Saturday, December 14

Oprah 1

Oprah ambae aliwahi kubakwa akiwa na umri wa miaka 14 na kujifungua mtoto ambae hata hivyo alifariki dunia siku chache baada ya kuzaliwa,  anaamini kama angekuwa mama maisha yake ya kazi yangeingiliana na maisha yake ya familia .
Anakwambia ‘kama ningekuwa na watoto kwa hakika watoto hawa wangenichukia, wasingeweza kunipenda kwa kuwa wangeingia kwenye ushindani na kazi yangu, wangekuwa kama watu wengi mnaowaona kwenye show zangu wakizungumzia familia zao kutokuwa na mapenzi na watoto wao, maishani mwao wangekosa kitu muhimu ambacho ni upendo wa mama’

0 comments:

-