Staa wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul 'Diamond Platnumz'.
- Muigizaji wa filamu, muimbaji na aliyekuwa Mrembo wa Dunia (Miss World 2000), Priyanka Chopra.
Diamond amepata nafasi ya kuipeperusha bendera ya Tanzania katika tuzo za MTV Europe Music Awards 2015 zitakazotolewa Oktoba 25, 2015 jijini Milan, Italy.
Kumpigia kura Diamond Bonyeza hapa >>> VOTE
RSS Feed
Twitter
October 15, 2015
Unknown
0 comments:
Post a Comment