Wednesday, May 13

kan
May 24 mwaka huu itakua ni Anniversary ya mastaa Kim Kardashian na Kanye West baada ya kutimiza mwaka mmoja wa ndoa yao ambayo walifunga mwaka jana katika sherehe iliyofanyika Italy na kuhudhuriwa na watu mbalimbali.

Wawili hao ambao kwa sasa wana mtoto mmoja aitwaye North West wamepanga kuhitimisha siku hiyo kwa kurudia viapo vya ndoa yao katika mnara wa Eiffel uliopo jijini Paris, Ufaransa.
mnaraa
Mnara wa Eiffel uliopo jijini Paris
Kanye ambaye kwa sasa anajulikana kwa jina la Dk. Kanye West amepanga kufanya kitu cha tofauti katika siku yao hiyo muhimu ambayo itahudhuriwa na watu wa karibu zaidi ambao ni wanafamilia.

0 comments:

-