Sunday, January 25

salma 2 
Mwanamke mmoja nchini Misri ameamua kukatiza na gauni la arusi mitaani kupinga masimango anayokutana nayo kwa kuchelewa kuolewa.

Samah Hamdi mwenye miaka 27  alifikia uamuzi huo baada ya kuchoshwa na kashfa kutoka kwa watu wanaomzunguka ikiwemo familia yake hasa mama yake mzazi ambao wamekua wakimsema  kutokana na kutokua na mume mpaka sasa.
Hamdi ambaye ni mwanafunzi wa shahada ya uzamili alisema ameamua kutembea hivyo mitaani  na kamwe hawezi kuacha dhamira yake hiyo ikiwa kama ishara ya kupinga mila na desturi inayowakandamiza wanawake wasioolewa.
salma
Samah Hamdi akiwa anatafakari jambo huku akiwa amevaa gauni lake la harusi katika moja ya mitaa jijini Cairo

0 comments:

-