July 30 2015 inakuwa siku ya tatu toka utolewe uthibitisho rasmi na Waziri Mkuu wa Zamani na Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa
kwamba anajitoa CCM na kujiunga CHADEMA…. Tayari kafika Makao Makuu ya
Ofisi za CHADEMA, Kinondoni Dar es Salaam na kuchukua Fomu ya Kugombea
Urais kupitia Chama hicho.
Hizi ni pichaz pamoja na maneno waliyoongea Mbunge Freeman Mbowe, Tundu Lissu pamoja na Edward Lowassa mwenyewe!!
0 comments:
Post a Comment