Monday, August 10

DSC_0613

Headlines za Siasa zinaendelea kubeba uzito wa juu Tanzania, August 10 2015 Mgombea Urais anayewakilisha UKAWA, Edward Ngoyai Lowassa amefika Ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC na kuchukua Fomu yake.
Pichaz za kwanza nilikusogezea msafara uliotoka Makao Makuu wa CUF Buguruni Dar es Salaam, wwengine kwenye maagari, wengine bodaboda.. wengine walifunga safari kwa miguu kumsindikiza Mgombea huyo kutoka Buguruni mpaka Ofisi za NEC Posta alafu safari ikaendelea tena mpaka Makao Makuu ya CHADEMA, Kindondoni Dar.
DSC_0614
Ilionekana watu ni wengi sana, nafasi ya eneo hilo haikutosha… ikabidi umati wote usogee Viwanja vya BIAFRA ambapo Viongozi wa UKAWA walipata nafasi kuongea na Wanachama wao walioshiriki mwanzo mpaka mwisho kwenye safari hiyo.

DSC_0615
DSC_0618
DSC_0623
DSC_0626
DSC_0634
DSC_0636
DSC_0642
DSC_0670
DSC_0683

DSC_0702
DSC_0710
DSC_0719
DSC_0723
DSC_0725
DSC_0727
DSC_0732
DSC_0744
DSC_0756
DSC_0771
DSC_0779
DSC_0788
DSC_0796
DSC_0804
DSC_0815
DSC_0822
DSC_0824
DSC_0829
DSC_0858
DSC_0862
DSC_0867
DSC_0871
DSC_0876
DSC_0880
DSC_0889
DSC_0896
DSC_0908
DSC_0912
DSC_0925
DSC_0949
DSC_0962

PAPO KWA PAPO zipate habari zote zinazonifikia za siasa muziki, michezo, maisha, Breaking news na nyingine kwa kujiunga hapa na mimi >>> Twitter Insta FB na nitakua nikikutumia kila ninachokipata pia usisahau kusubscribe YouTube kwa kubonyeza hapa >>>Videos
Dr Mwaka - Foreplan Clinic

Recommended for you


0 comments:

-