WANAZUNGUKANA! Ndivyo unavyoweza kusema kufuatia mrembo Amber Rose, kuripotiwa kuwa alijiachia na Scott Disick ambaye ni mume wa zamani wa dada yake na Kim Kardashian, Kourtney Kardashian.
Chanzo cha karibu na mrembo huyo kilidai kuwa, wawili hao walionekana wakiwa pamoja huko Las Vegas Alhamisi iliyopita wakijiachia kama wapenzi.
Hata hivyo, Amber ambaye ni mama wa mtoto mmoja aliyezaa na Wiz Khalifa, alikana kujiachia na Scott lakini alimsifia kuwa ni kijana mzuri na aliwahi kukutana naye mara tatu tu na ni rafiki tu wa kawaida.
RSS Feed
Twitter
February 01, 2016
Unknown
0 comments:
Post a Comment