Thursday, August 21

LAANA SASA!! DAKTARI APACHIKA CAMERA CHOONI KUCHUNGULIA WAGOJWA

Daktari aweka kamera za siri Chooni
Daktari mmoja aamua kufanya kile ambacho hakikutegemewa na wengi, kwa kupachika kamera kwa siri katika vyoo vilivyoko katika hospitali anayofanyia kazi na kufanikiwa kuwa chungulia wagonjwa wapatao 100 walipokuwa wakijisaidia na idadi hiyo ni watu wazima na watoto.
Dokta Lam Hoe Yeoh almaarufu Robin mwenye umri wa miaka 61 anayetokea BansteadSurrey,anatuhumiwa kwa makosa 30 yakiwemo makosa mawili ya kuchungulia watoto na kuwarekodi,na makubwa Zaidi ni yanayo karibia kua ya kingono.
Daktari aweka kamera za siri Chooni na kuwatizama zaidi ya watu 100
Inaelezwa kwamba alikamatwa mapema mwaka huu akiwa katika hospitali binafsi ya St Anthony iliyoko kaskazini . Hakimu anayeisikiliza kesi hiyo ameiahirisha mpaka September 16 mwaka huu wakati ambapo dokta Yeoh atakapoyakabili mashtaka,na yaelezwa dokta huyo anashikiliwa lupango.
- See more at: http://ubalozini.blogspot.com/2014/08/laana-sasa-daktari-apachika-camera.html#sthash.GuNIBWfC.dpuf

LAANA SASA!! DAKTARI APACHIKA CAMERA CHOONI KUCHUNGULIA WAGOJWA

Daktari aweka kamera za siri Chooni
Daktari mmoja aamua kufanya kile ambacho hakikutegemewa na wengi, kwa kupachika kamera kwa siri katika vyoo vilivyoko katika hospitali anayofanyia kazi na kufanikiwa kuwa chungulia wagonjwa wapatao 100 walipokuwa wakijisaidia na idadi hiyo ni watu wazima na watoto.
Dokta Lam Hoe Yeoh almaarufu Robin mwenye umri wa miaka 61 anayetokea BansteadSurrey,anatuhumiwa kwa makosa 30 yakiwemo makosa mawili ya kuchungulia watoto na kuwarekodi,na makubwa Zaidi ni yanayo karibia kua ya kingono.
Daktari aweka kamera za siri Chooni na kuwatizama zaidi ya watu 100
Inaelezwa kwamba alikamatwa mapema mwaka huu akiwa katika hospitali binafsi ya St Anthony iliyoko kaskazini . Hakimu anayeisikiliza kesi hiyo ameiahirisha mpaka September 16 mwaka huu wakati ambapo dokta Yeoh atakapoyakabili mashtaka,na yaelezwa dokta huyo anashikiliwa lupango.
- See more at: http://ubalozini.blogspot.com/2014/08/laana-sasa-daktari-apachika-camera.html#sthash.GuNIBWfC.dpuf

WANAWAKE WA-IRAN WAFUNGISHWA NDOA NA IMAM SHOGA SWEDEN

Maryam Iranfar (kushoto) akimbusu mkewake, Sahar Mosleh.

Shoga, Imam Zahed akiwafungisha ndoa Maryam Iranfar (mume mwenye mtandio) na Sahar Mosleh (mke).
Maryam Iranfar, Sahar Mosleh wakiwa na nyuso za furaha baada ya harusi.
Imam Zahed (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na wapenzi hao baada ya kuwafungisha ndoa.
WAKIWA nyuso za furaha, wanawake wawili, wananchi wa Iran, Sahar Mosleh na Maryam Iranfar hatimaye walifunga ndoa huko Stockholm, Sweden, kama mume na mke baada ya miaka tisa ya kuishi pamoja.
Wawili hao  waliikimbia nchi yao ya Iran ambayo ina sheria kali dhidi  ya mapenzi ya jinsia moja.
Ukiachana na umbali wa kutoka kwao hadi Sweden, madada hawa waliokutana kwenye mtandao walikuwa huru kufurahia siku yao hiyo kubwa huko Sweden ambapo harusi ilifanyika.
Maryam Iranfar ambaye ndiye mwanamme anatarajiwa kupata mtoto na Sahar Mosleh (mkewe) ambaye ana ulemavu wa mifupa, walifungishwa harusi na Iman Ludovid Mohamed Zahed ambaye pia ana mahusiano ya kufanya mapenzi ya jinsia moja.
Imam huyo anayeishi  Afrika Kusini na ambaye ni raia wa Algeria anayefahamika sana katika jamii ya mashoga na wasagaji katika nchi za Kiislamu, alisema amefurahi kuona wanaharusi hao wakiwa na furaha na kufanya jambo zuri la kuamua kuishi maisha  huru katika nchi za watu.
“Nashukuru kwa harusi  nzuri kama hii iliyoniwezesha kuwabariki wanandoa hawa, ” alisema Imam huyo.
 Kama wangekuwa nchini kwao Iran ambayo ina sheria ya kupigwa bakora hamsini  mara tatu  kila wanapokutwa na mahusiano hayo,  na ambapo mara ya nne huwa ni adhabu ya kifo, wanadada hawa wasingewezeshwa kufunga harusi  hiyo.
 “Nimefurahi pia kuona wanadada hawa wameanzisha familia yao baada ya miaka mingi ya mateso kwani ni vigumu kusafiri umbali mrefu kutoka nyumbani na kuja nchi za watu na kuanza maisha kwa pamoja,” alisisitiza imam huyo.
Maryam Iranfar (kushoto) akimbusu mkewake, Sahar Mosleh.


Shoga, Imam Zahed akiwafungisha ndoa Maryam Iranfar (mume mwenye mtandio) na Sahar Mosleh (mke).
Maryam Iranfar, Sahar Mosleh wakiwa na nyuso za furaha baada ya harusi.
Imam Zahed (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na wapenzi hao baada ya kuwafungisha ndoa.
WAKIWA nyuso za furaha, wanawake wawili, wananchi wa Iran, Sahar Mosleh na Maryam Iranfar hatimaye walifunga ndoa huko Stockholm, Sweden, kama mume na mke baada ya miaka tisa ya kuishi pamoja.
Wawili hao  waliikimbia nchi yao ya Iran ambayo ina sheria kali dhidi  ya mapenzi ya jinsia moja.
Ukiachana na umbali wa kutoka kwao hadi Sweden, madada hawa waliokutana kwenye mtandao walikuwa huru kufurahia siku yao hiyo kubwa huko Sweden ambapo harusi ilifanyika.
Maryam Iranfar ambaye ndiye mwanamme anatarajiwa kupata mtoto na Sahar Mosleh (mkewe) ambaye ana ulemavu wa mifupa, walifungishwa harusi na Iman Ludovid Mohamed Zahed ambaye pia ana mahusiano ya kufanya mapenzi ya jinsia moja.
Imam huyo anayeishi  Afrika Kusini na ambaye ni raia wa Algeria anayefahamika sana katika jamii ya mashoga na wasagaji katika nchi za Kiislamu, alisema amefurahi kuona wanaharusi hao wakiwa na furaha na kufanya jambo zuri la kuamua kuishi maisha  huru katika nchi za watu.
“Nashukuru kwa harusi  nzuri kama hii iliyoniwezesha kuwabariki wanandoa hawa, ” alisema Imam huyo.
 Kama wangekuwa nchini kwao Iran ambayo ina sheria ya kupigwa bakora hamsini  mara tatu  kila wanapokutwa na mahusiano hayo,  na ambapo mara ya nne huwa ni adhabu ya kifo, wanadada hawa wasingewezeshwa kufunga harusi  hiyo.
 “Nimefurahi pia kuona wanadada hawa wameanzisha familia yao baada ya miaka mingi ya mateso kwani ni vigumu kusafiri umbali mrefu kutoka nyumbani na kuja nchi za watu na kuanza maisha kwa pamoja,” alisisitiza imam huyo.

0 comments:

-