Msanii
wa kujipamba Jordan Jams Parke anampenda Kim Kardashian kiasi ambacho
ameamua kutumia pauni 100,000 (mil 270) kujitengeneza kuwa kama yeye
(Kim).
Ameiga urembo wake, mtindo wa kujiremba, na hata ametengeneza nguo zinazofanana na za Kim.
Shabiki
huyo Muingereza, 23, anazidi kujibadilisha zaidi, anaweka vipandikizi
ili awe na kifua kikubwa kama nyota huyo televisheni.
Kutokana
na kujibadilisha kwake huko Jordan anakutana na kila aina ya
unyanyasaji wa watu wakimwambia afananii kabisa na kim kardashian
Jordan Uwajibu hivi
“I
laugh when people try to insult me by telling me I look plastic or
fake. Do they think I’m going for the natural look? If I was, I’d ask
for my money back.”
Jordan anafurahia kufanyiwa upasuaji huo kwani nia yake ya kutaka kufanana na Kim Kardashian.
kim kardashian
Mwanaume huyo akiwa katika pozi tofauti katika picha
0 comments:
Post a Comment