Mwigizaji wa sinema za Kibongo, Tiko Hassan amesema hakuna kauli ambayo haipendi kama kuambiwa si hodari wa mapenzi (gogo) wakati anajiamini yupo vizuri katika sekta hiyo.
Tiko alifunguka kauli hiyo alipokuwa akifanya mahojiano na mwandishi
wetu na lilipofika suala la malovee, Tiko aling’aka vibaya mara baada ya
kuambiwa kuwa kuna marafiki zake wanamuita gogo.
“Wee nani kasema? Sipendi kuitwa hivyo wakati mwenyewe najijua kabisa
ninakuwaje pindi ninapokuwa na mpenzi wangu, najiamini kweli,” alisema
Tiko.
0 comments:
Post a Comment