Thursday, August 27


 
 
 
 
 
 
53 Votes

1. Bugatti Veyron Supersport:
1. Bugatti Veyron Supersport:
Bugatti Veyron

Ni gari lenye spidi kali kuliko yote duniani, na ndio gari la gharama kuliko yote duniani. nini cha zaidi unacho taka kujua?? ni gari lenye mvuto wa kipekee yenye thamani ya $2.6 milioni za kimarekani ambazo ni sawa sawa na bilioni 5.11 za kitazania, Bugatti Veyron Supersport ni hakika Bugatti, jaribu kitanda kabisa, ni jinsi gani hawa VW engineers walivyo sukuma kutangaza, na kuweka horse power ya 1200 kutoka quad-turbo 8.0 lita W16 engine na imetengenezwa kwa aerodynamics ambayo inasidia kufika spidi 267.81 mph. ukiongezea kutofautiana na magari mengine ya hypercars, veyron itakuwa uluxury mkubwa kupita wakifahari
2. Ferrari 599XX:
Ferrari-599XX
599XX

chukulia Ferrari 599 na ibadilishe kwenye supercar tu na utajikuta una 599xx. inanguvu ya horse power ya 700

na ni version ya V12 engine ( hakuna turbo or supercharges hapa mazee) na unaweza kukanyaga accelerator mpaka 60mph ndani ya sekunde 2.9 . fuatilia Ferrari FXX, ilijengwa kwa ucheche maalumu na kuchaguliwa upendeleo wa Ferrari kwa wamiliki wa ferrari ambao walialika kuendesha mashine zao kweny exclusive track events. mjadala uliopo hapa nikuwa lina muonekana mzuri na lina nguruma vizuri, Ferrari bado hawajatangaza bei, lakini umbea ulio nikuwa zaidi ya $2 milioni ambayo ni sawa na bilioni 3.92 za kitanzania.
3. Zenvo ST1:
Zenvo-ST1
Zenvo

nini? kutoka wapi? ndio , ni Zenvo ST1 na inatokea Dernmark. sasa wa denimaki wanaweza kutengeneza super car kwenye list wanayo ijua wao , inakuwa pamoja na Carlsberg beer na Hans Christian Andersen stori, inanguvu ya turbocharged na supercharged kw Lita 7 V8 engine, ina horse power ya 1250. inathamani $1.8 million ambayo ni sawa sawa na bilion 3.54 za kitanzania , inakuja na saa ya bure yenye thamani ya $50,000 ambayo ni sawa sawa na milioni 98.2
4. Koenigsegg Agera R:
Koenigsegg-Agera-R
Agera-R

Ina Twin-turbo inatumia nguvu ya lita 5 V8, Agera R ni gari la kiswedeni supercar utengenezaji wa koenigsegg una nguvu ya horse power 115 inatumia E85 ethanol. inathamani ya $1.5 milioni kwa ni kawaida ya Agera, kama unataka yenye R badge ita kugharimu hela nyingine $211,000 ambayo ni sawa na milioni 330 ya kitanzania
It might not be the world’s fastest car (in terms of top speed), but Koenigsegg claims the best 0-200 mph time of 17.68 seconds.
5. Aston Martin One-77
Aston Martin One
Aston

Ni moja ya gari iliopo duniani iliyona Full carbon-chasis gari na hukuna reaso ya kuwa Aston Martin one 77 ni gari yenye staili ya maifizo kwa kivingine. Ni mpya katika Flagship mashine gari inayotoke katika legendary sport car mtengenezaji in nguvu ya kutumia lita 7.3 V12 engine yenye horse power 750. vile vile inanyongeza ya utofauti wa pushrod suspension setup, kama zile zinazo tumika kwenye magari ya mashindano ya formular 1. ina thamani ya 1,4 milioni, imetengenezwa kunyanyua jina .
6. Maybach Landaulet,
Maybach Landaulet
Maybach

inauzwa $1.4 million ambayo ni sawa sawa na bilioni 2.7 , Maybach Landaulet uwezekano wakubargaini upo. sababu ni kutoka na uchache wake na maamuzi ya liyo fanywa na Mercedes-Benz na ni super-luxury brand, ni moja ya classic na future pebble beach hadimu
ipo katia uendelezo 62S medeli, landaulet in nguvu ya twin trbo V12 engine imetengenezwa kwa horse power 543. lakini inatengeneza uhalisia wenye cplor coded cabin iliyogawanyika na dereva na eneo la abiria vile vile ni adimu kubatikana
7. Pagani Huayra:
Pagani Huayra
Pagani

inajulikana nigari isiyo takamkika, inaonekana kama kambale, huayra ni gari ya pili ya aina ya supercar ilijengwa na Pagani. nimrithi wa Zonda (ni moja ya magari ya nayo pendeza kuliko magari yote) huayra ni gari yenye nguvu ya horse power 700 ina twin turbo na inauwezo wakufikia spidi 230 mph
Ultra exclusive, Pagani ilitengeneza 12 zondas kwa Mwaka, hata hivyo Huayra imezalishwa kwa ajili ya kuwa gari kwanza Pagani ambayo itauzwa marekani tu thamani yake ni $1.3 milioni, ambayo ni sawa na bilioni 2.55
8. Hennessey Venom GT:8.
Hennessey Venom G
Venom G

inajulikana kwa kuwa twin turbo Dodge Vipers and other High-performance machines, Venom GT ni gari ya kwanza kuundwa na Hennessey Performance. lakini inawezekana ikaongezwa, urefu wa chassis iliyotolewa kwa Lotus Elise platform. nigari yenye nguvu yenye super charge nguvu yake inatumia 6.2 lita kwa kukanyaga accelarator, ni GM-Sourced V8 engini ina nguvu ya horse power ya 1200 inathamani ya $1 milioni ambayo ni sawa na bilioni 1.94.
9. SSC Tuatara:
SSC-Tuatara
Tuatara

nigari lilichukuwa urithi kutoka Ultimate Aero, moja ya kati ya magari ya spidi kali ya mwanzoni, gari hili lina thamani $970,000 ya dola za kimarekani ambayo ni sawa na bilioni 1.90 hii modeli inatarajiwa kutoka mwaka huu, inauwezo wakutumia lita 7 na ina twin turbo V8 na ina horse power hp ya 1,350. uzito wa 2654, inasemekana inakimbia 60 mp kwa sekunde na naina speed ya 275 mph. ingetakiwa iwekwe kwenye top speed record holder, kama bugatti veyron super sport, ambayo inaonekana kwenye list hiyo
10. Porsche 918 Spyder:
Porsche 918 Spyder
Spyder

yenye thamani ya US $845,000 ni sawa sawa na bilion 1.32 ya kitanzania, inachukuwa nafasi ya Kumi katika magari ya gharama mwaka 2012



0 comments:

-