Friday, September 12

news news 
Najua kuna uwezekano ukawa ulisikia fununu sana kuhusu iPhone6 au hata kuona baadhi ya taarifa feki kuhusu simu hii mpya, post hii ni maalum kukuletea taarifa sahihi na ya ukweli kuhusu iPhone6 ambayo ndio imetambulishwa rasmi.
Wanasema simu zote hizi mbili mpya zina A8 processor ambayo inafanya ziwe na kasi zaidi kuliko iPhone5 kwa asilimia 20.
iphone 6 1
Unaambiwa zote iPhone6 na iPhone6 plus zimekuja na screen kubwa tofauti na nyingine zilizotangulia
iphone 6 2
Apple wenyewe wanasema simu hizi mbili za iPhone6 na iPhone 6 plus zina 8 megapixel camera ambayo itasaidia camera kupata focus faster.
iphone 6 3
Simu hizi zote mbili zitaanza kupatikana nchini Marekani September 19 2014 nchini Marekani pamoja na kwenye nchi nyingine nane duniani.
iphone 6 4
Simu hizi za iPhone 6 na iPhone 6 pluz zitaambatana na saa hii ambayo unaweza kuitumia kufanya mambo mbalimbali ambayo yapo kwenye simu pia
iphone 6 5
Apple wanasema malengo yao ni k’uireplace’ au kuichukua nafasi ya Wallet, yani kurahisisha mambo kwenye iPhone kiasi kwamba hutohitaji kutembea na wallet.
Mengine yaliyosemwa ni pamoja na >>  ‘the bigger displays allow for bigger batteries: 11 hours of video watching on the iPhone 6 and 14 hours for the iPhone 6 Plus — up from 10 hours on the iPhone 5S‘
And the iPhones will come with Apple’s new iOS 8 software, featuring a new HealthKit application that monitors users’ heart rates, sleep, weight and blood pressure among other health-related information. Apple said iOS 8 will be available Sept. 17 to customers who have an iPhone 4S, iPhone 5, iPhone 5C or iPhone 5S.
iphone 6
<br /> >
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.

0 comments:

-