Kuna stori za baadhi ya Viongozi wa
Africa kung’ang’ania kukaa madarakani hata baada ya vipindi vyao vya
uongozi kuisha, pia wako ambao wanaendelea kuongoza kihalali kutokana na
mabadiliko ambayo wameyafanya kwenye Katiba ili waendelee kuongoza !!
Siku chache zilizopita nilikusogezea
stori kuhusu Rais mwenye umri mdogo kuliko wote Duniani, leo nakupa hii
toka ndani ya Africa… unajua Marais wanaoongoza kwa kuwa na umri mkubwa?
List niko nayo hapa mtu wangu, kila mmoja na picha yake kabisa !!
1. Rais wa Zimbabwe Robert Mugabe ana miaka 91, ndiye Rais mzee kuliko wote, ameshinda urais kwa muhula wa saba
6. Rais wa visiwa vya Sao Tome, Manuel Pinto da Costa ana miaka 77, aliingia madarakani tangu mwaka 2011
RSS Feed
Twitter
September 15, 2015
Unknown
0 comments:
Post a Comment