lakini angalau
ufafanuzi unaoonyesha uhalisia kidogo ni kwamba mmoja wapo wa watu
walioshiriki tukio lile alipopewa mgao wake wa fedha pia alipewa na
miche kadhaa ya dhahabu (gold bars) na bila kutumia akili au kuwa na
subira akauza mche mmoja ndani ya wiki chache baada ya tukio. Baada ya
siku kadhaa mtu aliyeununua mche huo aliripoti polisi kuwa ameuziwa mche
wa dhahabu unaofanana kabisa na moja ya miche inayoripotiwa kuwa
imeibiwa kwenye vault ya benki ya Société Générale.<br />
Polisi wakamfatilia huyo mtu na wakafanikiwa kumtia nguvuni na baada ya
kumuhoji kwa siku kadhaa akawataja wenzake wote akiwemo Albert
Spaggiari.<br />
<br />
Polisi waliposikia kuwa Spaggiari ndiye alikuwa kiongozi wa tukio hilo,
walishikwa na butwaa kwani Spaggiari alikuwa ni moja ya watu mashuhuri
na anayeheshimika zaidi jijini Nice. Na kipindi wanapata taarifa hii
alikuwa yuko safarini mashariki ya mbali akiwa amemsindikiza rafiki yake
Meya wa jiji Bw. Jacques Médecin, katika ziara ya kiserikali.<br />
<br />
Siku ambayo Meya na Spaggiari wanarejea Nice kutoka mashariki ya mbali,
Spaggiari alikamatwa hapo hapo uwanja wa ndege na kufunguliwa mashtaka
ya kuhusika kupanga na kushiriki tukio la ujambazi katika benki ya
Société Générale.<br />
<br />
Kesi hii ilitikisa vyombo vya habati ulimwengu mzima na umaarufu wa
Spaggiari ukaongezeka maradufu na mwenyewe alionekana kufurahia haswa
jinsi alivyokuwa anazungumziwa kila kona ya Dunia.<br />
<br />
Wakati kesi ikiwa inaendelea Spaggiari akatunga hadithi ambayo kwa
bahati mbaya Jaji aliyekuwa anasikiliza kesi hiyo aliiamini na akawa
anatamani kujua kiundani. Spaggiari aliwaeleza kuwa alifanya tukio hilo
ili kukiwezesha kiuchumi kikundi cha siri cha wazalendo kilichoitwa <i>'Catena'</i> (neno la kifaransa linalomaanisha 'Chain' (mnyororo)).<br />
<br />
Spaggiari akawaeleza kuwa hayuko tayari kuwapa taarifa za kikundi hicho
Polisi kwani hawaamini bali yuko tayari kutoa taarifa kwa Jaji huyo peke
yake. Hivyo basi ikawekwa ratiba maalumu ambayo Spaggiari alikuwa
anapelekwa ofisini kwa Jaji na kila walipokutana alikuwa anampa
kikaratasi alichokiandika kwa mafumbo (coded message) na ilikuwa
inamlazimu Jaji akune kichwa haswa ili kung'amua kilichoandikwa na
Spaggiari kuhusu siri za hicho kikundi cha 'Catena'.<br />
<br />
Katika moja ya vikao vyao na Jaji, Jaji akiwa 'bize' kung'amua Ujumbe
huo wa mafumbo Spaggiari aliinuka kutoka kwenye kiti kana kwamba anataka
kumkaribia Jaji ili ampe ufafanuzi. Lakini jambo la ajabu alikimbia kwa
spidi ya ajabu mpaka dirishani na kujirusha nje kwa uhodari wa hali ya
juu (kumbuka aliwahi kuwa mwanajeshi kitengo cha Parashuti). Ofisi ya
Jaji ilikuwa juu ghorofa ya Tatu katika hilo Jengo la mahakama, lakini
kutokana na Spaggiari kujirusha kwa uhodari alitua chini juu ya paa la
gari bila kudhurika. Kisha akakimbia kuvuka barabara na kulikuwa na piki
piki inamsubiri.<br />
<br />
Baada ya kukwea juu pikipiki akageuka kuwaangalia juu dirishani maaskari
pamoja na Jaji waliokuwa wanachungulia wakiwa hawaamini kilichotokea
ndani ya sekunde chache. Spaggiari akapayuka kwa nguvu <i>"Au revoir"</i>
(kwaherini). Kisha akatabasamu kwa dharau na inasemekana akawaonesha
kidole cha kati. Kisha kwa mwendo wa kasi na uhodari pikipiki ikapotea
mbele ya upeo wa macho yao. Hiyo ndio ilikuwa mara ya mwisho kwa mamlaka
za serikali za ufaransa kumuona Spaggiari.<br />
<br />
Wiki mbili baadae mtu mwenye gari ambalo Spaggiari alitua alipo ruka
kutoka ghorofani alipokea cheki ya thamani ya faranga 5,000 pamoja na
kikaratasi kikisema ni kwaajili ya matengenezo ya paa la gari lake.<br />
Pia kuna tetesi ambazo zimeenea mno toka kipindi hicho mpaka sasa kuwa
mtu aliyempakia Spaggiari kwenye pikipiki na kumtorosha alikuwa
Christian Estrosi bingwa wa Dunia wa mbio za pikipiki ambaye baadae
alikuja kuwa waziri katika serikali ya Ufaransa.<br />
<br />
Baada ya kutoroka Spaggiari alielekea nchini Argentina na kuishi huko na
kufanyiwa upasuaji wa kubadilisha muonekano (plastic surgery).
Inasemekana Spaggiari alikuwa anarudi mara kwa mara nchini Ufaransa
kumuona mkewe Audi na Mama yake.<br />
<br />
Akiwa nchini Argentia inasemekana kuwa alikuwa karibu sana na CIA
akiwasaidia kufanikisha shughuli ambazo CIA hawakutaka kujihusisha nazo
moja kwa moja kwa kuhofia jina la idara yao kuchafuka ikitokea siri
kuvuja.<br />
Mfano mzuri ni jinsi ambavyo Spaggiari (au daniel jina walilotumia CIA
kumtambua (code name)) alishirikiana na Michael Townley afisa wa DINA
(kitengo cha ushushushu cha nchi ya Chile) kuchora mchoro na kulipua
gari la balozi wa Chile nchini Marekani.<br />
<br />
Skandali hii ilichangia kwa kiasi kikubwa kuzorotesha mahusiano ya
kidiplomasia kati ya marekani na Chile na hakuna aliyejua uhusika wa CIA
mpaka pale mwaka 2000 ambapo CIA waliweka hadharani nyaraka kadhaa za
siri baada mda wake wa usiri kupita.<br />
<br />
Albert Spaggiari alifariki June 8, 1989 kwa kansa ya koo kutokana na matumizi ya sigara.<br />
Fedha, Vito vya thamani, hati fungani na nyaraka nyingine za siri
zilizoibwa na Albert Spagiari na Genge lake havijapatika mpaka leo hii.
Tukio hili limebakia katika vichwa vya Wafaransa kama tukio kubwa pekee
la wizi wa vitu vya thamani ya juu zaidi na lililotekelezwa kwa
umaridadi na akili nyingi au kama Spaggiari mwenyewe alivyolielezea; <b><i>"Sans armes, ni haine, ni violence" (Pasipo silaha, chuki wala ukatili").</i></b><br />
<br /></div>
Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/09786424478000544580noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-3347815323000470255.post-47624245305177054152017-10-23T11:13:00.000+03:002017-10-23T11:13:13.764+03:00KIFAHAMU HAPA KITENGO CHA KIDON, KINACHOHUSIKA NA MAUAJI YA KUTISHA<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
</div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://4.bp.blogspot.com/-LLdTJ4zNh9s/We2kGI4ZUGI/AAAAAAAABHw/RVh7RCmIHDMqwYIBF3Tp98K6bIBYeUnoQCEwYBhgL/s1600/Mossads-tactical-unit.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="370" data-original-width="640" height="370" src="https://4.bp.blogspot.com/-LLdTJ4zNh9s/We2kGI4ZUGI/AAAAAAAABHw/RVh7RCmIHDMqwYIBF3Tp98K6bIBYeUnoQCEwYBhgL/s640/Mossads-tactical-unit.jpg" width="640" /></a></div>
<br />
<br />
<span style="font-size: 15px;"><b>KIDON</b> ni kitengo ndani ya<b> Mossad</b>
chenye jukumu la kufanya mauaji dhidi ya wale wenye kuhatarisha usalama
wa Israel. KIDON ndio wanaosifika na kuogopwa zaidi duniani katika
kufanya assasinations kwa ufanisi na ufasaha wa hali juu <br />
<br />
<br />
Neno Kidon ni la kiyunani lenye maana ya <b>ncha ya upanga</b>, hili lina akisi jinsi kitengo hiko kilivyo mahiri na hatari katika kufanya mauaji.</span><br />
<br />
<span style="font-size: 15px;"><br />
Kidon ilianzishwa miaka ya 70 kutoka katika kitengo cha <b>Caesaren</b>
kilichokuwa chini ya Mossad kufuatia kuuawa kwa waisrael 11 waliokuwa
washiriki katika mashindano ya Olympic mjini Munich Ujerumani mwaka
1972. Mauaji hayo yalifanywa na wapiganaji wa kipalestina, japo waisrael
wengi walikufa wakati polisi wa Ujerumani walivyojaribu kuwaokoa
mateka. Na mara moja baada ya kuundwa wakapewa kazi ya kuua kila
aliyehusikia na mauaji hayo ya waisreal kazi iliyofanyika kwa mafanikio
makubwa japokuwa kuna wahanga nao walikufa<br />
<br />
Mbali ya kuwa kitengo hiki kuwa chini ya Mossad lakini kutokana na usiri
wake mkubwa hakina ofisi ndani ya makao makuu ya Mossad mjini Tel Aviv.
hata ma-agent wake ni vigumu kutia mguu makao makuu, hii ni kwa mujibu
wa afisa wa zamani wa intelijensia katika kitengo cha Mossad
kinachoratibu shughuli za Kidon bwana <b>Mishka Ben-David</b> katika kitabu chake "<b>Duet in Beirut</b>".
Anaendelea kusema kuwa hata majina wanayotumia ni majina ya kufikirika
na si majina rasmi, na wakiwa shughulini hutumia jina la 3 la mhusika na
mara nyingine hadi utambulisho wa 4 na wa 5. kutoka na usiri na ufanisi
wa hali ya juu, kitengo hiki kimepachikwa jina la <b>Mossad ndani ya Mossad</b><br />
<br />
Recruitment katika kitengo hichi ni kutoka katika special forces wenye vipaji vya hali ya juu ndani ya </span><b><span style="font-size: 15px;">Israel Defence Force</span></b><span style="font-size: 15px;">
(IDF) na hupatiwa mafunzo ya hatari kwa mda wa miaka 2. hawa jamaa
wanasifika kwa kutoacha alama yeyote katika assasinations zao na
wamekuwa wakifanikiwa kwa miaka mingi<br />
<br />
Wauaji hutumia pasi na nyaraka feki za mataifa mbalimbali za kusafiria
zilizofojiwa kwa ustadi wa hali ya juu na wataalamu wao au hutumia pasi
halisi za mataifa mbalimbali ambazo picha hubadilishwa kiutaalamu ili
kufanana na mhusika. Pia wanauwezo mkubwa sana wa kujipenyeza na kuingia
nchi yeyote na kufanikisha mauaji.<br />
<br />
Katika mauaji wanayoyafanya pale mashariki ya kati, mtindo maarufu ni
ule ya wauaji wakishambulia huku wakiwa wanatumia usafiri wa pikipiki.
Mtindo huu ndio umetumika kuwaua maprofesa na wanasayansi wa nyuklia
wanne wa Irani mpaka sasa. Katika mtindo huu, kawaida timu ya wauaji
inakuwa na watu wanne<br />
<br />
<span style="text-decoration: underline;"><b>1.TRACER</b></span>-huyu anamfatilia mlengwa anayetakiwa kuuawa <br />
<br />
<span style="text-decoration: underline;"><b>2.TRANSPOTER</b></span>-huyu anaiongoza timu ya wauaji kwa mlengwa huyo anayetakiwa kuuawa<br />
<br />
<span style="text-decoration: underline;"><b>3.HELPER</b></span>-huyu anaendesha pikipiki, anakuwa amembeba muuaji<br />
<br />
<span style="text-decoration: underline;"><b>4.KILLER</b></span>-huyu ndio muuaji hasa, anafyatua risasi au kurusha <b>magetic bomb</b> kwa target(hili bomu linaweza kumuua mlengwa tu huku wengine wakijeruhiwa)<br />
<br />
Unaambiwa huyu shooter anauwezo wa shoot accurately katika speed yeyote
bila kupepesuka hata kidogo yani hakuna hata kutingishika akilenga
mwendo kasi wowote ule bila kukosa au kurusha bomu likanasa katika
sehemu ya gari anayotaka linase sehemu ambapo mara nyingi huwa ni upande
wa gari aliokaa mlengwa na kitendo hiki huwa cha haraka sana kiasi
wahusika huwa ngumu kutambua kama kuna kitu kimewekwa au kurushwa kwenye
gari. Mtindo huu ndio 'Trade Mark' ya mauaji ya KIDON <br />
<br />
haya ni machache katika yale machache,mengi kuhusu kitengo hiki. Kwa machache zaidi vitabu hivi ni vizuri; <b>GIDEON'S SPIES: The inside story of Israel legendary secret service</b> by Gordon Thomas na <b>SPIES AGAINST ARMEGEDDON: Inside Israel's secret wars</b> by Dan Raviv and Yossi Melman .<br />
Vitabu viko hapo chini nime attach</span><br />
<br /></div>
Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/09786424478000544580noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-3347815323000470255.post-80178418471229498212017-10-18T12:54:00.002+03:002017-10-18T12:54:22.584+03:00PABLO ESCOBAR NA MATUKIO YA KUTISHA DUNIANI<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://2.bp.blogspot.com/-SJ7b0GN1Jmg/WeckrnG4uII/AAAAAAAABHg/1mkibLRHmusxQIhtrkFf4UqaQi7fBrYGwCLcBGAs/s1600/ax081_22a8_9.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="1024" data-original-width="800" height="640" src="https://2.bp.blogspot.com/-SJ7b0GN1Jmg/WeckrnG4uII/AAAAAAAABHg/1mkibLRHmusxQIhtrkFf4UqaQi7fBrYGwCLcBGAs/s640/ax081_22a8_9.jpg" width="500" /></a></div>
<script async="" src="//pagead2.googlesyndication.com/pagead/js/adsbygoogle.js"></script>
<!-- barner -->
<br />
<br />
<br />
PABLO NI NANI?<br />
Katika milima
inayotazamana na mji wa Medellín nchini Colombia, yapo majengo ya
kifahari kabisa ndani ya milima hiyo ambayo kwa sasa majengo haya
yanatumika kama nyumba ya watawa wa Kanisa Katoliki lakini kabla ya
watawa hawa kupewa majengo haya mwaka 2007, majengo haya yalikuwa ni
gereza ambalo lilijengwa mwaka 1991 kumuhifadhi mfungwa maalumu raia wa
Colombia.<br />
Gereza hili lilikuwa ni tofauti kabisa na magereza yote
ambayo umewahi kuyasikia kwani gereza hili licha ya kuwa mali ya
serikali lakini michoro yake ilichorwa na kubuniwa na mfungwa mwenyewe.<br />
Si hivyo tu, bali hata maaskari magereza ambao walikuwa wanalinda
gereza hili walichaguliwa na mfungwa mwenyewe na hata polisi wa nchi ya
Colombia walikuwa hawaruhusiwi kusogolea gereza hilo hata umbali wa
maili 12. Kama hiyo haitoshi gereza hili lilikuwa na uwanja wa mpira wa
miguu, lilikuwa na bafu lenye Jaccuzi, lilikuwa na bar, lilikuwa na
maporomoko ya maji (water falls) yaliyobuniwa kiustadi, na pia chumba
(selo) alicholala mfungwa huyu kilikuwa na kitanda kikubwa cha duara
chenye kuzunguka pamoja na televisheni kubwa.<br />
Kama hii haitoshi
kwenye gereza hilo pia kulikuwa na chumba maalumu cha michezo ya watoto
maalumu kwa ajili ya watoto wa mfungwa huyo pindi akitembelewa na
familia yake. Na pia ndani ya gereza kuliwekwa darubini kali (Telescope)
ya kumuwezesha mfungwa huyo kuangalia katika mji wa Medellín ambako
familia ya mfungwa huyu iliishi na kila siku jioni walitoka nje
kibarazani kuongea naye kwenye simu huku akiwatazama kwa darubini.<br />
Gereza hili lilijulikana kama La Catedral (the cathedral) na
lilimuhifadhi mfungwa muhimu zaidi duniani na binadamu aliyeifinyanga na
kuifanya biashara ya mihadarati iwe jinsi ilivyo hivi leo. Marafiki
zake wa karibu walipenda kumuita El Patrón (The Boss) au El Zar de la
Cocaína (The Tsar of Cocaine) lakini alipozaliwa wazazi wake walimuita
Pablo Emilio Escober Gaviria au kwa kifupi Pablo Escobar kama ulimwengu
wote ulivyomtambua.<br />
The Boss<br />
Akiwa mtoto wa tatu kwenye
familia ya watoto saba ambapo baba yake alikuwa ni mkulima na mama yeke
mwalimu wa shule ya chekechea, Pablo Escobar alikuwa ni mwenye kutamani
mambo mazito na mwenye maono makubwa tangu angali mtoto.<br />
Akiwa
bado kwenye umri wa makumi (teenage) Pablo mara kwa mara aliwaambia
ndugu zake na marafiki zake kuwa anataka awe na utajiri wa kiasi cha
Peso Milioni 1 za Colombia (COL$ 1 Million) atakapofikisha umri wa miaka
22.<br />
Ndoto hizi zilimfanya ashindwe kumaliza Chuo kikuu alipokuwa
anasoma (Universidad Autónoma LatinoAmericana of Madellín) na
kujiingiza katika biashara za halali na haramu na hatimaye aliacha
masomo chuoni. Moja ya biashara zake haramu za kwanza kabisa akiwa
kijana chini ya miaka 21 ilikuwa ni kutengeneza vyeti bandia vya
stashahada vya chuo alichokuwa anasoma na kuwauzia watu waliohitaji kwa
ajili ya kwenda kupata ajira.<br />
Pamoja na biashara hiyo pia Pablo
alijihusisha na kusambaza mizigo ya sigara zilizokuwa haziruhusiwi
nchini Colombia (Marlboro), pia alifanya kazi kama mlinzi binafsi
(bodyguard) pamoja na wizi wa magari.<br />
Moja ya matukio muhimu ya
ujana wa Pablo yaliyochangia kuamsha ari ndani yake na kumfanya atamani
kuwa moja wa manguli wa biashara haramu lilikuwa ni tukio ambalo
alipofikisha miaka 26 alifanikiwa kuweka benki (Cash Deposit) kiasi cha
Peso Millioni 100 za Colombia (COL$ 100 Million).<br /> Mafanikio haya
yaliwasha taa ndani yake na kuamsha ari ya kutaka kuwa ‘Papa’ katika
‘Dunia’ ya siri ya ulimwengu wa biashara haramu.<br />
Katika miaka ya
1970 mamlaka ya kupambana na matumizi mabaya ya madawa nchini marekani
(US Drug Enforcement Agency) waliwahi kutangaza kuwa wamewekeza zaidi
rasilimali zao kupambana na matumizi na uingizaji wa dawa aina ya Heroin
nchini marekani na kwa maoni yao walisema kuwa wanadhani madawa aina ya
Cocaine hayakuwa na uwezo wa kuleta uteja (addiction) au kufanya
mtumiaji kuwa muhalifu tofauti na dawa aina ya Heroin. Hivyo basi
walielekeza nguvu zao zote na rasilimali kupambana na biashara ya
usafirishaji wa Heroin kama kipaumbele cha kazi zao.<br />
Hili
lilikuwa ni kosa kubwa sana kwa upande wao. Kwani kijana Pablo aliona
mwanya huu na udhaifu huu upande wa DEA au pengine tusema kwamba Pablo
alifahamu zaidi kuhusu ulimwengu wa mihadarati kuliko DEA.<br />
Kitu
kikubwa ambacho Pablo alikiona na watu wakiwemo DEA hawakukiona ilikuwa
ni uwezekano (potential) ya kuifanya Cocaine kuwa moja ya madawa yenye
soko zaidi Amerika ya Kaskazini. Katika kipindi hiki kulikuwa na
watumiaji wachache sana wa Cocaine nchini marekani lakini Pablo aliona
fursa ya kuifanya mihadarati hiyo kuwa moja ya madawa yenye kuhitajika
sana nchini marekani na ulimwenguni kiujumla.<br />
Kutokana na uzoefu
wake wa ulimwengu wa kihalifu, Pablo aligundua kuwa zao la Coca
linalimwa nchini Bolivia ambalo linatumika kutengeneza Cocaine ni bora
zaidi kuliko Coca inayolimwa nchini kwake Colombia. Hivyo basi Pablo
akadhamiria kuwa kama anaingia kwenye biashara hii ya kusafirisha
Cocaine ni lazima mihadarati yake iwe tofauti na bora zaidi kuliko
Cocaine nyingine watu waliyozoea kutumia. Akadhamiria kufanya Cocaine
yake iwe daraja la kwanza ili kuvutia watumiaji na kufanya soko likue
kwa haraka.<br />
Kama sehemu ya mkakati wake wa kuingia rasmi kwenye
biashara ya kusafirisha mihadarati aina ya Cocaine, mwaka 1975 kijana
Pablo alisafiri mpaka nchini Bolivia kukutana na Roberto Suaréz Goméz
ambaye marafiki zake walipenda kumuita El Padrino (The Godfather)
kiongozi wa Genge lililoitwa La Corparacíon (The Corporation). Suaréz
alikuwa ndiye mtu pekee anayeendesha na kuratibu uzalishaji wa zao la
Coca katika nchi ya Bolivia na Peru. Kipindi hiki Suaréz tayari alikuwa
na mtandao mkubwa katika America ya kusini na alikuwa na jina kubwa,
ushawishi na nguvu ya kijeshi hivyo haikuwa kazi rahisi kwa kijana Pablo
kumshawishi Suaréz akubali kufanya naye biashara.<br />
Huyu bwana
Suaréz alikuwa na nguvu kiasi kwamba alikuwa na jeshi lake binafsi la
anga (Air force) na wanajeshi wa miguu 1,500 ambao walipatiwa mafunzo
nchini libya.<br /> Pablo alitumia uwezo wake wa kujieleza na uzoefu wake
wa ulimwengu wa kihalifu kumshawishi Suaréz na kumueleza kuhusu mkakati
wake wa kuiteka biashara ya mihadarati ya Cocaine nchini marekani na
akamdadavulia jinsi ambavyo yeye Suaréz atapata utajiri wa kupindukia
kama atakubali kufanya nae biashara.<br />
Pia Pablo alimpa wazo Suaréz
kuwa atumie ushawishi wake alionao serikalini (Suaréz alikuwa
amefanikiwa kumpenyeza Mdogo wake serikalini na kuwa Waziri wa mambo ya
ndani) ahakikishe wanakutana na kiongozi wa Cuba Fidel Castro ili
wamuombe kuwa mshirika wao katika mambo kadhaa.<br />
Suala hili
lilifanikiwa kwani Pablo na Suaréz walipata fursa adhimu na wakakutana
na Fidel Castro na ombi lao kubwa kwake lilikuwa ni kuwaruhusu kupitisha
mizigo yao nchini kwake Cuba na nchi za jirani pasipo bugudha. Pia
walimuomba aruhusu ndege zao za mizigo zitue kwenye viwanja vya ndege
vya Cuba na kujaza mafuta pale inapobidi kufanya hivyo.<br />
Castro
akawakubalia kwa masharti mawili, moja ni kwamba atakuwa anawachaji
mamilioni ya dola za marekani kwa huduma hizo na pili mihadarati hiyo
isiuzwe ndani ya Amerika ya Kusini bali isafirishwe na kuuzwa Marekani
ambapo Fidel Castro alisisitiza kuwa atafurahi akiona vijana wa Mabepari
wakiharibika na mihadarati.<br />
Masharti yote mawili haya
yakakubaliwa na Pablo na Suaréz kisha wakarejea Bolivia. Baada ya
kufanya mazungumzo juu ya namna watakavyo fanya biashara hatimae Pablo
na Suaréz walifikia muafaka na kwa mzigo wake wa kwanza alioununua
nchini Bolivia kutoka kwa Suaréz ulikuwa ni kilo 14 za unga gafi za
Cocaine.<br />
Baada ya unga gafi kufikishwa nchini Colombia kwenye mji
wa Medellín, Pablo alikuwa ameandaa jengo maalum la ghorofa mbili
ambalo alilitengeneza kuwa maabara maalumu ambapo Cocaine gafi kutoka
Bolivia ilichanganywa na maligafi nyingine na kuboreshwa zaidi kikemia
na hatimaye kupata Cocaine daraja la kwanza aliyoihitaji tayari
kusafirishwa nchini Marekani kwa ‘walaji’.<br />
Baada ya Cocaine
kutoka kwa Pablo kuingia kwenye soko la Marekani uhitaji na biashara ya
mihadarati ya Cocaine ilipaa kwa kasi ya ajabu na Pablo Escobar
akaanzisha rasmi genge lake la biashara ya mihadarati na akaliita
Medellíne Cartel.<br />
Pablo akatengeneza mtandao madhubuti wa
wasambazaji wa mihadarati yake katika miji ya Florida na California
pamoja na majimbo mengine ya Marekani.<br /> Pia akabuni njia mpya ya
kupitisha mihadarati kupitia Bahamasi katika kisiwa cha Norman’s Cay
takribani kilomita 350 kusini mashariki mwa pwani ya Florida.<br />
Ili
kufanikisha zaidi azma yake Pablo Escobar alinunua nusu ya ardhi ya
kisiwa cha Norman’s Cay na nusu nyingine ikanunuliwa na swahiba wake wa
kimarekani aliyeitwa Robert Vesco ambaye pia alikuwa ndiye
anashughulikia masuala yake ya kibenki na uhasibu.<br />
Katika Kisiwa
hiki Pablo alitengeneza uwanja wa ndege, bandari, hoteli, nyumba za
kuishi pamoja na ghala kubwa la jokofu maalumu kwa ajili ya kuhifadhi
mizigo ya Cocaine kabla ya kuisafirisha kwenda marekani. Kwa kifupi hapa
ndipo kilikuwa kitovu cha kibiashara cha Genge lake la Medellíne
Cartel.<br />
Pablo Escobar alikuwa amepania haswa kuliteka soko la
Cocaine Amerika ya Kaskazini na hii ilijidhihirisha kutokana na juhudi
zake alizozifanya kibiashara ili mda wote awe hatua kadhaa mbele tofauti
na washindani wenzake kibiashara.<br />
Ili kufanikisha usafirishaji
wa mizigo yake kwa ufasaha na uhakika Pablo alinunua ndege za mizigo 15
za ukubwa wa kati na helikopta 6. Pia alinunua Nyambizi ndogo mbili
(submarines) kwa ajili ya kusafirisha mizigo mikubwa ya mihadarati.<br />
Hadi kufikia mwaka 1985 Pablo alikuwa anasafirisha takribani tani 70
mpaka 80 za Cocaine kwa mwezi na alikuwa ameshikilia asilimia 80 (80%)
ya soko la mihadarati la Marekani.<br /> Na katika kipindi hiki Genge lake
la Medellíne Cartel lilikuwa linaingiza kipato cha cha Dola Milioni 70
kwa siku (Shilingi Bilioni 140 za Kitanzania) na mapato yao kwa mwaka
mzima yalifikia Dola Bilioni 21.9. (Shilingi Trilioni 46 za Kitanzania).<br />
Katika miaka ya 1990 utajiri wake binafsi ulifikia kiasi cha Dola za
kimarekani Bilioni 30 ambazo ni sawa na Dola Bilioni 54 kwa hesabu za
sasa (Shilingi Trilioni 110 za kitanzania)<br /> Ni katika kipindi hiki
ambacho Jarida maarufu la Forbes lilimuorodhesha Pablo Escobar kama mtu
namba 5 tajiri zaidi ulimwenguni na muhalifu tajiri zaidi katika
historia ya Ulimwengu.<br />
Kutokana na nguvu na ushawishi alionao,
Pablo aliteuliwa na serikali kama mjumbe wa baraza la wawakilishi la
Colombia (Chamber of Representatives of Colombia) kupitia chama cha
Kiliberali Cha Colombia (Colombia Liberal Party).<br />
Moja ya
majukumu muhimu aliyoyafanya akiwa kama Mjumbe wa Baraza la Wawakilishi
kilikuwa ni kwenda kuiwakilisha Serikali ya Colombia katika sherehe za
kuapishwa kwa Waziri Mkuu mpya wa Uhispania Bw. Felipe González mwaka
1982 ambapo Pablo alitumia nafasi hii ya Safari ya kiserikali nchini
Uhispania kuanzisha tawi jipya la Genge lake la Medellíne Cartel katika
nchi ya Uhispania.<br />
****<br />
Katika miaka ya 1990 utajiri wake
binafsi ulifikia kiasi cha Dola za kimarekani Bilioni 30 ambazo ni sawa
na Dola Bilioni 54 kwa hesabu za sasa (Shilingi Trilioni 110 za
kitanzania)<br />
Ni katika kipindi hiki ambacho Jarida maarufu la
Forbes lilimuorodhesha Pablo Escobar kama mtu namba 5 tajiri zaidi
ulimwenguni na muhalifu tajiri zaidi katika historia ya Ulimwengu.<br />
Kutokana na nguvu na ushawishi alionao, Pablo aliteuliwa na serikali
kama mjumbe wa baraza la wawakilishi la Colombia (Chamber of
Representatives of Colombia) kupitia chama cha Kiliberali Cha Colombia
(Colombia Liberal Party).<br />
Moja ya majukumu muhimu aliyoyafanya
akiwa kama Mjumbe wa Baraza la Wawakilishi kilikuwa ni kwenda
kuiwakilisha Serikali ya Colombia katika sherehe za kuapishwa kwa Waziri
Mkuu mpya wa Uhispania Bw. Felipe González mwaka 1982 ambapo Pablo
alitumia nafasi hii ya Safari ya kiserikali nchini Uhispania kuanzisha
tawi jipya la Genge lake la Medellíne Cartel katika nchi ya Uhispania.<br />
Sasa Endelea….,<br />
Hacienda Nápoles: Pepo Juu ya Uso wa Dunia<br />
Kutokana na utajiri uliopitiliza wa Pablo Escobar alithubutu
kutengeneza makazi ya kuishi ambayo namna pekee ya kuyaelezea ni kana
kwamba alijitengenezea ‘pepo’ akiwa duniani.<br />
Katika mji mdogo wa
Puerto Triunfo, takribani kilomita 150 kutoka katika mji wa Medellín,
Pablo alinunua eneo lenye ukubwa wa Kilomita za mraba 20 na kujenga
makazi yake na familia yake na akayaita makazi haya Hacienda Nápoles
(Naples Estate).<br />
Licha ya majengo ya kifahari ya kuishi yeye na
familia yake pia makazi haya yaliwekwa anasa lukuki zisizomothirika.
Ndani ya makazi haya kulikuwa na Uwanja wa ndege binafsi (private
airport), bustani maalumu ya sanamu za kuchonga na kufinyanga (Sculpture
Park), kulikuwa na sehemu maalumu ya kuhifadhi magari ya kifahari na
pikipiki za kifahari kwa ajili ya kutazama tu (collection), kulikuwa na
uwanja wa mbio za magari magogo (kart racing track), kulikuwa na uwanja
wa mapigano ya ng’ombe (Bullring), na pia ndani ya makazi haya kulikuwa
na mbuga ya wanyama ya kutengeneza (Zoo) ambapo Pablo alikusanya aina
mbali mbali za wanyama kutoka kila kona ya dunia na kuwaweka humo.<br />
Katika geti la kuingia kwenye ‘pepo’ ya Pablo sehemu ya juu ya geti
ilininginizwa ndege (ndege halisi) kama urembo. Ndege hii aina ya Piper
PA-18 Super Cub yenye namba ya mkia HK-617-P hii ndio ilikuwa ndege ya
kwanza aliyoitumia Pablo kuingiza mzigo wake wa kwanza wa Cocaine nchini
Marekani.<br />
Hapa katika ‘pepo’ hii ndipo ambapo Pablo Escobar aliishi yeye na familia yake.<br />
Plata o Plomo<br />
Moja ya vitu muhimu vya kihalifu alivyovifanya Pablo na kufanikiwa
kuibuka kama kinara wa uhalifu Amerika ya kusini ilikuwa ni kutekeleza
sera yake aliyoianzisha yeye mwenyewe ili kuidhibiti serikali na vyombo
vya ulinzi ambapo sera hii aliita “Plata o Plomo” (silver of lead (fedha
au risasi)). Akiwa na maana kwamba kama wewe ni mtu wa serikali na
ikitokea mmesigana basi atakupa fedha (rushwa) kama ukikataa kupokea
fedha basi anakupiga risasi.<br />
Sera hii ilimfanya Pablo aogopwe na
watendaji wa serikali pamoja na vyombo vya usalama na ikapelekea wengi
kukubali ‘Plata’ (silver (fedha)) wakihofia kupoteza maisha endapo
wangekataa fedha kutoka kwa Pablo. Hii ilimsaidia Pablo Escobar kuwa na
vibaraka wengi katika serikali na vyombo vya ulinzi na usalama.<br />
Lakini sera hii iligharimu maisha ya watu wengi sana wale ambao
walikataa kupokea fedha kutoka kwa Pablo na mojawapo ya matukio mawili
yanayokumbukwa sana ya utekelezaji wa sera ya ‘Plata o Plomo’ ni haya:-<br />
Mosi; Uvamizi wa Mahakama Kuu ya Colombia 1985.<br />
Mwaka 1985 baada ya mabishano ya muda mrefu bungeni kuhusu vifungu vya
kikatiba vinavyokataza raia wa nchi ya Colombia kukabidhiwa kwa nchi ya
kigeni akiwa kama muhalifu hatimae serikali ikafungua kesi ya kikatiba
mahakama kuu ya Colombia ikitaka ruhusu ya kukabidhi baadhi ya wahalifu
kwa serikali ya Marekani ikitokea wakikamatwa.<br />
Suala hili
lilikuwa linamlenga moja kwa moja Pablo Escobar kwani serikali ya
Colombia ilikuwa inapewa shinikizo kubwa na Marekani kuwa wafanye
marekebisho ya katiba ili iruhusu raia wa nchi hiyo ambaye ni muhalifu
kukabidhiwa kwa nchi ya kigeni. Haya yalikuwa ni maandalizi endapo
ikitokea Pablo Escobar akikamatwa.<br />
Pablo akajitahidi kwa juhudi
zake zote kuhonga serikalini na hata kutoa onyo kuwa mabadiliko hayo ya
kikatiba yasifanyike lakini serikali iliendelea na mchakato kutokana na
shinikizo walikuwa wanapata kutoka kwa marekani.<br />
Inajulikana
kwamba Pablo mara kwa mara alikuwa akiapa mbele za watu wake wa karibu
kuwa kamwe hatokubali kufungwa katika nchi ya marekani na alikuwa na
msemo anaoupenda kuusema kwamba “ni heri kuwa kaburini Colombia kuliko
kuwa hai kwenye gereza la Marekani”.<br />
Baada ya juhudi zake zote za
kuionya serikali kutobadili katiba kushindikana hatimaye Pablo akakodi
kikundi cha wapiganaji wa msituni kilichoitwa M-19 ili wasaidie kumaliza
tatizo lake.<br />
Siku ya Novemba 6, 1985 majaji 25 wa mahakama kuu
walikuwa katika vikao vya mwisho kujadili na hatimae waweze kuridhia
mabadiliko hayo ya katiba lakini kabla ya kumaliza vikao vyao na
kuridhia mabadiliko hayo walivamiwa na wapiganaji wa kikundi cha M-19.<br />
Wapiganaji hawa walivamia na kuteka mahakama kuu kwa muda wa siku mbili
na zaidi ya nusu ya majaji waliuwawa na waliosalia walichukuliwa
mateka.<br />
Majaji hawa waliochukuliwa mateka walikuja kutumiaka kama
sharti muhimu la kuibana serikali waache kurekebisha katiba ili waweze
kuachiwa. Baada ya serikali kukubali kuacha kubadili katiba hasa
kipengele cha kukabidhi wahalifu kwa nchi ya kigeni, majaji wote
waliotekwa wakaachiwa.<br />
Pili; Mauaji Mgombea Urais Luis Carlos Galán<br />
Tukio la pili linalokumbukwa sana la utekelezaji wa sera ya ‘Plata o
Plomo’ lilikuwa ni mauaji ya mgombea Urais wa Colombia aliyeitwa Luis
Carlos Galán. Galán alikuwa anaongoza kwenye kura za maoni nchi nzima na
alikuwa anatarajiwa kushinda kwenye uchaguzi mkuu wa urais wa Colombia
wa mwaka 1990.<br />
Moja ya sera kubwa aliyokuwa anaihubiri kila kona
ya nchi ilikuwa ni kupambaa na Magenge ya Mihadarati hasa hasa
akililenga Genge la Medellíne Cartel na kiongozi wake Pablo Escobar.<br />
Pablo alimtumia barua kadhaa ambazo ziliwekwa nje ya nyumba yake kwenye
kisanduku cha barua akimuonya na kumtaka aachane na sera hiyo ya
kumsakama yeye pamoja na washirika wake wa Medellíne Cartel lakini Bwana
Galán alionekana dhahiri amezamilia kutekeleza sera hiyo endapo
angechaguliwa kuwa rais wa Colombia.<br />
Akiwa katika kampeni Bwana
Galán alifanikiwa kufika kwenye mji wa Madellín ambapo Pablo alikuwa na
ushawishi mkubwa na wapo wananchi waliojaribu kumuua Galán kwa kumrushia
guruneti la kutupa kwa roketi (Rocket Propelled grenade) lakini kwa
bahati nzuri Bwana Galán akisalimika.<br />
Baada ya hapo Pablo akakodi
wadunguaji maalumu kufatilia nyendo za Galán na akawapa amri ya kumpiga
risasi mara tu wakipata upenyo wa kufanya hivyo.<br />
Wiki kadhaa
baadae akiwa kwenye kampeni katika mji wa Saocho Kiranga alipokwenda
kuhutubia wafuasi wake wapatao 10,000 waliokusanyika wakisubiri kumsikia
na mara baada ya kuwasili na kupanda jukwaani kuhutubia kabla hajatoa
hata salamu kwa wafuasi wake alidunguliwa na risasi na kupoteza maisha
papo hapo.<br />
Tukio hili lilizua taharuki nchi nzima na imekuwa
skendali yenye utata mpaka leo hii nchini Colombia kwani kuna tetesi
kuwa viongozi wa serikali, polisi, pamoja na mashushushu walishirikiana
na Pablo Escobar kutekeleza mauaji haya.<br />
Licha ya Pablo kuonekana
kama adui namba moja nchini marekani na baadhi wa watendaji wa serikali
ya Colombia hali ili kuwa tofauti kwa raia masikini wa Colombia ambao
wengi wao walimuona kama shujaa wao na katika mji aliozaliwa na kushi wa
Medellín anaonekana zaidi ya shujaa kwani mpaka leo hii wanamuona kama
ni aina fulani hivi ya masihi walipewa.<br />
Hii inatokana na umahiri wa Pablo Escobar katika mahusiano na jamii iliyokuwa inamzunguka.<br />
Pablo alikuwa ni mtu mwenye kusaidia masikini nchini Colombia pengine kuliko hata serikali yenyewe.<br />
Pablo alijitolea kweli kweli katika kuboresha huduma za jamii kama vile
kujenga mahospitali, shule, nyumba za wazee, nyumba za kuishi kwa ajili
ya masikini na akawekeza fedha nyungi kujenga miundo mbinu ya Kanisa
Katoliki na nyumba za kuabudia. Pia Pablo alijenga vya kuendeleza watoto
katika mpira wa miguu, alifadhili klabu mbali mbali za wakubwa za mpira
wa miguu na alijenga viwanja vya kisasa kabisa vya mpira na michezo
mingine.<br />
Ilifikia hatua mpaka Pablo alikuwa anawapa fedha taslimu wananchi wa Madellíne ili waweze kujikimu kimaisha.<br />
Mambo haya yote yalifanya wananchi wampende na kufumbia macho uhalifu wote aliokuwa anaufanya.<br />
Kwa mfano katika mji wa Madellín ilifikia hatua kana kwamba wananchi
wote walikuwa ni walinzi wake binafsi kwani walikuwa wakimtonya kila
walipoona polisi wageni wakiingia hata kwa siri kwenye mji huo. Au
wakati mwingine walikuwa wakitoa taarifa za uongo au kukataa kusema
chochote pindi wakiulizwa na vyombo vya ulinzi kuhusu nyendo za Pablo.<br />
Hii ilimfanya Pablo azidi kujizatiti na kuongeza mahaba kwa wakazi wa Medellín na raia wa Colombia kwa ujumla.<br />
VITA KUU YA KWANZA YA MAGENGE YA MIHADARATI.<br />
Kuna msemo wanasema ‘adui wa adui yako ni rafiki yako’! Swali: je, inakuwaje pale adui wa adui yako akitishia maslahi yako??<br />
Adui wa Adui yako (Kikao cha Kwanza)<br />
Hapo baadae nitaeleza kwa kifupi kuhusu kuibuka kwa genge lingine
ambalo nalo lilishamiri katika biashara ya Cocaine lililoitwa Cali
Cartel hivyo kufanya kuwe na uwepo wa magenge mawili yanayoshindana
kibiashara yaani Medellín Cartel chini ya Pablo Escobar na Cali Cartel.<br />
Licha ya ushindani wao wa kibiashara mwaka 1983 iliwabidi washirikiane
kwa sababu za msingi kabisa. kuliibuka kikundi cha wahuni waliokuwa
wanateka watu na kudai fedha kutoka kwa ndugu ili wawaachie. Baada ya
kuteka ndugu kadhaa wa viongozi wa serikali wahuni hawa wakaanza kuteka
ndugu wa mabosi wa Cartels na kudai pesa.<br />
Moja ya watu muhimu
waliowateka alikuwa ni Marta Nieves Ochoa dada wa moja ya mabosi wa Cali
Cartel na watekaji walikuwa wanataka wapewe dila milioni 10 ili
wamuachie. Hii ndio ilikuwa sababu kubwa ya mabosi wa Cali Cartel na
Medellín Cartel kukutana ili kuweka mkakati maalumu ambao utapeleka
ujumbe kwa wahuni na watekaji wote kuwa familia za mabosi wa Magenge ya
mihadarati ni mwiko kuzigusa.<br />
Katika kikao hiki cha kwanza
Medellín Cartel na Cali Cartel waliunda kikosi kazi maalumu walichokiita
Muerte a Secuestradores (Death to kidnappers (Kifo kwa Watekaji)) au
kama kilivyojulikana kwa kifupi MAS.<br />
Kila Genge lilichangia fedha, vifaa (silaha), na askari kwa ajili ya kikosi kazi cha MAS.<br />
Kesho yake baada ya kikundi hiki kuundwa ndege ilipita juu ya uwanja wa
mpira wa miguu kuliko kuwa na mechi kubwa ikifanyika na kumwaga
vipeperushi kuhusu kutangaza zawadi nono kwa yeyeto atakayetoa taarifa
kuhusu kufahamu lolote juu ya wahuni wanaoteka watu na kushinikiza
wapewe hela. Jioni ya siku hiyo taarifa muhimu kutoka kwa wananchi
zikaanza kuletwa na kikosi kazi cha MAS mara moja kikaanza kukamata
wahuni wa vikundi vya utekaji na kuwatesa huku wakiwarekodi na kuwatumia
wenzao wanaoshikilia dada wa bosi wa Cali Cartel.<br />
Ndani ya siku
tatu Marta Naives dada wa bosi wa Cali Cartel aliachiwa akiwa salama
salimini na huo ndio ukawa mwisho wa magenge ya wahuni kuteka
wanafamilia wa mabosi wa magenge ya mihadarati.<br />
Kama ni rafiki yako, anaweza kuwa mshirika wako: Kikao cha Pili<br />
Licha ya ushindani wa kibiashara kuendelea kuwepo kati ya Medellin
Cartel ya Pablo Escobar na Cali Cartel lakini kufanikiwa kwa mkakati wa
MAS kuliwapa moyo kuwa yako maeneo mengine mengi wanayoweza kufanya kwa
kushirikiana na yakawa na faida kwa pande zote mbili.<br />
Sehemu ya
kwanza ambayo waliona inaweza kuwa na faida kwa pande zote mbili ilikuwa
ni Cali Cartel kukubali Pablo Escobar aweze kupitisha fedha zake haramu
katika benki ya First InterAmericans Bank ambayo ilikuwa inamilikiwa na
maswahiba wa mabosi wa Cali Cartel. Hii ilikuwa na faida kwa kubwa kwa
Pablo kwani ilikuwa ni njia rahisi na salama kwake kuweza kusafisha
fedha zake haramu lakini pia ilikuwa na faida upande wa wamiliki wa
benki maswahiba wa mabosi wa Cali Cartel kwani nao wangepata faida kwa
kutoa huduma hiyo kwa Pablo kutokana mabilioni ya dola ya dola ambayo
atakuwa anayapitisha kwenye benki yao.<br />
Sehemu ya pili
waliyokubaliana kushirikiana ilikuwa ni namna ya kuratibu bei ya Cocaine
mtaani, kuratibu viwango vya ubora wa uzalishaji na njia salama za
kusafirisha mizigo.<br />
Sehemu ya tatu walikubaliana kuhusu kugawana
soko. Cali Cartel wakakubaliwa kuendesha biashara kwenye jiji la New
York na Medellín Cartel ya Pablo Escobar wakapewa Florida na Miami. Jiji
la Los Angels likaachwa kama sehemu huru ambayo yeyote anaweza kufanya
biashara.<br />
Kwa pamoja wakasonga na biashara ikashamiri.<br />
Rafiki yako anapotishia maslahi yako: Vita Kuu ya Kwanza (Pablo Escobar VS Cali Cartel).<br />
Biashara ya madawa ya kulevya katika America ya Kusini na duniani kote
kwa miaka yote imetawaliwa na vita kati ya magenge yanayopambana ili
kumiliki na kujipatia ushawishi zaidi katika soko. Lakini katika
historia hakuna vita ya magenge ya mihadarati iliyotisha na kuitikisa
Marekani na Amerika ya Kusini kama vita kati Medellín Cartel ya Pablo
Escobar dhidi ya Cali Cartel.<br />
Vita hii ilitishia hata usalama wa uwepo wa Taifa la Colombia na kuleta aibu kubwa kwa serikali za Colombia na Marekani.<br />
Lakini kabla sijaeleza chochote kuhusu vita hii, nieleze kwa ufupi tu kuhusu Cali Cartel.<br />
The Cali Cartel<br />
Cali Catel ilianzishwa mwishoni mwa miaka ya 1970 kikiwa kama kikundi
maalumu cha wapiganaji kilichokuwa kinatumiwa na Pablo Escobar na
kilijulikana kama Las Chemas.<br />
Moja wapo ya kazi walizozifanya kwa
mafanikio ilikuwa ni utekaji wa raia wawili wa nchi wa uswisi na
wakalipwa kiasi cha dola laki saba.<br />
Baada ya malipo haya
washirika wa kikundi cha Las Chemas wakajitenga na Pablo Escobar na
kukimbilia kusini mwa nchi ya Colombia katika mji wa Cali na wakatumia
fedha hiyo kuanzisha biashara yao ya mihadarati na wakafahamika kama The
Cali Cartel.<br />
Baada ya biashara yao kuanza kukua wakafanikiwa
kuwashawishi wanajeshi kadhaa waasi na kujiunga nao katika biashara na
wakafanikiwa kuwapata wengi.<br />
Uwepo wa wanajeshi katika Cali
Cartel unadhihirishwa na mfumo wao wa kibiashara pamoja na uwezo wao wa
kufanya upelelezi na ushushushu (counterintelligence).<br />
Kwa mfano
mfumo wao wa kibiashara ulikuwa tofauti na Medellín Cartel ya Pablo
Escobar ambayo yenyewe ilikuwa ni genge linalomilikiwa na mtu mmoja
(Pablo) ambapo Cali Cartel wenyewe walikuwa ni muunganiko wa
wafanyabiashara wanaojitegemea wanaounda genge/mtandao mmoja wa
mihadarati (Cali Cartel).<br />
Kwa upande wa ushushushu na upelelezi
walikuwa mahili kiasi kwamba katika baadhi ya ripoti za CIA walikuwa
wanawaita kwa jina la utani “Cali the KGB”, wakiwafananisha na shirika
la upelelezi la Urusi ya kipindi hicho.<br />
Turejee kwenye…’Vita Kuu’<br />
Ushindani mkubwa wa kibiashara kati ya magenge haya mawili unaweza kuwa
sababu kubwa ya wao kuingia vitani lakini hii iliepushwa kutokana na
vikao vya makubaliano walivyokaa awalinkuhusu kugawana soko.<br />
Sababu kubwa zaidi na ya msingi iliyochochea vita hii ilikuwa ni Pablo
kuamua kuacha kuheshimu makubaliano akiyoingia na Cali Cartel kutokana
na genge hili kujihusisha na vitendo ambavyo Pablo alivipinga kwa nguvu
zote.<br />
Haijulikani ni kichaa gani kiliwapata viongozi wa ngazi za
juu wa Cali Cartel lakini ilipofika miaka ya kati kati ya 1980 Cali
Carteli wakaanza kujihusisha na imani zenye utata za “Kusafisha
Kizazi/jamii” (Social Cleansing). Cali Cartel walisimamia mauaji ya
mamia ya watu kwenye mji wa Cali pasipo sababu ya msingi wakidai kuwa
watu hao wanaichafua Cali.<br />
Mauaji yao yaliwalenga walemavu,
machangudoa, watu wanajihusisha na mapenzi ya jinsia moja, watoto wa
mitaani, na watu wasio kuwa na makazi.<br />
Baada ya kuwaua
waliwaandika maandishi kifuania “Cali limpia, Cali linda” (Clean Cali,
beautiful Cali (Cali nadhifu, Cali inayopendeza)<br />
Vitendo hivi
vilimkera Pablo na ikampa sababu ya kutokuheshimu makubaliano yake na
Cali Cartel kuhusu kugawana soko na akaamuru watu wake wafanye biashara
nchini marekani katika mji wowote ule wanaojisikia.<br />
Kitu hiki
kikiwakera viongozi wa Cali Cartel na ili kumuonyesha kuwa wamechukizwa
wakaanza kutoa ufadhili kwa kikundi cha wapiganaji kilichokuwa kinajiita
Los Pepes amacho ni kifupi cha Los Perseguidos por Pablo Escobar
(People Persecuted by Pablo Escobar (watu walioumizwa na Pablo
Escobar)).<br />
Kikundi hiki kilikuwa kinaundwa na ndugu za watu
waliouawa na Pablo au Wapambe wake na walikuwa wamejiapiza kumsaka na
kumuua Pablo popote alipo. Kitendo cha mabosi wa Cali Cartel kuanza
kukipa ufadhili kikundi hiki kilichochea moto wa vita ya magenge amabao
haukuwahi kuonekana hapo kabla.<br />
Katika kipindi hiki Colombia
ilishuhudia mauaji ya kutisha ambapo wafuasi wa magenge yote mawili
walikuwa wakitafutana usiku na mchana. Mauaji haya yaliwahusu mpaka
marafiki, ndugu na wanafamilia wa makundi yote mawili. Katika mwaka 1988
pekee idadi ya vifo ilifikia zaidi ya watu 21,000 na mwaka 1989 idadi
iliongezeka mpaka vifo zaidi ya 28,000.<br />
Hiki kilikuwa ni moja ya
vipindi vigumu zaidi kiusalama kwa Pablo kwani alikuwa na lundo la
maadui waliokuwa wakimtafuta. Kulikuwa na serikali ya marekani
inamtafuta, serikali ya Colombia inamtafuta, Kikundi cha Los Pepes
kinamtafuta, na genge la Cali Cartel linamtafuta. Kutokana na suala la
usalama kuwa tete mno ilimlazimu aame kutoka katika ‘pepo’ yake ya
Hacienda Napolés na kwenda kujificha katika nyumba za maficho juu ya
milima ya mji wa Madellín.<br />
Ilikuwa inambidi abadili makazi mpaka
mara nne kwa siku moja. Nyumba zake nyingi hizi za juu ya milima alikuwa
anazitumia kuhifadhi pesa na silaha na ilitokea siku walienda kwenye
nyumba yake iliyopo karibia kabisa na kilele cha mlima na ilikuwa iko
ndani ya msitu mnene.<br />
Siku hii kulikuwa na baridi lisilomithirika
na kutokana na nyumba hii kujengwa maalumu kwa ajili ya kuhifadhi fedha
na silaha haikuwa na mfumo wa joto wala umeme. Ilifikia kipindi cha
usiku baridi lilizidi na kupitiliza kiwangi cha kawaida mpaka ikaanza
kutishia afya ya mtoto wake wa kike aliyekuwa naye pamoja na familia
yake.<br />
Kutokana na kutokuwepo na namna nyingine yeyote ya kupasha
moto nyumba hiyo ili kupunguza baridi, ili mbidi Pablo achome moto
maburungutu ya fedha usiku kucha ili kuipatia joto familia yake na hasa
mtoto wake wa kike ambaye alionekana kuathiriwa zaidi na baridi. Mpaka
asubuhi kunakucha na baridi kupungua kufikia kiwango cha kawaida Pablo
alikuwa ameteketeza maburungutu ya hela ya kiasi cha dola milioni mbili
za kimarekani.<br />
Baada ya Juhudi za Cali Cartel kumpata Pablo
kutozaa matunda, walitoa kandarasi kwa Jorge Selcado ambaye alikuwa ni
muhandisi na Mwanajeshi. Jorge alikuwa maarufu kwa kuandaa timu maalumu
za mauaji ya kuratibiwa kiumakini (assassination teams) na mara zote
mipango yake inakuwa ya mafanikio.<br />
Baada ya Jorge kupewa ‘ofa’
hii na mabosi wa Cali Cartel aliwasiliana na watu wake ambao walikuwa ni
wanajeshi wa kukodi (mercenaries) kutoka nchini uingereza ambao
walikuwa wamewahi kutumikia katika jeshi la Uingereza kitengo maalumu
cha Anga (SAS – Special Air Services).<br />
Timu hii ilikuwa na watu
kumi mbili na iliwasili Colombia na kufanya mazoezi kwa miezi kadhaa ili
kujiandaa na zoezi lililopo mbele yao. Walifahamu kuwa kwa kipindi
hicho Pablo alikuwa amejificha mahali kusiko julikana kwenye milima,
hivyo walisubiri wapate taarifa kuwa amerejea kwenye ‘pepo’ yake ya
Hacienda ili wafanye shambulio la kushitukiza.<br />
Siku hiyo
haikuchelewa sana kwani timu ya Mpira ambayo Pablo alikuwa anaishabikia
na kuifadhili ilifanikiwa kuchukua ubingwa wa ligi kuu ya Colombia.
Hivyo Pablo alirejea jijini Medellín ili ajumuike kusherehekea ushindi
huo.<br />
Kikosi hiki kilichotumwa kumuua Pablo walijiandaa na Chopa
mbili za kivita zilizobeba silaha nzito na mpango wao ulikuwa
wamshitukize Pablo nyakati za asubuhi na kufanya shambulizi nyumbani
kwake Hacienda Napolés.<br />
Ili mpango huu uwe na ufanisi
walikubaliana kuwa washambulie kutokea nyuma ya milima na chopa ziruke
katika mfumo maalumu wa kijeshi wa usawa wa chini chini kabisa
(nap-to-earth) ili wasiweze kuonekana kutokea mbali.<br />
Keshi yake
chopa ziliruka kuelekea Hacienda Napolés kama walivyopanga wapitie nyuma
ya milima huku zikiruka chini chini, lakini wakiwa kwenye milima hiyo
kwa bahati mbaya chopa moja ilimshinda rubani kutokana na kuruka chini
chini na ikagonga kwenye mlima na kudondoka.<br />
Zoezi ambalo
kilipangwa kuwa la kwenda kushambulia na kumuua Pablo likageka kuwa ni
zoezi la uokoaji na mpango huu ukaishia hapo hapo.<br />
Baada ya kufeli kwa zoezi hili serikali ya Colombia iliwasiliana na Pablo kujaribu kumuomba ajisalimishe.<br />
Waliharibu kumbembeleza kwa kila namna ambayo waliweza na kumuahidi
watakubaliana na masharti yoyote atakayoyasema. Serikali ilifikia
kipindi walikuwa ‘desperate’ kutokana na aibu waliyokuwa wanaipata
kimataifa kwa kushindwa kumdhibiti muhalifu mmoja aliyeifanya nchi yao
ya Colombia mpaka kubatizwa jina la ‘Capital of death’ (mji wa kifo).
Hivyo matamanio yao ilikuwa tu kuutangazia ulimwengu kuwa wamemkamata
Pablo.<br />
Baada ya Pablo kutafakari kwa kina na kuona jinsi usalama
wake na familia yake kuwa ni mdogo kutokana na maadui wanaomzunguka kila
kona akakubali ombi la serikali kujisalimisha lakini akawapa masharti
matatu.<br />
Kila $1 aliyokua anaweka katika biashara yake alikua anapata profit OR return ya $200.<br />
Alikuwa anakusanya pesa haweki bank, anatunza ndani chini ya ardhi, juu
ya dari or ukutani. Adui pekee wa hela zake walikuwa ni Panya wenye
njaa kali. Kila mwaka inasemekana alikua anapoteza 10% ya faida ambayo
kwa haraka haraka ni $b1, Panya walizokuwa wanakula.<br />
Marekani na
Serikali ya Colombia ilitaka Pablo akamatwe na afungwe. Akakubali but
Gereza akajenga yeye. Ndani ya gereza kulikuwa ni kama 5star hôtel.
Alijiwekea kila kitu, Jacuzi, Bar, Pub, TV,na vitu kibao vya thamani.
Pia wanawake wakawa wanaingia na akiwa jela alikuwa ana uwezo wa kutoka
na kurudi kisirisiri, coz walinzi wa gereza alikuwa anawahonga vizuri
sana.<br />
Baadae, Pablo alichoka maisha ya Jela la Hôtel, anataka
kurudi kitaa, akatoroka. Wakati anatoroka akachukua familia yake na
walinzi wake wakakimbilia Maporini. Wakati wapo huko vichakani, mtoto
akaugua ghafla na kukawa na baridi sana, ukahitajika moto unajua Pablo
alochofanya?<br />
Alikuwa ananunua na kutumia Rubber band za $2,500 =
tsh 4,050,000 za kibongo kufungia hela zake kila mwezi, so kwa mwaka
alikuwa ananunua rubber band za $30,000 = 48,600,000 kufunga tu mihela
yake (hata BOT hawatumii rubber band za $2,500 kwa mwezi na haijawahi
kutokea kwa mtu wala taasisi)<br />
Alinunua ndege kwa ajili ya
kusafirishia hela zake tu, kila trip ndege ilikuwa inabeba $10m. Mwaka
1989, Forbes ilimtaja kama tajiri wa 7 duniani, anakadiriwa kuwa na
utajiri wa $25-30b, watu wake wa karibu wanasema alikuwa anazidi hata
hapo coz kwa siku alikuwa anatengeneza sio chini ya $60m, coz kwa mwezi
alikuwa anasafirisha zaidi ya 80-100t USA.<br />
Na ubabe wake wote,
Pablo alikuwa anaogopa sana kufa. Baada ya kutoroka Jela, serikali na
jeshi la Colombia wakawa wanamtafuta Pablo, akawa-offer serikali iachane
nae na atailipia serikali deni ililokuwa inadaiwa $b10 zaidi ya tirioni
18 za kibongo, ili serikali imalize deni inalodaiwa, lakini serikali
ilikataa, msako wa Pablo wakakabidhiwa wamarekani na kumuua December
2/1993.<br />
Mpaka leo hongo/rushwa kubwa duniani kuwahi kutokea ni
hiyo ya $10b ya Pablo kutaka kulipa deni la taifa la Colombia, 10b usd =
trilioni 18.<br />
<script>
(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({});
</script></div>
Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/09786424478000544580noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-3347815323000470255.post-30801149335588375272017-10-04T07:25:00.003+03:002017-10-04T07:25:58.465+03:00MASHUSHUSHU WANAOTAJWA KUWA WA VIWANGO VYA JUU ZAIDI DUNIANI <img alt="Image result for fidel castro" class="irc_mi" height="480" src="https://static.independent.co.uk/s3fs-public/thumbnails/image/2016/10/07/11/fidel-castro-salute.jpg" style="margin-top: 31px;" width="640" /><br />
<br />
Mashushushu hawa ndio wenye mafanikio makubwa kuliko wote Duniani.<br />
<br />
Njama 638 za mauaji aliyoepuka Fidel Castro.(Chini ya mashushushu wenye ustadi wa hali ya juu sana(skillful)<br />
<br />
Njama ya kutumia sigara kumuua Fidel Castro ambayo ilitibuka inajulikana
sana, lakini njama nyengine 637 dhidi ya maisha yake ni zipi?<br />
<br />
Shirika la kijasusi nchini Marekani CIA na watu waliotoroka Cuba wakati
wa uongozi wa Castro walitumia nusu ya karne moja kufanya njama za
kumuua kiongozi ambaye taifa lake lina athari kubwa kwa Marekani,
kulingana na balozi wa Marekani nchini Cuba Wayne Smith.<br />
<br />
Wakati mmoja kiongozi huyo wa Cuba alinukuliwa akisema, iwapo kuepuka
majaribio ya mauaji kungekuwa miongoni mwa michezo ya Olimpiki
ningejishindia medali ya dhahabu.<br />
<br />
Hatahivyo baadhi ya njama hizo hazikutekelezwa ,kulingana na aliyekuwa mlinzi wa zamani wa Fidel Castro, Fabian Escalante.<br />
<br />
Stakhabadhi zilizofichuliwa wakati wa utawala wa Bill Clinton
zilionyesha kuwa CIA wakati mmoja walianza kuwafanyia utafiti konokono
wa eneo la Carebean.<br />
<br />
Njama, ilikuwa kutafuta konokono mmoja ambaye angemvutia Castro
anayependa sana kuogelea na kumjaza vilipuzi ndani yake kabla ya
kumlipua Castro atakapomshika<br />
<br />
Mpango mwengine ulikuwa ule wa kutengeza boya la kuogelea ambalo
huvaliwa kama shati na ambalo lingetiwa ugonjwa mbaya wa ngozi ili
kumuathiri kiongozi huyo.<br />
<br />
Mipango yote hiyo ilitupiliwa mbali.<br />
<br />
Ajenti huyo alisikitika na akataka mpango mwengine ambao sio rahisi
kuugundua,ripoti hiyo ilisema. Mpenzi wa zamani wa Castro, Marita Lorenz
alipewa dawa za sumu kumwekea katika kinywaji chake.<br />
<br />
Alipewa dawa zenye sumu ili kuweka katika kinywaji cha Castro.Lakini
Castro aligundua jaribio hilo na anadaiwa kumpatia bunduki yake badala
yake atumie kumuua.<br />
<br />
''Huwezi kuniua. Hakuna anayeweza kuniua,"Bbi Lorenzo alisema Bw Castro
alimwambia, alipokuwa anahojiwa na gazeti la New York daily.<br />
<br />
Castro alidaiwa kutabasamu na kuendelea kuvuta sigara yake.''Nilijihisi
nimetolewa pumzi kwa sababu alikuwa na uhakika juu yangu.Alinikumbatia
na tukafanya mapenzi''.<br />
<br />
Jaribio jingine lililokuwa maarufu dhidi ya maisha ya Castro ni lile la
2000, wakati ambapo mpango uliwekwa kuweka vilipuzi vingi katika jukwaa
ambalo alitarajiwa kuhutubia nchini Panama.<br />
<br />
Mpango huo ulitibuliwa na vikosi vya usalama vya Castro.<br />
<br />
Watu wanne ikiwemo mtoto mmoja wa Cuba pamoja na ajenti wa CIA kwa jina Luis Posada walifungwa lakini baadaye wakaachiliwa.<br />
<br />
Pia kulikuwa na mipango ya kumfanya Castro ambaye pia anajulikana '' The
Beared'' aonekana kama chombo cha kukejeliwa badala ya kumuua.<br />
<br />
Mpango mmoja ulikuwa kumwagia viatu vyake chumvi ya thallium wakati wa
ziara yake ya ughaibuni kwa lengo kwamba anaposhika ndevu zake zingeweza
kukatika.<br />
<br />
Lakini mpango huo ulitibuliwa baada ya Castro kuahirisha ziara
hiyo.Castro alichukua tahadhari ya hali ya juu ili kuwakwepa watu
waliopanga mauaji yake.<br />
<br />
Mwaka 1979 alipokuwa akielekea mjini New York ili kuhutubia mkutano wa
Umoja wa Mataifa hakuweza kuwazuia wanahabari waliomuuliza iwapo alikuwa
amevaa fulana ya ndani ambayo ina kinga dhidi ya risasi, alivua shati
lake na kuwaonyesha kifua chake.<br />
''Nimevaa fulana ya kawaida'',alisema.<br />
<br />
Miongo kadhaa awali mwaka 1975, tume ya bunge la seneti nchini Marekani
ilifichua maelezo ya njama nane dhidi ya maisha ya Castro kwa kutumia
vifaa ambavyo tume hiyo inasema ''vinachosha akili''.<br />
<br />
Njama moja iliopangwa na ambayo karibu ifaulu mara mbili ilikuwa ile ya
kutuma dawa za sumu Cuba na kuwapeleka watu kumuua kiongozi huyo.<br />
<br />
Ndevu za Fidel Castro pia zililengwa katika njama hizo za mauaji.<br />
<br />
Ulikuwa wakati kama huo ambapo rais Kennedy, ambaye aliruhusu uvamizi wa
kumuondoa madarakani rais Castro mwaka 1961 aliuawa, ambapo ajenti wa
CIA alikuwa anatoa kalamu yenye sumu ilio na sindano kwa ajenti mmoja wa
Cuba ili kumuua kiongozi huyo.<script async="" src="//pagead2.googlesyndication.com/pagead/js/adsbygoogle.js"></script>
<!-- barner -->
<br />
<ins class="adsbygoogle" data-ad-client="ca-pub-8699121076413513" data-ad-slot="8927094585" style="display: inline-block; height: 60px; width: 500px;"></ins><script>
(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({});
</script>Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/09786424478000544580noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-3347815323000470255.post-29368385278244312782017-10-04T07:24:00.001+03:002017-10-04T07:24:53.625+03:00MIKHAIL KALASHNIKOV:MBUNIFU WA KIFO AU SHUJAA WA URUSI?<script async="" src="//pagead2.googlesyndication.com/pagead/js/adsbygoogle.js"></script>
<!-- barner -->
<br />
Moja ya habari kubwa iliyotawala vyombo mbalimbali vya habari vya
kimataifa mni uzinduzi wa sanamu (statue) ya
Mikhail Kalashnikov uliofanyika jijini Moscow Urusi.<br />
<br />
Mikhail Kalashnikov, mbunifu wa AK-47 silaha maarufu na moja ya silaha
hatari zaidi duniani (world's deadliest guns) ambae kwa sasa ni
marehemu, ametunukiwa tuzo ya sanamu katika jiji la Moscow. Ila sio kila
mtu kaifurahia tuzo hiyo.<br />
<br />
<img alt="[IMG]" class="bbCodeImage LbImage" data-url="http://www.jamiiforums.com/mobile-gallery/d1810ce63d13ebc3da81464d7c4b58e0.jpg" src="http://www.jamiiforums.com/mobile-gallery/d1810ce63d13ebc3da81464d7c4b58e0.jpg" /><br />
Luteni Generali Mikhail Timofeyevich Kalashnikov <br />
<br />
<br />
Mara baada ya kuzinduliwa kwa sanamu yake mnamo September 19 kuliibuka
maandamano ya wanaopinga tuzo hiyo kutokana na ukweli kwamba ubunifu
wake umesababisha vifo visivyo na idadi. Na ndio maana wanaopinga uwepo
wa sanamu yake wanasema Kalashnikov ni mbunifu wa kifo na sio shujaa wa
taifa hivyo serikali haikupaswa kumtunuku.<br />
<br />
<img alt="[IMG]" class="bbCodeImage LbImage" data-url="http://www.jamiiforums.com/mobile-gallery/4f12e2a58492489acfd18783f2f1e6c2.jpg" src="http://www.jamiiforums.com/mobile-gallery/4f12e2a58492489acfd18783f2f1e6c2.jpg" /><br />
<br />
<img alt="[IMG]" class="bbCodeImage LbImage" data-url="http://www.jamiiforums.com/mobile-gallery/3032eb43aadd756a2bd14b11b3b9961e.jpg" src="http://www.jamiiforums.com/mobile-gallery/3032eb43aadd756a2bd14b11b3b9961e.jpg" /><br />
Sanamu ya Kalashnikov ikimuonyesha akiwa na silaha yake aliyo ibuni ya AK-47 <br />
<br />
<br />
Katika hafla ya uzinduzi wa statue ya Kalashnikov, Vladimir Medinsky
ambae ni waziri wa utamaduni wa Russia amesema "Silaha ya Kalashnikov ni
utambulisho/alama sahihi ya utamaduni wa Russia, kwa sababu hiyo,
serikali imeamua kuziweka silaha zote za Kalashnikov kwenye makumbusho
ya Kremlin". (Makumbusho ya Kremlin ni makumbusho makubwa sana Russia na
duniani kwa ujumla, yanayotambuliwa na UNESCO na yapo kwenye list of
world cultural and natural heritage).<br />
<br />
<br />
Baadhi ya wanaopinga tuzo ya sanamu kwa Kalashnikov walikua na mabango yaliyosomeka;<br />
<br />
"Mbunifu wa silaha ni sawa na mbunifu wa kifo"<br />
<br />
Pia wapo waliotoa mitazamo yao juu ya tuzo hiyo kwa Kalashnikov kwenye
mitandao ya kijamii hasa Twitter, na hii ni baadhi tu ya mitazamo yao;<br />
<br />
"Ni Moscow ya Putin pekee ndio itakubali kumtuza mbunifu wa silaha inayouwa watu wengi kuliko zote"<br />
<br />
" Kama mwenyewe angekua hai asingeipenda sanamu yake, kwakua aliwahi
kukiri kua silaha yake umeharibu tawala za nchi nyingi na kusababisha
maafa makubwa"<br />
<br />
<br />
AK-47 ilibuniwa mwaka 1947 na katika miaka 60 iliyopita zimetengenezwa
AK-47 zaidi ya milioni 70. Zinatumiwa na majeshi, makundi ya uhalifu,
magaidi na waasi.<br />
<br />
<img alt="[IMG]" class="bbCodeImage LbImage" data-url="http://www.jamiiforums.com/mobile-gallery/ec6af0523d6b40bf8b05b5e1cd8122d2.jpg" src="http://www.jamiiforums.com/mobile-gallery/ec6af0523d6b40bf8b05b5e1cd8122d2.jpg" /><br />
<br />
Kalashnikov akiwa na AK-47<br />
<br />
<br />
AK-47 inauwa watu zaidi ya 250,000 kila mwaka. Idadi hiyo ni kubwa zaidi
kulinganisha na ile ya silaha zote za kisasa kwa ujumla wake.<br />
<br />
Kalashnikov alifariki mwaka 2013, na hivi ndivyo alivyosema muda mfupi
kabla hajafa , nanukuu "Can it be that I'm guilty for people's death?"<br />
<br />
Bado swali linabaki pale pale "Kalashnikov ni mbunifu wa kifo au ni shujaa"?<br />
<script>
(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({});
</script>Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/09786424478000544580noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-3347815323000470255.post-73236283885828081452017-09-15T13:17:00.000+03:002017-09-15T13:17:59.542+03:00KIM JONG-UN;RAIS ANAYESUMBUA VICHWA VYA DUNIA<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<div class="titleBar">
<img alt="[IMG]" class="bbCodeImage LbImage" data-url="http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/1754288/highRes/493718/-/maxw/600/-/12m49f1/-/kim_jong.jpg" src="http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/1754288/highRes/493718/-/maxw/600/-/12m49f1/-/kim_jong.jpg" /></div>
<span style="color: #333333;"><span style="font-family: 'Arial';"><span style="font-size: 15px;">Rais Kim Jong-un <br />
<br />
</span><span style="color: #444444;"><b><br />
<br />
<span style="font-size: 12px;"><span style="color: #333333;"><span style="font-family: 'Times New Roman';">Mwaka
wa 2010 uliingia katika kumbukumbu za Korea Kaskazini baada ya
aliyekuwa rais wa nchi hiyo Kim Jong-il kuzindua kombora lake ambalo
wakakti wowote kuanzia sasa litafanyiwa majaribio.<br />
</span></span><br />
<span style="color: #333333;"><span style="font-family: 'Times New Roman';">Baada
ya kifo cha rais Kim Jong-il , Desemba mwaka 2011 nchi hiyo
ilikabidhiwa mikononi mwa mtoto wake Kim Jong-un aliyeelezwa kuwa na
uwezo mkubwa wa kulingoza vyema taifa hilo.<br />
Baada ya kuapishwa rasmi Aprili 2012 , Kim Jong-un alichukua jukumu hilo
na kuzindua satellite iitwayo "rocket-mounted' kama sehemu ya
kumbukumbu ya kuenzi siku ya kuzaliwa kwa babu yake ambaye ni muasisi wa
taifa hilo Kim Il-Sung.<br />
</span></span><br />
<span style="color: #333333;"><span style="font-family: 'Times New Roman';">Msimamo
wa kwanza wa Rais Kim Jong-un ulikuwa ni kupinga msaada wa chakula
unaotoka Marekani ili kuondoa kifungo cha kufanya majaribio yake ya
silaha za nyuklia.<br />
</span></span><br />
<span style="color: #333333;"><span style="font-family: 'Times New Roman';">Kwa
sasa taifa hilo la kaskazini limeimarisha vitisho vyake kama hatua ya
kujibu mazoezi makali ya kivita, yanayondeshwa na Korea Kusini kwa
ushirikiano wa Marekani, sanjari na kupinga vikwazo vilivyowekewa dhidi
yake katika hatua yake ya kuimarisha zana za kinyuklia.<br />
Katika ilani yake ya hivi karibuni, Rais huyo wa Korea Kaskazini amesema
kuwa mpango wake umelenga makombora ya masafa marefu na yale ya kawaida
kwa lengo la kuvamia vituo vya Marekani vilivyo Bahari ya Pacific
wakati wowote.<br />
</span></span><br />
<span style="color: #333333;"><span style="font-family: 'Times New Roman';">Kim
Jong-un ameweka tayari makombora hayo kukabiliana na tishio la
mashambulio kutoka kambi za kijeshi za Marekani na ndege zake za kivita.<br />
Rais Kim anasema hatua zake zitakwenda sambamba na kujibu ndege za kivita za Marekani kuruka katika anga ya Rasiya Korea.<br />
</span></span><br />
<span style="color: #333333;"><span style="font-family: 'Times New Roman';">Kim
amesema kuwa kwa sasa muda umewadia wa kumaliza mgogoro na Marekani.
Kwa upande wake Marekani na Korea Kusini zinasema kuwa hadi sasa
imefanikiwa kunasa mipango ya ndani kutoka Korea Kaskazini kwamba ina
kombora lenye na uwezo wa kushambulia umbali wa kilomita 3,000 likiwa na
ujazo wa mafuta, tayari kwa kulipuliwa.<br />
</span></span><br />
<span style="color: #333333;"><span style="font-family: 'Times New Roman';">Mgogoro
huo ulitokana na Peninsula ya Korea kugombewa na mataifa hayo, hatua
iliyowahi kusababisha vita baina ya nchi Korea Kaskazini na Korea Kusini
iliyopiganwa kati ya mwaka 1950 hadi 1953 ikijumuisha pia China,Umoja
wa Kisovyeti na Umoja wa Mataifa (UN).<br />
Machi 29 mwaka huu, mataifa makubwa duniani, China na Urusi yameelezea
hofu ya kukithiri kwa mzozo katika Rasi ya Korea na kutaka pande zote
kujiondoa katika majibizano.<br />
</span></span><br />
<span style="color: #333333;"><span style="font-family: 'Times New Roman';">Makubaliano ya mkutano huo ilikuwa ni kumaliza mgogoro uliopo kati ya nchi hizo.<br />
Taarifa za kiuchunguzi uliofanywa na Korea Kusini zinaeleza kuwa Korea
Kaskazini inajiandaa kukamilisha mipango yake ya kuzindua kombora, baada
ya kuhamisha makombora yake mawili upande wa Pwani mwa nchi hiyo.<br />
</span></span><br />
<span style="color: #333333;"><span style="font-family: 'Times New Roman';">Katika
mipango ya kujibu tishio hilo, Korea Kusini kwa ushirikiano na
Marekani, zimeimarisha mitambo yake ya kuchunguza shambulio lolote
kutoka kwa Rais Jong. Kufuatia hali hiyo, Korea Kusini nayo imeeleza
kuimarisha hali yake ya tahadhari baada ya habari kuwa Korea Kaskazini
inajiandaa kufanya jaribio la kombora lake moja la masafa ya kati,
lililotarajiwa kufanyika April 15, mwaka huu kama sehemu ya kumbukumbu
za kuzaliwa muasisi wa Taifa hilo Kim Ill-Sung.<br />
</span></span><br />
<span style="color: #333333;"><span style="font-family: 'Times New Roman';">Rais
mpya wa Korea Kusini, Park Geun-Hye, amehimiza Korea Kaskazini
kubadilisha mkondo wake wa siasa, ili kutuliza uhasama unaoendelea
kukuwa kati ya mataifa hayo mawili.<br />
Hali iliyopo kwa sasa kati ya nchi hizo mbili inadaiwa kutokuwa salama
kwani Korea ya Kusini imedai kuwa Korea Kaskazini inawazuia hata raia
wake kufika katika upande wa pili wa mpaka.<br />
</span></span><br />
<span style="color: #333333;"><span style="font-family: 'Times New Roman';">Wakati
Marekani akiunga mkono harakati za Korea Kusini, Januari 25, mwaka huu,
China pia imesema itaendelea kutoa ushirikiano wa misaada ya chakula
kwa swahiba wake Korea Kaskazini, huku ikithibitisha kushiriki endapo
kutatokea vita yoyote kati ya nchi hizo.<br />
</span></span><br />
<span style="color: #333333;"><span style="font-family: 'Times New Roman';">Mbali
na kauli hizo, Katibu Mkuu wa UN, Ban Ki moon amemtaka Rais wa Korea
Kaskazini, Kim Jong-un kupunguza makali yake kwa mzozo unaoendelea
kushika kasi, akidai kuwa umeanza kuvuka mpaka. Ban Ki moon ameeleza
kuhuzunishwa na namna ugomvi huo unavyotishia maisha ya wananchi wa
kawaida na kutoa wito kwa viongozi wa Korea Kaskazini, kubadili mwenendo
wao. <span style="color: #333333;"><span style="font-family: 'Times New Roman';">Awali,
msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni wa Urusi alisema kuwa uamuzi wa
Korea Kaskazini kuendeleza mpango wake wa kuimarisha uwezo wa zana za
kinyukilia, unavuruga mipango ya kuanzisha upya mashauriano yanayohusu
mataifa sita ya kupatanisha Korea Kusini na Kaskazini.</span></span></span></span></span></b></span></span></span><script async="" src="//pagead2.googlesyndication.com/pagead/js/adsbygoogle.js"></script><b>
</b><!-- barner -->
<br />
<b><ins class="adsbygoogle" data-ad-client="ca-pub-8699121076413513" data-ad-slot="8927094585" style="display: inline-block; height: 60px; width: 500px;"></ins></b><script>
(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({});
</script></div>
Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/09786424478000544580noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-3347815323000470255.post-88569281927063887772017-09-04T07:21:00.000+03:002017-09-04T07:21:06.581+03:00FAMILIA INAYOIENDESHA DUNIA NA ILIYOSHIKA UCHUMI WA DUNIA<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<script async="" src="//pagead2.googlesyndication.com/pagead/js/adsbygoogle.js"></script>
<!-- barner -->
<br />
<img alt="[IMG]" class="bbCodeImage LbImage" data-url="http://www.jamiiforums.com/mobile-gallery/3853175632a2d840e5861142356b42b9.jpg" src="http://www.jamiiforums.com/mobile-gallery/3853175632a2d840e5861142356b42b9.jpg" /><br />
Nimekua msomaji wa mambo mengi mtandaoni ni nimekua nikijifunza mengi na kufahamu pia<br />
Leo nawaulizia hawa rockfeller family ambao inasemekana kama ifuatavyo:-<br />
Kwamba wao ndo wanamiliki uchumi wa dunia kupitia dola na rasilimali zote<br />
Wana maamuzi kuhusu mambo yote duniani<br />
Inasemekana kwao wao ndo wanamiliki federal reserve ya marekani<br />
Rais yoyote akiingia marekani lazima akubaliane nao<br />
Ndo wanacontrol dunia<br />
Wana ajenda ya siri juu ya dunia na ndo wanaitumia UN kama chombo chao.Inasemekana UN ipo kwa ajili yao<br />
Vita vingi duniani wameshiriki kupitia mgongo wa serikali ya marekani ambapo wameiweka wao<br />
Inasemekana marekani kuna visible na invisible gov't na invisible govt
ndo wao na ndo kila kitu kuhusu uchumi wa marekani na dunia<br />
Ni waasisi na wapo na mkakati wa new world order<br />
Wao ndio wanaodhoofisha nchi nyingi zinazoendelea na kuzifanya kuwa masikini na tegemezi kupitia mifumo yao ya unyonyaji<br />
Inasemekana asilimia kubwa ya mabenk ni yao<br />
Rockfeller family ndo wanaoendeleza mpango wa depopulation duniani na
wanadhibiti idadi ya watu kupungua sambamba na kuandaa mikakati ya
kupunguza watu kama vita,njaa na magonjwa.<br /><img alt="[IMG]" class="bbCodeImage LbImage" data-url="http://www.jamiiforums.com/mobile-gallery/65836986d9012d5e2cf63a39f57ff651.jpg" src="http://www.jamiiforums.com/mobile-gallery/65836986d9012d5e2cf63a39f57ff651.jpg" /><img alt="[IMG]" class="bbCodeImage LbImage" data-url="http://www.jamiiforums.com/mobile-gallery/acd712600d4937ca53ce1ce1816892d1.jpg" src="http://www.jamiiforums.com/mobile-gallery/acd712600d4937ca53ce1ce1816892d1.jpg" /><br />
Nimeambatanisha na baadhi ya links<br />
<a class="externalLink" href="https://soapboxie.com/social-issues/David-Rockefeller" rel="nofollow" target="_blank">David Rockefeller: An Immoral Life of Evil and Treason</a><br />
<a class="externalLink" href="http://www.thelibertybeacon.com/a-face-of-evil-dies-with-david-rockefeller-videos/" rel="nofollow" target="_blank">A Face of Evil dies with David Rockefeller [Videos]</a><br />
Kuna na hii video ya youtube nilitazama kiukweli ilinishtua sana kuhusu david rockfeller<br />
<script>
(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({});
</script></div>
Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/09786424478000544580noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-3347815323000470255.post-66229222157781235492017-08-30T11:33:00.001+03:002017-08-30T11:37:34.336+03:00ADHABU YA KIFO KWA KUCHINJWA MBELE YA KADAMNASI (TAHADHARI: MAELEZO, PICHA NA VIDEO ZA UKATILI)<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<div class="titleBar">
<b> </b><!--[if gte mso 9]><xml>
<w:WordDocument>
<w:View>Normal</w:View>
<w:Zoom>0</w:Zoom>
<w:TrackMoves/>
<w:TrackFormatting/>
<w:PunctuationKerning/>
<w:ValidateAgainstSchemas/>
<w:SaveIfXMLInvalid>false</w:SaveIfXMLInvalid>
<w:IgnoreMixedContent>false</w:IgnoreMixedContent>
<w:AlwaysShowPlaceholderText>false</w:AlwaysShowPlaceholderText>
<w:DoNotPromoteQF/>
<w:LidThemeOther>EN-US</w:LidThemeOther>
<w:LidThemeAsian>X-NONE</w:LidThemeAsian>
<w:LidThemeComplexScript>X-NONE</w:LidThemeComplexScript>
<w:Compatibility>
<w:BreakWrappedTables/>
<w:SnapToGridInCell/>
<w:WrapTextWithPunct/>
<w:UseAsianBreakRules/>
<w:DontGrowAutofit/>
<w:SplitPgBreakAndParaMark/>
<w:DontVertAlignCellWithSp/>
<w:DontBreakConstrainedForcedTables/>
<w:DontVertAlignInTxbx/>
<w:Word11KerningPairs/>
<w:CachedColBalance/>
</w:Compatibility>
<w:BrowserLevel>MicrosoftInternetExplorer4</w:BrowserLevel>
<m:mathPr>
<m:mathFont m:val="Cambria Math"/>
<m:brkBin m:val="before"/>
<m:brkBinSub m:val="--"/>
<m:smallFrac m:val="off"/>
<m:dispDef/>
<m:lMargin m:val="0"/>
<m:rMargin m:val="0"/>
<m:defJc m:val="centerGroup"/>
<m:wrapIndent m:val="1440"/>
<m:intLim m:val="subSup"/>
<m:naryLim m:val="undOvr"/>
</m:mathPr></w:WordDocument>
</xml><![endif]-->
<br />
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; mso-margin-bottom-alt: auto; mso-margin-top-alt: auto; mso-outline-level: 1;">
<img alt="[IMG]" class="bbCodeImage LbImage" src="http://www.jamiiforums.com/mobile-gallery/c7f93c4ab0c632af58c5bee6f0abd7e0.jpg" data-url="http://www.jamiiforums.com/mobile-gallery/c7f93c4ab0c632af58c5bee6f0abd7e0.jpg" /></div>
<!--[if gte mso 9]><xml>
<w:LatentStyles DefLockedState="false" DefUnhideWhenUsed="true"
DefSemiHidden="true" DefQFormat="false" DefPriority="99"
LatentStyleCount="267">
<w:LsdException Locked="false" Priority="0" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" QFormat="true" Name="Normal"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="9" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" QFormat="true" Name="heading 1"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="9" QFormat="true" Name="heading 2"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="9" QFormat="true" Name="heading 3"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="9" QFormat="true" Name="heading 4"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="9" QFormat="true" Name="heading 5"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="9" QFormat="true" Name="heading 6"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="9" QFormat="true" Name="heading 7"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="9" QFormat="true" Name="heading 8"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="9" QFormat="true" Name="heading 9"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="39" Name="toc 1"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="39" Name="toc 2"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="39" Name="toc 3"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="39" Name="toc 4"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="39" Name="toc 5"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="39" Name="toc 6"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="39" Name="toc 7"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="39" Name="toc 8"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="39" Name="toc 9"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="35" QFormat="true" Name="caption"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="10" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" QFormat="true" Name="Title"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="1" Name="Default Paragraph Font"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="11" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" QFormat="true" Name="Subtitle"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="22" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" QFormat="true" Name="Strong"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="20" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" QFormat="true" Name="Emphasis"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="59" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Table Grid"/>
<w:LsdException Locked="false" UnhideWhenUsed="false" Name="Placeholder Text"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="1" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" QFormat="true" Name="No Spacing"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="60" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Light Shading"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="61" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Light List"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="62" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Light Grid"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="63" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium Shading 1"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="64" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium Shading 2"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="65" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium List 1"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="66" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium List 2"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="67" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium Grid 1"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="68" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium Grid 2"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="69" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium Grid 3"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="70" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Dark List"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="71" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Colorful Shading"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="72" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Colorful List"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="73" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Colorful Grid"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="60" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Light Shading Accent 1"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="61" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Light List Accent 1"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="62" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Light Grid Accent 1"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="63" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium Shading 1 Accent 1"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="64" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium Shading 2 Accent 1"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="65" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium List 1 Accent 1"/>
<w:LsdException Locked="false" UnhideWhenUsed="false" Name="Revision"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="34" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" QFormat="true" Name="List Paragraph"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="29" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" QFormat="true" Name="Quote"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="30" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" QFormat="true" Name="Intense Quote"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="66" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium List 2 Accent 1"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="67" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium Grid 1 Accent 1"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="68" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium Grid 2 Accent 1"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="69" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium Grid 3 Accent 1"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="70" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Dark List Accent 1"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="71" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Colorful Shading Accent 1"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="72" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Colorful List Accent 1"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="73" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Colorful Grid Accent 1"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="60" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Light Shading Accent 2"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="61" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Light List Accent 2"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="62" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Light Grid Accent 2"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="63" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium Shading 1 Accent 2"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="64" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium Shading 2 Accent 2"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="65" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium List 1 Accent 2"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="66" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium List 2 Accent 2"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="67" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium Grid 1 Accent 2"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="68" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium Grid 2 Accent 2"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="69" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium Grid 3 Accent 2"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="70" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Dark List Accent 2"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="71" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Colorful Shading Accent 2"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="72" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Colorful List Accent 2"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="73" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Colorful Grid Accent 2"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="60" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Light Shading Accent 3"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="61" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Light List Accent 3"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="62" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Light Grid Accent 3"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="63" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium Shading 1 Accent 3"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="64" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium Shading 2 Accent 3"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="65" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium List 1 Accent 3"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="66" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium List 2 Accent 3"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="67" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium Grid 1 Accent 3"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="68" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium Grid 2 Accent 3"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="69" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium Grid 3 Accent 3"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="70" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Dark List Accent 3"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="71" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Colorful Shading Accent 3"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="72" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Colorful List Accent 3"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="73" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Colorful Grid Accent 3"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="60" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Light Shading Accent 4"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="61" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Light List Accent 4"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="62" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Light Grid Accent 4"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="63" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium Shading 1 Accent 4"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="64" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium Shading 2 Accent 4"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="65" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium List 1 Accent 4"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="66" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium List 2 Accent 4"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="67" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium Grid 1 Accent 4"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="68" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium Grid 2 Accent 4"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="69" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium Grid 3 Accent 4"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="70" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Dark List Accent 4"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="71" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Colorful Shading Accent 4"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="72" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Colorful List Accent 4"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="73" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Colorful Grid Accent 4"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="60" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Light Shading Accent 5"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="61" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Light List Accent 5"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="62" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Light Grid Accent 5"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="63" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium Shading 1 Accent 5"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="64" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium Shading 2 Accent 5"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="65" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium List 1 Accent 5"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="66" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium List 2 Accent 5"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="67" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium Grid 1 Accent 5"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="68" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium Grid 2 Accent 5"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="69" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium Grid 3 Accent 5"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="70" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Dark List Accent 5"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="71" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Colorful Shading Accent 5"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="72" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Colorful List Accent 5"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="73" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Colorful Grid Accent 5"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="60" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Light Shading Accent 6"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="61" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Light List Accent 6"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="62" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Light Grid Accent 6"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="63" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium Shading 1 Accent 6"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="64" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium Shading 2 Accent 6"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="65" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium List 1 Accent 6"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="66" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium List 2 Accent 6"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="67" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium Grid 1 Accent 6"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="68" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium Grid 2 Accent 6"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="69" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium Grid 3 Accent 6"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="70" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Dark List Accent 6"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="71" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Colorful Shading Accent 6"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="72" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Colorful List Accent 6"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="73" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Colorful Grid Accent 6"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="19" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" QFormat="true" Name="Subtle Emphasis"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="21" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" QFormat="true" Name="Intense Emphasis"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="31" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" QFormat="true" Name="Subtle Reference"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="32" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" QFormat="true" Name="Intense Reference"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="33" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" QFormat="true" Name="Book Title"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="37" Name="Bibliography"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="39" QFormat="true" Name="TOC Heading"/>
</w:LatentStyles>
</xml><![endif]--><!--[if gte mso 10]>
<style>
/* Style Definitions */
table.MsoNormalTable
{mso-style-name:"Table Normal";
mso-tstyle-rowband-size:0;
mso-tstyle-colband-size:0;
mso-style-noshow:yes;
mso-style-priority:99;
mso-style-qformat:yes;
mso-style-parent:"";
mso-padding-alt:0in 5.4pt 0in 5.4pt;
mso-para-margin-top:0in;
mso-para-margin-right:0in;
mso-para-margin-bottom:10.0pt;
mso-para-margin-left:0in;
line-height:115%;
mso-pagination:widow-orphan;
font-size:11.0pt;
font-family:"Calibri","sans-serif";
mso-ascii-font-family:Calibri;
mso-ascii-theme-font:minor-latin;
mso-fareast-font-family:"Times New Roman";
mso-fareast-theme-font:minor-fareast;
mso-hansi-font-family:Calibri;
mso-hansi-theme-font:minor-latin;
mso-bidi-font-family:"Times New Roman";
mso-bidi-theme-font:minor-bidi;}
</style>
<![endif]--><!--[if gte mso 9]><xml>
<o:shapedefaults v:ext="edit" spidmax="1026"/>
</xml><![endif]--><!--[if gte mso 9]><xml>
<o:shapelayout v:ext="edit">
<o:idmap v:ext="edit" data="1"/>
</o:shapelayout></xml><![endif]--></div>
<div class="titleBar">
</div>
<div class="titleBar">
<b>Tahadhari:</b> Makala hii ina maelezo, Picha na Video ambazo zinaweza
kuwa za kuogofya au kuchefua kwa baadhi ya watu. Tafadhali soma kwa
tahadhari binafsi.</div>
<br />
Pia si lengo la makala hii kupinga au kokosoa imani ya mtu yeyote. Hivyo
basi epuka kutoa maoni yanayoweza kuleta hisia za kukinzana au kukwaza
imani za wengine.<br />
<br />
Nashukuru kwa kunielewa!<br />
<br />
<span style="text-decoration: underline;"><b>Deera Square, Riyadh (Saudi Arabia)</b></span><br />
<br />
Ni takribani saa mbili na nusu asubuhi katika eneo la wazi la Deera
Square lililopo kwenye mji wa Riyadh katikati ya nchi ya Saudi Arabia.
Polisi maalumu wa kitengo cha <b>Mutaween</b> wanawatawanya watu waliopo
eneo hilo ambao wengine wamepumzika tu na wengine wapita njia. Polisi
hawa ni maalumu wanatambulika kisheria chini ya muongozo wa <b>Shari'ah</b>
(kanuni za Kiislamu) ambayo ndiyo kwa kiwango kikubwa inatumika
kuongoza taifa la Saudi Arabia, kazi kuu ya askari hawa maalumu ni
kuhahakisha kuwa Sharia ya Kiislamu (kwa mujibu wa wao Saudi Arabia
walivyo tafsiri) inafuatwa nchini humo.<br />
<br />
Mutaween wanahakikisha kuwa wananchi wanafuata utaratibu wa vitu kama
mavazi ya heshima (kwa mujibu wa Sharia), kutouzwa vileo mitaani,
kutouzwa vyakula 'haramu' kama vile nyama ya nguruwe, vijana
kutosikiliza nyimbo za kimagharibi au filamu, pia kuhakikisha wanawake
'wanajisitiri' na hawaongozani na wanaume ambao si waume zao au ndugu
zao. Askari hawa ambao sare zao ni kanzu pamoja na viremba maridhawa vya
kiarabu wanazunguka mitaani kila kukicha kuhakikisha kuwa Sharia
inafuatwa.<br />
<br />
Leo hii wapo hapa eneo la Deera Square wakiwaondoa watu kwenye eneo
hili, ili kupisha tukio maalumu ambalo linatarajiwa kufanyika mahali
hapa.<br />
<br />
Eneo hili la Deera Square ukubwa wake bado kidogo lingeweza kufanana na
ukubwa wa kiwanja cha mpira. Upande wa kulia wa uwanja huu kuna msikiti
mkubwa sana maarufu ambao watu wengi husali hapo, na upande wa kushoto
kuna majengo ya ofisi za askari hawa wa Mutaween.<br />
<br />
Majengo yanayozunguka uwanja huu wa Deera Square yote yana kuta
maridhawa za rangi ya njano zinazofanya muda wa mchana jua kali likipiga
eneo hili kujiakisi kwa rangi fulani kama ya dhahabu ambayo haijapita
kwenye moto.<br />
<br />
Pia kwenye kingo za uwanja kumepandwa michikichi mirefu ya wastani na
imepandwa kwa ustadi kwenye mishari kwa kupendeza kabisa. Na si hivyo
tu, eneo hili karibu na msikiti upande wa kulia kuna chemi chemi ya
urembo ya maji (water fountain) ambayo inarusha maji hewani kwa madaha
na kuleta msisimuko wa kupendeza katika eneo hili la uwanja huu tupu
mkubwa.<br />
<br />
Kwa mtu mgeni unaweza kujihoji eneo hili kubwa namna hii lina matumizi
gani hasa? Uwanja ni mkubwa mno kutaka kukaribia uwanja wa mpira wa
miguu, lakini hakuna shughuli zozote zinazoendelea zaidi ya wapita njia
tu. Vitu pekee vinavyoonekana kwenye uwanja huu mkubwa ni kama
nilivyoeleza, michikichi iliyopandwa kwa ustadi, 'water fountain' na
msitikiti upande wa kulia na ofisi za Mutaween upande wa kushoto.<br />
<br />
Muda huu wa saa mbili na nusu asubuhi kama nilivyoeleza, askari walikuwa
wanajaribu kuwaondoa watu waliokaa eneo hili au wale wanaopita njia.
Lengo lao ni uwanja huu ubaki mtupu. Lakini ajabu ni kwamba kadiri
askari wanavyojaribu kuondoa watu kwenye eneo hili, ndivyo ambavyo watu
wengine wengi zaidi wanazidi kumiminika mahala hapa wakiwa na shauku na
morari kana kwamba wanaenda kushangilia timu yao pendwa ya mpira wa
miguu.<br />
<br />
<br />
<br />
<br />
<img alt="[IMG]" class="bbCodeImage LbImage" src="http://www.jamiiforums.com/mobile-gallery/4c5511f64085ee7521684d9efdfebf11.jpg" data-url="http://www.jamiiforums.com/mobile-gallery/4c5511f64085ee7521684d9efdfebf11.jpg" /><br />
<b>Deera Square, Riyadh </b><br />
<br />
<img alt="[IMG]" class="bbCodeImage LbImage" src="http://www.jamiiforums.com/mobile-gallery/2fe372dd1348e58b52329762e833a5e6.jpg" data-url="http://www.jamiiforums.com/mobile-gallery/2fe372dd1348e58b52329762e833a5e6.jpg" /><br />
<b>Watu wakiwa wamefurika Deera Square Kushuhudia tukio muhimu la Hukumu</b><br />
<br />
Kutokana na watu kuzidi kumiminika eneo hili baada ya askari kuanza
kuwatawanya ni dhahiri kwamba hii inaonyesha kuwa hii si mara ya kwanza
na hii ni desturi, kwahiyo walikuwa wanajua fika ni nini kilikuwa
kinaelekea kutokea mahali hapa.<br />
<br />
Hii inawafanya maaskari waweke uzio wa kamba maalumu ya eneo la tukio
('police' scene tape) ili kuzuia umati wa watu usiweze kusogea mpaka
eneo la katikati la uwanja huu.<br />
<br />
Kama ni mgeni unaweza kujikuta unavutika kusogea mahali hapa ili uweze
kujua ni kitu gani hiki cha kusisimua lilikuwa linajiri. Lakini
matumaini yako ya tukio la kusisimua yataanza kuyeyuka ghafla mara baada
ya kuona magari yapatayo matatu ya Polisi aina ya jeep yakiwasili
mahala hapo na polisi kuanza kushuka.<br />
<br />
Kwa kawaida ghafla umati wote uliokusanyika hapo unakuwa kimya baada ya
kuona magari haya ya polisi. Ukimya unaogubika ghafla umati huu ni
mkubwa kiasi kwamba unaweza kujikuta unatokwa jasho la presha kupanda
kutokana na kutokujua ni nini kilikuwa kinafuata. Hakuna mtu
anayethubutu hata kutingishika au kukohoa, wote wanakodolea macho tu
magari haya matatu ya polisi yaliyowasili.<br />
<br />
Ukimya na uoga unaotawala nyuso za watazamaji hawa waliojikusanya
unaweza kuhoji ni kwanini wefika mahali hapa kuja kushuhudia jambo hili
linalotaka kufanyika.<br />
<br />
Katika ukimya huu huu mkubwa, wanashuka mapolisi si chini ya kumi na
mbili waliovalia sare, sita kutoka gari la mbele na sita kutoka gari la
nyuma. Wakishashuka kila mmoja anaenda kujipanga katika eneo lake
kuzunguka eneo lote la katikati ya uwanja.<br />
<br />
Katika hatua hii ukimya unaongezeka zaidi kiasi kwamba kama ikitokea
labda mtu amedondosha sarafu mita ishirini na uliposimama wewe unaweza
kujikuta unasikia. Ukimya unakuwa mkubwa zaidi kiasi cha kuogofya, na
kinachoweza kukutisha zaidi ni nyuso za morari za watazamaji hawa
waliozunguka uwanja huu wa Deera Square.<br />
<br />
Baada ya hapo lile gari moja lililosalia (gari la kati kati) milango
inafunguliwa, na kisha wanashuka maaskari wanne ambao nao wanakuwa
wamevalia sare za kipolisi, lakini tofauti na maaskari wale kumi na
mbili walioshuka mwanzoni, hawa wao wanashuka kwenye gari wakiwa
wameongozana na mtu mwingine wa tano ambaye yeye hajavalia kipolisi.<br />
<br />
Mtu huyu anakuwa amevikwa mavazi meupe sana, au kama wasemavyo watu,
"mavazi meupe peeeee"! Yaani weupe ambao unaweza kuumiza macho jua kali
linapoakisi. Lakini mtu huyu anakuwa amefungwa mikono yake kwa kamba kwa
nyuma na usoni anakuwa amefungwa kitambaa cheusi.<br />
<br />
Maaskari wawili kati ya wale wanne walioshuka kwenye gari, wanamshika
mtu huyu na kumuongoza mpaka kati kati ya uwanja na wakiisha kumfikisha
katikati ya uwanja jambo la kwanza wanalolifanya ni kumpigisha magoti.<br />
<br />
Mara chache baada ya kumpigisha magoti wanaweza kumfunika na fuko la
kitambaa jeusi usoni (licha ya kuwa tayari amefungwa litambaa cheusi
machoni) lakini mara nyingi wanaweza kumuacha hivyo na kitambaa cheusi
tu machoni mara baada ya kumpigisha magoti.<br />
<br />
Mpaka kufikia hatua hii mtu huyu aliyepigishwa magoti anakuwa tayari kwa ajili ya <b>kuchinjwa.!!</b>
Na ghafla tu utasikia sauti kwenye spika zilizofungwa kwenye pembe za
uwanja huu, zikitangaza kosa la mtu huyo na hukumu yake kwa mujibu wa
Sharia.<br />
<br />
Kisha askari mmoja anamfuata huyu mtu aliyepigishwa magoti na
kumuinamisha shingo yake kuelekea mbele, kumuandaa kwa ajili ya
mchunjajia maalumu wa serikali kupitisha upanga shingoni mwake.<br />
<br />
Kisha umati wote unaoshuhudia, pamoja na polisi… wote kwa pamoja
wanabakia kumsubiri mtu maalumu wa kutekeleza shughuli hiyo, mtu ambaye
labda ndiye aliyechinja zaidi binadamu wenzake wengi kwenye historia ya
dunia kuliko mtu yeyote… umati wote, wakiwa kwenye ukimya huu mkuu, na
hofu iliyochanganyika na morali wanamsubiria <b>Muhammad Saad al-Beshi.</b><br />
<br />
<img alt="[IMG]" class="bbCodeImage LbImage" src="http://www.jamiiforums.com/mobile-gallery/c65f59111f1d1090f75586c52ea1121e.jpg" data-url="http://www.jamiiforums.com/mobile-gallery/c65f59111f1d1090f75586c52ea1121e.jpg" /><br />
<b>Mchinjaji Muhammad al-Beshi </b><br />
<br />
<img alt="[IMG]" class="bbCodeImage LbImage" src="http://www.jamiiforums.com/mobile-gallery/52da68a3b0b3aea56086876b5c324ac7.jpg" data-url="http://www.jamiiforums.com/mobile-gallery/52da68a3b0b3aea56086876b5c324ac7.jpg" /><br />
<b>Al-Beshi akiwaonyesha waandishi wa Habari jambia lake analotumia kuchinijia, alipofanya mahojiano na Arab News mwaka 2003</b><br />
<br />
<span style="text-decoration: underline;"><b>SIKU MOJA KABLA</b></span><br />
<br />
Siku moja kabla ya raia aliyehukumiwa kifo nchini Saudi Arabia kuchinjwa
hadharani, kwanza mchinjaji Muhammad Saad al-Beshi hutembelea familia
ya muhusika ili kuomba msamaha. Msamaha huu anaomba al-Beshi si kwa
ajili yake bali anaomba kwa ajili ya mtu anayeenda kumchinja kesho yake
ili ndugu zake wapate kumsamehe aondoke duniani akiwa hana lawama kutoka
kwa jamaa zake.<br />
<br />
Moja ya swali ambalo binafsi niliwahi kujiuliza au yawezekana pia nawe
uko unajiuliza muda huu, ni namna gani al-Beshi alifikia hatua ya kuwa
"mchinjaji rasmi" wa serikali ya Saudi Arabia? Kuna sifa gani hasa
zinaangaliwa? Al-Beshi anajisikiaje kuondoa uhai wa binadamu mwingine
kikatilli namna hii?<br />
<br />
Katika mahojiano ya nadra sana ambayo aliyafana na Arab News mwaka 2003
al-Beshi aliwahi kueleza ni namna gani alijikuta anaingia katika ajira
hii ya "kipekee".<br />
<br />
Al-Beshi alianza kazi ya kuchinja watu mwaka 1998, kabla ya hapo alikuwa
anafanya kazi gerezani maeneo ya Taif, na kazi yake ili kuwa kuwafunga
mikono na vitambaa vyeusi machoni wafungwa ambao walikuwa wanapelekwa
kuchinjwa.<br />
<br />
Baada ya muda akajikuta anaanza kutamani na yeye 'kupanda cheo' ili awe mchinjaji.<br />
Ikatokea kuna muda serikali ikatangaza nafasi ya kazi kwa ajili ya mchinjaji na hila kusita akaomba nafasi hiyo na kukubaliwa.<br />
<br />
Mara yake ya kwanza kuchinja mtu ilikuwa ni mwaka 1998. Al-Beshi
anaeleza kuwa siku hiyo alikuwa na hofu sana na hasa kutokana na umati
wa watu uliojitokeza.<br />
Beshi anasema kuwa alipofika eneo la kuchinjia, alimuinamisha mtuhumiwa
shingo na kumpiga upanga mara moja shingoni kwa kishindo kikubwa na
kumtenganisha kichwa na kiwili wili.<br />
<br />
Siku yake hii ya kwanza kuchinja mtu, Beshi anadai kuwa hakupata
usingizi usiku, lakini baada ya hapo hajawahi tena kuwa na hofu wala
kukosa usingizi.<br />
<br />
Mpaka sasa ameshachinja mamia ya binadamu kwa ruhusa ya serikali ya
Saudi Arabia na inaelezwa kuwa yeye ndiye anayeongoza kwa kuchinjwa watu
wengi na ndiye mchinjaji chaguo la kwanza la serikali pale
inapohitajika mtu kuchinjwa hadharani baada ya kuhukumiwa.<br />
Beshi anaeleza kuwa kuna kipindi huwa anachinja mpaka watu kumi kwa siku moja.<br />
<br />
Al-Beshi anajitetea kuwa yeye si mtu katili kwa sababu ya kazi
anayoifanya, kwani anajisikia fahari kufanya kazi hiyo ya mchinjaji kwa
kuwa anaamini anafanya kazi ya mwenyezi Mungu kama ilivyoagizwa kwenye
vitabu.<br />
<br />
Pia anaendelea kujitetea kwamba kazi yake haimtengi na jamii kwa kuwa
ana marafiki wengi msikitini na mtaaani, pia ana ndugu na jamaa ambao
wanampenda na kumuelewa juu ya chaguzi yake hiyo ya ajira.<br />
<br />
Si hivyo tu, bali pia al-Beshi ni mume ameoa na amejaaliwa kupata watoto saba.<br />
<br />
Al-Beshi anaeleza kuwa huwa anawaruhusu watoto wake kumsaidia kusafisha
damu sime lake pindi akitoka kazini kwenye kuchinja watu Deera Square.<br />
<br />
Moja ya watoto wake anayeitwa Musaed ambaye ana miaka 22, ameanza
'kumtrain' ili aje kufanya kazi hiyo ya uchinjaji miaka ya baadae.<br />
<br />
Siku ya kwanza baada ya kukabidhiwa jukumu hili la kuwa mchinjaji wa
serikali, al-Beshi alikabidhiwa sime maalumu na serikali kwa ajili ya
kutekeleza jukumu hili. Sime hili linaelezwa kuwa na thamani ya Riyal
20,000 za Saudi Arabia (zaidi ya dola 6,000 za marekani).<br />
<br />
Al-Beshi anaeleza kuwa sime hili ni moja kati ya vitu muhimu zaidi
kwenye maisha yake anavyovitunza kwa uangalifu mkubwa sana kwa kuwa sime
anaona ni kama heshima kubwa kwake aliyopewa na serikali ya Saudi
Arabia ili aweze kufanya kazi ya Mungu.<br />
<br />
Beshi haishii hapo tu, bali pia anaeleza namna watuhumiwa
wanavyoandaliwa mpaka kuanzia siku mbili kabla mpaka dakika ya mwisho ya
kuchinjwa… pia anaeleza kuhusu saikolojia na jinsi mtuhumiwa anavyokuwa
"desperate" dakika chache kabla hajachinjwa…<br />
<br />
<span style="text-decoration: underline;"><b>ADHABU YA KIFO HADHARANI NCHINI SAUDI ARABIA</b></span><br />
<br />
Saudi Arabia ni moja kati ya nchi nne pekee ambazo bado zinatekeleza
adhabu ya kifo hadharani. Nchi nyingine ni Iran, Korea Kaskazini na
Somalia.<br />
<br />
Nchini Saudi Arabia, serikali ya kifalme inatekeleza adhabu hii kwa
msimamo kwamba wanatekeleza shari'ah kama ambavyo imeelekezwa katika
Qur'an Tukufu. Hivyo basi ikitokea raia amefanya kosa ambalo linapaswa
aadhibiwe kifo, adhabu hii inatekelezwa kwa mtu huyo kuchinjwa hadharani
kwa upanga.<br />
<br />
Makosa ambayo yanaweza kupelekea mtu kuhukumiwa kifo ni pamoja na Kuua,
usagaji, ushoga/ngono kinyume na maumbile, ubakaji, uzinzi, biashara ya
mihadarati, ukahaba, uasi wa dini au kisiasa, kuabudu sanamu, ujambazi
wa silaha, wizi wa kawaida (akiiba mara nne), kukufuru, uchawi na ulozi.<br />
<br />
Japokuwa kumekuwa Ufalme wa Saudi Arabia umekuwa ukijitetea kuwa
wanatekeleza hilo kwa mujibu wa maagizo ya vitabu vitukufu, lakini watu
wengi wamekuwa wakitafsiri adhabu hizi za kuchinja watu hadharani kama
njia ya kujenga hofu mioyoni mwa wananchi ili waweze kutii kila jambo
ambalo linaamuliwa na mfalme wa Saudi Arabia na wasiweze kuhoji
chochote.<br />
<br />
Wajuzi zaidi wa elimu ya dini wanaweza kutujuza zaidi kuhusu hili,
lakini binafsi kwa kadiri nilivyotafiti, nilichokiona kwamba hukumu
nyingi za watu nchini Saudi Arabia juu ya kuchinjwa hadharani, japo
zinatolewa kwa mtazamo wa kidini lakini zinaegemea zaidi katika upande
wa aina za hukumu za <b>Tazir</b> badala ya <b>Hudud</b><br />
<br />
Binafsi sina utaalamu sana kuhusu dini, lakini kwa "a, b, c" za dini
ninazofahamu, maoni yangu ni kwamba (nakaribisha kusahihishwa kama siko
sahihi) niseme natambua kwamba chini ya Shari'ah, kuna aina tatu za
hukumu. <b>Tazir, Qisas na hudud.</b><br />
<br />
Qisas ni aina ya hukumu ambazo zinakuwa baina ya pande mbili au mtu na
mtu, yaani namna gani ya kumlipizia mtu aliyekutenda jambo fulani baya.<br />
<br />
Kwa upande wa Hudud, hizi ni hukumu ambazo zimeonggelewa moja kwa moja
kwenye Qur'an. Yaani kwamba mtu akifanya kosa fulani basi adhabu yake ni
kifo hadharani. Hukumu hizi na makosa yake zimetajwa moja kwa moja
kwenye Qur'an na kwenye hadith.<br />
<br />
Chini ya hukumu hizi, kuna angalizo/tahadhari kubwa inatolewa ili kuweza
kuepuka adhabu ya kifo hadharani pale inapobidi. Kwa mfano mtu
aliyehasi dini anaweza kupewa nafasi ya kutubu na kurejea tena kwenye
dini na kuondolewa adhabu ya kuuwawa hadharani.<br />
<br />
Halafu pia kuna hukumu za Tazir. Hizi ni zile hukumu ambazo zimempa
mamlaka jaji wa mahakama (Kadhi) kutoa hukumu kwa utashi wake kutokana
na makosa husika kutotajwa moja kwa moja kwenye Shari'ah kwa mujibu wa
maandiko.<br />
<br />
Sasa kwa maoni yangu, nchi ya Saudi Arabia wanatumia mwanya huu
kushinikiza adhabu ya kifo hadharani ili kujenga hofu kwenye mioyo ya
wananchi wake.<br />
<br />
<img alt="[IMG]" class="bbCodeImage LbImage" src="http://www.jamiiforums.com/mobile-gallery/f1ec7318666063bd09bd8c5c8b23c67e.jpg" data-url="http://www.jamiiforums.com/mobile-gallery/f1ec7318666063bd09bd8c5c8b23c67e.jpg" /><br />
<img alt="[IMG]" class="bbCodeImage LbImage" src="http://www.jamiiforums.com/mobile-gallery/a160d003752e4701907f1c3cb5df2a7a.jpg" data-url="http://www.jamiiforums.com/mobile-gallery/a160d003752e4701907f1c3cb5df2a7a.jpg" /><br />
<br />
Jambo hili limekuwa linaleta shida sana kati ya Saudi Arabia na watu wa
haki za binadamu. Kuna makosa ambayo raia wa Saudi Arabia wanachinjwa
hadharani ambayo hata wanazuoni wengi wanaamini kwamba hayako sawa
kidini bali ni juhudi za Ufalme wa Saudia kuwaziba midomo raia 'vimbele
mbele'.<br />
<br />
Kwa mfano moja ya utata mkubwa kuhusu adhabu hii ya kifo hadharani
ikitokea baada ya polisi wa Saudi Arabia kuwakamata vijana wawili
walioitwa <b>Ali al-Nimr</b> na rafiki yake <b>Dawoud al-Marhoon</b> kwa
kosa la kuandamana mwaka 2011 kupinga utawala wa Kifalme nchini Saudi
Arabia. Kipindi vijana hawa wanakamatwa walikuwa na miaka 17 pekee.<br />
<br />
Siku chache baadae alikamatwa muubiri wa kiislamu maarufu nchini humo kipenzi cha vijana anayeitwa <b>Sheikh Nimr al-Nimr</b> (mjomba wake Ali al-Nimr) kwa kosa la kutoa mawaidha yenye maudhui ya kupinga serikali.<br />
<br />
Wote hawa walikatwa mwaka 20111 na 2012, na mpaka kufikia mwaka 2015
wote walikuwa wamehukumiwa adhabu ya kifo kwa kuchinjwa hadharani.<br />
<br />
Hukumu hii ili amsha hasira kubwa ya mashirika ya binadamu mpaka kufikia
hatua utekelezaji wa adhabu kwa watuhumiwa hawa watatu ukasogezwa
mbele, lakini bado wangali gerezani wakisubiria kuchinjwa siku yoyote
ile. (Sheikh Nimr al-Nimr walichinjwa mwaka jana, January 2, 2016 pamoja
na raia wengine 47 kwa pamoja).<br />
<br />
Lakini kila hii haimaanishi kwamba hakuna watu wanaochinjwa kila siku kwa amri ya serikali ya Saudi Arabia.<br />
<br />
Tumezoea kuona vyombo vya habari vikiripoti kuhusu ukatili wa kikundi
cha ISIS kutokana na kuwachinja mateka wao wakiwa wanawarekodi, lakini
uhalisia ni kwamba serikali ya Saudi Arabia inachinja watu wengi zaidi
kuliko ISIS. Pengine habari za ukatili huu unaotekelezwa na serikali ya
Saudi Arabia haukemewi sana kwenye vyombo vya habari kutokana na
uswahiba wa serikali hiyo na mataifa ya kimagharibi yakiongozwa na
Marekani.<br />
<br />
Mfano mwaka 2011 inakadiriwa kuwa watu 26 walichinjwa hadharani.<br />
Mwaka 2013 zaidi ya watu 78 walichinjwa hadharani.<br />
Mwaka 2015 jumla ya zaidi ya watu 158 walichinjwa hadharani.<br />
Mwaka 2016 zaidi ya watu 153 walichinjwa hadharani, ambapo watu 47 kati
ya hao walichinjwa kwa pamoja (mass beheading) siku ya January 2, 2016.<br />
<br />
<span style="text-decoration: underline;"><b>UTEKELEZAJI WA HUKUMU YA KIFO KWA KUCHINJA HADHARANI</b></span><br />
<br />
Kwa desturi siku ambayo hupendelewa kuchinja watu waliohukumiwa huwa ni
siku ya Ijumaa asubuhi kabla ya jua kuwa kali au baada ya swala ya
adhuhur.<br />
<br />
Mwanzoni nilieleza namna ambavyo raia wengine wanaondolewa kwenye uwanja wa Deera Square ili kupisha zoezi hili.<br />
<br />
Pia nimeeleza namna mtu huyu anavyoletwa mpaka hapa uwanjani akiwa
amefungwa kitambaa cheusi na kupigishwa magoti. Baada ya kupigishwa
magoti, ndipo anaingia mchinjaji ambaye mara nyingi atakuwa ni Muhammad
al-Beshi akiwa na jambia lake kiunoni.<br />
<br />
Kama mtu huyu anayechinjwa ni mwanamke, basi ni lazima aletwe hapa akiwa
amevalishwa hijab na akifika hapa hakuna mtu yeyote anayeruhusiwa
kumshika zaidi ya al-Beshi. Lakini kama ni mwanaume basi unafuatwa tu
utaratibu wa kawaida wa kufunga kitambaa usoni (hata mwanamke naye
lazima afungwe kitambaa).<br />
<br />
Al-Beshi anaeleza kuwa katika kipindi hiki, mtu huyu anayetarajiwa
kuchinjwa anakuwa dahifu mno kisaikolojia kiasi kwamba karibia mara zote
huwa hawaletiushkeli wowote bali wanatij kila wanachoambiwa. Ni kana
kwamba wameshaitoa roho zao kwa mauti, yaani hawana tumaini tena.
Al-Beshi anaeleza kuwa mtu huyo anakuwa mnyonge katika kipindi hiki
kiwango ambacho huwezi kushuhudia binadamu katika maisha ya kawaida.<br />
<br />
Japokuwa anaeleza kuwa wapo wachache ambao huongea maneno ya huzuni na
kulia kuomba huruma wasamehewe kitu ambacho (msamaha) hakijawahi
kutokea.<br />
<br />
Baada ya al-Beshi kuchomoa jambia lake kiunoni, anamsomea hukumu ya kosa
alilolifanya huyo mtu na kisha kumkumbusha kutaja/kusoma "Shahada" huku
awe anainamisha kichwa chake mbele akiwa hivyo hivyo amepiga magoti.
Kisha al-Beshi anainua jambia juu na kulishusha shingoni kwa mtu huyo
kwa nguvu, na kwa pigo moja tu anatenganisha kichwa na kiwili wili.<br />
<br />
<img alt="[IMG]" class="bbCodeImage LbImage" src="http://www.jamiiforums.com/mobile-gallery/3963bf9a1d439794c223bb151828dacb.jpg" data-url="http://www.jamiiforums.com/mobile-gallery/3963bf9a1d439794c223bb151828dacb.jpg" /><br />
<b>Al-Beshi akiwa anajiandaa kumkata mtu kichwa kwa jambia</b><br />
<br />
<img alt="[IMG]" class="bbCodeImage LbImage" src="http://www.jamiiforums.com/mobile-gallery/f9256f89c1ddba312d0687d86f949a17.jpg" data-url="http://www.jamiiforums.com/mobile-gallery/f9256f89c1ddba312d0687d86f949a17.jpg" /><br />
<b>Al-Beshi akiwa ameshamaliza kumkata mtu kichwa kwa jambia...
Ukitazama kwa makini hapo chini utaona mwili umelala ukiwa hauna kichwa
na kichwa kiko pembeni upande wa kushoto</b><br />
<br />
Pigo hili moja la jambia linalotenganisha kichwa na kiwiliwili,
kinakitupa kichwa chini na kubiringika kama kichwa cha mdoli
kichodondoka chini huku kikiachwa mzoga wa mwili ukidondoka pembeni yake
ukibubujikwa na damu kutoka kwenye shingo ambayo haina kichwa tena.<br />
<br />
Ndani ya kama dakika mbili hivi, wasaidizi wengine wanakuja na kuokota
mabaki ya mzoga huu wa binadamu na kuupakia kwenye gari inayosubiria
pembeni.<br />
<br />
Sasa hapa inategemea na hukumu ya huyu marehemu ilivyoandikwa na Kadhi.<br />
<br />
Kuna baadhi baada ya kuchinjwa hukumu yao inaamuru kuwa miili yao
ininginizwe sehemu ya umma kwenye mti mrefu au 'crane' kwa siku tatu au
nne au saba kutegemea na hukumu.<br />
Lakini kama hukumu ya mtu huyu haisemi chochote kuhusu mwili wake
kuning'inizwa hadharani basi maiti hii inapelekwa mpaka mochwari ambapo
kichwa kinashonwa tena kwenye kiwiliwili kwa Uzi na sindano na kisha
mwili unazikwa.<br />
<br />
Mpaka hapa hukumu ya kifo cha kuchinjwa hadharani inakuwa imekamilika.<br />
<br />
Nikirudi tena nitaeleza visa vya kusisimua vilivyowahi kutokea kuhusiana na utelezaji wa hukumu hii ya kuchinja hadharani…<br />
<ins class="adsbygoogle" data-ad-client="ca-pub-8699121076413513" data-ad-slot="8927094585" style="display: inline-block; height: 60px; width: 500px;"></ins><script>
(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({});
</script></div>
Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/09786424478000544580noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-3347815323000470255.post-14636205429718513022017-08-30T11:29:00.002+03:002017-08-30T11:29:33.472+03:00MAMBO 6 DUNIANI YALIYOTOKEA NA KWA NAMNA YA KUACHA MDOMO WAZI<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<script async="" src="//pagead2.googlesyndication.com/pagead/js/adsbygoogle.js"></script>
<!-- barner -->
<br />
<div class="titleBar">
<h1>
</h1>
1. <b>Ozil na Ferrari</b></div>
Enzo Ferrari mwanzilishi wa ferrari ambaye Kisura anafanana na Mchezaji
wa mpira Mesut Ozil alifariki Mwaka ambao Ozil alizaliwa.<br />
<br />
<img alt="[IMG]" class="bbCodeImage LbImage" data-url="http://img.diply.com/article-images/a/5040f2c2-cc99-4587-b437-dbf8c28dc6f6.jpg?impolicy=desktop" src="http://img.diply.com/article-images/a/5040f2c2-cc99-4587-b437-dbf8c28dc6f6.jpg?impolicy=desktop" /><br />
<br />
2. <b>Lincoln na Kennedy.</b><br />
Maraisi wawili wa Marekani waliowahi kupendwa sana Lincoln na Kennedy
wote walikuwa na urefu sawa wa futi sita. Wote waliwahi kwenda vitani
kabla ya kuwa Marais. Wote walikufa siku ya ijumaa. Wote kwa kupigwa
risasi kichwani. wote wakiwa wamekaa pembeni ya wake zao.<br />
<br />
<img alt="[IMG]" class="bbCodeImage LbImage" data-url="http://img.diply.com/article-images/a/854bd75f-829a-463f-95c9-4858ed986291.gif?impolicy=desktop" src="http://img.diply.com/article-images/a/854bd75f-829a-463f-95c9-4858ed986291.gif?impolicy=desktop" /><br />
<br />
3.<b> Kutabiriwa kwa Titanic. </b><br />
Miaka 14 kabla ya kutengenezwa titanic, mwandishi wa vitabu Morgan
Robertson alitabiri Kuzama kwa Titanic. Kwenye kitabu chake cha <i>Futility, or the Wreck of the Titan </i>alitumia
jina la titan kusimulia meli isiyoweza kuzama. Meli ya kwenye kitabu
ilikuwa urefu sawa na meli ya ukweli ya Titanic. Meli ya kwenye kitabu
cha Robertson ilizama kwa kugonga mwamba wa barafu kwenye Bahari ya
Atlantic ya kaskazini, kitu ambacho kilitokea pia kwenye titanic ya
ukweli.<br />
<img alt="[IMG]" class="bbCodeImage LbImage" data-url="http://img.diply.com/article-images/a/013bd087-2f7c-4b85-86fb-6ddde6e48965.jpg?impolicy=desktop" src="http://img.diply.com/article-images/a/013bd087-2f7c-4b85-86fb-6ddde6e48965.jpg?impolicy=desktop" /><br />
<br />
4. <b>Mfalme Umberto I wa Italy</b><br />
Mfalme Umberto I wa Italy alifahamiana na mumiliki wa mgahawa baada ya
kugundua kuwa wote wamezaliwa siku moja, mji mmoja na wote wameoa
wanawake wenye majina yanayofanana. Siku chache baadaye wote wakauliwa
siku moja sehemu tofauti kwa kupigwa risasi.<br />
<br />
<br />
<img alt="[IMG]" class="bbCodeImage LbImage" data-url="http://img.diply.com/article-images/a/442b575c-9d18-4adf-800a-9d6819e902bb.jpg?impolicy=desktop" src="http://img.diply.com/article-images/a/442b575c-9d18-4adf-800a-9d6819e902bb.jpg?impolicy=desktop" /><br />
<br />
5.<b> Napoleon na Hitler (129).</b><br />
Adolf Hitler alizaliwa miaka 129 baada Napoleon Bonaparte. alitawala
miaka 129 baada ya utawala wa Napoleon. aliivamia Urusi miaka 129 baada
ya Napoleon kuivamia Urusi pia. Na aliondolewa madarakani miaka 129
baada ya Napoleon naye kuondolewa madarakani.<br />
<b><br />
<img alt="[IMG]" class="bbCodeImage LbImage" data-url="http://img.diply.com/article-images/a/ca79d43d-c905-4542-ac0e-e5b2b104aee3.jpg?impolicy=desktop" src="http://img.diply.com/article-images/a/ca79d43d-c905-4542-ac0e-e5b2b104aee3.jpg?impolicy=desktop" /><br />
<br />
6. Gari la Archiduke Ferdinand. </b><br />
Kuuliwa kwa Archduke Franz Ferdinand kulifungua rasmi vita ya kwanza ya
dunia. Gari alilokuwa amepanda wakati anauliwa lilikuwa na plate number
A11-11-18. Vita vya kwanza vikaisha rasimi November 11, 1918 - 11-11-18.<br />
<img alt="[IMG]" class="bbCodeImage LbImage" data-url="http://img.diply.com/article-images/a/9f162de7-d2f3-4289-b287-f17fdfabd6f1.jpg?impolicy=desktop" src="http://img.diply.com/article-images/a/9f162de7-d2f3-4289-b287-f17fdfabd6f1.jpg?impolicy=desktop" /><br />
<br />
<br />
<b>Three Updates </b><br />
<br />
<br />
7. <b>Ujenzi wa Bwawa la Hoover</b><br />
Ujenzi wa bwawa hili liligharimu maisha ya watu wengi, lakini mtu wa
kwanza kufa ni bwana J.G. Tierny, ambaye alifariki December 20, 1922.
Mfanyakazi wa Mwisho kufa kwenye huu ujenzi alikuwa Mtoto wa Tierny
alikufa siku sawa na siku aliyokufa baba ake miaka 13 baadaye, December
20, 1935.<br />
<img alt="[IMG]" class="bbCodeImage LbImage" data-url="http://img.diply.com/article-images/a/5903df49-d792-4a1f-b4f7-be183d72a5c7.jpg?impolicy=desktop" src="http://img.diply.com/article-images/a/5903df49-d792-4a1f-b4f7-be183d72a5c7.jpg?impolicy=desktop" /><br />
<br />
<br />
8. <b>Video game Iliyotabiri semptember eleven (Twin tower iliyopigwa na Osama)</b><br />
Video game ya <i>Deus Ex</i> ambayo ilikuwa officially released June
2000. Game hili lilitengenezwa kuakisi maisha ya New york city, lakini
katika hatua za mwisho kabisa wakagundua kwamba wamesahau kuyaweka
majengo pacha ya biashara (Twin Towers). Ili kukwepa gharama na muda wa
kuanza kutengeneza upya ikabidi waandike tu mwanzo wa game kwamba yale
majengo yamelipuliwa na magaidi.<br />
<img alt="[IMG]" class="bbCodeImage LbImage" data-url="http://img.diply.com/article-images/a/c08e89b2-e0ef-4624-946e-a9b84b6492aa.jpg?impolicy=desktop" src="http://img.diply.com/article-images/a/c08e89b2-e0ef-4624-946e-a9b84b6492aa.jpg?impolicy=desktop" /><br />
<br />
9.<b> Ndugu wawili wa Hamilton</b><br />
Dereva wa baiskeli yenye injini (Moped) mji wa Hamilton, Bermuda
alifariki mwaka 1974 kwa kugongwa na taxi. mwaka ulifuta 1975 eneo lile
lile, mdogo wake naye aligongwa akiwa anaendesha baiskeli ya injini,
gari iliyomgonga ni ile ile iliyomgonga kaka ake, na cha ajabu kabisa
dereva yule yule, na pia alikuwa amebeba abiria yule yule aliyekuwa
amemubeba siku anamugonga kaka mtu. <br />
<img alt="[IMG]" class="bbCodeImage LbImage" data-url="http://img.diply.com/article-images/a/d73d7446-4194-4ae4-a8a5-716959e833e5.jpg?impolicy=desktop" src="http://img.diply.com/article-images/a/d73d7446-4194-4ae4-a8a5-716959e833e5.jpg?impolicy=desktop" /><script>
(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({});
</script></div>
Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/09786424478000544580noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-3347815323000470255.post-34051790473052241922017-08-25T12:45:00.002+03:002017-08-25T12:45:31.969+03:00WENGI HUFARIKI DUNIA KUANZIA SAA TISA MPAKA SAA KUMI USIKU<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<img alt="[IMG]" class="bbCodeImage LbImage" data-url="http://www.jamiiforums.com/mobile-gallery/2418b6cd1f6c608dc6a5def2498e88e5.jpg" src="http://www.jamiiforums.com/mobile-gallery/2418b6cd1f6c608dc6a5def2498e88e5.jpg" /><br />
Ni jambo la kushangaza na kuchanganya kidogo Kama si sana lakini wagonjwa mahututi wengi (sio wote) hufariki usiku wa manane.<br />
<br />
Natambua fika jana jioni kuna watu wengi tu, wamewaacha wapendwa wao
hospital wakitegemea kuwaona leo asubuhi, wengine wakiagana nao kabisa
lakini hawatawaona ama hawataonana nao tena wakiwa hai.<br />
<br />
Wahudumu wa vyumba ama wodi za mahututi wanalitambua vema hili ndio maana nyakati kama hizi huwapitia na kujaribu kuwaamsha.<br />
<br />
Kwa imani zetu hizi nje ya taaluma inaaminika kwamba ndio mida ya ziraili mtoa roho hupita kunyofoa roho za watu....<br />
<br />
Lakini kitalaam ni kwamba huu ni muda ambao mwili huwa kwenye total
relaxation usingizini bila bughudha yoyote hivyo kwa mtu mgonjwa
aliyezidiwa anaweza moyo wake ukashindwa kusukuma damu hivyo kupelekea
mapigo ya moyo kusimama na kusababisha kifo chake.<br />
<br />
Kuna kesi za namna hii zinatokea hata kwa wenye afya kamili, inaitwa
vifo vya usingizini....ndio maana sipendi kabisa kulala kipindi hiki<img src="https://emoji.tapatalk-cdn.com/emoji35.png" /> <img src="https://emoji.tapatalk-cdn.com/emoji35.png" /> <img src="https://emoji.tapatalk-cdn.com/emoji35.png" /> <img src="https://emoji.tapatalk-cdn.com/emoji116.png" /> <img src="https://emoji.tapatalk-cdn.com/emoji116.png" /> <img src="https://emoji.tapatalk-cdn.com/emoji116.png" /> <img src="https://emoji.tapatalk-cdn.com/emoji116.png" /> <br />
<br />
<br />
Dunia ina vituko kuna watu ni waoga kufa kiasi kwamba inapofika usiku
huogopa kabisa kulala ukizingatia kwamba waneshaambiwa story kama hizi
ama zile za usingizi ni nusu kifo!<br />
<br />
Na ikitokea wamepitiwa na usingizi ama wakiamka asubuhi hujikagua kuona
kama wako hai bado.... Between ukifa wala huwezi kujua kama umekufa ..
....... <img src="https://emoji.tapatalk-cdn.com/emoji144.png" /> <img src="https://emoji.tapatalk-cdn.com/emoji144.png" /> <img src="https://emoji.tapatalk-cdn.com/emoji144.png" /> <img src="https://emoji.tapatalk-cdn.com/emoji42.png" /> <img src="https://emoji.tapatalk-cdn.com/emoji42.png" /> <img src="https://emoji.tapatalk-cdn.com/emoji42.png" /> <img src="https://emoji.tapatalk-cdn.com/emoji42.png" /> kuna wakati hata mimi napata hizi hisia mjue<br />
<br />
<img alt="[IMG]" class="bbCodeImage LbImage" data-url="http://www.jamiiforums.com/mobile-gallery/6230f3977e333a836b7b257ee9482c40.jpg" src="http://www.jamiiforums.com/mobile-gallery/6230f3977e333a836b7b257ee9482c40.jpg" /><br />
<br />
<br />
Ni jambo la kushangaza na kuchanganya kidogo Kama si sana lakini wagonjwa mahututi wengi (sio wote) hufariki usiku wa manane.<br />
<br />
Natambua fika jana jioni kuna watu wengi tu, wamewaacha wapendwa wao
hospital wakitegemea kuwaona leo asubuhi, wengine wakiagana nao kabisa
lakini hawatawaona ama hawataonana nao tena wakiwa hai.<br />
<br />
Wahudumu wa vyumba ama wodi za mahututi wanalitambua vema hili ndio maana nyakati kama hizi huwapitia na kujaribu kuwaamsha.<br />
<br />
Kwa imani zetu hizi nje ya taaluma inaaminika kwamba ndio mida ya ziraili mtoa roho hupita kunyofoa roho za watu....<br />
<br />
Lakini kitalaam ni kwamba huu ni muda ambao mwili huwa kwenye total
relaxation usingizini bila bughudha yoyote hivyo kwa mtu mgonjwa
aliyezidiwa anaweza moyo wake ukashindwa kusukuma damu hivyo kupelekea
mapigo ya moyo kusimama na kusababisha kifo chake.<br />
<br />
Kuna kesi za namna hii zinatokea hata kwa wenye afya kamili, inaitwa
vifo vya usingizini....ndio maana sipendi kabisa kulala kipindi hiki<img src="https://emoji.tapatalk-cdn.com/emoji35.png" /> <img src="https://emoji.tapatalk-cdn.com/emoji35.png" /> <img src="https://emoji.tapatalk-cdn.com/emoji35.png" /> <img src="https://emoji.tapatalk-cdn.com/emoji116.png" /> <img src="https://emoji.tapatalk-cdn.com/emoji116.png" /> <img src="https://emoji.tapatalk-cdn.com/emoji116.png" /> <img src="https://emoji.tapatalk-cdn.com/emoji116.png" /> <br />
<br />
<img alt="[IMG]" class="bbCodeImage LbImage" data-url="http://www.jamiiforums.com/mobile-gallery/2418b6cd1f6c608dc6a5def2498e88e5.jpg" src="http://www.jamiiforums.com/mobile-gallery/2418b6cd1f6c608dc6a5def2498e88e5.jpg" /><br />
<br />
Dunia ina vituko kuna watu ni waoga kufa kiasi kwamba inapofika usiku
huogopa kabisa kulala ukizingatia kwamba waneshaambiwa story kama hizi
ama zile za usingizi ni nusu kifo!<br />
<br />
Na ikitokea wamepitiwa na usingizi ama wakiamka asubuhi hujikagua kuona
kama wako hai bado.... Between ukifa wala huwezi kujua kama umekufa ..
....... <img src="https://emoji.tapatalk-cdn.com/emoji144.png" /> <img src="https://emoji.tapatalk-cdn.com/emoji144.png" /> <img src="https://emoji.tapatalk-cdn.com/emoji144.png" /> <img src="https://emoji.tapatalk-cdn.com/emoji42.png" /> <img src="https://emoji.tapatalk-cdn.com/emoji42.png" /> <img src="https://emoji.tapatalk-cdn.com/emoji42.png" /> <img src="https://emoji.tapatalk-cdn.com/emoji42.png" /> kuna wakati hata mimi napata hizi hisia mjue<br />
<br />
<img alt="[IMG]" class="bbCodeImage LbImage" data-url="http://www.jamiiforums.com/mobile-gallery/6230f3977e333a836b7b257ee9482c40.jpg" src="http://www.jamiiforums.com/mobile-gallery/6230f3977e333a836b7b257ee9482c40.jpg" /><br />
<script async="" src="//pagead2.googlesyndication.com/pagead/js/adsbygoogle.js"></script>
<!-- barner -->
<br />
<ins class="adsbygoogle" data-ad-client="ca-pub-8699121076413513" data-ad-slot="8927094585" style="display: inline-block; height: 60px; width: 500px;"></ins><script>
(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({});
</script></div>
Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/09786424478000544580noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-3347815323000470255.post-80061224598959669902017-08-16T10:28:00.003+03:002017-08-16T10:28:35.240+03:00MFAHAMU GEN NORIEGA NA NIFFTYPACKAGE YAKE KWA MAREKANI<img alt="upload_2017-7-31_16-13-43.png" class="bbCodeImage LbImage " src="https://www.jamiiforums.com/attachments/upload_2017-7-31_16-13-43-png.554780/" />
<br />
<br />
<br />
<b>General Manuel Antonio Norriega</b><br />
<br />
Manuel Antonio Noriega Moreno (Spanish pronunC.I.A.tion: <a class="externalLink" href="https://en.wikipedia.org/wiki/Help:IPA_for_Spanish" rel="nofollow" target="_blank">[maˈnwel noˈɾjeɣa]</a>;
February 11, 1934 – May 29, 2017) alikua mwanasiasa na mwanajeshi wa
nchi ya Panama pia infoma wa C.I.A. wa kipindi kirefu. Alikua mtawala wa
kijeshi wa Nchio ya Panama na dikteta 1983 mpaka 1989 wamarekani
walipovamia nchi hiyo kijeshi na kumuondoa madarakani.<br />
<br />
Alizaliwa jijini Panama na kusoma katika moja ya shule za kijeshi mjini
lima na baada ya hapo ya sekondari ya Americans. Baada ya hapo alijiunga
na jeshi la Nchi hiyo na kuwa mmoja wa maafisa wa jeshi,alifanya kazi
kwa karibu na mkuu wa intelijensia wa jeshi la nchi hiyo na kupanda vyeo
ambapo baada ya <a class="externalLink" href="https://en.wikipedia.org/wiki/Omar_Torrijos" rel="nofollow" target="_blank">Omar Torrijo</a>
ambaye ndiye aliyekua mkuu wa intelijensia wa jeshi kufanya jaribio la
mapinduzi na kushinda alipewa nafasi hiyo mwaka 1968.Baada ya kifo cha
torrijo mwaka 1981,Norriega alijiimarisha kiutawala mpaka akawa kiongozi
wa panama ingawa sio rasmi mwaka 1983 (de facto ruler of panama).
kuanzia mwaka 1950 mpaka karibu na kipindi ambacho Marekani walikuja
kumvamia, Norriega alikua akifanya kazi kwa karibu sana na C.I.A.
Norriega alikua moja ya vyanzo muhimu vya kuamnika vya C.I.A. kwenye
masuala ya intelijensia, pia ilikua ndio sehemu muhimu ya kuanzishia,
kupanga pamoja na kupitishia silaha na fedha linapokuja suala la
operasheni yoyote inayohusu masuala ya kijeshi marekani ya kati na
kusini.<br />
<br />
Norriega pia alijihusisha na biashara ya madawa ya kulevyahas cocane kwa
kiwango cha hali ya juu kitu ambacho wamarekani walikifahamu fika kwa
miaka mingi, ila waliliruhusu suala hilo liendelee kwa sababu za umuhimu
wa Norriega kwenye masuala ya kijeshi na kiusalama katika ukanda huo wa
marekani ya kati na kusini.<br />
<br />
Utawala wa Norriega katika Nchi hiyo uligubikwa na ukandamizwaji wa
vyombo vya habari, uimarishwaji wa jeshi, pamoja na uteswaji na
ukandamizwaji wa mahasimu wa kisiasa. Noriega aliweza kusimamia uchaguzi
wowote na kupata matokeo anayotaka yeye, alijitengenezea utajiri mkubwa
kupitia biashara yake ya madawa ya kulevya. Taratibu mahusiano yake na
Nchi ya marekani yalianza kupungua kwa sababu ya vitendo hivyo pamoja na
kuanza kuuza taarifa za kiintelijensia kwa mahasimu wa marekani. Mwaka
1988 Norriega alibainishwa kwamba ni mmoja wa watu wanaosafirisha madawa
ya kulevya katika miji ya Miami Florida. Marekani waliiivamia Panama
1989 na kumuondoa madarakani na kumpeleka marekani kama mfungwa wa
kivita.<br />
<br />
alisomewa makosa nane yanayohusiana na kuuza madawa ya kulevya kupanga
na kusafirisha madawa ya kulevya na utakatishaji wa fedha haramu. Mwaka
1992 alihukumia kifungo cha miaka 40 jela mbapo kilipunguzwa na kuwa
miaka 30 jela. <br />
<br />
Kifungo cha Norriega nchini marekani kilisitishwa mwaka 2007 baada ya
Nchi ya Panama pamoja na Ufaransa kuomba kumuhukumu bila yeye mwenyewe
kuwapo mahakamani kwa mauaji mwaka 1995 na utakatishaji wa fedha mwaka
1999. ufaransa ilikabidhiwa mtuhumiwa huyu mwaka 2010 mwezi wa nne baada
ya ombi lao kukubaliwa na alifikishwa Paris 27|4|2010 na baada ya kesi
yake kusikilizwa upya alihukumiwa kifungo cha miaka saba, mwezi wa saba
2010. Makubaliano ya kumhamisha gereza kutoka Ufaransa na kumpeleka
Panama kutumikia kifungo cha miaka 20 yalifikiwa ikiwa ni vifungo vyote
vilivyomkabili nchini marekani pamoja na ufaransa hivyo alipelekwa
panama 23|09|2011. Norriega alifariki katika hospitali ya Santo Thomas
katika jiji la Panama 29|05|2017 miezi miwili baada ya uperation ya
ubongo.<br />
<br />
<b>MAISHA YA MWANZO NA FAMILIA</b><br />
<br />
Noriega alizaliwa katika jiji la panama,katika familia ya kimasikini ya
mestizo au mchanganyiko wa rangi ambayo inajumuisha wazawa wa
marekani,waafrica na waspaniola.Mama yake anazungumziwa kuwa mpishi na
dobi na baba yake alikua muhasibu na hakuishi muda mrefu na mama yake
alifariki kwa maradhi ya kifua kikuu wakati Noriega akiwa mdogo.Noriega
alilelewa na bibi yake katika apatimenti ya chumba kimoja katika makazi
ya watu wengi holela (slum) za mji wa Terraplen.Waandishi wa habari na
wa vitabu wanasema kwamba sio mtoto halali wa Ricaurte Noriega bali ni
mtoto wa house boy wao ambaye uinasadikiwa alitembea na mama mwenye
nyumba ,houseboy huyo alijulikana kwa jina la Moreno.<br />
<br />
Norriega alipata elimu yake ya mwanzo Escuela República de México, na
baadae katika shule ya sekondari inayoheshimika sana jijini Panama kwa
kuzalisha wanamapinduzi wengi na viongozi wa kisiasa ya <a class="externalLink" href="https://en.wikipedia.org/wiki/Instituto_Nacional_General_Jos%C3%A9_Miguel_Carrera" rel="nofollow" target="_blank">Instituto Nacional</a>
. Akiwa katika shule hizi alikua naelezewa kama kijana ambaye yuko
makini muda wote. Pia anaelezewa kama kijana aliyependa sana kusoma na
alikua anavishwa vizuri na mlezi wake.<br />
<br />
wakati akiwa <a class="externalLink" href="https://en.wikipedia.org/wiki/Instituto_Nacional_General_Jos%C3%A9_Miguel_Carrera" rel="nofollow" target="_blank">Instituto Nacional</a>,
alikutana na kaka yake luis ambaye ni nduguyake na alikua mwanaharakati
katika shule hiyo ,norriega kabla ya hapo hakuwahi kukutana na ndugu wa
kuzaliwa kwa upande wowote sio mama wala baba. Huyu Luis ndiye hasa
alimleta Norriega kwenye siasa na kumpeleka kwenye chama cha kijamaa
upande wa vijana. Kuna wakati alikua akiishi pamoja na kaka yake. Wakati
akiwa katika chama hicho upande wa vijana alishiriki katika maandamano
na pia kuandika baadhi ya makala ya kukosoa uwepo wa Mrekani katika
Panama.Katika wakati huu ndio inasadikiwa kwamba ndipo wamerekani
walimchukua katika kitengo chao cha intelijensia na alikua akitumiaka
katika kuwapa taarifa wamarekani za kikundi cha wanaharakati wenzake
akiwemo kaka yake. aliendelea kufanya kazi na wamerekani katika sehemu
mbalimbali mpakamwaka 1980 na inasadikiwa aliwahi kulipwa kiasi cha usd
10.70 mwaka 1955 ambapo ilikua ni moja ya malipo ya awali ambayo
aliendelea kulipwa kwa mda mrefu kwa kutoa taarifa hizo.<br />
<br />
Baada ya kumaliza katika shule ya Instituto Nacional alipata scholarship kwenye chuo cha mafunzo ya kijeshi cha <a class="externalLink" href="https://en.wikipedia.org/wiki/Chorrillos_Military_School" rel="nofollow" target="_blank">Chorrillos Military School</a>
kilichopo Nchini Peru mjini Lima kwa kusaidiana na Luis ambaye tayari
alikua anafanya kazi katika ubalozi wa panama nchini Peru.Alikua na
ndoto zilizoota mbawa za kuwa daktari ila alishindwa kupata nafasi
katika chuo kikuu cha Panama. Akiwa nchini peru alitengeneza urafiki na <a class="externalLink" href="https://en.wikipedia.org/wiki/Roberto_D%C3%ADaz_Herrera" rel="nofollow" target="_blank">Roberto Díaz Herrera</a>, ambaye baadae alikuja kuwa rafiki wa karibu na muhimu sana.<br />
<br />
Norriega baadae alioana na Felicidad Sieiro de Noriega, ambaye
walikutana mwaka 1960 na walifanikiwa kupata mabinti watatu ambao ni
Lorena, Sandra and Thays Noriega. Siero alikua ni mwalimu wa shule na
Norriega alikua mwanajeshi. familia ya mkewe Norriega haikufurahishwa na
ndoa hiyo, pamoja na hayo Norriega anaonekana hakuwa na utulivu katika
ndoa yao na mara kadhaa mkewe alisikika akitaka ndoa hiyo ivunjwe
ingawaje baadae alibadili mawazo na kuendelee na mumewe. wahusika hawa
wanne wa familia hii ya Norriega wanaripotiwa kwamba walikuwepo wazima
wa afya wakati wa kifo cha Norriega.<script async="" src="//pagead2.googlesyndication.com/pagead/js/adsbygoogle.js"></script>
<!-- barner -->
<br />
<ins class="adsbygoogle" data-ad-client="ca-pub-8699121076413513" data-ad-slot="8927094585" style="display: inline-block; height: 60px; width: 500px;"></ins><script>
(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({});
</script>Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/09786424478000544580noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-3347815323000470255.post-34652267233205088242017-08-16T10:27:00.000+03:002017-08-16T10:27:08.317+03:00J.EDGAR HOOVER KACHERO TISHIO ZAIDI DUNIANI<script async="" src="//pagead2.googlesyndication.com/pagead/js/adsbygoogle.js"></script>
<!-- barner -->
<br />
<br />
<img alt="[IMG]" class="bbCodeImage LbImage" data-url="https://cdn.mpasho.co.ke/wp-content/uploads/2015/08/j_edgar1.jpg?x91596" src="https://cdn.mpasho.co.ke/wp-content/uploads/2015/08/j_edgar1.jpg?x91596" /><br />
<br />
1. Jina lake halisi ni John Edgar Hoover lakini alipenda kujulikana
zaidi kama J. Edgar Hoover. Ni Kachero aliyeheshimika na kuogopwa zaidi
ndani ya FBI na Marekani kwa ujumla, ni mtu aliyekuwa na matukio mengi
ya kutatanisha.<br />
<br />
2. Ndio muasisi wa Shirika la Upelelezi nchini Marekani ( FBI ) baada ya
kutoa wazo la kuanzishwa kwake mnamo mwaka 1935. FBI ilianzishwa
ikichukua nafasi ya Bureau Of Investigation ( BOI ) ambapo J. Edgar
Hoover pia alikuwa ni Mkurugenzi wake kuanzia mwaka 1924 mpaka 1935.
Lengo la kuanzishwa kwa FBI ilikuwa ni kuongeza ufansi katika kupambana
na uhalifu ndani ya Marekani.<br />
<br />
3. J. Edgar Hoover ndio Mkurugenzi wa kwanza kabisa wa FBI akidumu
kwenye cheo hiko kuanzia mwaka 1935 mpaka 1972 alipofariki Dunia akiwa
na miaka 77 ( Alifia Madarakani ). Alidumu kama Mkurugenzi wa FBI kwa
miaka 32, hakuna Mkurugenzi aliyekaa muda mrefu zaidi kama Hoover. Jengo
la Makao Makuu ya FBI limepewa jina lake na linajulikana kama " J.
Edgar Hoover Building "<br />
<br />
4. Katika miaka yake 32 kama Mkurugenzi wa FBI, Edgar Hoover alihudumu
kwa Marais 6 tofauti na hakuwa na mahusiano mazuri na Marais hao. Marais
hao ni Franklin D. Roosevelt, Harry S. Truman, Dwight D. Eisenhower,
John F. Kennedy, Lyndon B. Johnson na Richard Nixon. Rais Richard Nixon
aliwahi kusema alikaribia kumfukuza kazi Edgar Hoover lakini alimhofia
Hoover angemharibia mambo yake ya kisiasa. Huku Rais Harry S. Truman
akisema Hoover aliifanya FBI kama jeshi lake la siri.<br />
<br />
5. Inasemekana Edgar Hoover aliogopwa zaidi ndani ya Marekani kutokana
na kuwa na mafaili machafu ya watu maarufu na hata Marais. Ndio maana
Marais 6 katika vipindi tofauti tofauti walishindwa kumfukuza kazi
wakihofia usalama wao zaidi. Mbinu mojawapo aliyokuwa akiitumia Edgar
Hoover ni kurekodi mawasiliano ya Marais waliokuwa madarakani na kutumia
kama kinga ya kujihami asitumbuliwe. Mfano Rais John F. Kennedy
alirekodiwa maongezi yake ya kimapenzi na mrembo matata wa miaka hiyo
Marylin Monroe.<br />
<br />
6. J. Edgar Hoover aliogopwa pia ndani ya FBI kwani alitumia mbinu chafu
katika kuhakikisha hakuna mtu maarufu zaidi yake ndani ya Shirika hilo.
Mfano ni kuwastaafisha kazi au kuwaua baadhi ya maofisa waliokuwa
wanataka kumzidi umaarufu na kutishia usalama wa nafasi yake kama vile
Kachero Melvin Purvis ambaye alisifika sana ndani ya FBI miaka ya 1930's
kwa kudili na Majambazi. Lakini Kachero Melvin Purvis aliacha kazi
ghafla na kufariki kifo tata.<br />
<br />
7. J. Edgar Hoover alisifika kwa kuwashughukia wahalifu wakubwa
waliovunja na kuiba katika Mabenki nchini Marekani katika kipindi cha
World Economic Depression miaka ya 1930's. Baadhi ya wahalifu sugu
waliokamatwa au kuuwawa kipindi hiko ni John Dillinger, Baby Face
Nelson, Pretty Boy Floyd na wengineo.<br />
Pia inasemekana aliratibu baadhi ya mauaji ya wanaharakati kama vile Martin Luther King Jr.<br />
<br />
8. J. Edgar Hoover hakuwahi kuoa, kuwa na mwanamke wala kupata mtoto
katika maisha yake Duniani. Ni bachela wa muda mrefu sana, na kuna
tetesi ziliwahi kuvuma kuwa ni shoga lakini hakuna aliyethibitisha hilo.
Kuna wanaosema kazi yake ilimfanya awe bize zaidi na kusahau mambo ya
muhimu kama kuoa.<br />
<br />
9. Mtu pekee Edgar Hoover aliyemuamini katika shirika la FBI ni
secretary wake bi Helen Gandy. Mama huyu alikuwa ni mtu wa karibu sana
wa Edgar Hoover walifanya kazi kwa pamoja kwa miaka 54 na ndiye
aliyekuwa anatunza siri nyingi za Edgar Hoover. Kama ilivyo kwa bosi
wake, Bi Hellen Gandy hakuwahi kuolewa wala kupata mtoto. Alichoma moto
nyaraka muhimu za bosi wake punde tu baada ya kifo chake ikiwa ni sehemu
ya kiapo chake. Alistafu kazi ndani ya FBI siku moja baada ya kifo cha
J. Edgar Hoover.<br />
<br />
10. Kwa kuhofia asije akajitokeza mtu mwingine mwenye mawazo kama ya J.
Edgar Hoover, serikali ya Marekani kwa kutumia Bunge lake ilitengeneza
sheria ya muda wa ukomo wa madaraka kwa Mkurugenzi wa FBI, ambapo
anatakiwa asizidi miaka 10 madarakani. Kwani walijifunza kutokana na
Hoover kukaa madarakani miaka 32 na kufanya shirika la FBI kama mali
yake hivyo kuwatesa Marais wengi.<br />
<br />
<script>
(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({});
</script>Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/09786424478000544580noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-3347815323000470255.post-6711550135545167062017-08-16T10:25:00.002+03:002017-08-16T10:25:32.056+03:00FUVU NA MIFUPA , JAMII YA SIRI YA KISHETANI INAYOIONGOZA DUNIA<script async="" src="//pagead2.googlesyndication.com/pagead/js/adsbygoogle.js"></script>
<!-- barner -->
<br />
<form action="inline-mod/post/switch" class="InlineModForm section" data-controls="#InlineModControls" data-cookiename="posts" data-imodoptions="#ModerationSelect option" method="post">
<ol class="messageList" id="messageList">
<li class="message
firstPost_orginal" data-author="Guru Master" id="post-20884310"><div class="messageInfo primaryContent">
<div class="messageContent">
<article>
<blockquote class="messageText SelectQuoteContainer ugc baseHtml">
<img alt="president of usa skull and bones.jpg" class="bbCodeImage LbImage " height="633" src="https://www.jamiiforums.com/attachments/president-of-usa-skull-and-bones-jpg.502158/" width="640" />
<br />
Tarehe 10 February mwaka 2017 ilikuwa ni siku ya kutimiza miaka 100 tangu kifo cha <b>Geronimo</b>
ambaye alikuwa ni shujaa kutoka Jamii ya Apache( hawa ni mashujaa wa
wahindi wekundu au wakazi asilia wa Taifa la marekani maarufu kama <b>Red Indians</b>) Ndugu mmoja katika jamii hii alifungua mashtaka akiwashtaki <b>Skull and bones</b>
jamii ya Siri ambayo ilianzia chuo kikuu cha Yale huko marekani kuwa
iruhusika na kuiba mabaki ya Geronimo. Miaka kadhaa imekuwa ikipigiwa
kelele jamii hii ya Fuvu na Mifupa kuwa imeshikilia mabaki ya Geronimo
ikiyatumia kwa shughuli zake za kiimani.<br />
<br />
<b>Haryln Geronimo </b>mwenye miaka 61 anasema <i>“ naamini kabisa toka moyoni mwangu kuwa roho ya Geronimo haikuachiliwa” </i>akiwaambia waandishi wa habari waliokusanyika wakifuatilia tukio hili lililohusisha jamii hii ya Skull and Bones. <b>huyu ni kitukuu cha Geronimo</b> .<br />
<br />
Inasemekana kuwa Wakongwe Kama <b>Prescott S. Bush</b> ambaye ni baba wa Aliyekuwa <b>Rais George W. Bush </b>na Babu wa <b>George W. Bush</b> . huyu na wenzie wengine wanachama wa Skull and Bones walichimba mabaki ya Geronimo toka kaburini mwaka <b>1918 WAKAIBA FUVU LA HUYU SHUJAA, NA MIFUPA MIWILI</b>
na mavazi ya kivita kutoka katika Kaburi lake huko Fort Sill ( Ujue
kuwa hizi imani za kuchimba makaburi na kuiba vitu flan zipo hata kwa
wazungu si afrika tu ) na jamii hii ikachukua mabaki haya na kuyaweka
Makao yao Makuu ambayo yalikuwa yameanzishwa toka mwaka 1832.<br />
<br />
<img alt="yaleskull.jpg" class="bbCodeImage LbImage " src="https://www.jamiiforums.com/attachments/yaleskull-jpg.502159/" />
<br />
<br />
<b>Conspiracy Mbalimbali Kuhusiana na Skull and Bones</b><br />
<br />
Kuna mambo mengi ambayo yamekuwa yakizungumzwa kuhusiana na kundi au jamii hii. Inasemekana hawa ndio <b>waliohusika na utengenezaji wa bomu la nyuklia mpaka kuuawa kwa J.F. Kennedy.</b>
Ni kundi ambalo wengi nchi za huku kwetu hawajalifaham lakini kwa Huko
kwa wenzetu ni Kundi kubwa na la kutisha sana. Hili ni Kundi lenye
viongozi wakubwa sana duniani likihuishwa na miaka ile lilipokuwepo
kundi la mafia.. <b>kuwa hili ni kundi la mafia la kimataifa.</b><br />
<br />
Skull and Bones wamehusika na Ku endesha Utajiri wa Carnegie,
Rockefeller na Familia ya Ford na pia kujihusisha na CIA, American
Psychological association , Baraza la Mahusiano ya Kimataifa na pia
Baadhi ya Makampuni makubwa ya Sheria Kimataifa.<br />
<br />
Mwaka 2004 wakat wa uchaguzi wa Urais waliokuwa wagombea wa <b>Republic na Democratic</b> walikuwa ni wanachama wa jamii hii. Ingawa haya hayakusemwa sana maana ilikuwa ni siri. <b>Johnn Kerry</b> alipoulizwa jambo hili alijibu kifupi tu kuwa “ni siri na siwezi zungumzia jambo hilo” na <b>Bush W.</b>
naye pia alipata kuzungumzia hili kwa hali ya kutotaka liendelee kuwa
gumzo hivyo kwa Kiswahili kingine ni kuwa alilipotezea. Uhusika wa watu
katika Jamii hii ni wa siri sana.<br />
<img alt="George w Bush in skull and bones.jpg" class="bbCodeImage LbImage " src="https://www.jamiiforums.com/attachments/george-w-bush-in-skull-and-bones-jpg.502161/" />
<br />
<br />
<b>William Russell</b> alikuwa mwanafunzi wa chuo kikuu cha Yale. Huyu
ndiye aliyeanzisha jamii hii ya kishetani yenye nguvu kubwa bada ya kuwa
aliwah kukaa Ujeruman akiwa mwanchama wa kundi moja la siri sana
duniani likiwepo kundi pia la <b>ILLUMINATI</b>. Rusell alirudi USA akiwa amedhamiria kuanzisha jamii ya siri ya aina yake na akamwambia <b>Alfonso Taft</b> ambaye mtoto wake alikuja kuwa Rais <b>William H.</b> <b>Taf</b>t kuwa mmoja ya wanachama wa Kundi hili la <b>Udugu wa Kifo </b>“<b>The Brotherhood of Death</b>” ambalo baadaye ndo likaja kufahamiaka kuwa ni “The order of Skulla and Bones” wanachama walikuwa wakimuabudu <b>Eulogia</b>
huyu ni mungu ambaye inasemekana alikuwa na nguvu za kufanya mtu awe na
nguvu ya kuongea mbele za watu na kukubalika, kutukuzwa na kuwa mwenye
Umiliki wa Dunia.<br />
<br />
Fuvu na Mifupa ilianzishwa chuo kikuu cha yale ambacho ni cha Tatu kwa
Uzaman Huko Marekani kwa maana ya kuwa ni chuo cha zamani sana katika
namba ya vyuo vya zaman usa kinashika namba tatu. Jamii hii imekuwa n
ibada zake na mambo mablimbali ambayo yamekuwa ni alama zao I pamoja na
nyoka na kutoka sadaka zao kwa mungu wao maybe actually ni shetani ila
kwa jina linguine. Wanachama wa kundi hili hupatikana kwa njia ya siri
sana na wala huwezi ona matangazo au mtu akijitangaza kuwa yeye ni
wmanachama wa kundi hili. Baadaye hupelekwa sehemu ya ibada yao kwa
ajili ya kufanyiwa ibada ya kuapishwa kuwa atakuwa mwanachama mwaminifu
mpaka kufa.<br />
<br />
Wengi wamekuwa wakisikia habari za freemason na illuminati, kundi hili
ni kubwa sana na lenye nguvu kubwa sana kiuchumi na kiutawala duniani.
Umakini wao umewafanya waendelee kuwa kimya pasipo kujulikana sana kama
yalivyo makundi mengine. Na bado limekuwa likihusika sana katika makundi
mengine kwa nia ya kujitanua na kujipa nguvu.<br />
<br />
Hii dunia tunaishi ila kuna watu wanaiendesha na kupanga matukio
mbalimbali. Kuna watu wanaamua nani awe rais na kwa sababu zao wao. Ni
mambo machache sana ambayo yanatokea pasipo watu flan kuwa wamepanga
yawe.<br />
<img alt="The-Order-of-Skull-and-Bones-secret-society-960x683.jpg" class="bbCodeImage LbImage " src="https://www.jamiiforums.com/attachments/the-order-of-skull-and-bones-secret-society-960x683-jpg.502162/" /></blockquote>
</article></div>
</div>
</li>
</ol>
</form>
<script>
(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({});
</script>Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/09786424478000544580noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-3347815323000470255.post-25262393221249889882017-08-13T17:38:00.003+03:002017-08-13T17:38:31.413+03:00MAMBO 14 KUHUSU WANAOOTUMIA MIKONO YA KUSHOTO<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<script async="" src="//pagead2.googlesyndication.com/pagead/js/adsbygoogle.js"></script>
<!-- barner -->
<br />
<br />
<br />
<br />
<br />
<br />
<img alt="Barack Obama" class="responsive-image__img js-image-replace" data-highest-encountered-width="624" height="960" src="https://ichef-1.bbci.co.uk/news/624/cpsprodpb/BA0F/production/_97313674_f2693cc7-4a94-477a-9b5b-71021ebe92eb.jpg" width="720" /><br />
<br />
<!--[if gte mso 9]><xml>
<w:WordDocument>
<w:View>Normal</w:View>
<w:Zoom>0</w:Zoom>
<w:TrackMoves/>
<w:TrackFormatting/>
<w:PunctuationKerning/>
<w:ValidateAgainstSchemas/>
<w:SaveIfXMLInvalid>false</w:SaveIfXMLInvalid>
<w:IgnoreMixedContent>false</w:IgnoreMixedContent>
<w:AlwaysShowPlaceholderText>false</w:AlwaysShowPlaceholderText>
<w:DoNotPromoteQF/>
<w:LidThemeOther>EN-US</w:LidThemeOther>
<w:LidThemeAsian>X-NONE</w:LidThemeAsian>
<w:LidThemeComplexScript>X-NONE</w:LidThemeComplexScript>
<w:Compatibility>
<w:BreakWrappedTables/>
<w:SnapToGridInCell/>
<w:WrapTextWithPunct/>
<w:UseAsianBreakRules/>
<w:DontGrowAutofit/>
<w:SplitPgBreakAndParaMark/>
<w:DontVertAlignCellWithSp/>
<w:DontBreakConstrainedForcedTables/>
<w:DontVertAlignInTxbx/>
<w:Word11KerningPairs/>
<w:CachedColBalance/>
</w:Compatibility>
<w:BrowserLevel>MicrosoftInternetExplorer4</w:BrowserLevel>
<m:mathPr>
<m:mathFont m:val="Cambria Math"/>
<m:brkBin m:val="before"/>
<m:brkBinSub m:val="--"/>
<m:smallFrac m:val="off"/>
<m:dispDef/>
<m:lMargin m:val="0"/>
<m:rMargin m:val="0"/>
<m:defJc m:val="centerGroup"/>
<m:wrapIndent m:val="1440"/>
<m:intLim m:val="subSup"/>
<m:naryLim m:val="undOvr"/>
</m:mathPr></w:WordDocument>
</xml><![endif]--><br />
<!--[if gte mso 9]><xml>
<w:LatentStyles DefLockedState="false" DefUnhideWhenUsed="true"
DefSemiHidden="true" DefQFormat="false" DefPriority="99"
LatentStyleCount="267">
<w:LsdException Locked="false" Priority="0" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" QFormat="true" Name="Normal"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="9" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" QFormat="true" Name="heading 1"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="9" QFormat="true" Name="heading 2"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="9" QFormat="true" Name="heading 3"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="9" QFormat="true" Name="heading 4"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="9" QFormat="true" Name="heading 5"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="9" QFormat="true" Name="heading 6"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="9" QFormat="true" Name="heading 7"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="9" QFormat="true" Name="heading 8"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="9" QFormat="true" Name="heading 9"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="39" Name="toc 1"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="39" Name="toc 2"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="39" Name="toc 3"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="39" Name="toc 4"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="39" Name="toc 5"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="39" Name="toc 6"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="39" Name="toc 7"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="39" Name="toc 8"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="39" Name="toc 9"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="35" QFormat="true" Name="caption"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="10" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" QFormat="true" Name="Title"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="1" Name="Default Paragraph Font"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="11" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" QFormat="true" Name="Subtitle"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="22" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" QFormat="true" Name="Strong"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="20" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" QFormat="true" Name="Emphasis"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="59" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Table Grid"/>
<w:LsdException Locked="false" UnhideWhenUsed="false" Name="Placeholder Text"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="1" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" QFormat="true" Name="No Spacing"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="60" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Light Shading"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="61" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Light List"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="62" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Light Grid"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="63" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium Shading 1"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="64" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium Shading 2"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="65" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium List 1"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="66" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium List 2"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="67" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium Grid 1"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="68" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium Grid 2"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="69" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium Grid 3"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="70" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Dark List"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="71" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Colorful Shading"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="72" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Colorful List"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="73" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Colorful Grid"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="60" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Light Shading Accent 1"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="61" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Light List Accent 1"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="62" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Light Grid Accent 1"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="63" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium Shading 1 Accent 1"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="64" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium Shading 2 Accent 1"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="65" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium List 1 Accent 1"/>
<w:LsdException Locked="false" UnhideWhenUsed="false" Name="Revision"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="34" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" QFormat="true" Name="List Paragraph"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="29" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" QFormat="true" Name="Quote"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="30" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" QFormat="true" Name="Intense Quote"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="66" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium List 2 Accent 1"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="67" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium Grid 1 Accent 1"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="68" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium Grid 2 Accent 1"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="69" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium Grid 3 Accent 1"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="70" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Dark List Accent 1"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="71" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Colorful Shading Accent 1"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="72" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Colorful List Accent 1"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="73" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Colorful Grid Accent 1"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="60" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Light Shading Accent 2"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="61" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Light List Accent 2"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="62" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Light Grid Accent 2"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="63" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium Shading 1 Accent 2"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="64" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium Shading 2 Accent 2"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="65" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium List 1 Accent 2"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="66" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium List 2 Accent 2"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="67" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium Grid 1 Accent 2"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="68" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium Grid 2 Accent 2"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="69" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium Grid 3 Accent 2"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="70" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Dark List Accent 2"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="71" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Colorful Shading Accent 2"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="72" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Colorful List Accent 2"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="73" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Colorful Grid Accent 2"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="60" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Light Shading Accent 3"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="61" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Light List Accent 3"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="62" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Light Grid Accent 3"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="63" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium Shading 1 Accent 3"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="64" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium Shading 2 Accent 3"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="65" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium List 1 Accent 3"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="66" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium List 2 Accent 3"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="67" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium Grid 1 Accent 3"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="68" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium Grid 2 Accent 3"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="69" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium Grid 3 Accent 3"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="70" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Dark List Accent 3"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="71" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Colorful Shading Accent 3"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="72" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Colorful List Accent 3"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="73" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Colorful Grid Accent 3"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="60" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Light Shading Accent 4"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="61" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Light List Accent 4"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="62" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Light Grid Accent 4"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="63" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium Shading 1 Accent 4"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="64" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium Shading 2 Accent 4"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="65" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium List 1 Accent 4"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="66" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium List 2 Accent 4"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="67" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium Grid 1 Accent 4"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="68" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium Grid 2 Accent 4"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="69" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium Grid 3 Accent 4"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="70" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Dark List Accent 4"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="71" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Colorful Shading Accent 4"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="72" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Colorful List Accent 4"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="73" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Colorful Grid Accent 4"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="60" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Light Shading Accent 5"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="61" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Light List Accent 5"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="62" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Light Grid Accent 5"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="63" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium Shading 1 Accent 5"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="64" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium Shading 2 Accent 5"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="65" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium List 1 Accent 5"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="66" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium List 2 Accent 5"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="67" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium Grid 1 Accent 5"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="68" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium Grid 2 Accent 5"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="69" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium Grid 3 Accent 5"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="70" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Dark List Accent 5"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="71" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Colorful Shading Accent 5"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="72" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Colorful List Accent 5"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="73" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Colorful Grid Accent 5"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="60" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Light Shading Accent 6"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="61" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Light List Accent 6"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="62" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Light Grid Accent 6"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="63" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium Shading 1 Accent 6"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="64" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium Shading 2 Accent 6"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="65" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium List 1 Accent 6"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="66" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium List 2 Accent 6"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="67" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium Grid 1 Accent 6"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="68" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium Grid 2 Accent 6"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="69" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium Grid 3 Accent 6"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="70" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Dark List Accent 6"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="71" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Colorful Shading Accent 6"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="72" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Colorful List Accent 6"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="73" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Colorful Grid Accent 6"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="19" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" QFormat="true" Name="Subtle Emphasis"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="21" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" QFormat="true" Name="Intense Emphasis"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="31" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" QFormat="true" Name="Subtle Reference"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="32" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" QFormat="true" Name="Intense Reference"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="33" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" QFormat="true" Name="Book Title"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="37" Name="Bibliography"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="39" QFormat="true" Name="TOC Heading"/>
</w:LatentStyles>
</xml><![endif]--><!--[if gte mso 10]>
<style>
/* Style Definitions */
table.MsoNormalTable
{mso-style-name:"Table Normal";
mso-tstyle-rowband-size:0;
mso-tstyle-colband-size:0;
mso-style-noshow:yes;
mso-style-priority:99;
mso-style-qformat:yes;
mso-style-parent:"";
mso-padding-alt:0in 5.4pt 0in 5.4pt;
mso-para-margin-top:0in;
mso-para-margin-right:0in;
mso-para-margin-bottom:10.0pt;
mso-para-margin-left:0in;
line-height:115%;
mso-pagination:widow-orphan;
font-size:11.0pt;
font-family:"Calibri","sans-serif";
mso-ascii-font-family:Calibri;
mso-ascii-theme-font:minor-latin;
mso-hansi-font-family:Calibri;
mso-hansi-theme-font:minor-latin;
mso-bidi-font-family:"Times New Roman";
mso-bidi-theme-font:minor-bidi;}
</style>
<![endif]-->
<br />
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; mso-margin-bottom-alt: auto; mso-margin-top-alt: auto; text-align: justify;">
<span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 12.0pt; mso-fareast-font-family: "Times New Roman";">Watu
wengi duniani hutumia mkono wa kulia kwa shughuli nyingi na si ajabu kwamba
vitu vingi huundwa kwa kuwafikiria wanaotumia mkono wa kulia.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; mso-margin-bottom-alt: auto; mso-margin-top-alt: auto; text-align: justify;">
<span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 12.0pt; mso-fareast-font-family: "Times New Roman";">Wanaotumia
mkono wa kushoto husumbuka sana katika kutumia vitu kama vile mkasi, vitabu au
hata kufungua milango.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; mso-margin-bottom-alt: auto; mso-margin-top-alt: auto; text-align: justify;">
<span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 12.0pt; mso-fareast-font-family: "Times New Roman";">Fikiria
pia kuhusu kipanya katika vituo vya kupokea huduma ya mtandao, mara nyingi
utapata kimewekwa upande wa kulia.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; mso-margin-bottom-alt: auto; mso-margin-top-alt: auto; text-align: justify;">
<span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 12.0pt; mso-fareast-font-family: "Times New Roman";">Kuna
pia viti vyenye sehemu ya kuandikia vyuoni, ni vichache sana hujengwa kwa
matumizi ya watu wanaotumia mkono wa kushoto.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; mso-margin-bottom-alt: auto; mso-margin-top-alt: auto; text-align: justify;">
<span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 12.0pt; mso-fareast-font-family: "Times New Roman";">Siku
ya watu wanaotumia mkono wa kushoto huadhimishwa kila mwaka tarehe 13 Agosti.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; mso-margin-bottom-alt: auto; mso-margin-top-alt: auto; text-align: justify;">
<span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 12.0pt; mso-fareast-font-family: "Times New Roman";">Siku
hii iliadhimishwa mara ya kwanza mwaka 1976.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; mso-margin-bottom-alt: auto; mso-margin-top-alt: auto; mso-outline-level: 2; text-align: justify;">
<b><span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 12.0pt; mso-fareast-font-family: "Times New Roman";">Haya hapa ni baadhi ya mambo kumi ya kushangaza kuhusu watu
wanaotumia mkono wa kushoto:</span></b></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; mso-margin-bottom-alt: auto; mso-margin-top-alt: auto; text-align: justify;">
<span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 12.0pt; mso-fareast-font-family: "Times New Roman";">1.Asilimia
kumi kati ya watu wote duniani hutumia mkono wa kushoto, na kiwango hiki
kimesalia hivyo kwa muda mrefu. Wanaume wana uwezekano mkubwa wa kuwa wanatumia
mkono wa kushoto.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; mso-margin-bottom-alt: auto; mso-margin-top-alt: auto; text-align: justify;">
<span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 12.0pt; mso-fareast-font-family: "Times New Roman";">2.Kwa
muda mrefu katika jamii nyingi, watu wenye kutumia mkono wa kushoto
walichukuliwa kuwa dhaifu. Si ajabu kwamba huenda uliwaona au unawaona watoto
wanaochapwa sana kwa kutumia mkono wa kushoto wakila au wakiandika. Katika
baadhi ya jamii, kutumia mkono wa kushoto huhusishwa na uchawi.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; mso-margin-bottom-alt: auto; mso-margin-top-alt: auto; text-align: justify;">
<span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 12.0pt; mso-fareast-font-family: "Times New Roman";">3.Kumsalimia
mtu kwa kutumia mkono wa kushoto kumekuwa kukitazamwa kama kumkosea mtu
heshima. Hii ni kwa sababu watu zamani walikuwa wakitumia mkono wa kushoto
kujitakasa baada ya kwenda msalani.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; mso-margin-bottom-alt: auto; mso-margin-top-alt: auto; text-align: justify;">
<span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 12.0pt; mso-fareast-font-family: "Times New Roman";">4.Bingwa
wa tenisi duniani Rafael Nadal alibadilisha na kuanza kutumia mkono wake wa
kushoto akicheza - kutokana na imani ya mkufunzi wake Toni Nadal kwamba
ingempatia nafuu kiasi akikabiliana na wachezaji wengine uwanjani.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; mso-margin-bottom-alt: auto; mso-margin-top-alt: auto; text-align: justify;">
<span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 12.0pt; mso-fareast-font-family: "Times New Roman";">5.Mrengo
wa kushoto? Jina hili lilianza kutumiwa miaka ya 1790 baada ya mapinduzi ya
Ufaransa na kuondolewa kwa utawala wa kifalme. Wawakilishi wa chama cha
kishoshialisto katika bunge walikuwa wakikaa upande wa kushoto wa kiongozi wa
vikao. Wat wa mrengo wa kushoto wakati huo walikuwa wakitazamwa kama maadui wa
wasomi na watawala.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; mso-margin-bottom-alt: auto; mso-margin-top-alt: auto; text-align: justify;">
<span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 12.0pt; mso-fareast-font-family: "Times New Roman";">6.Kwa
muda mrefu, dini ya Kikristo ilihusisha upande wa kushoto na maovu. Kwenye
picha nyingi za Siku ya Kiama, wale waovu (mbuzi) hutumwa upande wa kushoto nao
wale wa kuokolewa (kondoo) hutumwa upande wa kulia. Wakati wa kusulubiwa kwa
Yesu, mwizi aliyetubu alikuwa amewekwa upande wa kulia na yule mwovu alikuwa
upande wa kushoto.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; mso-margin-bottom-alt: auto; mso-margin-top-alt: auto; text-align: justify;">
<span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 12.0pt; mso-fareast-font-family: "Times New Roman";">7.Watano
kati ya marais wanane wa karibuni zaidi nchini Marekani hutumia mkono wa
kushoto kuandika. Marais hao ni Gerald Ford, Ronald Reagan, George H.W. Bush,
Bill Clinton, na Barack Obama.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; mso-margin-bottom-alt: auto; mso-margin-top-alt: auto; text-align: justify;">
<span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 12.0pt; mso-fareast-font-family: "Times New Roman";">8.Kuna
pahala penye jina Left Hand (Mkono wa Kushoto). Eneo hilo hupatikana katika
jimbo la West Virginia na hutokana na kijito cha Lefthand Run.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; mso-margin-bottom-alt: auto; mso-margin-top-alt: auto; mso-outline-level: 2; text-align: justify;">
<b><span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 12.0pt; mso-fareast-font-family: "Times New Roman";">Miongoni mwa watu mashuhuri wanaotumia au waliotumia mkono
wa kushoto:</span></b></div>
<ul type="disc">
<li class="MsoNormal" style="line-height: normal; mso-list: l0 level1 lfo1; mso-margin-bottom-alt: auto; mso-margin-top-alt: auto; tab-stops: list .5in; text-align: justify;"><span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 12.0pt; mso-fareast-font-family: "Times New Roman";">Rais wa zamani wa Marekani
Barack Obama</span></li>
<li class="MsoNormal" style="line-height: normal; mso-list: l0 level1 lfo1; mso-margin-bottom-alt: auto; mso-margin-top-alt: auto; tab-stops: list .5in; text-align: justify;"><span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 12.0pt; mso-fareast-font-family: "Times New Roman";">Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta</span></li>
<li class="MsoNormal" style="line-height: normal; mso-list: l0 level1 lfo1; mso-margin-bottom-alt: auto; mso-margin-top-alt: auto; tab-stops: list .5in; text-align: justify;"><span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 12.0pt; mso-fareast-font-family: "Times New Roman";">Waziri Mkuu wa Israel Benjamin
Netanyahu</span></li>
<li class="MsoNormal" style="line-height: normal; mso-list: l0 level1 lfo1; mso-margin-bottom-alt: auto; mso-margin-top-alt: auto; tab-stops: list .5in; text-align: justify;"><span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 12.0pt; mso-fareast-font-family: "Times New Roman";">Mwanamfalme William wa
Uingereza</span></li>
<li class="MsoNormal" style="line-height: normal; mso-list: l0 level1 lfo1; mso-margin-bottom-alt: auto; mso-margin-top-alt: auto; tab-stops: list .5in; text-align: justify;"><span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 12.0pt; mso-fareast-font-family: "Times New Roman";">Msanii Angelina Jolie</span></li>
</ul>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; mso-margin-bottom-alt: auto; mso-margin-top-alt: auto; mso-outline-level: 2; text-align: justify;">
<b><span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 12.0pt; mso-fareast-font-family: "Times New Roman";">Sikio la kushoto</span></b></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; mso-margin-bottom-alt: auto; mso-margin-top-alt: auto; text-align: justify;">
<span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 12.0pt; mso-fareast-font-family: "Times New Roman";">Kwa
jumla, watu 40% duniani hutumia zaidi sikio la kushoto kusikia, 30% hutumia
jicho la kushoto na 20% hutumia zaidi mguu wa kushoto.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; mso-margin-bottom-alt: auto; mso-margin-top-alt: auto; mso-outline-level: 2; text-align: justify;">
<b><span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 12.0pt; mso-fareast-font-family: "Times New Roman";">Mabingwa wa tenisi</span></b></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; mso-margin-bottom-alt: auto; mso-margin-top-alt: auto; text-align: justify;">
<span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 12.0pt; mso-fareast-font-family: "Times New Roman";">Ingawa
ni asilimia 10% ya watu duniani hutumia zaidi mkono wa kushoto, tangu kuanza
kwa enzi ya Open katika mchezi wa tenisi duniani, 23% ya mataji ya Wimbledon ya
mchezaji mmoja mmoja yameshindwa na wachezaji wanaotumia mikono ya kushoto.</span></div>
<br />
<script>
(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({});
</script></div>
Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/09786424478000544580noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-3347815323000470255.post-66577845138188074752017-08-12T09:38:00.003+03:002017-08-12T09:38:29.283+03:00MAISHA KATIKA DUNIA YALITOKA WAPI NA YALIANZAJE? <div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<br /><div class="post-header">
</div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify;">
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiZvVFR3Yd6Y_RRCcP1qdynJ9SQMfJWRDnWJCZMP85FlovVKsl6pK919lbHTJuYuilGb_fuzAqHfalh57VoZYVTv_oLqLLw-Tq2-brglRDQmzwoBetyaFAjLsjlbo4fMXu_fVZhVkoU-vQ/s1600/life+begin.jpg" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="480" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiZvVFR3Yd6Y_RRCcP1qdynJ9SQMfJWRDnWJCZMP85FlovVKsl6pK919lbHTJuYuilGb_fuzAqHfalh57VoZYVTv_oLqLLw-Tq2-brglRDQmzwoBetyaFAjLsjlbo4fMXu_fVZhVkoU-vQ/s1600/life+begin.jpg" width="640" /></a></div>
<span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;"><span lang="EN-GB"><br /></span></span>
<br />
<span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;"><span lang="EN-GB" style="font-weight: normal;">K</span><span lang="EN-US"><span style="font-weight: normal;">una
“theories” nyingi na zote zinatoa majibu fulani lakini pia zinaacha
nyufa ambazo zinasababisha kusiwe na jibu la kutosheleza kwa asilimia
mia kuhusu mwanzo wa maisha. Katika uchambuzi huu nitaacha pembeni
vitabu vya dini ambavyo pia vinaeleza mwanzo wa uhai kwa aina yake.
Baadhi ya theories zinahusisha asili ya uhai kama ifuatavyo:</span></span></span><br />
<span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;"><span lang="EN-US"><span style="font-weight: normal;"><br /></span></span></span>
<b><span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;">Kutoka kwenye Dunia iliyokuwa imeganda kwa barafu (Chilly start theory) </span></b><br />
<b><span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;"><br /></span></b></div>
<span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;"></span><span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;"><span lang="EN-GB"></span></span>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;"><span lang="EN-GB"><span lang="EN-GB">Hawa
wanasema barafu inawezakuwa ilifunika sehemu kubwa ya dunia na bahari
zote miaka billion 3 iliyopita maana jua halikuwa linawaka sana kama
ilivyo sasa. Sasa hizi "layer" kubwa sana za barafu zilitunza "organic
compounds" katika sehemu yake ya ndani hivyo kuzikinga na uharibifu
kutoka katika vurumai la anga lilokuwepo wakati huo. Pia baridi
ilisaidia kutunza molecules hizi kukaa kwa muda mrefu sana bila
kuharibika na hivyo kupelekea maisha kuanza. </span>Lakini ugumu unakuja pale kwenye nini hasa aina ya chagizo iliyopelekea maisha kuanza. Dhana hii imeelezewa zaidi hapa: <span lang="EN-GB" style="color: #b45f06;"><a href="http://www.world-science.net/exclusives/050809_icefrm.htm" target="_blank">Did life begin in ice?</a></span></span></span><br />
<span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;"><span lang="EN-GB"><br /></span></span></div>
<div style="text-align: justify;">
<div style="text-align: left;">
<span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;"><span lang="EN-GB"><b>Kutoka kwenye matundu ya volcano chini ya Bahari (Deep-sea vents theory)</b></span></span></div>
<div style="text-align: left;">
<span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;"><span lang="EN-GB"><b><br /></b></span></span></div>
</div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;"><span lang="EN-GB">Hii
theory inasema inawezekana maisha yalianza kutokana na "hydrothermal
vents" zilizoko chini ya bahari ambazo hutoa molecules zenye hydrogen
nyingi sana. Sasa katika miamba yake inawekekana moleules hizi
zilijazana sana na kusababisha aina fulani ya "reaction" iliyosababisha
maisha kuanza. Hawa wanasansi wanaegemea kwenye ukweli kwamba hata leo
hii enao lenye aina hii ya geothermal vents kuna nishati kubwa ya joto
na kemikali na viumbe vingi sana vya baharini huendesha maisha kando
kando na ndani ya yake. Ugumu unakuja ukitengeneza simulation katika
maabara yenye hali sawa na zinazopendekezwa katika theory hii bado
haileti matokeo yanayotarajiwa. </span>Dhana hii imeelezewa zaidi hapa: <a href="http://www.space.com/19439-origin-life-earth-hydrothermal-vents.html" target="_blank">Earth Life May Have Originated at Deep-Sea Vents</a></span><br />
</div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;"><b>Kutokana na radi zenye chaji ya umeme (Electric spark theory)</b></span><br />
<span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;"><b><br /></b></span></div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;"><span lang="EN-GB"><span lang="EN-GB">Hii
ya charge ya umeme ilileta changamoto sana maana chaji au cheche za
umeme katika hali fulani za kimaabara zinaweza kutengeneza amino acids
na sugars (hivi ni vyanzo vikuu vya maisha). Hali fulani za kimaabara ni
mfano katika mazingira yaliyojazwa maji, methane, ammonia na hydrogen.
Ilikuwa mwaka 1953 katika jaribio lililoonesha labda radi (kwa kuwa na
electric charges) ilisaidia kutengeneza vyanzo vikuu vya maisha. Baada
ya hapo ugumu kwa hii theory ukaja pale tafiti nyingi zilipoonesha
katika hali ya Dunia ya zamani hakukuwa na hydrogen nyingi ya kuwezesha
hii kitu ingawa inaonekana methane, ammonia na radi zilikuwa nyingi
katika wakati huo. </span>Dhana hii imeelezewa zaidi hapa: <a href="http://www.astrobio.net/topic/origins/origin-and-evolution-of-life/the-spark-of-life/" target="_blank">The Spark of Life | Astrobiology Magazine</a></span></span><br />
<span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;"><br /></span></div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;"><b>Kutokana na msukumo wa udongo (Community clay)</b></span><br />
<span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;"><b><br /></b></span></div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;"><span lang="EN-GB"><span lang="EN-GB">Theory
hii inapendekeza molecules za mwanzo za maisha zinaweza zikawa
zimekutana katika udongo hii ni idea aliyoijenga mtaalam wa kemia wa
Scotland, Alexander Graham Cairns-Smith katika chuo kikuu cha Glasgow.
Anadai madini fulani na udongo yanaweza kuwa chanzo cha kujipanga kwa
organic molecules kuwa aina fulani ya sehemu ya kiumbe na baadae
molecules hizi kuanza kujipanga zenyewe. </span>Dhana hii imeelezewa zaidi hapa: <a href="http://www.natureworldnews.com/articles/4784/20131106/life-evolved-clay-researchers-find.htm" target="_blank">Life might have Evolved in Clay, Researchers Find : Biology : Nature World News</a></span></span><br />
<span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;"><br /></span></div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;"><b>Ulimwengu wa asidi zenye protini (RNA world)</b></span><br />
<span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;"><b><br /></b></span></div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;"><span lang="EN-GB"><span lang="EN-GB">Deoxyribonucleic
acid (DNA) zinahitaji protein ili ziform na protein zinahitaji DNA ili
ziform. Hapo sasa ndio inakuja hii theory ya Ribonucleic acid (RNA)
World ambayo inapendekeza kwamba kwa sababu RNA inatunza informations
kama DNA na inafanya kazi ya catalyst kama protein yani inaweza kuapply
pande zote basi ndio chanzo. Lakini ugumu unakuja sasa hizo RNA
zilitokea wapi kwa mara ya kwanza. Ni ngumu sana kwamba ziliibukia tu
alafu zikaanza kuji-replicate.</span>Dhana hii imeelezewa zaidi hapa: <a href="http://www.ncbi.nlm.nih.gov/books/NBK26876/" target="_blank">The RNA World and the Origins of Life - Molecular Biology of the Cell - NCBI Bookshelf</a></span></span><br />
<span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;"><br /></span></div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;"><b>Kutoka kwenye anga za mbali (Panspermia)</b></span><br />
<span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;"><b><br /></b></span></div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;"><span lang="EN-GB"><span lang="EN-GB">Hii
ambayo inashikiliwa na wengi inasema maisha hayakuanzia hapa dunia bali
yaliletwa na kimwondo kutoka anga za mbali. kwa mfano tunaweza kujionea
vipande vya miamba na mawe vilivyotoka sehemu nyingine ambayo si
duniani. hivyo theory hii inapendekeza vimwondo au kimwondo Fulani
kilikuja na vijidudu(microbes) vilivyo sababisha maisha kuanza hivyo
sisi wote asili yetu ni huko mbali angani. </span>Sasa hapa ugumu
unarudi kule kule kwamba sasa kama maisha hayakuanzia hapa duniani na
huko angani yalikotokea yalianzaje? Dhana hii imeelezewa zaidi hapa: <span lang="EN-GB"><a href="http://www.panspermia-theory.com/" target="_blank">PANSPERMIA THEORY origin of life on Earth directed panspermia lithopanspermia meteorites - Panspermia Theory</a></span></span></span></div>
<br />
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;"><span lang="EN-GB">Zipo
na nyingine ila hii inatoa mwanga baadhi wanasayansi waonaje katika
swala hili la mwanzo wa maisha. Jinsi maisha yalivyotokea ni kitendawili
kimoja na jinsi maisha yalivyobadilika mpaka yalivyo sasa ni
kitendawili kingine.</span></span><br />
<span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;"><span lang="EN-GB"><br /></span></span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify;">
<b><span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;">Maisha</span></b><br />
<b><span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;"><br /></span></b></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify;">
<span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;">Kuanza kwa maisha kwa maisha kama tuyajuayo inakadirwa kuwa 3,600 Ma au 3.6 Ga. (<i>Ga =Billion Years ago</i>).
Matukio ya mwanzo ni kama kutokea kwa simple cells za kwanza prokarotes
na hivyo hii ina maana kila kilichohai leo hii ikiwemo mimea na
vijidudu vina chanzo kimoja. Baada ya hapo tukio la pili kubwa ni kuanza
kwa photosythesis ambayo ndio ilileta oyxgen kama matokeo ya process
hii.Hii inakadiriwa kuanza katika miaka bilioni 3.4 iliyopita (3.4 Ga.)</span></div>
<span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;"><br /></span>
<span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;"></span><span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;"></span><br />
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify;">
<span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;">Tukio jingine kubwa ni seli ya kwanza yenye nucleous inayoitwa na wataalam <i>uekarotes</i>,
hii ilitokea katika kipindi cha miaka bilioni mbili iliyopita (2 Ga.) .
Baada ya kipindi kirefu cha miaka bilioni moja yani (1 Ga) ndipo
kiumbe mwenye seli nyingi alipo-evolve. Na baada ya hapa miaka nusu
bilioni ilyofuatia ndipo kiumbe wa kwanza alipo-evolve.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify;">
<span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify;">
<span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;">Unaweza
kuona kutoka kwenye uhai wa seli moja moja kama walivyo baadhi ya
bacteria kuja kwenye seli nyingi kama walivyo viumbe wengine wadogo
wanaishio majini ilichukua kipindi kirefu zaidi hata ya binadamu
kuevolve kutoka kiumbe wa majini mwenye mapezi kama samaki.</span><br />
<span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify;">
<b><span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;">Wanyama</span></b></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify;">
<b><span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;"><br /></span></b></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify;">
<span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;">Hawa
tunaambiwa walitokea miaka milioni mia sita kabla ya sasa (600 Ma).
Kuna kiumbe wa kwanza alafu baada ya muda wa miaka milioni mia yani
katika (500 Ma) baadhi ya hawa viumbe wa kwanza wakaevolve kuwa samaki
wa kwanza. Hapa kabla ya kuvunjilia mbali hii concept lazima kwanza
tuuangalie muda huo unaotajwa kwa kweli ni mrefu sana. Hapa kuna
mabadiliko kidogo kidogo yanayoweza kupelekea tofauti kubwa sana kama
ikiangaliwa kwa ufupi. Mfano dinosaurs wameishi duniani kwa kipindi cha
miaka 165 milioni kabla ya kutoweka na sisi binadamu hatuna hata miaka
milioni moja.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify;">
<span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify;">
<b><span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;">Mamalia</span></b></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify;">
<b><span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;"><br /></span></b></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify;">
<span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;">Kwanza
tunaanza na mamalia ambaye sisi tupo kwenye group hilo. Mamalia nao
tunaambiwa walitokea kwa katika kipindi fulani hawakuwepo. Katika miaka
milioni mia mbili kabla ya sasa (200 Ma) anatokea mamalia wa kwanza
jamii ya panya (rodent). Kipindi hiki matukio yake zaidi ya hilo la
kuanza jamii ya mamalia ni lile la dunia kuangukiwa na kimwondo kikubwa
kilichofuta viumbe wengi sana wakiwemo wale jamii ya reptilia wakubwa
(Dinosaurs) hii ni katika kipindi cha miaka milioni 90-110 iliyopita. Na
tukio lingine ni ku-evolve kwa wanyama jamii ya sokwe katika kipindi
cha miaka milioni 80 iliyopita.</span><br />
<span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify;">
<span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;">Muda
huu mrefu mamalia hawa waliishi kama jamii ya panya wengine juu ya miti
kuwakwepa wale reptilia wakubwa na wadogo waliokuwa hatari sana. Kwa
hiyo wataalamu hawa wanasema baada ya kimwondo kile kikubwa kilichofuta
karibu asilimia 75% ya viumbe vyote duniani ndipo mamalia hawa
waliosalimika walipata nafasi ya kuhama mazingira kitu kilichopelekea
kuongezeka na baadhi ku-evolve.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify;">
<span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;">(kutokana na vigezo hivi) </span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify;">
<span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify;">
<b><span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;">Mtu kutoka jamii ya sokwe</span></b></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify;">
<b><span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;"><br /></span></b></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify;">
<span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;">Mtu
anakadiriwa kubadilika au mabadiliko ya Mtu kutoka katika jamii ya
sokwe yanakadiriwa kuanza kunako miaka milioni sita iliyopita (6 Ma). <i>Ma = ”Million years ago”</i> tutaitumia
kuanzia hapa. Kabla ya kipindi hiki mwanadamu na sokwe wote walikuwa
familia moja kwa maana ya wote walikuwa ni aina moja. Matukio makubwa
hapa ni zama za mawe miaka milioni nne (4 Ma) kabla ya sasa mpaka miaka
3500 BC. Tukio lingine muhimu kwetu ni mwanzo wa aina ya mtu wa kale
anayejulikana kama Homo genus katika kipindi cha miaka milioni mbili na
nusu kabla ya sasa.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify;">
<span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify;">
<span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;">Katika
kipindi hiki kirefu wale wataalam wa evolution wanatuambia ndipo Mtu
alipitia mabadiliko mengi yanayomfanya kwa kiasi kikubwa awe jinsi
alivyo leo hii hasa baada ya kuwa Homo genus kama nilivyoainisha katika
hiyo paragraph hapo juu.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify;">
<span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;"><br /></span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi2vSHl4kQx-S-GojDtFXbM_fxDoV2SaJbonW3PhRlNRbSGLE2BfmEhp3WcRBoGeqW4MTrggjbCDxTSll_p75wahfAUcE-EA5A05wkQomJMPcTpVAFCyGUpiWUd0gJX06dKVkJk5Hor-kI/s1600/Early+human.jpg" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;"><img border="0" height="426" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi2vSHl4kQx-S-GojDtFXbM_fxDoV2SaJbonW3PhRlNRbSGLE2BfmEhp3WcRBoGeqW4MTrggjbCDxTSll_p75wahfAUcE-EA5A05wkQomJMPcTpVAFCyGUpiWUd0gJX06dKVkJk5Hor-kI/s1600/Early+human.jpg" width="640" /></span></a></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify;">
<span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify;">
<span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify;">
<b><span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;">Watu walioishi mapangoni</span></b></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify;">
<b><span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;"><br /></span></b></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify;">
<span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;">Zama
hizi zinarudi nyuma hadi miaka 400,000 BC. Kipindi hiki matukio makubwa
yanayoweza kutajwa ni matumizi ya moto katika miaka ya kuanzia 125,000
BC na mwisho wa zama za barafu katika kipindi cha 110,000, hadi 10,000
BC. Katika kipindi chote hiki binadamu bado hana tofauti kubwa sana ya
kimwili na alivyo sasa. Anatembea kwa miguu miwili na ana tofauti na
jamii ya sokwe. Miaka hii yote hakuna cha maana sana kinachoweza
kuchukuliwa katika kumbukumbu. Kwa hiyo Mtu ameishi kwa kipindi kirefu
sana akiishi maisha ya aina moja yasiyokuwa na maendeleo mpaka pale
alipogundua moto.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify;">
<span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify;">
<b><span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;">Watu walipoanza kuwa na lugha na utamaduni</span></b></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify;">
<b><span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;"><br /></span></b></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify;">
<span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;">Watu
hawa wenye kuwasiliana kwa aina fulani ya lugha na wenye kufundisha
vizazi vyao namna ya kuishi (utamaduni) walianza miaka 60,000 BC . Hawa
ndio wanaanzisha zile zama za ”modern humans” kwa kuwa waliishi katika
jamii ndogo ndogo na hawana tofauti kubwa na jinsi tulivyo sasa. Matukio
makubwa katika kipindi hiki kirefu ni kuanzia pale mtu alipoweza kuhama
sehemu moja mpaka nyingine na hasa kutoka bara la Africa kwenda maeneo
mengine ya Dunia. Katika kipindi cha 50,000 BC Watu wanaanza kuwa na
lugha fulani yani zaidi ya kelele au milio ya ajabu kama ya wanyama
wengine jamii yao. Na kwa muda wa kati ya kipindi cha 40,000 BC hadi
15,000 BC, Mtu wa kwanza anahamia katika mabara mengine yenye majira ya
baridi na changamoto tofauti.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify;">
</div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify;">
<span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;">Mwisho
wa zama hizi ni katika kipindi cha 9000 BC pale walipoweza kupanda
mazao fulani au kuanza kilimo. Baada ya zama hizi ndipo inafuata
historia iliyorekodiwa.</span></div>
<script async="" src="//pagead2.googlesyndication.com/pagead/js/adsbygoogle.js"></script>
<!-- barner -->
<br />
<ins class="adsbygoogle" data-ad-client="ca-pub-8699121076413513" data-ad-slot="8927094585" style="display: inline-block; height: 60px; width: 500px;"></ins><script>
(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({});
</script></div>
Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/09786424478000544580noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-3347815323000470255.post-43167477602828992122017-08-12T09:37:00.002+03:002017-08-12T09:37:31.863+03:00ULIMWENGU UMEUMBWA, ULIKUWEPO MILELE AU UMETOKEA WENYEWE TU? - KANUNI ZA THERMODYNAMICS<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<h3 class="post-title entry-title" itemprop="name">
<br />
</h3>
<div class="post-header">
</div>
<h3 style="text-align: justify;">
<span style="font-weight: normal;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgIdmWS0bAu3UvNhuAQ8eYjjlTXtJlgmFMPcbBQfz4ibgZ7eaJQFhZfI8bvxR8L0BrWVO2LjOahUbptuWikdNo4Kmm9Xs2x2_tFHDSqcKJhj98jh7coxcNQv7tDehuuSYp_lPgOrpIvbE4/s1600/9-particle_collission.jpg" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;"><img border="0" height="464" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgIdmWS0bAu3UvNhuAQ8eYjjlTXtJlgmFMPcbBQfz4ibgZ7eaJQFhZfI8bvxR8L0BrWVO2LjOahUbptuWikdNo4Kmm9Xs2x2_tFHDSqcKJhj98jh7coxcNQv7tDehuuSYp_lPgOrpIvbE4/s1600/9-particle_collission.jpg" width="640" /></span></a><span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;"><br /></span><span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;"><br /></span></span></h3>
<h3 style="text-align: justify;">
<span style="font-weight: normal;"><span style="color: #0b5394; font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;">By Monstgala</span></span></h3>
<h3 style="text-align: justify;">
<span style="font-weight: normal;"><span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;">Kuna
kitu cha kufurahisha katika mada hii hasa katika upande ambao issue hii
ya kanuni za msingi kabisa za fizikia zimeangaziwa. Ni approach nzuri
kuna kitu unaweza kujifunza au kupata mwanga zaidi. Lakini kunaweza pia
kuwa na critisms lakini lazima ijengwe katika level hii ili ieleweke. </span></span></h3>
<h3 style="text-align: justify;">
<span style="font-weight: normal;"><span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;"><br /></span><span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;">Kanuni za kifizikia
mfano; Thermodynamics zimekuwepo toka mwanzo wa ulimwengu. Kuvumbuliwa kwa
kanuni hakuna maana kwamba hazikuwepo. Mainjinia wote wanazijua vizuri na
wanazisoma haswa ili kujenga ufahamu na uwezo wa kutizutima katika kazi zao. Thermodynamics
zimebeba msingi mzito wa teknolojia ya uinjinia na kila kinachohusisha nishati
basi kina kanuni za thermodynamics ndani yake
”Nishati ni concept ya msingi ya thermodynamics na ni moja ya nguzo
muhimu ya uchambuzi wa kiinjinia.” - Moran & Shapiro</span></span></h3>
<h3 style="text-align: justify;">
<span style="font-weight: normal;"><span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;"><br /></span><span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;">Neno thermodynamics asili
yake ni chapisho la mtaalam wa mambo haya William Thomson ambaye anajulikana
kama baba wa thermodynamics. Nenohili linatokana na maneno mawili ya kiyunani <i>therme</i> likiwa na maana ya joto na <i>dunamis</i> likimaanisha nguvu (power/force)</span></span></h3>
<h3 style="text-align: justify;">
<span style="font-weight: normal;"><span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;"><br /></span><span lang="EN-US"><span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;">Tafsiri kwa Kiingereza: Thermodynamics is the branch of physical
science that deals with the relations between heat and other forms of energy
(such as mechanical, electrical, or chemical energy), and, by extension, of the
relationships between all forms of energy.</span></span></span></h3>
<h3 style="text-align: justify;">
<span lang="EN-US" style="font-weight: normal;"><span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;"><br /></span></span><span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;"><span lang="EN-US" style="font-weight: normal;">Ziko kanuni nne za msingi za thermodynamics</span><span style="font-weight: normal;"> </span>1.) Zeroth law of thermodynamics 2.) First law of thermodynamics: 3.) Second
law of thermodynamics: 4.) Third law of thermodynamics. </span></h3>
<h3 style="text-align: justify;">
<span style="font-weight: normal;"><span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;"><br /></span><span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;">Kanuni hizi za msingi zimefanisha kugundulika
kwa formula, equations na theories nyinginezo chini yake ambazo
mwendelezo wa physical science mfano <i>Avogadros law, Boltzmann equation, Boyles Law, Carnot theorem, Charles Law, Dalton
Law of partial pressure et</i>c.</span></span></h3>
<h3 style="text-align: justify;">
<span lang="EN-US" style="font-weight: normal;"><span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;"><br /></span></span><span lang="EN-US" style="font-weight: normal;"><span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;">Kanuni za msingi za thermodynamics ambazo
zinaweza kuhusishwa na asili ya ulimwengu (universe) ni mbili ya kwanza na ya pili.<br /> </span></span><span lang="EN-US" style="font-weight: normal;"><span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;"><br /></span></span><span lang="EN-US"><span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;">Kanuni
ya kwanza ya thermodynamics (First Law of thermodymamics)</span></span></h3>
<div>
<span lang="EN-US"><span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;"><br /></span></span></div>
<h3 style="text-align: justify;">
<span style="font-weight: normal;"><span lang="EN-US"><span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;">Hii kwa kifupi inasema nishati katika mfumo
unaojitegemea (isolated system) inaweza kuhamishwa kutoka hali moja hadi nyingine
lakini haiwezi kuundwa upya wala kuharibiwa. Pia inaweza kuelezwa hivi; Nishati kamwe haiundwi upya wala kuharibiwa
(remain constant) ila inaweza kubadilishwa kutoka aina moja (ya nishati) kwenda
nyingine. </span></span></span></h3>
<h3 style="text-align: justify;">
<span style="font-weight: normal;"><span lang="EN-US"><span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;"><br /></span></span><span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;"><span lang="EN-US">Kubadilishwa aina tofauti tunaweza kuchukua mfano wa solar cell hii
inabadili nishati ya mwanga wa Jua
kuwa nishati ya umeme ambayo inaweza kutumiwa kuwasha taa au kuchaji simu ya
kiganjani. </span>Hii kanuni pia inajulikana kama “Principle
of conservation of energy”</span></span></h3>
<h3 style="text-align: justify;">
<span lang="EN-US" style="font-weight: normal;"><span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;"><br /></span></span><span lang="EN-US"><span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;">Kanuni
ya pili ya thermodynamics (Second Law of thermodynamics)</span></span></h3>
<h3 style="text-align: justify;">
<span style="font-weight: normal;"><span lang="EN-US"><span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;"><br /></span></span><span lang="EN-US"><span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;">Kanuni ya pili ya thermodynamics inaundwa
kutokana na ile ya kwanza na iligunduliwa na Kelvin Clausious na inaweza
ikawekwa au ikaelezewa kwa namna nyingi lakini msingi wake ni kufafanua hali ya
asili kutojirudia
(irreversibility). Hii inaonesha ni
ukweli usiopingika kuwa kwa muda fulani, tofauti ya joto, shinikizo na uwezo wa
kikemikali inaleta mabadiliko (entropy) katika mfumo unaojitegemea (isolated system).</span></span></span></h3>
<h3 style="text-align: justify;">
<span style="font-weight: normal;"><span lang="EN-US"><span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;"><br /></span></span><span lang="EN-US"><span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;">Pia
inaweza kuelezewa hivi, ingawa nishati
haiundwi au kuharibiwa (constant energy) katika mfumo unaojitegemea ila
hubadilika kutoka aina moja kwenda nyingine,bado nishati hii
inaendelea kupungua uwekekano wa kutumika (less usability). Mfano mkaa
ulionunua sokoni unachomwa unapata
joto na majivu. Ingawa joto na majivu yale havitapotea katika ulimwengu
ila
itakuwa ngumu sana kuvikamata na kuvitumia tena kupika chakula kwa
efficiency
ile ile.<br /> </span></span><span lang="EN-US"><span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;"><br /></span></span><span lang="EN-US"><span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;">Kwa nini themodynamics zinakinzana na baadhi ya nadharia za asili ya Ulimwengu?</span></span></span></h3>
<h3 style="text-align: justify;">
<span lang="EN-US"><span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;"><span style="font-weight: normal;">Kuna mifumo aina tatu inayowezekana, </span><i style="font-weight: normal;">open system, closed system</i><span style="font-weight: normal;"> na <i>isolated system</i> kwa maana ya kwamba <i>open system</i> inaruhusu kupita kwa nishati na maada katika mipaka yake, <i>closed system</i> imefungwa maada haipiti katika mipaka yake lakini nishati inaweza kupita na mwisho <i>isolated system </i>mipaka
yake haipitishi nishati wala maada. Hivyo kwa kusema universe ni mfumo
unaojitegemea (isolated system) vigezo vya mfumo huu vinazingatiwa
katika kuangalia asili ya ulimwengu. Kama universe ni Open system au
Closed system (uwezekano wa maada ama nishati kutoka nje ya system) basi
explanation ya kutokea kwa universe inakuwa na tegemeo la chanzo cha
nje (Mungu-muumbaji) ambacho wanaoamini kuhusu uumbaji wameshikilia
msimamo huu. Wasioamini wanaegemea katika nadharia ya isolated system
hakuna chanzo nje ya mipaka ya universe.</span></span></span></h3>
<div>
<span lang="EN-US"><span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;"><span style="font-weight: normal;"><br /></span></span></span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhn33PaO6nofsNz2JlPoAOFbjZuhRahNhkgfm1Oh91-pNBPkGMUADAOL3uIE44fhB8nTneWc7zhrWSBxVjJv8WVDEKS8YEan17zRdm0EivswTUGX8A7lVTK1ZS4W_MiUYvHbOAW3eGsh5M/s1600/sol.JPG" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="432" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhn33PaO6nofsNz2JlPoAOFbjZuhRahNhkgfm1Oh91-pNBPkGMUADAOL3uIE44fhB8nTneWc7zhrWSBxVjJv8WVDEKS8YEan17zRdm0EivswTUGX8A7lVTK1ZS4W_MiUYvHbOAW3eGsh5M/s1600/sol.JPG" width="640" /></a></div>
<div>
</div>
<h3 style="text-align: justify;">
<span lang="EN-US" style="font-weight: normal;"><span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;">Kama tukiangalia posibility tatu ambazo
zinatajwa ndio za msingi kwa asili ya
ulimwengu, maada (matter) ni sehemu moja katika ya vitu vinavyoufanya
ulimwengu. maada ndio ile tunayoweza kuiona na kuipima kirahisi basi si budi
kuangalia je maada inaweza kutokeaje. Kuna asili tatu zenye lojiki:</span></span></h3>
<h3 style="text-align: justify;">
<span style="font-weight: normal;"><span style="text-indent: -18pt;"><span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;"><br /></span></span><span style="text-indent: -18pt;"><span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;">1. Kuumbwa (created)</span></span><span lang="EN-US" style="text-indent: -18pt;"><span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;">2. Kutokea wenyewe (a universe from
nothing)</span></span><span style="text-indent: -18pt;"><span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;">3. Kuwepo tu milele (eternal
universe)</span></span></span></h3>
<h3 style="text-align: justify;">
<span style="font-weight: normal; text-indent: -18pt;"><span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;"><br /></span></span><span lang="EN-US"><span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;"><span style="font-weight: normal;">Kwa <i>isolated system</i>, kanuni za thermodynamics hazikubaliani
asilani kwenye nadharia hizi </span>mbili za
mwisho.</span></span></h3>
<h3 style="text-align: justify;">
<span lang="EN-US" style="font-weight: normal;"><span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;"><br /></span></span><span lang="EN-US"><span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;">Universe
from nothing? (Umetokea wenyewe hauna chanzo)</span></span></h3>
<h3 style="text-align: justify;">
<span style="font-weight: normal;"><span lang="EN-US"><span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;"><br /></span></span><span lang="EN-US"><span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;">Kanuni za kifizikia hazina exceptions. Kama
kuna exception ya aina yoyote hii haiwezi kuwa kanuni itabaki kuwa theory au
pendekezo. Thermodynamics ni Laws, zimepita kwenye viwango vyote na hazina walakini.</span></span></span></h3>
<h3 style="text-align: justify;">
<span style="font-weight: normal;"><span lang="EN-US"><span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;"><br /></span></span><span lang="EN-US"><span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;">Kwa kanuni za thermodynamics, Universe kama
mfumo, una mass matter na energy. Bila nguvu kutoka nje, universe inakuwa mfumo
unaojitegemea/uliofungwa (closed system) hamna kinachotoka wala kuingia katika
mipaka yake na kama kuna chochote kinaingia basi tayari universe ni open system.</span></span></span></h3>
<h3 style="text-align: justify;">
<span style="font-weight: normal;"><span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;"><br /></span><span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;">Tukisema universe katika wakati wowote ina dalili za kuingiza chochote katika
mipaka yake basi hii ni open system na ndivyo wanaoamini uumbaji wanasimamia. Lakini kama universe haina uwepo
wa Muumbaji au Mungu unaopita katika ya mipaka yake basi logically universe ni closed
system na Mungu ni ndani ya Universe hivyo ni vigumu kuwa chanzo.</span></span></h3>
<h3 style="text-align: justify;">
<span lang="EN-US" style="font-weight: normal;"><span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;"><br /></span></span><span lang="EN-US" style="font-weight: normal;"><span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;">Sasa kanuni ya kwanza ya thermodynamics
inasema nishati liyoko katika closed system ni constant (ipo siku zote haiishi
wala kuongezeka) ingawa inabadilika kutoka aina moja kwenda nyingine. Kwa hiyo
kama universe ambayo ni closed system mwanzo wake haukuwa na chochote (nothing)
hivyo mass, matter na energy vimekuja kutokea baadae from nothing - Hii ni
kinyume kabisa na kanuni ya kwanza ya thermodynamics. Nothing can not produce
something. Ndani ya closed system nishati haitengenezwi wala haiishi
inabadilika form tu. (heat, light,
electric etc)<br /> </span></span><span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif; font-weight: normal;"><br /></span><span lang="EN-US"><span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;">Universe eternally? (Haukuumbwa, upo milele)</span></span></h3>
<h3 style="text-align: justify;">
<span style="font-weight: normal;"><span lang="EN-US"><span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;"><br /></span></span><span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;">Hii pia haikubaliani na
kanuni za thermodynamics. Kama ulimwengu wote ukichukuliwa kama system ambayo
imefungwa. Second Law of thermodynamics ambayo tumeona hapo juu kwamba nishati
katika mfumo unaojitegemea haiishi lakini matumizi yake hubadilika na mwisho
huwa huenda katika hali ya kutowezekana kutumika (less usable). Hivyo basi
universe inapungua nishati inaweza kutumika na process hii kwa kawaida
haijirudii (irreversible). Nishati inayoweza kutumika inaendelea kubadilika
kuelekea kwenye kutoweza kutumika na hii ni katika kanuni ya pili ya
thermodynamics na mabadiliko haya hayawezi kuzuiwa bali kupunguzwa kasi. </span></span></h3>
<h3 style="text-align: justify;">
<span style="font-weight: normal;"><span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;"><br /></span><span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;">Kama
Universe ingekuwa ilikuwepo siku zote (eternal existed) lakini kumbuka kuwa
nishati yenye matumizi ina ukomo hivyo ni wazi ingekuwa imeshaisha na universe imezima na
kubaki na nishati isiyofanya chochote na hakuna nyota hata moja ambayo ingekuwa
inawaka (nuclear reactions) au activity yoyote ulimwenguni ambayo ni matokeo ya
kuwepo nishati inayowezesha matukio ikiwemo kuwaka kwa jua na nyota zote. Kama
maada imekuwepo milele njia logic moja tu inayofaa ni lazima universe iwe open
system kwamba kuna input ya nishati kutoka nje ya universe na pia output ya
<i>usable energy</i>. </span></span></h3>
<h3 style="text-align: justify;">
<span style="font-weight: normal;"><span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;"><br /></span><span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;">Kwa
hiyo kulingana na kanuni hizi ambazo zinaheshimika na kukubalika pasipo
na shaka Universe haiwezi kutokea yenyewe from nothing au ilikuwepo
milele. Ikiwa hivyo basi kanuni hizi zimevunjwa na kwa kuwa tayari
technologia nzima iliyopo na sheria nyingine muhimu sana pamoja na
theories nyingi zilizojengwa kwa msingi huu wa thermodynamics laws
zitavunjika pia. Kuna technolojia kubwa iliyopo ambayo inabebwa na
misingi hii ya thermodynamics kama kanuni hizi zina walakini basi
mashine na tekinojia hizi ambazo ni tegemeo katika maisha ya kawaida
zisingekuwepo au zisingefanya kazi hivyo concept ya the universe from
nothing inapata ugumu kupenyezwa kutokana na uthabiti wa kanuni hizi.</span></span></h3>
<h3 style="text-align: justify;">
<span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif; font-weight: normal;"><br /></span><span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;">Hitimisho </span></h3>
<h3 style="text-align: justify;">
<span style="font-weight: normal;"><span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;"><br /></span><span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;">Kanuni hizi ambazo ni
shina na msingi mkubwa wa engineering na maeneo mengi ya sayansi ni chanzo cha
kazi nyingi za kiufundi na mashine nyingi sana ambazo zimerahisisha maisha ya
binadamu kwa kiwango kikubwa sana. <span lang="EN-US">Engine zote,
machines za aina na kila kitu kinachohusisha nishati ni mwendelezo wa kanuni
hizi ambazo zimethibitishwa pengine kuliko ugunduzi mwingine wowote wa
kisayansi na ndio maana ni Law na pia msingi muhimu wa sayansi.<br /> </span></span><span lang="EN-US"><span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;"><br /></span></span><span lang="EN-US"><span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;">Kanuni za Thermodynamics zinaendana na nadharia ya kuwapo
kwa nguvu iliyoumba universe (universe was rather created) Kanuni hizi na
haziendani na concept ya ulimwengu kutokea wenyewe (a universe from nothing) na
ile ya ulimwengu ulikuwepo tu siku zote (eternal universe)</span></span></span></h3>
<h3 style="text-align: justify;">
<span style="font-weight: normal;"><span lang="EN-US"><span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;"><br /></span></span><span lang="EN-US"><span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;">Kanuni hizi pia zinathibitisha uwepo wa
design ya hali ya juu ya uumbaji au ambayo engineers wamejifunza kuitumia kwa
kuiga katika kazi zao. Na kwa kuwa hizi kanuni zipo wala hazina ubishi basi
ukizielewa utaona pia zinavyothibisha nguvu ya ziada iliyosababisha kuwepo kwa
universe.</span></span></span></h3>
<h3 style="text-align: justify;">
<span lang="EN-US"><span style="color: #b45f06; font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;"><br /></span></span></h3>
<h3 style="text-align: justify;">
<span lang="EN-US"><span style="color: #b45f06; font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;">Sources:</span></span></h3>
<div>
<span style="font-weight: normal;"><span lang="EN-US"><span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;"><br /></span></span></span></div>
<h3 style="text-align: justify;">
<div class="MsoNormal">
<span lang="EN-US" style="font-weight: normal;"><span style="color: #3d85c6; font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;">Asimov, Isaac (1970), “In the Game of
Energy and Thermodynamics You Can’t Even Break Even,” <i>Smithsonian
Institute Journal</i>, pp. 4-10, June.</span></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span lang="EN-US" style="font-weight: normal;"><span style="color: #3d85c6; font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;">Cengel, Yunus A. and Michael A. Boles
(2002), <i>Thermodynamics: An Engineering Approach</i> (New York:
McGraw-Hill), fourth edition.</span></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span lang="EN-US" style="font-weight: normal;"><span style="color: #3d85c6; font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;">Guth, Alan and Paul Steinhardt (1984), “The
Inflationary Universe,” <i>Scientific American</i>, 250:116-128, May.</span></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span lang="EN-US" style="font-weight: normal;"><span style="color: #3d85c6; font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;">Incropera, Frank P. and David P. DeWitt
(2002), <i>Fundamentals of Heat and Mass Transfer</i> (New York: John
Wiley & Sons), fifth edition.</span></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span lang="EN-US" style="font-weight: normal;"><span style="color: #3d85c6; font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;">Isaak, Mark (2003), “Five Major
Misconceptions about Evolution,” The </span></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span lang="EN-US" style="font-weight: normal;"><span style="color: #3d85c6; font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;">Jastrow, Robert (1977), <i>Until the
Sun Dies</i> (New York: W.W. Norton).</span></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span lang="EN-US" style="font-weight: normal;"><span style="color: #3d85c6; font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;">Jastrow, Robert (1978), <i>God and the
Astronomers</i> (New York: W.W. Norton).</span></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span lang="EN-US" style="font-weight: normal;"><span style="color: #3d85c6; font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;">Kenny, Anthony (1980), <i>The Five
Ways: St. Thomas Aquinas’ Proofs of God’s Existence</i> (South Bend, IN:
University of Notre Dame Press).</span></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span lang="EN-US" style="font-weight: normal;"><span style="color: #3d85c6; font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;">King, A.L. (1962), <i>Thermophysics</i> (San
Francisco, CA: W.H. Freeman).</span></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span lang="EN-US" style="font-weight: normal;"><span style="color: #3d85c6; font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;">Moran, Michael J. and Howard N. Shapiro
(2000), <i>Fundamentals of Engineering Thermodynamics</i>(New York: John
Wiley & Sons), fourth edition.</span></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span lang="EN-US" style="font-weight: normal;"><span style="color: #3d85c6; font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;">Rifkin, Jeremy (1980), <i>Entropy: A
New World View</i> (New York: Viking).</span></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span lang="EN-US" style="font-weight: normal;"><span style="color: #3d85c6; font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;">Smith, Wilbur M. (1981), <i>Therefore
Stand</i> (New Canaan, CT: Keats Publishing).</span></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span lang="EN-US" style="font-weight: normal;"><span style="color: #3d85c6; font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;">Thompson, Bert, Brad Harrub, and Branyon
May (2003), “The Big Bang Theory—A Scientific Critique [Part 1],” <i>Reason
& Revelation</i>, 23[5]:32-34,36-47.</span></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span lang="EN-US" style="font-weight: normal;"><span style="color: #3d85c6; font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;">Thompson, Silvanus P. (1910), <i>Life
of Lord Kelvin</i> (London: Macmillan).</span></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span lang="EN-US"><span style="color: #3d85c6;"><span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif; font-weight: normal;">Tryon, Edward P. (1984), “What Made the
World?,” <i>New Scientist</i>, 101:14-16, March 8.</span></span></span></div>
</h3>
<script async="" src="//pagead2.googlesyndication.com/pagead/js/adsbygoogle.js"></script>
<!-- barner -->
<br />
<ins class="adsbygoogle" data-ad-client="ca-pub-8699121076413513" data-ad-slot="8927094585" style="display: inline-block; height: 60px; width: 500px;"></ins><script>
(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({});
</script></div>
Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/09786424478000544580noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-3347815323000470255.post-43060930964713429932017-08-12T09:35:00.003+03:002017-08-12T09:35:55.389+03:00DHANA YA UWEPO WA VIUMBE WENGINE KATIKA ANGA ZA MBALI <div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<h3 class="post-title entry-title" itemprop="name">
</h3>
<div class="post-header">
</div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: 'Helvetica Neue', Arial, Helvetica, sans-serif;"></span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify;">
<span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;">Ulimwengu (Universe) ni
mkubwa sana, yani mkubwa kupindukia na kila tunachoweza kuona kwa macho na pia
kwa technolojia ya juu kabisa, kama hizi telescope za<i> Hubble, Chandra</i> na
nyinginezo ni part ndogo tu ya ulimwengu na inaitwa “<i>observable universe</i>”. <span lang="EN-GB">Size ya <i>observable universe</i> iliyokokotelewa na wanahisabati ni
kipenyo chenye urefu wa miaka bilioni 46 ya kusafiri kwa mwanga. Hii inaweza
kuelezewa hivi kama kuna nyota imelipuka leo katika kona ya mwisho ya upande
mmpja wa ulimwengu, baada ya miaka bilioni 46 kiumbe aliyeko katika sayari
upande wa pili wa ulimwengu ataona mlipuko huo. (hii ni iwapo mwanga huo
utaweza kufika). Hii inafanya galaxy yetu iwe kitu kidogo sana zaidi ya punje ya
vumbi ilivyo katika dunia.</span></span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify;">
<span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;"><span lang="EN-GB"><br /></span></span></div>
<table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="margin-left: auto; margin-right: auto; text-align: center;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjBvRw7zSyzb6g7_f1lAM9IfRWuFCRBSE0mZy8I7QOjk3aU67dGsiJIF-2KDXd8orgMsD60sMRky42fJQwGGq8zEtyPLMWC6Z3XIkXmC2jgEP54pp-K968FGJ7gRr06mpwIFvUl9hkl7hY/s1600/Alien+creature.jpg" style="margin-left: auto; margin-right: auto;"><img border="0" height="360" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjBvRw7zSyzb6g7_f1lAM9IfRWuFCRBSE0mZy8I7QOjk3aU67dGsiJIF-2KDXd8orgMsD60sMRky42fJQwGGq8zEtyPLMWC6Z3XIkXmC2jgEP54pp-K968FGJ7gRr06mpwIFvUl9hkl7hY/s1600/Alien+creature.jpg" width="640" /></a></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;"><span style="color: #3d85c6; font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;">Picha ya kufikirika ya kiumbe katika anga za mbali</span></td></tr>
</tbody></table>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;"><span lang="EN-GB">Ni ukweli usio na shaka kwamba kuna nyota nyingi sana zinazofanana na jua letu
katika maeneo mengine ya mbali sana katika universe. </span>Wanasayansi wanasema nyota zinazofanana na Jua
letu ni kati ya asilimia tano hadi ishirini (5% - 20%) ya nyota zote katika Universe tunayoweza
kuiona (<i>observable universe</i>). Hili neno la universe tunayoweza kuiona lina
maana kwamba pale tusipoona basi kuna uwezekano universe inaendelea au kunavitu
vingine tusivyovijua lakini makadirio yanayofanyika ni ya ulimwengu tunaoweza
kuuona. Sasa ukumbuke katika mada ile ya <a href="http://www.monstergala.blogspot.fi/2014/09/maajabu-na-ukweli-kuhusu-nyota-za-angani.html" target="_blank"><span style="color: #999999;">Maajabu na Ukweli kuhusu Nyota za Angani</span></a>, nilisema nyota zinakadiriwa kuwa sextillion 100
au zaidi katika ulimwengu tunaoweza kuuona sasa tukisema mfano tuchukue tu
asilimia 5 yake, basi tutakuwa tunaongelea nyota bilioni-bilioni 500 zinafanana
kimazingira (joto, ukubwa, umri, aina, uwepo wa sayari) na jua letu. </span></div>
<span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;">
</span>
<br />
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;"><br /></span></div>
<span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;">
</span>
<br />
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;">Sasa kwa number hizi basi ina maana uwezekano wa kuwepo sayari zenye maisha ni
mkubwa ingawa maisha yanaweza yasiwe haya tunayoyajua sisi. Utafiti wa
kisayansi uliyofanywa na PNAS (<span lang="EN-GB"><span lang="FI"><a href="http://www.pnas.org/" target="_blank">Proceedings of the National Academy of Sciences</a></span></span>) unapendekeza kwamba kuna angalau asilimia moja
(1%) ya sayari zinazofanana sana na dunia yetu katika hizi nyota zinazofanana
na jua.</span></div>
<span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;">
</span>
<br />
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;"><br /></span></div>
<span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;">
</span>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;">Wanaofikiri kuhusu dhana ya viumbe vingine nje ya sayari yetu hawatarajii sana
kuwepo na binadamu wanaofanana na sisi.Ingawa hilo linawezekana lakini kumbuka
kisayansi mazingira yanachangia sana mwonekano au matokeo ya viumbe. Kama
mazingira yakiwa tofauti kidogo basi matokeo ya maisha au viumbe yatafuata
mkondo. Hili tunaliona hata katika viumbe wa kawaida wa duniani jinsi
wanavyokuwa na vigezo vinavyoendana na wao kumudu mazingira yao. Kwa kuwa hata
hizi sayari zinazofanana na dunia haziwezi kuwa na mfanano pacha yani
circumstance zile zile basi tusitegemee kukutana na viumbe wanaofanana asilimia
mia na sisi. Jinsi kila kitu kinavyoonekana leo hii ni matokeo ya jinsi
mazingira yalivyokuwa miaka milioni iliyopita na vivyo hivyo kadri muda
unavyoenda. </span></div>
<span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;">
<div style="text-align: justify;">
</div>
<div style="text-align: justify;">
Kuwa na akili zaidi yetu au kuwa na maendeleo na technology kubwa sana zaidi
yetu hili ni wazi na lina sababu zake. Kwanza kuna uwezekano wa utofauti wa
maisha kuanza hivyo kufanya viumbe wengine kama wapo basi wengine wanaweza kuwa
wame-<i>evolve</i> zaidi yetu kwa kuwa na muda mrefu zaidi katika ulimwengu. Kama
tukichukua mfano wa dunia yetu (<i>Earth</i>), maisha yanakadiriwa ku-evolve kutoka
katika <i>simple form</i> kati ya miaka bilioni 3.5 iliyopita hii ni kutoka kwa<i>
evolutionists</i>. Kuna sayari zilizo na muda mrefu zaidi ya dunia na hapa lazima
utaona katika hali ya kawaida sisi ndo tunaanza na kuna wengine waliokwisha
piga hatua kubwa sana. Na hata tukisema katika sayari nyingine kuna viumbe
waliumbwa au walitokea kabla yetu alafu sasa tujilinganishe nao lazima watakuwa
wametuzidi mbali.</div>
<div style="text-align: justify;">
</div>
<div style="text-align: justify;">
Kama kuna kiumbe kikifika katika sayari yetu basi hii ina maana technology
inayowezesha kusafiri umbali huo si ya kawaida. Kuna umbali mrefu sana kati ya
nyota moja na nyingine hasa zile ambazo haziko katika mfumo wa nyota panya au nyota
kundi. Hata nyota iliyo jirani yetu si rahisi kuifikia kwa technolojia ya
usafiri tuliyonayo sasa. Mwendo wake ni miaka elfu sabini njiani kutoka hapa na kufikia nyota
jirani kwa <i>speed</i> kali kabisa ambayo <i>space shuttle</i> inaweza kwenda.</div>
</span><br />
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify;">
</div>
<span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;">Katika mada zijazo
nitazungumzia aina ya viumbe vinavyodhaniwa kuwepo huko kwenye anga za mbali na
maelezo zaidi kwa kulinganisha na sisi.</span><script async="" src="//pagead2.googlesyndication.com/pagead/js/adsbygoogle.js"></script>
<!-- barner -->
<br />
<ins class="adsbygoogle" data-ad-client="ca-pub-8699121076413513" data-ad-slot="8927094585" style="display: inline-block; height: 60px; width: 500px;"></ins><script>
(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({});
</script></div>
Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/09786424478000544580noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-3347815323000470255.post-86153280832468473442017-08-12T09:31:00.000+03:002017-08-12T09:31:16.236+03:00MAMBO USIYOYAJUA KUHUSU UFOS (UNIDENTIFIED FLYING OBJECTS)<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<div class="s-feat-img">
<img alt="" class="attachment-bk750_375 size-bk750_375 wp-post-image" height="375" src="http://dewjiblog.co.tz/wp-content/uploads/2016/05/ufo_2387810b.jpg" width="601" /></div>
<div style="text-align: center;">
<strong><span style="color: black;">Katika
Dunia tuishiyo sasa binadamu hatuko peke yetu, lakini tumejijengea
dhana kuwatunaishi peke yetu huku tukisahau kuwa Mungu kaumba viumbe
kadha wa kadha vinavyoonekana na visivyoonekana.</span></strong></div>
<div style="text-align: center;">
<strong><span style="color: black;">Unaweza
kushangaa ama kudhani kuwa namaanisha juu ya uwepo wa nguvu za kigiza,
La Hasha!, mtu anapokuuliza kwamba Je unafahamu maana ya neno
‘UFO’ <em>(Unidentified Flying Object)?</em> Bila shaka watu wengi watakuwa hawafahamu kuhusiana na vitu hivi na wengine wanaweza kukupa maana nyingine tofauti na mada.</span></strong></div>
<div style="text-align: center;">
<strong><span style="color: black;">Neno
UFO limechukua kasi kwenye vyombo vya habari vingi duniani hasa vya
wenzetu wa nchi za Magharibi, pia upande wa Asia ambapo baadhi ya
Wataalam wamajaribu kufuatilia kwa karibu juu ya vitu hivi na wapi
vimetokea na madhumuni ya kuonekana ovyo katika maeneo tofauti na
madhara yake lakini hakuna maelezo mazuri yanayoweza kuelezeka katika
hilo, na hii imepelekea wataalam hao kuziita baadhi ya tafiti zao kuwa
ni zisizoelezeka (Unexplained files about UFOs)</span></strong></div>
<div style="text-align: center;">
<span style="color: black;">Ebu tujiulize maswali UFOs ni vitu gani, na malengo yake kuonekana duniani ni nini haswa?</span></div>
<div style="text-align: center;">
<strong><span style="color: black;">UFOs
ni Vyombo vyenye ukubwa tofauti na maumbile tofauti ambapo vingine
vinakadiliwa kuwa na ukubwa wa futi 100 ama zaidi vingine na muonekano
wake ni wa duara kama sahani kubwa la chuma lenye kung’aa (steel
shaped-saucer), lakini pia vinaweza kuwa na umbo mengine tofauti kama
vile maumbile ya pembe tatu ambapo kwa chini zinakuwa ya na taa zenye
kutoa miale mikali ya mwanga yenye rangi ya bluu, nyekundu na nyeupe.</span></strong></div>
<div style="text-align: center;">
<strong><span style="color: black;">UFOs
ndizo zinabeba viumbe wajulikanao kama Aliens na viumbe hawa
wanamaumbo kama ya binadamu lakini tofauti yake iko katika macho na
vidole kwani viumbe hawa wana macho makubwa yenye umbo la ovali, vidole
vikubwa vitatu badala na wakati mwingine mikono mirefu, na miili yao ni
kama yenye hali ya mpira hivi na wakati mwingine waonekanapo wanakuwa
kama waliovalia aina ya kama nguo zenye kubana mwili mzima zenye rangi
ya bluu na mikanda viunoni mwao, hakika viumbe hivi vinatisha
kimuonekano wao.</span></strong></div>
<div style="text-align: center;">
<strong><span style="color: black;">Taarifa
zisizo rasmi kutoka kwenye vyombo mbalimbali vya habari na maelezo ya
watafiti mbalimbali ulimwenguni vinaeleza kuwa UFO hutumika kama chombo
cha anga cha kusafiria kwa viumbe hao ambao wanasemekana kutoka katika
sayari ya mbali na ni viumbe wenye akili kuliko binadamu wa kawaida.</span></strong></div>
<div style="text-align: center;">
<strong><span style="color: black;">Vyombo
hivi viko tofauti na vyombo vyetu vya anga kama vile ndege za abiria au
roketi ziendazo mwezini, kwani tofauti iliyopo hapa ni kwamba vyombo
hivi vibebavyo viumbe hao vinasemakana kuwa na kasi ya ajabu tofauti na
kifaa chochote cha hapa duniani kuwa na mwendo kasi kama huo, lakini pia
UFO CRAFTS zinaweza kubadili mwelekeo wake katika nukta yoyote ya
safari yake wakati wowote na kuweza kutoweka machoni ndani ya sekunde.</span></strong></div>
<div style="text-align: center;">
<strong><span style="color: black;">UFO
pindi zifikapo katika uso wa dunia hazitoagi kelele na zinatabia ya
kuacha nguvu fulani ya umeme wenye usumaku (Electromagnetic Radiation)
ambayo wakati mwingine inaweza kusababisha hitilafu ya umeme wa kawaida
tuutumiao, maajabu mengine ni kwamba pindi vikiwa vimetua sehemu fulani
basi mfumo mzima wa mawasiliano kama vile ya simu, rada, na wakati
mwingine majira ya saa zetu huathiriwa na kwenda kinyume (anticlockwise)
na endapo umeme utokanao na nguvu ya usumaku ikiwa iko juu basi moto
unaweza kujiwakia popote iwe ndani ya nyumba zetu ama nje hata kwenye
maji pia.</span></strong></div>
<div style="text-align: center;">
<strong><span style="color: black;">Tukio
kama hili liliwahi kutokea mnamo Januari 2004 nchini Italia katika
kijiji cha Canneto (Caronia) ambapo nyumba za watu zikiwemo samani zao
zikiwaka moto licha ya umeme katika kijiji hicho kuzimwa, bado ulizidi
kushika kasi na ulikuwa ukiwaka wenyewe toka nyumba moja kwenda
nyingine, runinga, friji, majiko yalikuwa yakiwaka moto bila kuwashwa,
pia mifumo ya simu nayo haikuweza kufanya kazi, mifumo ya magari ilikuwa
ikijiwasha na kujizima yenyewe bila kuwashwa pamoja na honi za magari
zikijipiga zenyewe, ama kweli haya yalikuwa ni maajabu katika eneo hilo
ambapo baada ya uchunguzi wa  muda mrefu uliogharimu fedha nyingi na
Wataalam wengi ilikuja kubainika kuwa Aliens ndiyo chanzo kikubwa cha
moto katika kijiji hicho.</span></strong></div>
<div style="text-align: center;">
<strong><span style="color: black;">Katika
baadhi ya matukio yanayohusiana na uwepo wa UFOs, watu ambao wamekuwa
wakisafiri na magari yao pindi wakutanapo na vitu hivyo basi magari
yalizimika papo hapo na kushindwa kuwaka na wakati mwingine katika
nyakati za usiku, miale ya taa za magari yao ilipinda ghafla na kuelekea
katika eneo ambalo UFO imetua lakini hii yote inatokana na nguvu zisizo
za kawaida kutoka katika UFOs.</span></strong></div>
<div style="text-align: center;">
<span style="color: black;">Je, kuna ukweli wowote juu ya madai ya uwepo wa UFOs?</span></div>
<div style="text-align: center;">
<strong><span style="color: black;">Asilimia
72 ya wananchi wa Marekani wanaamini juu ya uwepo wa uhai nje ya Dunia
na kwamba kuna viumbe wengine wanaishi huko. Baadhi yao wanaamini juu ya
uwepo wa UFOs na huku wengine ambao ni wahanga wanaamini kuwa wamewahi
kukutana nazo katika mazingira tofauti. Kuna wengine pia wanamadai kuwa
wao wamewahi kutekwa na viumbe hao (alien abductions) na kuingizwa
kwenye UFO na baadaye kurejeshwa walipo kuwa.</span></strong></div>
<div style="text-align: center;">
<strong><span style="color: black;">Baadhi
ya watu ambao wanatoa madai ya kuwahi kutekwa na Aliens, wengi wao
wanasimulia kuwa mara walipokutana na UFOs njiani walijikuta ghafla
wakiota ndoto na mara wakajikuta wako katika eneo wasilolijua na kulazwa
katika vitu kama vitanda na kuchunguzwa na viumbe hao, lakini wengine
wamekuwa wakiugua vichwa kwa muda wa wiki nzima pindi walipokutana na
aliens huku wengine wakipoteza kumbukumbu kwa muda wa wiki moja na
baadaye kurejea katika hali zao za kawaida.</span></strong></div>
<div style="text-align: center;">
<strong><span style="color: black;">Tarehe
18 Aprili, 1961 Eagle River Wisconsin nchini Marekani, Mkulima na
Mfugaji ajulikanaye kama mzee Paul Simonton aliwahi kuona kitu chenye
umbile la Sahani kubwa la chuma (UFO) ambayo ilitua katika shamba lake
mara juu ya chombo hiko pakafunguka, wakati hayo yakitokea, mzee huyo
aliamua kuisogelea kuona ni kitu gani haswa kikiendelea na hapo ndipo
akaviona viumbe vitatu vyenye maumbile kama ya binadamu vilionekana
vikihitaji maji ndipo yule mzee akachukua jagi lenye maji na kuwapa wale
viumbe, cha ajabu nao wale viumbe wakampatia vipande vinne vya keki (4
pancakes) ambavyo hapo baadaye baada ya uchunguzi wa Maabara ilibainika
kuwa vipande vile vilitengenezwa kwa kutumia mafuta mazito yaani grisi
na unga usiojulikana na usio na radha, tukio hili lilikuwa la ajabu
kutokea nchini humo.</span></strong></div>
<div style="text-align: center;">
<strong><span style="color: black;">Kumekuwepo
pia na taarifa lukuki juu ya uwepo wa UFOs kutoka kwenye mitandao
mablimabli, magazeti, majarida, kutoka kwa watu waliowahikuona UFOs,
walio waona Alliens, mpaka wale waliowahi kutekwa na kuwekwa kwenye UFO
Crafts madai haya yote wakati mwingine inakuwa ni vigumu kuyathibitisha,
kwani muda mwingine taarifa hizi zinakuwa kubwa kushinda tukio lenyewe,
wakati mwingine kwa makusudi zinakuwa ni taarifa za kutengeneza
(propagandas) au zenye upotoshaji kwa umma, lakini bado kuna wakati
tukio moja linakuwa na mashahidi zaidi ya mmoja, linakuwa limeacha
ushahidi wenye kuonekana yaani ushahidi unaoweza kuugusa kwa mkono,
ushahidi ambao ni zaidi ya maneno ya shuhuda mwenyewe.</span></strong></div>
<div style="text-align: center;">
<strong><span style="color: black;">Hivyo,
Katika historia ya vitu hivi na maajabu yake UFOs kwa wanahistoria
zinasemakana kurekodiwa kwenye majalada ya historia tangu enzi na enzi
ya historia ya mwanadamu, ingawa suala hili halipo kwenye mitaala ya
somo la historia lenyewe, na hivyo baadhi ya watu huamini kuwa hakuna
kitu kama hicho.</span></strong></div>
<div style="text-align: center;">
<strong><span style="color: black;">Kuanzia
mwaka 1991 mpaka 1993 jiji la Mexico lilifunikwa na taarifa za
kuonekana kwa UFOs ukiwemo mwezi wa Julai 11, 1991 ambapo watu 17 ambao
hawana mahusiano yoyote katika maeneo tofauti ya jiji hilo wakiwa na
kamera zao, waliweza kunasa picha ya sahani kubwa lenye mnga’o wa
chuma karibu kabisa na usawa wa jua mbalo muda mfupi nyuma lilikuwa
limepatwa na mwezi. Diski hilo lilikuwa limening’inia angani kwa muda
bila kusogea upande wowote ule. Lakini watu hawa hawakujua kama wamepiga
picha UFO mpaka watu wengine walipo ng’amua wakati wanaonesha video
hizo.</span></strong></div>
<div style="text-align: center;">
<strong><span style="color: black;">Baadaye
baadhi ya Watafiti ndipo wakaanza kupokea video na picha nyingi zinazo
onesha umbo la duara kubwa la chuma (UFO) zikiwa kwenye anga la Mexico
ambazo picha zake zilipigwa na watu tofauti. Vyombo vya rada na hata
marubani kadhaa wamewahi kuripoti ama kuviona vyombo hivyo vikiruka
katika anga la Mexico. </span></strong></div>
<div style="text-align: center;">
<strong><span style="color: black;">Kutoka
kwenye uwanja wa Ndege wa Kimataifa (Benito Juárez International
Airport) Machi 4-5, 1992 tukio la kuonekana kwa UFO liliwahi kuripotiwa
na kuthibitishwa na rada ya uwanja huo juu ya kuonekana kwa vitu
hivyo.  </span></strong></div>
<div style="text-align: center;">
<strong><span style="color: black;">Mexico
imekuwa na historia ndefu ya kuonekana kwa UFOs na nyingi kati ya hizo
zimekuwa zikidharauliwa na wana sayansi huku wakisema kuwa ni vipande
vya uchafu ama vumbi kutoka kwenye anga, roketi za kivita, maputo ya
hali ya hewa ama uzushi.</span></strong></div>
<div style="text-align: center;">
<strong><span style="color: black;">Taarifa
zinaeleza kuwa wakati mwingine UFOs vilikuwa vikifukuzwa na ndege ya
doria baada ya kudhaniwa kuwa ni ndege za wabeba dawa za kulevya, lakini
ghafla ziliweza kutoweka na zilipo onekana tena zilikuwa zimeizingira
ndege hiyo ya doria ya jeshi la anga la Mexico.</span></strong></div>
<div style="text-align: center;">
<strong><span style="color: black;">Mtafiti
kwenye masuala ya UFOs, Bwana Brit Elders anazungumzia suala la UFOs
kunaswa kwenye rada kwenye jiji la Mexico, “Rada ya Mexico
imefuatilia na kurekodi UFO sawa na yale yanayosemwa na watu waliowahi
kuona kwa macho yao wenyewe kutoka ardhini na kutoka kwa marubani wa
ndege wakiwa anganiâ€, alisema Elders.</span></strong></div>
<div style="text-align: center;">
<strong><span style="color: black;">Katika
tukio hilo, Serikali ya Mexico iliposhinikizwa na wadau mbalimbali juu
ya kulifanyia uchunguzi suala tukio hilo ambapo Serikali hiyo ilifanya
mkutano na waandishi wa habari na kufafanua kuwa, Serikali hiyo
ilitambua juu ya kuonekana kwa vitu hivyo lakini ikasisitiza kuwa UFOs
hazina madhara yoyote kwa wananchi.</span></strong></div>
<div style="text-align: center;">
<strong><span style="color: black;">Tukio
jingine la mwezi Machi 13, 1997 katika Jimbo la Arizona kwa dakika 106
mida ya saa mbili na robo usiku lilishuhudia kile ambacho baadaye
kilijulikana kama ni UFO. Baada ya tukio hilo simu zilimiminika kwenye
vituo vya dharura vya jimbo hilo kutoka kwa mashuhuda wa maeneo kadhaa
ikiwemo Prescott, Wickenburg, Glendale, Phoenix, Scottsdale na Tempe.</span></strong></div>
<div style="text-align: center;">
<strong><span style="color: black;">Kutoka
kwa mashuhuda hao, ni kuwa chombo hicho kilikuwa karibu kabisa na kituo
cha Luke Air Force, ambapo ndege aina ya Falcon Super Hornets (F-16)
tatu zilitoka kwenda kufuatilia chombo hicho kujua ili kuweza kujua
kulikoni, lakini ndege hizo za kijeshi mara zilipokaribia chombo hicho
kilitoweka ghafla kama kupepesa mboni ya jicho. Hata hivyo baadhi ya
maafisa wa kituo hicho cha Luke kama ilivyo tegemewa walikataa kuwa
hakuna ndege za kijeshi zilizotolewa kwenda kukifuatilia chombo hicho na
wala hawafanyi tafiti juu ya uwepo wa UFOs.</span></strong></div>
<div style="text-align: center;">
<strong><span style="color: black;">Peter
Davenport toka Kituo cha Taifa cha kutoa Taarifa za UFOs kilichopo
Seattle, Washington, alipokea mamia ya simu kuhusiana na tukio hilo na
maoni yake binafsi yalikuwa hivi,</span></strong></div>
<div style="text-align: center;">
<strong><span style="color: black;">“Tukio
la Arizona lilikuwa wazi kabisa kati ya matukio niliyopata kuyaona,
tulicho kiona pale ni kitu cha kweli kabisa. Tayari wako hapa viumbe
kutoka sayari nyingineâ€, alisema Davenport.</span></strong></div>
<div style="text-align: center;">
<strong><span style="color: black;">Miezi
mitatu baada ya tukio, Juni 18, 1997 tukio hilo lilianza kuzungumziwa
kwenye vyombo vikubwa vya habari duniani na kuanza kupata mvuto na
kuvuta hisia za watu. Liliripotiwa kwenye NBC, MSNB, CNN na ABC.</span></strong></div>
<div style="text-align: center;">
<strong><span style="color: black;">Barani
Afrika, tukio la kuonekana kwa UFOs liliwahi kuripotiwa katika baadhi
ya vyombo vya habari vichache nchini Zimbabwe, Mwandishi Cynthia Hind
aliandika kuwa mnamo tarehe 14 Septemba Ruwa, Zimbabwe vilitua vitu
ambavyo vinafanana na UFOs katika shule moja na tukio hilo lilishuhudiwa
na wanafunzi wenye umri mdogo (kati ya 5-12) ambao walikuwa wakicheza
nje ya uwanja wa shule kipindi walimu wao wakiwa kwenye Mkutano, na siku
mbili baada ya tukio hilo (yaani 16 September, 1994) Mwandishi huyo
akaamua kuwafanyia usaili wale watoto wote wa shule kwa kuwaambia
wachore kitu ambacho walikiona siku ya tukio, huku kila mtoto akiwa peke
yake waliweza kuchora mfano wa kitu walichokiona na hapo ndipo wale
watoto wakachora michoro ambayo iliweza kufafana jambo hilo lilimfanya
mwandishi huyo kubaini kuwa ni UFOs ilitua katika eneo hilo na huku
ikiwa imefuatana na vitu vingine vinne.</span></strong></div>
<div style="text-align: center;">
<strong><span style="color: black;">Kwa
takribani miaka hamsini sasa tangu Serikali mbalimbali duniani na
watafiti walipoamua kulishughulikia suala la UFOs na kutafuta majibu ya
maswali kuhusiana na asili yake hasa ni nini na tija au madhara yake kwa
binadamu waishia katika sayari ya Dunia ni yapi lakini hakuna kati ya
hao waliokuja na majibu ya kuridhisha ama majibu rasmi kuhusiana na
suala la hilo.</span></strong></div>
<div style="text-align: center;">
<strong><span style="color: black;">Basi
kama UFOs zitakuwa ni kweli zipo, na asili yake hasa ni kutoka nje
aidha ya sayari yetu ama galaxy yetu, ukweli huo hakuna shaka utakuwa ni
changamoto ya namna yake kwa binadamu wote na Kwa upande mwingine ikiwa
UFOs ni si kama hivyo tunavyoambiwa ama si hivyo inavyoelezewa na wale
walio wahikushuhudia , basi vyombo hivyo vitakuwa ni ushahidi tosha wa
mpango kabambe ambao mabilioni ya binadamu hawafahamu hatima na malengo
yake ni nini na ambao athari yake huenda ikamuathiri kila binadamu
aliyepo kwenye sayari hii.</span></strong></div>
<script async="" src="//pagead2.googlesyndication.com/pagead/js/adsbygoogle.js"></script>
<!-- barner -->
<br />
<ins class="adsbygoogle" data-ad-client="ca-pub-8699121076413513" data-ad-slot="8927094585" style="display: inline-block; height: 60px; width: 500px;"></ins><script>
(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({});
</script></div>
Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/09786424478000544580noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-3347815323000470255.post-10315069004845223272017-08-09T07:26:00.003+03:002017-08-09T07:26:37.877+03:00GEREZA LA KIHISTORIA LA 'WATUKUFU' WA UHALIFU DUNIANI<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<img alt="1498985097410.jpg" class="bbCodeImage LbImage " src="https://www.jamiiforums.com/attachments/1498985097410-jpg.533934/" />
<br />
<br />
Unapozungumzia simulizi za kusisimua kuhusu ulimwengu wa jela na
wafungwa basi huwezi kumaliza na hakika utakuwa mtovu wa nidhamu kama
utaacha kuweka kwenye orodha yako gereza tata na maarufu Nchini Marekani
la Alcatraz!<br />
Yes, Alcatraz nyumbani kwa watakifu wa uhalifu<br />
Marekani miaka hiyo.<br />
<br />
Gereza hili linapatikana katika jimbo la California kwenye ghuba ya San
Fransisco katika kisiwa cha Alcatraz. Alcatraz lilifunguliwa rasmi mwaka
1934 baada ya kufanyiwa marekebisho makubwa sana, na hadi mwaka 1935
tayari lilikuwa na wafungwa 242 kutoka maeneo tofauti tofauti na profile
tofauti tofauti za kihalifu kabla ya kufungwa rasmi 21 March 1963!<br />
<br />
Alcatraz lilikuwa chini ya idara ya magereza kitengo cha haki, na kabla
ya hapo gereza hili lilikuwa Mali ya jeshi la Marekani kwa ajiri ya
kuwatia adabu wanajeshi watukutu, na lilijengwa kwa Mara ya kwanza kati
ya mwaka 1910- 1912.<br />
*Kwanini Alcatraz?*<br />
<br />
Gereza hili limekuwa maarufu sana na kupata utukukuzo kutokana na sababu kadha!!<br />
<br />
1. Aina ya wahalifu waliopatikana hapo<br />
<br />
2.Mazingira ya ulinzi na ya kijiografia kuzunguka gereza hilo<br />
<br />
3.Mazingira na maisha ndani ya gereza.<br />
<br />
Watukutu wa Alcatraz!!<br />
<br />
Kama nilivosema hapo juu umaarufu wa gereza hili pamoja na mambo mengine
unachangiwa na aina ya wahalifu waliopatikana humo. Hili ni gereza
maalumu kwa ajiri ya watukufu katika ulimwengu wa uhalifu, hapa
waliletwa watemi, walioshindikana katika mazingira yote ya Marekani,
hapa wanakuja wale wenye 'shahada ya uzamivu' katika uhalifu, kuanzia
wizi kwenye mabenki, mauaji, ubakaji, kulawiti, utekaji na wizi wa
kutumia silaha.<br />
<br />
Mwandishi mmoja analitaja gereza hili kama "the great garbage can of San
Fransisco bay Bay, into which every federal prison dumped its most
rotten apples" ( Alcatraz lilikuwa kama dampo kuu katika ghuba ya San
Fransisco ambapo matunda( wafungwa)yaliyooza kuliko yote yalitupwa!"<br />
Hii ni ndio Alcatraz!! Special to hold the worst of the criminals!<br />
<br />
*Hawa ni watukufu wachache ndani ya Alcatraz.*<br />
<br />
*1.Robert Franklin Stroud.*<br />
Huyu alijulakana kwa nickname ya birdsman kutokana na kuwa mfugaji
maarufu wa ndege nje ya shughuli yake tukufu ya uhalifu, alikaa Alcatraz
tangy 1942 hadi 1959 na anatajwa kuwa mahalifu hatari kuwahi kutoka
Marekani katika zama hizo!<br />
<br />
*2.George Kelly (The Machine gun)*<br />
Ni mtukufu mwingine aliyebahatika kutunukiwa tunu hii adhimu, ndani ya
"the Alcatraz" alipewa jina la 'The machine gun' kutokana na mahaba yake
kwenye chombo hiki cha moto wakati wa mission zake. Huyu jamaa
aliongoza kundi wa wahalifu wa wizi wa mabenki na utekaji, kesi
iliyompeleka Alcatraz ni kumteka mfanyabiashara Charles F. Urschek na
kujipatia kiasi cha USD 200,0000.<br />
<br />
3.Lakin pia anayeweza kuvikwa 'utukufu' zaidi wa Alcatraz ni Alivin
Fransis Karps, huyu alikuwa kiongizi wa kundi lililojiita barber-Karpis,
alikuwa Marekani mwenye asili ya Canada, anatajwa kama mmoja wa nguli
wanne wa uhalifu waliopata kutunukiwa heshima ya kuitwa maadui wakuu wa
taifa la Marekani miaka ya 1933 ambapo kati ya hao yeye pekee yake ndio
alikamatwa akiwa hai, watukufu wengine walikufa kwa kipigwa risasi kabla
ya kukamatwa, huyu jamaa ndio mfungwa aliyekaa miaka mingi katika
utukufu wa Alcatraz… miaka 26 kati ya 29 ya uwepo wa Alcatraz!<br />
<br />
*Ulinzi na mazingira kuzunguka Alcatraz*<br />
<br />
Gereza hili lilikuwa na urefu wa kilomita 2.7, upana wa kilomita 1.5 na
urefu wa mita 3.1 kwenda juu, huku likigawanywa katika blocks nne, block
A, B, C na D, chumba cha Mkuu was Gereza, chumba ya wageni, Maktaba na
Saluni ya kunyolea wafungwa, huku block "D" likiwa ndio block hatari
zaidi kwa msoto kiasi kwamba pamoja na uhalifu wao katika uhalifu,
watukutu hawa waliligwaya sana block hili!.<br />
<br />
Gereza lilizungushiwa fence za umeme, electric detectors, radios na
guard towers. Kikubwa zaidi ni kwamba gereza lilijengwa kwenye kisiwa
kilichozungukwa na maji ya baridi mno panda zote na mkondo mkali sana!<br />
<br />
Mazingira haya ndio yaliyolifanya gereza hili kuwa la kipekee na
kuaminika kuwa gumu kuliko yote kwa mfungwa kutoroka! Hivyo kuonekana
sahemu salama kabisa kwa watemi hawa kuishi, " Special to hold the worst
of the Criminals"!<br />
<br />
Maisha ya watemi ndani ya Alcatraz!<br />
Waliopita Alcatraz wanakili haikuwa sehemu salama kwa kiumbe chochote
cha mungu kuishi, lilikuwa na ukatili na maisha magumu sana, watemi
walipata shuruba Kali kutoka kwa walinzi lakini wao kwa wao walfanyiana
ukatili mkubwa mno. Edward Wulke ni mmoja wa wafungwa aliyekutana<br />
na ukatili humo ndani, huyu jamaa alikatwaa mikono yake kwa shoka na baadae alikuja kujinyonga!<br />
<br />
Mazingira walikuwa machafu mno kama inavyofahamika magerezani, kazi
ngumu kwa muda mrefu huku likiwa ni kawaida sana kupitisha Siku tatu
hadi nne bila kula huku wakiambulia slice mbili tatu!<br />
<br />
Yote kwa yote block "D" ndio lilikuwa kiboko yao huku lilikuwa na selo
zilizopatizwa shimoni, yaani ukiingizwa huku maji lazima uite mma! Hapa
hapakuwa na umeme na kulikuwa na baridi Kali, huku wafungwa wakilazwa
nusu uchi.<br />
Lazima ukumbuke vitanda ni starehe iliyokuwaa hapitikani Alcatraz, vyoo
vilikiwa si vya kiridhisha, watu walitembea peku peku, harufu mbaya
ilikuwa nyumbani kwake!<br />
<br />
Mmoja wa watu waliopata kuishi anakili kwamba Alcatraz ilikuwa ni kama
jehanum na kama wangepewa nafasi ya kuchagua kuishi humo na kifo basi
wangechagua kifo!<br />
<br />
Kiufupi watukutu hawa walikuwa ni kama wafu walio hai, hadi hapo
walikuwa na wazo moja tu, kutoroka! Au uendelee kuwa maiti inayoishi
Alcatraz!<br />
<br />
*Breaking the unbreakable!!*<br />
<br />
Kwa mtu mwenye akili timamu ilikuwa haiwezekani kwake kufikiria kutoroka
gereza la Alcatraz. Gereza lote lilikuwa ni kisiwa katikati ya bahari
kilichozungukwa na maji panda zote.<br />
<br />
Inasemekana ndani ya miaka 29 yalifanyika majaribio zaidi ya 14
yakihusisha watu 46, kati ya hapo wawili walikufa maji, sita walipigwa
risasi, 23 walikamatwa na watatu hawajulikani walipo hadi sasa!<br />
<br />
Mtu wa kwanza kujaribu aliitwa Joseph Bowers juhudi zake ziliishia
mikononi kwa walinzi, walipigwa risasi baada ya kugoma kutii amri ya
kujisalimisha!<br />
<br />
Baaadae Theodore Cole na Raph Rae walikuja kufanikiwa kutoroka baada ya
kukata nondo ya dirisha lakini wakafia majini kutokana na baridi kali!<br />
<br />
*The battle of the Alcatraz!*<br />
<br />
Hili jina lililopewa jaribio la kutoroka lilifanywa na watukutu sita,
Bernard Coy, Joseph Cretzer, Sam Shockley, Clarence Carne's, Marvin
Hubbard na Miran Thompson! Hawa baada ya kuwathibiti walinzi
walifanikiwa kuingia chumba ya silaha na mpango ulikuwa watoroke kwa
kutumia boti, lakini bahati mbaya wakakosa ufunguo wa boti! Hadi hapo
mpango ukawa kama umegoma, Shockley, Thompson na Cornea wakaamua kurudi
selo huku Bernard na wenzake wakiamua kuendelea na mission! Lakini
hawakufika mbali kwani walipigwa risasi na wanajeshi wa Marines ambao
walikuja kusaidia kutuliza varakangati hilo. Hapa walinzi wawili
walipoteza maisha huku watu wengine saba wakijeruhiwa!<br />
<br />
They didn't give up! It is not the end until it is end!<br />
June 11 mwaka 1962 wanaume watatu, Frank Morris, John Anglin na
Clearance Anglin wanafanikiwa kuvunja mwiko wa gereza hili wa wafungwa
kushindwa kutoroka.<br />
<br />
*Kulikuwa na siri gani nyuma ya pazia??*<br />
<br />
Hawa jamaa walikuwa wakiishi kwenye sello ndani ya block "B" ambako
pembeni ya sello yao lilikuwa na korido isiyolindwa, walichofanya ni
kutoboa tundu kuunganisha selo yao na korido, shughulii ilifanywa kwa
kutumia vijiko na drill walizochomoa kwenye mota ya cleaner, na
walifanya kazi hiyo pindi unapopigwa mziki ili kuepuka kusikika
wakichimba!<br />
<br />
Baadae waliondoa feni kwenye roof, na kuweka nondo ambazo ziliacha uwazi
wa kupita. Hapa walitumia faida ya korido kutokuwa na walinzi na kuwa
sehemu yenye Giza! Inasemekana siku ya kutoroka walitengeneza vinyago na
kujivika nywele kutoka salmon ( barber shop) na kuviweka sehemu
wanazolala ili kuwapoteza maboya walinzi. Siku hiyo walimwamsha mwenzao
Allen West,waliekuwa wamepanga mpango huu pamoja, lakini yeye akalala
fofofo!<br />
<br />
Baada ya tukio hili FBI walifanya upepelezi kwa muda wa miaka 7 hadi
mwaka 1969 walipofunga kesi hii bila kuwa wameona miili ya hawa jamaa
wala kujua walipo, wakaamua kuhitimisha kwamba jamaa walikufa maji!<br />
<br />
Hapo hadi sasa kuna utata juu ya hilo, kwani wapo wanaodai jamaa hawa
walifanikiwa kutoroka salama na wamekuwa wakiwasiliana na ndugu zao na
kwamba walishawahi baadhi kuonekana Rio de Janeiro Brazil!!<script async="" src="//pagead2.googlesyndication.com/pagead/js/adsbygoogle.js"></script>
<!-- barner -->
<br />
<ins class="adsbygoogle" data-ad-client="ca-pub-8699121076413513" data-ad-slot="8927094585" style="display: inline-block; height: 60px; width: 500px;"></ins><script>
(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({});
</script></div>
Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/09786424478000544580noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-3347815323000470255.post-35519668080972821472017-08-09T07:25:00.000+03:002017-08-09T07:25:30.632+03:00WANYAMA HATARI WANAOTUMIKA JESHINI<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<br />
1: SIR NILS OLAV<br />
<img alt="[IMG]" class="bbCodeImage LbImage" data-url="http://www.jamiiforums.com/mobile-gallery/6890c7e440b3cb9557129cc72666fee6.jpg" src="http://www.jamiiforums.com/mobile-gallery/6890c7e440b3cb9557129cc72666fee6.jpg" /><br />
Nils Olav ni ndege aina ya Penguin aliyepewa cheo mara ya kwanza mwaka
1972 na kuwekwa kwenye timu ya walinzi wa mfalme Harald V Loudon wa
Norway. Kwa sasa Sir Nils Olav ni Brigedia anapewa heshima zote za
kijeshi ikiwemo kupigiwa saluti na kukagua jeshi.<br />
<br />
<br />
<br />
<br />
<br />
2: TREO<br />
<img alt="[IMG]" class="bbCodeImage LbImage" data-url="http://www.jamiiforums.com/mobile-gallery/c85ae688e5d4b0ad68a0136658303aa6.jpg" src="http://www.jamiiforums.com/mobile-gallery/c85ae688e5d4b0ad68a0136658303aa6.jpg" /><br />
Ni mbwa aliyetumikia jeshi la Uingereza kuanzia mwaka 2001 mpaka 2015.
Trio ana medali zisizopungua 63 ambazo alipewa baada ya kufaya kazi
kubwa ya kutegua mabomu na kutambua mahali mabomu yalipofichwa.<br />
<br />
<br />
<br />
3: WILLIAM OF ORANGE<br />
<img alt="[IMG]" class="bbCodeImage LbImage" data-url="http://www.jamiiforums.com/mobile-gallery/f399cc69b235b78642ae2f95565d1a3c.jpg" src="http://www.jamiiforums.com/mobile-gallery/f399cc69b235b78642ae2f95565d1a3c.jpg" /><br />
William ni njiwa aliyekuwa mwanajeshi wa jeshi la Uingereza mwenye namba
MI14 ambapo mwaka 1944 alipewa medali ya 21 baada ya kupeleka ujumbe
uliookoa vifo vya zaidi ya wanajeshi 2000 kwenye vita ya Arnhem wakati
wa Vita ya Pili ya Dunia.<br />
<br />
<br />
<br />
<br />
<br />
4: TAFFY IV.<br />
<img alt="[IMG]" class="bbCodeImage LbImage" data-url="http://www.jamiiforums.com/mobile-gallery/76c256b919e8956ac6088a48b92697f4.jpg" src="http://www.jamiiforums.com/mobile-gallery/76c256b919e8956ac6088a48b92697f4.jpg" /><br />
Huyu ni mbuzi aliyetumikia jeshi la Uingereza tangu mwaka 1775 ambaye
alichukuliwa kwa mara ya kwanza mwaka 1774 na kuingizwa kwenye jeshi
maalum la Uingereza alipokutwa anarandaranda porini. Alipewa medali ya
14 ambayo ni maalum waliyopewa wanajeshi wa Uingereza wakati wa Vita ya
Kwanza ya Dunia (WWI).<br />
<br />
<br />
<br />
<br />
<br />
5: LIN WANG<br />
<img alt="[IMG]" class="bbCodeImage LbImage" data-url="http://www.jamiiforums.com/mobile-gallery/4de1d332837e2d23dda2f54d413d1391.jpg" src="http://www.jamiiforums.com/mobile-gallery/4de1d332837e2d23dda2f54d413d1391.jpg" /><br />
Ni tembo aliyekuwa mwanajeshi wa jeshi la China kuanzia mwaka 1942
ambapo alitumika kujenga majengo marefu ya jeshini, kusafirisha chakula
wakati wa vita na alitumika kama kivutio kwa ajili ya kukusanya fedha
wakati wa njaa kipindi cha vita na kupewa medali 12 za kijeshi.
<script async="" src="//pagead2.googlesyndication.com/pagead/js/adsbygoogle.js"></script>
<!-- barner -->
<br />
<ins class="adsbygoogle" data-ad-client="ca-pub-8699121076413513" data-ad-slot="8927094585" style="display: inline-block; height: 60px; width: 500px;"></ins><script>
(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({});
</script></div>
Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/09786424478000544580noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-3347815323000470255.post-91181986434119432322017-08-09T07:20:00.002+03:002017-08-09T07:20:24.016+03:00MAMBO NANE MAKUU KUHUSU FREEMASONS DUNIANI<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<div class="messageInfo primaryContent">
<div class="messageContent">
<article>
<blockquote class="messageText SelectQuoteContainer ugc baseHtml">
<img alt="[IMG]" class="bbCodeImage LbImage" data-url="http://www.jamiiforums.com/mobile-gallery/4957c3fa1e281d25c1ea17725d8e89af.jpg" height="358" src="http://www.jamiiforums.com/mobile-gallery/4957c3fa1e281d25c1ea17725d8e89af.jpg" width="640" /><br />
Ni shirika ambalo mambo yake ni siri kuu. Mimi nilifanya utafiki kwenye
mitandao, nikafatilia historia yao kama inavyoonyeshwa mara kwa mara
kwenye makala za historia katika televisheni za magharibi pamoja na
kuongea na watu waliofuatilia kwa karibu mambo yao. Kwenye maelezo yao
kwa nje Free masons wanajitangaza kama shirika zuri tu.<br />
<img alt="[IMG]" class="bbCodeImage LbImage" data-url="http://www.jamiiforums.com/mobile-gallery/e15048dba9466e8b77ddc70021e4c4e3.jpg" src="http://www.jamiiforums.com/mobile-gallery/e15048dba9466e8b77ddc70021e4c4e3.jpg" /><br />
Naomba niorodheshe mambo machache niliyoambiwa kuhusiana na Freemasonry.<br />
<br />
<br />
1. Ni kweli Freemasonry kama ilivyo maana yake kwanza ilkuwa ni kundi la
mafundi waashi (masons) au wajenzi kuwa lugha nyingine. Walikuwa ni
wataalamu waliobobea kwenye masuala ya ujenzi wa mahekalu na mabenki ya
zama hizo zinazoitwa kwa kizungu (medieval times).<br />
Niliambiwa walikuwa ni watunzaji wa pesa za kanisa katoliki. Kwani
walikuwa wanajenga mahekalu(cathedrals) za wakatoliki na mabenki/
mahandaki ya kuhifadhia pesa pamoja na kuzikia(catacombs).<br />
Niliambiwa wanaweza kujenga hayo maandaki kwa utaalamu mkubwa kiasi
kwamba ukiingia ndani ya hayo mahandaki bila ramani unaweza ukashindwa
kutoka hata unaweza kupotelea humo humo ndani usiweze kutoka tena. Hicho
ndicho kilichokuwa ni kiwango cha utaalamu wao.<br />
<br />
<br />
<br />
2. Kwa kuwa walikuwa ni waashi ndiyo maana alama zao ni vifaa vya ujenzi, Pima maji n.k<br />
<br />
<br />
<br />
3. Inasemekana mji mkuu wa marekani (Washington DC) ulisanifiwa na
kujengwa na Freemasons. Na inasemekana ni mji makini ambao umejengwa
ukizingatia pembe tatu zenye nyuzi zinazowakilisha u freemason.<br />
<br />
<br />
<br />
4. Ikatokea kipindi ambapo hawa freemasons wakaasi kwa kuanza
kujishirikisha na mambo ya nguvu za giza. Wengine wanasema walianza
kuiba pesa za kanisa katoliki, lakini ukweli halisi haujulikani.
Kutokana na sababu hizi na zinginezo ambazo ni siri kati ya kanisa
katoliki na freemasons, Freemasons wakafukuzwa kutoka ukatoliki.<br />
Ndio maana hakuna maelewano kati ya freemasons na wakatoliki. Wakatoliki
wakaanzisha shirika jingine badala ya hao freemasons lijulikanalo kama
Jesuits.<br />
Jesuit Fathers ni mapadri wa katoliki wa daraja la juu sana wenye elimu
ya juu zaidi ambao hufanya kazi za siri za utawala na udhibiti ndani ya
kanisa katoliki.<br />
<br />
<br />
5. Kuhusu imani yao (freemasons) nikaelezwa kwa kifupi kuwa wanaamini
Yesu na Lucifer ni mtu na ndugu yake. wanaamini kuwa Lucifer ndiye mwema
na mzuri lakini wanaamini kuwa Yesu ndiye mwenye mabaya. alimfanyia
hila Lucifer aonekane mbaya.<br />
<br />
<br />
6. Kinachoendelea ndani yake kuhusiana na ibada zake ni siri kwani kuna
daraja ambazo muumini wa freemason anapanda kutokana na kubobea katika
imani ikiwa ni pamoja na kutunza siri zao. Ninajua kuwa daraja ya juu
kabisa ni nyuzi ya 33 (33rd degree)<br />
<br />
<br />
<br />
7. Ni watu wenye nguvu mno na mambo yao ni makubwa mno na siri zao ni nzito mno. Ndiyo maana haziko wazi.<br />
Wafuasi wa kiwango cha chini wala hawajui shirika hili linahusika na
nini manake hata wao hawaambiwi kitu. Kwa wafuasi wa daraja ya chini
wanakwenda ku socialize tu. Yaani kwa wasio jua kitu kule kwenye lodge
zao ni kama ywca au wmca au club hivi. Kwenye nchi kama marekani watu
wasio jua siri wanachukulia kama sehemu za kusocialize tu.<br />
<br />
<br />
8. Freemasonry inawekwa pamoja na makundi mengine makubwa ya siri,
yanayoendesha ulimwengu mzima kwa nguvu za kiuchumi, siasa na mambo ya
utawala
<div class="messageTextEndMarker">
</div>
</blockquote>
</article>
</div>
</div>
<script async="" src="//pagead2.googlesyndication.com/pagead/js/adsbygoogle.js"></script>
<!-- barner -->
<br />
<ins class="adsbygoogle" data-ad-client="ca-pub-8699121076413513" data-ad-slot="8927094585" style="display: inline-block; height: 60px; width: 500px;"></ins><script>
(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({});
</script></div>
Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/09786424478000544580noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-3347815323000470255.post-18754602409220474372017-08-07T07:09:00.002+03:002017-08-07T07:09:39.949+03:00STOP SABOTAGING YOUR CAREER (ACHA KUIHUJUMU KAZI YAKO WEWE MWENYEWE).<script async="" src="//pagead2.googlesyndication.com/pagead/js/adsbygoogle.js"></script>
<!-- barner -->
<br />
<div class="title-secondary">
<span class="comment-sec"></span>
</div>
<div class="post-body entry-content">
<div dir="ltr" style="text-align: left;">
<span style="font-size: medium;">Watu wengi ambao wamekuwa hawapigi hatua kwenye kazi zao, hasa
wale ambao wameajiriwa, ni kwa sababu, wao wenyewe, bila ya kujua, wanakuwa
wanahujumu kazi zao. Yaani kuna mambo wanafanya au kutokufanya, ambayo
yanawapelekea kukosa fursa nzuri za kupiga hatua, kama kupandishwa cheo na
kupewa majukumu zaidi.</span><br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEje6dvopvcRkLmKpePKi9KXaseO0soFMOa1rCKpUgRezdkWPyhh4e5EbUBsNR188-P1MXd8-fTn9cPOXRAKv1cITNjyAjiapipyNQWhcL_9WDSTD96GiSudwacD6PF3gL0-ZtM5figb5o4/s1600/JOB.jpg" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><span style="font-size: medium;"><img border="0" data-original-height="499" data-original-width="329" height="400" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEje6dvopvcRkLmKpePKi9KXaseO0soFMOa1rCKpUgRezdkWPyhh4e5EbUBsNR188-P1MXd8-fTn9cPOXRAKv1cITNjyAjiapipyNQWhcL_9WDSTD96GiSudwacD6PF3gL0-ZtM5figb5o4/s400/JOB.jpg" width="262" /></span></a></div>
<span style="font-size: medium;"><br /></span>
<span style="font-size: medium;"><br /></span>
<span style="font-size: medium;">Hujuma ambazo watu wamekuwa wanafanya kwenye kazi zao,
hazitokani na wao kushindwa kutekeleza majukumu yao ya kazi, bali zinatokana na
tabia zao nyingine, nje ya majukumu yao ya kikazi. Pamoja na watu kuwa na ujuzi
mzuri, akili nzuri ya kufanya mambo, zipo sifa nyingine muhimu zinazochangia mtu
kufanikiwa. Wengi hupuuza sifa hizo, na kujikuta wakibaki pale pale, huku
wengine wakipiga hatua.
</span><br />
<span style="font-size: medium;"><br /></span>
<span style="font-size: medium;">Umewahi kuwa kwenye kazi, halafu wewe ukawa upo ngazi ile ile
kila mwaka, huku watu wengine wanakuja na kukukuta wewe kwenye kazi, ila
wanapanda ngazi na kukuacha wewe? Kama jibu ni ndiyo najua utakuwa unasema
sababu ni upendeleo au wewe hujaliwi. Lakini ukweli ni mkubwa kuliko hivyo, kuna
vitu unafanya, au kutokufanya ambavyo vinapelekea wewe kuachwa na wengine kupewa
fursa zaidi.
</span><br />
<span style="font-size: medium;"><br /></span>
<span style="font-size: medium;">Mshauri, mwanasaikolojia na mwandishi Lois Frankel, ametufunulia
mambo hayo kwa kina kupitia kitabu chake hichi. Ni kitabu kizuri sana, ambacho
kila mtu anapaswa kukisoma. Japo kimeandikwa kuwalenga watu wenye ajira, lakini
kina mafunzo muhimu sana kwa kila mtu. Hata kwa walioajiriwa au wafanyabiashara,
zipo sifa ukijifunza humu, zitakuwezesha kupiga hatua kubwa. Mimi binafsi yapo
mambo nimejifunza ambayo sikuwahi kufikiria nguvu yake kama ilivyoelezwa, na
ninaanza kuyafanyia kazi mara moja.
</span><br />
<span style="font-size: medium;"><br /></span>
<span style="font-size: medium;">Karibu kwenye uhambuzi huu wa kitabu, nimekuandalia yale
machache muhimu, utaendelea kujifunza zaidi kwa kusoma kitabu chenyewe.
</span><br />
<span style="font-size: medium;"><br /></span>
<span style="font-size: medium;">1. Kama unaona umekwama kwenye kazi au chochote unachofanya,
hiyo ni kwa sababu kuna sifa fulani ambazo unazikosa. Sifa hizo zinaweza zisiwe
na uhusiano na kazi unayofanya, bali ikawa ni mahusiano yako na wengine,
mwonekano wako, maongezi yako na kadhalika. Hivyo kabla hujaamini kwamba wengine
wanapendelewa, angalia wapi unakosea kisha chukua hatua.
</span><br />
<span style="font-size: medium;"><br /></span>
<span style="font-size: medium;">2. Katika kuchukua hatua ya kujijengea tabia bora kabisa za
mafanikio kupitia kazi yako, usikimbilie kuangalia uache kufanya nini, badala
yake angalia wapi upo imara, kisha angalia kipi cha kuongeza ili uweze kupiga
hatua. Kwa mfano, watu wengi wanaweza kuwa ni wafanyakazi wazuri mno kwenye kazi
zao, lakini hawawezi kuelewana na wengine vizuri, hilo linawanyima fursa ya
kupandishwa cheo na kuwa wasimamizi. </span><br />
<span style="font-size: medium;"><br /></span>
<span style="font-size: medium;">Ukigundua kwamba udhaifu wako uko hapo,
unahitaji kujenga mahusiano yako na wengine ili kuweza kupiga hatua, huku
ukiendelea kufanya kazi yako vizuri.
</span><br />
<span style="font-size: medium;"><br /></span>
<span style="font-size: medium;">3. Tabia ulizojifunza ukiwa utotoni, zina mchango mkubwa wa hapo
ulipo sasa. Kila mtu alipokuwa mtoto, kuna tabia alizojifunza, za kumwezesha
kuishi kwenye hii dunia. Hizi ni zile tabia ambazo tulikuwa tunazo ili
kuhakikisha tunapata kile ambacho tunakitaka. Tabia hizi huwa haziishii utotoni,
bali zinaenda na sisi mpaka ukubwani. Iwapo hutazitambua tabia hizi na
kuondokana nazo, huwezi kupiga hatua. Kwa mfano kama utotoni umekulia kwenye
malezi ambayo wazazi walikuwa wakali sana, na hivyo ukahitaji kuwa mvumilivu na
mpole mno, maisha yako yote utaenda na tabia hiyo. Sasa unaweza kuwa kwenye
mazingira magumu sana ya kazi, lakini unashindwa kuchukua hatua, kwa sababu
umezoea hivyo tangu utotoni. Unahitaji kuvunja tabia za utotoni ili kuweza
kupiga hatua.
</span><br />
<span style="font-size: medium;"><br /></span>
<span style="font-size: medium;">4. Wale wanaofanikiwa kwenye kazi zao, huwa wanayasoma mazingira
ya kazi wanayofanya, na uongozi uliopo, kisha wanabadili tabia zao kuhakikisha
zinaendana na mazingira yake. Kwa njia hii, wanaonekana kuweza zaidi kazi zao na
kupewa majukumu zaidi. Wale wanaoshindwa, huwa wanang’ang’ana na kile
wanachotaka wao, wakiona wana msimamo, na yale maeneo ambayo wana udhaifu,
yanakuwa kikwazo kwao kupiga hatua.
</span><br />
<span style="font-size: medium;"><br /></span>
<span style="font-size: medium;">5. Zipo tabia nane ambazo watu wamekuwa nazo, na zimekuwa
zinawazuia kufanikiwa kupitia kazi zao. Tabia hizo ni kama ifuatavyo;
</span><br />
<span style="font-size: medium;"><br /></span>
<span style="font-size: medium;">Moja; kutokujali watu wengine.
</span><br />
<span style="font-size: medium;"><br /></span>
<span style="font-size: medium;">Mbili; kushindwa kufanya kazi kama timu.
</span><br />
<span style="font-size: medium;"><br /></span>
<span style="font-size: medium;">Tatu; kushindwa kuwa na mawasiliano bora.
</span><br />
<span style="font-size: medium;"><br /></span>
<span style="font-size: medium;">Nne; kukosa akili hisia (emotional intelligence)
</span><br />
<span style="font-size: medium;"><br /></span>
<span style="font-size: medium;">Tano; kushindwa kufanya kazi na mamlaka.
</span><br />
<span style="font-size: medium;"><br /></span>
<span style="font-size: medium;">Sita; kukosa maono au kuwa na maono mapana sana.
</span><br />
<span style="font-size: medium;"><br /></span>
<span style="font-size: medium;">Saba; kushindwa kuwapa watu kile wanachotegemea.
</span><br />
<span style="font-size: medium;"><br /></span>
<span style="font-size: medium;">Nane; kufanya kazi kwa kujitenga.
</span><br />
<span style="font-size: medium;"><br /></span>
<span style="font-size: medium;">Zipo njia nane za kutengeneza mafanikio kwenye kazi yoyote ile.
Tutakwenda kuziangalia hapa na hatua za kuchukua ili uweze kupiga hatua.
</span><br />
<span style="font-size: medium;"><br /></span>
<span style="font-size: medium;">Njia ya kwanza; jenga mahusiano bora na wengine.
</span><br />
<span style="font-size: medium;"><br /></span>
<span style="font-size: medium;">6. Tengeneza mahusiano yako na watu wengine ambao unafanya nao
kazi. Kwa kujali kuhusu kazi zao na maisha yao kwa ujumla.
</span><br />
<span style="font-size: medium;"><br /></span>
<span style="font-size: medium;">7. Wengine wanapoongea, sikiliza kwa makini, sikiliza kwa lengo
la kuelewa na siyo kwa lengo la kubishana.
</span><br />
<span style="font-size: medium;"><br /></span>
<span style="font-size: medium;">8. Yajue majina ya wafanyakazi wenzako na majina ya watu wao wa
karibu. </span><br />
<span style="font-size: medium;"><br /></span>
<span style="font-size: medium;">Unapoyatumia majina hayo watu wanaona unajali.
</span><br />
<span style="font-size: medium;"><br /></span>
<span style="font-size: medium;">9. Waheshimu watu wote kwa usawa, iwe wapo juu yako au chini
yako. Usimdharau mtu kwa sababu yupo chini, itakuja kukugharimu baadaye.
</span><br />
<span style="font-size: medium;"><br /></span>
<span style="font-size: medium;">10. Soma kitabu cha Dale Carnegie kinachoitwa HOW TO WIN FRIENDS
AND INFLUENCE PEOPLE.
</span><br />
<span style="font-size: medium;"><br /></span>
<span style="font-size: medium;">Njia ya pili; kuwa mtu muhimu kwenye timu ya kazi.
</span><br />
<span style="font-size: medium;"><br /></span>
<span style="font-size: medium;">11. Fanya kazi ndani ya timu, na chagua kitu ambacho unachangia
kwenye timu. Hapa unaangalia kipi ambacho timu ya kazi inakutegemea, kisha kitoe
vizuri.
</span><br />
<span style="font-size: medium;"><br /></span>
<span style="font-size: medium;">12. Kuwa mtu rafiki kwa watu kuweza kufanya kazi na wewe, toa
ushirikiano wa kutosha, kiasi kwamba ikitokea kazi ambayo watu wanapaswa kufanya
kwa kushirikiana, basi kila mtu apende kushirikiana na wewe.
</span><br />
<span style="font-size: medium;"><br /></span>
<span style="font-size: medium;">13. Wasaidie wengine kukamilisha majukumu yao, angalia ni namna
gani unaweza kuwa na mchango zaidi kwenye kazi za wengine, na utoe.
</span><br />
<span style="font-size: medium;"><br /></span>
<span style="font-size: medium;">14. Soma kitabu kilichoandikwa na Jon Katzenbach na Douglas
Smith kinachoitwa THE WISDOM OF TEAMS.
</span><br />
<span style="font-size: medium;"><br /></span>
<span style="font-size: medium;">Njia ya tatu; tengeneza mwonekano na mawasiliano yako.
</span><br />
<span style="font-size: medium;"><br /></span>
<span style="font-size: medium;">15. Hakikisha unakuwa na mwonekano mzuri kwa wengine, mwonekano
mzuri unakupa nafasi ya kufanikiwa zaidi. Kuwa na nguo za heshima na onekana
nadhifu wakati wote.
</span><br />
<span style="font-size: medium;"><br /></span>
<span style="font-size: medium;">16. Unapokuwa kazini, vaa kwa ile nafasi unayotaka kufikia, na
siyo nafasi uliyopo sasa. </span><br />
<span style="font-size: medium;"><br /></span>
<span style="font-size: medium;">Kwa mfano kama unataka kuwa meneja, angalia mameneja
wanavaa mavazi ya aina gani, na vaa kama wao. Hata kama kazi yako ni ya chini
kabisa. kwa kufanya hivyo, unatengeneza taswira ya umeneja ndani yako na
itaonekana na wengine.
</span><br />
<span style="font-size: medium;"><br /></span>
<span style="font-size: medium;">17. Mtindo wako wa kutembea na hata wa kukaa, uwe wa mtu
anayejiamini na siyo kama wa kukata tamaa.
</span><br />
<span style="font-size: medium;"><br /></span>
<span style="font-size: medium;">18. Mwili wako uwe na afya ya kawaida, uzito usiwe umezidi wala
usiwe umepungua sana. Fanya mazoezi kuhakikisha unakuwa na afya bora.
</span><br />
<span style="font-size: medium;"><br /></span>
<span style="font-size: medium;">19. Unapoongea, ongea kwa kujiamini, ongea kwa sauti inayosikika
vizuri, na tumia maneno ambayo kila mtu anaweza kukuelewa.
</span><br />
<span style="font-size: medium;"><br /></span>
<span style="font-size: medium;">20. Soma vitabu vitatu; THE DEFINITIVE BOOK OF BODY LANGUAGE,
BUSINESS CLASS; ETIQUETTE ESSENTIALS FOR SUCCESS AT WORK na SPEAK LIKE A CEO;
SECRETS FOR COMANDING ATTENTION AND GETTING RESULTS.
</span><br />
<span style="font-size: medium;"><br /></span>
<span style="font-size: medium;">Njia ya nne; boresha akili hisia yako (emotional
intelligence).
</span><br />
<span style="font-size: medium;"><br /></span>
<span style="font-size: medium;">21. Kamwe usimdhalilishe mtu yeyote mbele ya watu wengine, watu
watakuchukia na kushindwa kushirikiana na wewe.
</span><br />
<span style="font-size: medium;"><br /></span>
<span style="font-size: medium;">22. Wasifie watu hadharani, lakini wakosoe faragha, kwa njia hii
watu watapenda kufanya kazi na wewe.
</span><br />
<span style="font-size: medium;"><br /></span>
<span style="font-size: medium;">23. Kumbuka kusema tafadhali, asante na samahani kila
linapohitajika neno la aina hiyo. </span><br />
<span style="font-size: medium;"><br /></span>
<span style="font-size: medium;">Unataka mtu afanye kitu, anza na tafadhali.
Kama mtu amekupa kitu au amefanya chochote, hata kama ni kidogo sema asante.
Unapokosea sema samahani.
</span><br />
<span style="font-size: medium;"><br /></span>
<span style="font-size: medium;">24. Kuwa mwaminifu, timiza kile unachoahidi.
</span><br />
<span style="font-size: medium;"><br /></span>
<span style="font-size: medium;">25. Usifuate sheria ya dhahabu kwamba wafanyie wengine kile
ambacho ungependa wakufanyie, badala yake fuata sheria ya almasi kwamba wafanyie
wengine kile ambacho wanapenda kufanyiwa.
</span><br />
<span style="font-size: medium;"><br /></span>
<span style="font-size: medium;">26. Soma vitabu viwili; THE EMOTIONAL INTELLIGENCE QUICK BOOK na
THE LIKEABILITY FACTOR.
</span><br />
<span style="font-size: medium;"><br /></span>
<span style="font-size: medium;">Njia ya tano; waongoze wanaokuongoza.
</span><br />
<span style="font-size: medium;"><br /></span>
<span style="font-size: medium;">27. Kumbuka sheria ya dhahabu kwenye utawala, mwenye dhahabu
ndiye anayepanga sheria. Hivyo chochote unachofanya, hakikisha walio juu yako
wanajiona wapo salama na kuweza kukutegemea wewe.
</span><br />
<span style="font-size: medium;"><br /></span>
<span style="font-size: medium;">28. Usijaribu kuonekana unaweza zaidi au kujua zaidi kuliko
aliye juu yako, atatumia nafasi yake kukupoteza kabisa. Kila mtu anapenda
kulinda nafasi yake.
</span><br />
<span style="font-size: medium;"><br /></span>
<span style="font-size: medium;">29. Bosi wako siyo mzazi wako, elewa majukumu ya kila mmoja wenu
na mwisho wa majukumu hayo. Usimng’ang’anie bosi, hasa pale anapoonekana kuwa
msumbufu.
</span><br />
<span style="font-size: medium;"><br /></span>
<span style="font-size: medium;">30. Makubaliano yakishafikiwa na uongozi, yasimamie hata kama
ulikuwa unayapinga.
</span><br />
<span style="font-size: medium;"><br /></span>
<span style="font-size: medium;">31. Kama unafanya kazi chini ya mtu asiyekujali, anayekutumia na
kukudharau, unapaswa kuchukua hatua ya kutafuta nafasi nyingine, unaweza
kusubiri ukiamini mambo yanabadilika, ila ni mara chache sana mambo
hubadilika.
</span><br />
<span style="font-size: medium;"><br /></span>
<span style="font-size: medium;">32. Soma kitabu; YOUR BOSS IS NOT YOUR MOTHER
</span><br />
<span style="font-size: medium;"><br /></span>
<span style="font-size: medium;">Hizi ni njia tano kati ya njia nane za kufanyia kazi ili kuweza
kupiga hatua kwenye kazi yako. Nakushauri sana usome kitabu hichi, kwa sababu
utajifunza mengi mno, hasa jinsi ya kuboresha mahusiano na wengine, kuweza
kufanya kazi na wengine, na hata kujua namna gani ya kupendwa na wengine.
</span></div>
</div>
<div style="background-color: white; border: medium none; color: black; overflow: hidden; text-align: left; text-decoration: none;">
<br /></div>
<script>
(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({});
</script>Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/09786424478000544580noreply@blogger.com0