Friday, July 31

BO UK
Mgeni Rais Obama alivyoenda kwao Kenya, walijipanga na zawadi kibao ili mtu wao arudi nazo kwa ajili ya Kumbukumbu Marekani… alienjoy vingi Kenya ikiwemo dance ya nguvu na wakali wa Sauti Sol, lakini kumbe zile zawadi hata hakuondoka nazo !!
BO Gifts
Hata usiwaze kwamba labda Barack Obama alidharau zawadi ya Kinyago cha Tembo pamoja na picha mbili za kuchorwa kwa mkono, ishu ni kwamba itifaki au protocol ya Ikulu ya Marekani hairuhusu Rais wao kupokea zawadi yoyote toka kwa Kiongozi yoyote nje ya Marekani !
Hizi ndio pichaz za zawadi zenyewe alizopewa Rais Obama toka kwa Rais Kenyatta.

BO I
BO II
BODuh, japo zawadi hizo hazikuingia kwenye Jet ya Air Force One ya Rais Obama lakini zawadi nyingine aliyoifurahia ni hii, yeye Rais Kenyatta na mkewe pamoja na Sauti Sol kwa pamoja walivyoijiachia kudance ‘Sura Yako’.

0 comments:

-