Hii ni Taarifa kutoka Mkoani Singida ambapo Habari zilizotoka zinahusisha ajali iliyohusisha Basi la Bunda Bus lililokuwa likitokea Dodoma kwenda Mwanza asubuhi ya February 28 limegongana na Treni Eneo la Manyoni mkoani Singida.
Chanzo cha ajali hiyo hakijajulikana ingawa inawezekana ni sababu ya Bus hilo kuingia njia ya treni,mpaka sasa idadi kamili ya majeruhi bado haijatangazwa huku mtu mmoja akifariki dunia,na chanzo cha ajali hiyo ni mwendokasi wa basi hilo.
0 comments:
Post a Comment