Naibu Waziri wa Nishati ametajwa kwenye njama za kutaka kumuua Katibu mkuu wa CHADEMA Dr. Slaa pamoja mbunge wa Ubungo John Mnyika kwa kuilipua Helikopta wanayosafiria.
Magazeti ya Tanzania August 9 2014 kama Tanzania Daima na Nipashe yameripoti kwamba Naibu Waziri huyo anadaiwa kupanga njama za kuilipua Helikopta ya Dr. Slaa na Mnyika wakiwa ziarani mkoani Shinyanga kukusanya maoni ya Wananchi juu ya muundo wa serikali mkoani Shinyanga.
0 comments:
Post a Comment