Tuesday, September 30


Ray 2 
Ni post ya mwigizaji staa wa Tanzania Ray ‘Vicent Kigosi’ instagram ambayo ni baada ya kupata tuzo mbili juzi ambazo ni Life achievement Award na Best Director.
Ameandika >>> ‘Kila kwenye nia kuna njia, tulivyoanza tulionekana kama wauza sura tu lakini sasa hivi naweza sema kuwa tunayafaidi m
atunda tuliyoyavumilia kwa muda mrefu sana, naweza kuthubutu kusema kuwa sekta ya bongo movie ndio sekta ya bongo iliyotoa ajira kwa vijana wengi sana kuliko sekta yoyote‘
Ray 1Ray amemalizia kwa kusema ‘Mungu ibariki bongo movie, Mungu ibariki kazi ya mikono yote’

0 comments:

-