Watazamaji ukumbini wakifuatilia shoo.
Watazamaji ukumbini.
Mshiriki, Catherine Nicholaus kutoka Kanda ya Kati Dodoma baada ya kuyaaga mashindano ya TMT 2015.
Catherine Nicholaus kutoka Kanda ya Kati Dodoma na Jackson Sakumi Kutoka Mbeya kanda ya Nyanda za Juu Kusini.
Group
la Kwanza kutokea kushoto ni Mohamed,Catherine,Nadhifa,Naomi na Rachel
wakiwa mbele ya majaji kusikiliza comment baada ya kile walichigiza
kutazamwa.
Group
la Kwanza kutokea kushoto ni Mohamed, Catherine, Nadhifa, Naomi na
Rachel wakiwa mbele ya majaji kusikiliza comment baada ya kile
walichigiza kutazamwa.
Group
la Kwanza kutokea kushoto ni Mohamed, Catherine,Nadhifa, Naomi na
Rachel wakiwa mbele ya majaji kusikiliza comment baada ya kile
walichigiza kutazamwa
Group
la pili kutokea kushoto ni Tonluck, Said, Catherine, Aisha, Kalombo,
Jackson na Mohamed wakiwa mbele ya majaji kusikiliza comment baada ya
kile walichigiza kutazamwa
Jackson
Sakumi Kutoka Mbeya akimkumbatia mwenzake Catherine Nicholaus kutoka
Kanda ya Kati Dodoma baada ya kutangazwa kuyaaga mashindano ya TMT 2015
Jackson Sakumi Kutoka Mbeya kanda ya Nyanda za Juu Kusini baada ya kuyaaga mashindano ya TMT 2015
Jackson Sakumi.
Kutoka kushoto ni Madam wa TMT house na waalimu wa Chuo kikuu cha Dar es salaam ambao katikati Issa Mbuya na Dr. Mona Mwakalinga

Mboto na Lulu
Mboto akizungumza na washiriki baada ya comments za majaji
Mboto na Lulu
Rachel
akiinua mikono ikiwa ni ishara ya kumshukuru Mungu baada ya
kukoswakoswa kuondolewa kwenye mashindano baada ya kutoka danger zone
kuwa kwenye safe side
Wadau waliojitokeza ukumbini kutazama sho
Wakikumbatiana kwa kwa furaha
Wakikumbatiana
Wakitoa Shukrani zao kwa TMT,Majaji,waalimu na Crew nzima ya TMT
Jackson Sakumi Kutoka Mbeya kanda ya Nyanda za Juu Kusini baada ya kuyaaga mashindano ya TMT 2015
washiriki
Watazamaji wa show ukumbini.
Watazamaji wa show ukumbini
Ikiwa zimebaki siku chache kufika final za Shindano la TMT 2015
limezidi kupamba moto baada ya washiri kubaki 12 kulingana na 20
walionza mashindano hayo,wiki hii tumetazama washiriki wawili wakiyaaga
mashindano hayo ni Catherine Nicholaus kutoka Kanda ya Kati Dodoma na
Jackson Sakumi Kutoka Mbeya kanda ya Nyanda za Juu Kusini.Wameaaga
mashindano hayo baada ya kuwa kwenye jua la utosi (danger zone) kwa wiki
mbili pia kilichofanya kuondolewa katika mashindano hayo ni kuwa na
kiwango kidogo cha kura walizopigiwa na watazamaji.
Baada ya kutangazwa kuyaaga mashindano hayo Catherine Nicholaus na
Jackson Sakumi waalisema wanawashukuru waandaaji wa Shindano la TMT
kampuni ya Proin promotions kwa kuandaa shindano hilo la kuibua vipaji
vya uigizaji nchini maana limelenga kuibua na kuwatengenezea ajira
vijana nchini.
Aliongeza kwa kuwashukuru waalimu wao kutoka Chuo kikuu cha Dar es
salaam ambao ni Dr. Mona Mwakalinga na Issa Mbuya kwa kuwa wamehusika
sana katika kukuza sanaa yao kwa kuwafundisha na kuhakiisha saana yao
inaongezeka kiwango,walimalizia kwa kuwashukuru majaji na washiriki
wenzao kwa kuwaambia wakaze buti na kuongeza bidii mpaka kufikia kile
walichokusudia.
Wiki hii washiriki wote wameingia kwenye danger zone (jua la utosi)
ili kumuondoa mshiriki kwenye jua la utosi mpigie kura Mshiriki umpendae
ili aendelee kubaki katika mashindano ya TMT 2015 na kumpa nafasi zaidi
ya kushinda milioni 50. Andika TMT acha nafasi, namba ya mshiriki kisha
tuma kwenda 0784367738.
Nadhifa Haruna 01, Aisha Katabazi 02, Kalombo Amboni 04, Dennis
Laswai 05, Tomluck Stephan Shukuru 06 ,Titus Maridhia 08, Daniel Lufingo
09, Vandeline August 11, Naomi Chuwa13, Sadam Nawanda 14, Mohamed
Massanga 15, Saidi Bakari Mbelemba16, Rachel Michael 17.
Usikose kutazama Kipindi cha TMT 2015 kila Jumapili saa 3:30,marudio
alhamisi saa 5:30 usiku na Jumamosi saa 7:00 mchana kupitia luninga ya
ITV
0 comments:
Post a Comment