Kikosi
cha walinzi cha Pwani ya Korea kusini kimesema abiria watatao mia tatu
hawajulikani walipo. Imeripotiwa kuwa watu wawili wamepoteza maisha na
watu 164 wameokolewa.
Bado
haijafahamika chanzo kilichosababisha kuzama kwa meli hiyo ambayo
ilikuwa na jumla ya watu 460 na wengi wao wakiwa wanafunzi wa sekondari
waliokuwa wakielekea katika kisiwa cha Jeju, nchini Korea Kusini.
RSS Feed
Twitter
April 18, 2014
Unknown
0 comments:
Post a Comment