Mbunge wa Monduli anayemaliza muda wake,
Waziri Mkuu wa zamani na Mgombea Urais aliyepitishwa na CHADEMA pamoja
na Umoja wa UKAWA, Edward Lowassa alianza safari ya kuzunguka Mikoani kutafuta Wadhamini ambapo safari yake jana alianzia Mbeya.
Tulizipata pichaz za kwanza kutoka huko
na hizi ni nyingine pia ambazo zimenifikia nikaona nizisogeze hapa na
wewe uone kila kilichoendelea baada ya Mgombea Urais huyo kupokelewa na
watu wa Mbeya.
Ziara ya Mgombea huyo Urais inaendelea
Mikoa mingine, August 15 ni Arusha.. Nitazisogea updates zote kila
zinaponifikia mtu wangu !!
0 comments:
Post a Comment