Thursday, January 22



 http://photos-c.ak.instagram.com/hphotos-ak-xaf1/t51.2885-15/10919112_407636222736794_353886209_n.jpg

 Leo tunalea mtoto tumemuokota mama yake kamtupa.Ameokotwa mitaa ya nyumbani kwangu kwenye majani.
Tushampa jina anaitwa Comfort sio mimi nilompa jina lakini.

http://photos-e.ak.instagram.com/hphotos-ak-xaf1/t51.2885-15/10919524_1653497888211148_462297742_n.jpg
 http://photos-f.ak.instagram.com/hphotos-ak-xaf1/t51.2885-15/10932630_327594670781645_1932046470_n.jpg

 Mama wa mtoto huyu kamtupa amekesha usiku kucha kwenye majani akilia mpaka sauti imekauka.Ameng'atwa na mbu kila mahali kalikuwa kamejinyea kananuka pengine hakakuoga siku tatu.
http://photos-e.ak.instagram.com/hphotos-ak-xaf1/t51.2885-15/10950592_1003759189653572_1721958496_n.jpg












 
 
Baada ya kushiba usingizi maana amekesha manyasini.Huo uso ni mbu hizo.Mama ake alimuacha na kirambo cha nguo chafu na kipande cha sabuni ili watakaomuokota wafue na nguo mweeh!

0 comments:

-