Saturday, November 16

Picha za aibu za bint anaetoka familia ya Karume akiwa mtoto wa nje wa mke wa mwisho wa Rais Abad Aman Karume aliyefahamika kwa jina la Dida ambae pia ni mwanamuziki wa kizazi kipya nchini.
Habari toka kwa mwandishi wetu aliyeko Zanzibar zilizema kuwa bint huyo anaheshimika sana na wazaznibar lakini walipigwa na butwa kuona picha za aibu zikiwa mitandaoni akionekana akiwa nusu uchi.

 


Picha hizo zinadaiwa kuichafua familia ya Jarume ambapo msichana huyo ambae anaokena picha tofauti akiwa amejipiga mwenyewe kwa hiari yake na haikufahmika alipiga kwa madhumuni yapi.
Hata hivyo habari zaidi zilisema kuwa mtu aliyeumia zaidi na picha hizo na Mama mzazi wa binti huyo ambae ni mtu mzima na mwenye heshima kubwa nchini" Kiukweli hali sio nzuri picha hizi zimeivuruga sana familia ya Karume pamoja na watu wa karibu mbaya zaidi wanashindwa namna ya kuchukua hatua kutokana na muonekano wa picha hizo unaonesha huyo binti hakulazimishwa kupiga bali alipiga kwa hiari yake" Kilisema chanzo chetu
Hata hivyo kevyclarity  inafanya juhudi za ziada kumtafuta msemaji wa familia ya Karume ili kulizungumzia hili la bint wao kujipiga picha za udhalilishaji na kuichafua familia hiyo yenye kuheshimka sana nchini

0 comments:

-