July 25 2015 itabakia kuwa historia kubwa kwa wakazi wa 88.5 kwa
kupokea shangwe za burudani kutoka kwa, Izzo Bizness, Darasa,
Stamina,Young Killer, Roma Mkatoliki,Godzillah,Nikki Mbishi kwenye
viwanja vya Dar Live, Mbagala Dar es Salaam.
Show hiyo iliyopewa jina la Rap Festival iliandaliwa na mtangazaji wa Clouds TV Nickson George aka Lugha Kali na hizi ni baadhi ya picha.
Show hiyo iliyopewa jina la Rap Festival iliandaliwa na mtangazaji wa Clouds TV Nickson George aka Lugha Kali na hizi ni baadhi ya picha.
0 comments:
Post a Comment