Thursday, May 22

 image_4
Baba mzazi wa flaviana pamoja na wadogo zake
Tanzania leo tumewakumbuka ndugu zetu ambao walipoteza maisha kwenye ajali ya kuzama kwa meli ya Mv Bukoba ambayo ilizama siku kama ya leo mwaka 1996 ambapo miongoni mwa watu waliopoteza maisha ni mama mzazi wa mwanamitindo Flaviana Matata pamoja na mtoto wa mjomba wake ambao walikua safarini.
Leo Flaviana Matata akiwa na Ambwene Yesaya ‘Ay’ na baadhi ya wasanii wengine wa Tanzania pamoja na viongozi mbalimbali wa dini waliungana na Watanzania waliopata nafasi kuhudhuria ibada iliyofanyika kwenye makaburi yaliyopo eneo la Igoma Jijini Mwanza.
image_11
image_10
image_5

image_3
image_9
image_8
image_2
image_7
image_1
image
image_6
image_12
image_13
image_14
image_15 








image_16
image_17  
Nyaisa Simango ni Mmoja wa walionusurika na ajali ya Mv Bukoba

0 comments:

-