Monday, September 4


 [​IMG]
Nimekua msomaji wa mambo mengi mtandaoni ni nimekua nikijifunza mengi na kufahamu pia
Leo nawaulizia hawa rockfeller family ambao inasemekana kama ifuatavyo:-
Kwamba wao ndo wanamiliki uchumi wa dunia kupitia dola na rasilimali zote
Wana maamuzi kuhusu mambo yote duniani
Inasemekana kwao wao ndo wanamiliki federal reserve ya marekani
Rais yoyote akiingia marekani lazima akubaliane nao
Ndo wanacontrol dunia
Wana ajenda ya siri juu ya dunia na ndo wanaitumia UN kama chombo chao.Inasemekana UN ipo kwa ajili yao
Vita vingi duniani wameshiriki kupitia mgongo wa serikali ya marekani ambapo wameiweka wao
Inasemekana marekani kuna visible na invisible gov't na invisible govt ndo wao na ndo kila kitu kuhusu uchumi wa marekani na dunia
Ni waasisi na wapo na mkakati wa new world order
Wao ndio wanaodhoofisha nchi nyingi zinazoendelea na kuzifanya kuwa masikini na tegemezi kupitia mifumo yao ya unyonyaji
Inasemekana asilimia kubwa ya mabenk ni yao
Rockfeller family ndo wanaoendeleza mpango wa depopulation duniani na wanadhibiti idadi ya watu kupungua sambamba na kuandaa mikakati ya kupunguza watu kama vita,njaa na magonjwa.
[​IMG][​IMG]
Nimeambatanisha na baadhi ya links
David Rockefeller: An Immoral Life of Evil and Treason
A Face of Evil dies with David Rockefeller [Videos]
Kuna na hii video ya youtube nilitazama kiukweli ilinishtua sana kuhusu david rockfeller

0 comments:

-