Kesi iliyokuwa inawakabili Basil Mramba, Daniel Yona na Agrey Mgonja kuhusu matumizi mabaya ya madaraka imetolewa hukumu leo katika Mahakama ya Kisutu, Dar es Salaam.
Daniel Yona na Basil Mramba waehukumiwa kifungo cha miaka mitatu na faini ya Milioni tano kila mmoja baada ya kukutwa na hatia ya makosa 11, Grey Mgonja ameachiwa huru baada ya kukutwa hana hatia.
Basil Mramba, Daniel Yona na Grey Mgonja wakiwa nje ya mahakama ya Kisutu kusubiri kuingia ndani
Familia ya Daniel Yona na Basil Mramba wakiingia Mahakamani
Daniel Yona akiagana na rafiki zake
Basil Mramba akiingia ndani ya Gari ya Polisi kuelekea gerezani.
Daniel Yona akiingia ndani ya gari ya Polisi kuelekea Gerezani.
Gari ya polisi iliyobeba watuhumiwa ikitoka nje ya Mahakama ya Kisutu.
0 comments:
Post a Comment