Tuesday, April 8


BABA DIAMOND "MWANANGU SI RIDHIKI YANGU...HANISAIDII KITU"

Baba Mzazi wa Mwanamuziki Maarufu na Mwenye Pesa nyingi Kutokana na Mziki Kuliko Wanamuziki Wote Bongo Diamond Amefunguka na Kuliambia Gazeti Moja hapa Bongo Kuwa Mwanamuziki huyu Si Ridhiki Kwake kwani Hamjali wala kumsaidia kama Baba yake ...Mpaka Leo haijulikani kwanini Diamond hamkubali huyu jamaa kama baba yake...Mapenzi yote amehamishia kwa mama yake ambae ndio aliyemleta toka akiwa mdogo......Diamond Msamehe Mzee Hata kama alikutosa ukiwa Mdogo......!!

0 comments:

-