Ni aibu kubwa kuona mtu aliyekabidhiwa kuendesha
akaunti ya twitter ya chuo kikuu cha Mzumbe hajui English. Nmeamua
kusema hivyo baada ya kukutana na makosa mengi sana ya lugha kwenye
akaunti hiyo. Ni Dhahiri kabisa mtu anayeendesha akaunti hiyo haijui
kabisa lugha hiyo. Nmeanza kupata hisia mbaya kua inawezekana ile imani
ya watu kupeana kazi kinyemela ndo imepelekea yote haya kutokea. Hebu
soma baadhi ya Tweets zilizopo kwenye akaunti hiyo kisha nipe maoni
yako.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment