Saturday, July 26

Screen Shot 2014-07-26 at 4.03.18 AMInstagram ni mtandao mwingine wa kijamii unaozidi kupata Wanachama wapya kila siku kutokana na aina yake ya kupost pichaz ambapo umekua ukitumiwa sana hata na watu maarufu na kurahisisha kazi ya kusambaza habari kama unavyoona baadhi ya mastaa kwenye hii post.
Screen Shot 2014-07-26 at 3.02.48 AM
Hii ni caption ya Diamond kwenye hiyo picha hapo juu akiwa Dallas nchini Marekani kuhudhuria tuzo za Afrimma.
                                                                                                ******************************
Screen Shot 2014-07-26 at 3.00.41 AMMJ Records imepata studio mpya? amepost hii picha C.E.O mwenyewe Master J na kuandika haya maneno hapa chini…
Screen Shot 2014-07-26 at 3.06.46 AM                                                                                                ******************************
Screen Shot 2014-07-26 at 3.09.57 AMMwigizaji Kajala baada ya kuweka hii picha akaandika ‘Mtu anapokwambia huwezi kufanya kitu flani usiache kukifanya, tabasamu na kusema nitakuonyesha’
Screen Shot 2014-07-26 at 3.12.40 AM

                                                                                ******************************
Staa wa bongoflevani Nay wa Mitego yuko nchini Kenya kufanya video yake mpya ambayo ameshea moja ya picha ya utengenezwaji wake kama unavyoona hapa chini…
Screen Shot 2014-07-26 at 3.18.27 AM
Screen Shot 2014-07-26 at 3.18.36 AM
                                                                                 ******************************
Saa kadhaa baada ya kusambaza single zake mbili mpya kwenye Radio Stations mbalimbali Tanzania, mwimbaji Ali Kiba amepost hii kwenye instagram na kuambatanisha na hiyo caption chini yake.
Screen Shot 2014-07-26 at 3.26.52 AM
Screen Shot 2014-07-26 at 3.26.59 AM
                                                                                        ******************************
Ifuatayo ni TBT ya CMB Prezzo kutoka Kenya.
Screen Shot 2014-07-26 at 3.25.09 AM
Screen Shot 2014-07-26 at 3.25.40 AM
                                                                              ******************************
Jokate yuko nchini Kenya ambako kwa July 25 pekee ameonekana akihojiwa kwenye vyombo viwili vya habari kama alivyopost hapa chini akiwa na Mtangazaji William Tuva wa Citizen TV/Radio.
Screen Shot 2014-07-26 at 3.40.03 AM
Screen Shot 2014-07-26 at 3.40.11 AM
Screen Shot 2014-07-26 at 3.36.38 AM
Screen Shot 2014-07-26 at 3.36.54 AM
                                                                                  ******************************
Hapa chini ni meneja wa kundi la Tiptop Connection ambae pia ni meneja wa Diamond Platnumz Babu Tale ambae ameshafika Marekani na Diamond kuhudhuria tuzo za AFRIMMA.
Screen Shot 2014-07-26 at 3.28.06 AM
Screen Shot 2014-07-26 at 3.28.23 AM                                                                            ******************************

0 comments:

-