Monday, July 27

1285139-27695451-1600-900
Kocha wa klabu ya Chelsea Jose Mourinho anajulikana kwa majigambo, kujisifia lakini pia anapenda kitu kizuri kiwe kwake kama utakua unakumbuka vizuri Mourinho ni kocha anayependa mfumo wa kujihami kwa lugha za mpira wanaita kupaki Bus yaani ni mfumo ambao timu inashambulia kwa kushtukiza na kujihami kwa kiasi kikubwa… Lakini cha kushangaza aliwahi kukutana na timu yenye tabia zaidi ya zake alilalamika.
1358693-29167764-1600-900
Sasa basi Mourinho amerudi tena kwenye headlines, kwa kuanza kejeli zake tena kwa kusema kuwa timu pinzani zina jaribu kununua mataji. Mourinho ameyasema hayo kufuatia klabu vya Manchester United kufanya usajili mkubwa msimu huu, kwa wachezaji kama Matteo Darmian, Mem
phis DepayBastian Schweinsteiger na Morgan Schneiderlin vivo hivyo kwa upande wa Man City na Klabu ya Liverpool ambao nao wamefanya usajili kwa kutumia fedha nyingi.
jose_mourinho_22
Licha ya kukiri kuwa hata mwaka 2003 mmiliki wa Chelsea Roman Abramovich alikuwa ananunua mataji klabuni hapo baada ya kuanza kununua wachezaji kwa gharama ya juu, kauli ya Mourinho inatafsirika kama hapendezwi na usajili wanaofanya timu pinzani licha ya kuwa soka limebadilika wamiliki wananunua wachezaji kwa gharama za juu.
MANCHESTER, ENGLAND - OCTOBER 26:  Chelsea Manager Jose Mourinho shouts orders during the Barclays Premier League match between Manchester United and Chelsea at Old Trafford on October 26, 2014 in Manchester, England.  (Photo by Alex Livesey/Getty Images)
Nimekusogezea video ya sekunde 30 ya kauli za Mourinho

0 comments:

-