Nina
nukuu " baby ake mtu @mwasiti limao nasiki HUYO mwanamuziki wenu
wakuitwa mwasiti hazikabi mapenzini na huyu @sammisago, ni ubuyu
tu..wamekaa
miaka miwili sasa na zaidi na wakati wa basidei ya huyu kaka mwaka huu
mama wenu wa serebuka alimshushia bonge la pati huyu mr fridei naiti,
hehhehehhehehe halafu wale wanamuziki wa dutigita wakamwimbia hapi
basidei shemej , ubuyu huo huyu nyepesi (zitto kaguswa hapo) wala hatoki
na huyo mwasiti ila babaa sam misago ndo anataka kuoa kabisa, jamaa
kashikwa kashikika......mwisho wa lmao
Sunday, February 23
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment