July 01, 2015
Unknown
Ney
wa Mitego amewanunulia usafiri wa kuendea shule watoto wake wenye
upekee ndani yake.Kuna vitanda vya kulalia,sehemu ya kunawia mikono,tv
na meza ya chakula upekee wa gari hilo ili watoto wasipate tabu ya
usafiri na wataanza kulitumia mwakani yupo kwenye mchakato wakutafuta
dereva.Hili ni gari la watoto wa rais wa manzese
0 comments:
Post a Comment