Mkongwe wa Bongo Fleva anayetamba na ngoma yake ya For You, Abubakari Katwila ‘Q Chillah’.
Mkongwe wa Bongo Fleva anayetamba na ngoma yake ya For You, Abubakari
Katwila ‘Q Chillah’ amefunguka kuwa ukubwa wa jina lake ndiyo
umemrudisha kwenye gemu kwa kasi na kumfanya ajitume sana kufanya muziki
wake.“Niligundua jina nililojitengenezea kwenye muziki ni kubwa mno hivyo kwa njia yoyote ilikuwa lazima nirudi na nifanye kazi kubwa kama nilivyozoeleka. Kwa sasa nipo kikazi zaidi ,” alisema Q Chillah.
RSS Feed
Twitter
November 10, 2015
Unknown
0 comments:
Post a Comment