Friday, March 13

Polisi wamemkamata moza kwa kudaiwa kumdhalilisha mtangazaji wa kituo TV1 ezden jumanne...uchunguzi ukikamilika ataburuzwa mahakamani muda wowote...moza aliyekuwa mpenzi wa ezden na kuachwa alimrecord video hiyo kipindi cha mahusiano yao...moza alikamatwa na kuwekwa mahabusu oysterbay polisi....ezdee alisema mimi ni mtu ninayejiheshimu so kitendo alichokifanya hakunitendea haki na amenidhalilisha...moza amedaiwa kufanya hivyo baada ya kuachwa ili kumkomoa dida...mwisho wa kunukuu.....INASEMEKANA MOZA KAMUANGUKIA EZDEE KUMUOMBA SAMAHANI NA YAMEISHA SIJUI........MIMI BINAFSI NASEMA HIVI HAKUNA ASIYEJUA MITANDAONI WASICHANA NDIO WANAONGOZA KWA KUDHALILISHWA KWA KURECORDIWA AU KUPIGWA PICHA CHAFU...SIWEZI KULAUMU MOJA KWA MOJA ZINAPOTOKEA PICHA CHAFU ZA MTU SABABU WENGINE WANARECORDIWA AU KUPIGWA PICHA WAKIWA HAWANA TAARIFA KAMA HIVYO EZDEE HAKUWA NA HABARI SO MTU AKIPANIA ANAKUFANYIA TU UBAYA....SASA IFIKE WAKATI WASICHANA MJITAMBUE USIKUBALI KUPIGWA PICHA YA UTUPU HATA UKIGUNDUA UMEPIGWA BILA KUJIJUA KAMSHITAKI FASTA MUHUSIKA AWE BADO MPENZIO AU MMEACHANA PELEKA POLISI FASTA MTU ANAYEKUPENDA HAWEZI KUKUFANYIA HIVI....HATA KAMA MMEACHANA HANA HAKI YA KUKUDHALILISHA HIVYO...MMEONA WANAUME WALIVYO NA MSIMAMO??....MKIWA WAOGA MTAENDELEA KUSHIKA RECORD YA KUDHALILISHWA....

Usipojipanga Nitakupanga

0 comments:

-