Saturday, August 15


Mbunge wa Monduli anayemaliza muda wake, Waziri Mkuu wa zamani na Mgombea Urais aliyepitishwa na CHADEMA pamoja na Umoja wa UKAWA, Edward Lowassa alianza safari ya kuzunguka Mikoani kutafuta Wadhamini ambapo safari yake jana alianzia Mbeya.
IMG-20150815-WA0015
Freeman Mbowe akisindikizwa na Vijana wa Red Brigade baada ya kufika kwenye Viwanja vya Ruanda Nzovwe Mbeya ambapo Mkutano wa CHADEMA ulifanyika.
Tulizipata pichaz za kwanza kutoka huko na hizi ni nyingine pia ambazo zimenifikia nikaona nizisogeze hapa na wewe uone kila kilichoendelea baada ya Mgombea Urais huyo kupokelewa na watu wa Mbeya.
IMG-20150815-WA0030
Mgombea Urais Edward Lowassa akipunga mkono kuwasalimia watu
waliojitokeza kwenye Mkutano huo Mbeya.
IMG-20150815-WA0025
Mbwembwe haziko mbali kwenye Mikutano ya Kisiasa, hii ni bodaboda au Helikopta?!!
IMG-20150815-WA0018
IMG-20150815-WA0031
Edward Lowassa akiendelea na Kuhutubia.
IMG-20150815-WA0032
Camera za Waandishi wa Habari pamoja na watu waliojaa kwenye Viwanja hivyo kwenye Mkutano wa CHADEMA.
IMG-20150815-WA0021
.
Mby
.
IMG-20150815-WA0024
Baada ya kumaliza Mkutano huo, hapa ilikuwa time ya kuwaaga watu wa Mbeya.
IMG-20150815-WA0017
Ziara ya Mgombea huyo Urais inaendelea Mikoa mingine, August 15 ni Arusha.. Nitazisogea updates zote kila zinaponifikia mtu wangu !!

0 comments:

-