January 24, 2015
Unknown
Waziri wa
Nishati na Madini nchini Tanzania Professor Sospeter Muhongo ametangaza
rasmi kujiuzuru wadhifa wake hii leo kufuatia kashfa ya akaunti ya
Tegera Escrow.
Taarifa kamili itawajia hivi punde! Toa maoni yako hapo chini tafadhali!
0 comments:
Post a Comment