Tuesday, April 29

1 
Imeripotiwa watu 55 waliokuwa ndani ya basi la kampuni ya Hood wakisafiri kutoka Mbeya kwenda Arusha wamenusurika kufa baada ya basi hilo kushika moto na kuteketea kabisa katika kijiji cha Kilolele, Chalinze mkoani
Pwani.
Katika ajali hiyo abiria 40 walijeruhiwa vibaya sehemu mbalimbali za miili yao na kukimbizwa katika Hospitali ya mkoa ya Morogoro kwa matibabu
2


0 comments:

-