Wizi huo uligunduliwa na makamu wake wa Rais ndugu Godfrey Modest (Pichani na Mheshimiwa Rashid) ambaye sasa anachukua nafasi ya Urais wa COBESO.
Baada ya polisi kufanya upekuzi nyumbani kwa mtuhumiwa, kiasi cha milioni 16 na ushee zilikutwa ndani kwake.
0 comments:
Post a Comment