Wednesday, November 27

Foleni Dar: Mohammed Dewji apanda boda boda kuwahi mkutano, afikiria kununua helikopta!!

Mbunge wa Singida Mjini,  Mohammed Dewji leo amejikuta katika wakati mgumu kutokana na foleni  kali ya magari.
“The traffic in Dar is crazy,I was so fed up sitting in the car, I had to rent a(Boda Boda) 2 make it 4 a meeting, I guess I need a chopper,” alitweet.
Huenda wazo la kununua chopper akalifikiria kwa nafasi kubwa zaidi ili kuepukana na foleni kali wakati mwingine na hivyo kushindwa kuhudhuria mikutano ya maana.

0 comments:

-