Wednesday, July 22

Nyota wa muziki nchini Nigeria, Wizkid.
NYOTA wa muziki nchini Nigeria, Wizkid, ambaye wimbo wake wa  ‘Ojuelegba’ unatamba baada ya kumshirikisha rapa Mmarekani, Drake, amesema mwanzoni alikuwa ametaka kumshirikisha rapa Rick Rose, lakini Drake ndiye aliyewahi kuwasiliana naye ili ashiriki kwenye wimbo huo.

Katika mahojiano yake na vyombo vya habari, mwanamuziki huyo aliyezaliwa eneo la Surulere jijini Lagos, alisema Drake aliwasiliana naye kwenye mtandano wa Instagram na walipokutana jijini London, aliurekodi wimbo huo.
Views: 130

0 comments:

-