SIGARA:
Kutekwa kwa mji wa Konna nchini Mali kulisababisha Ufaransa kupeleka wanajeshi wake huko kushika doria...hali hii ndiyo ilimpa furaha isiyo na kifani mtu huyu kwani waasi walikuwa wameweka sheria za kiisilamu zilizoharamisha mambo mengi.
Kutekwa kwa mji wa Konna nchini Mali kulisababisha Ufaransa kupeleka wanajeshi wake huko kushika doria...hali hii ndiyo ilimpa furaha isiyo na kifani mtu huyu kwani waasi walikuwa wameweka sheria za kiisilamu zilizoharamisha mambo mengi.
USHINDI TIMU YA TAIFA:
Timu ya taifa ya Nigeria Super Eagles ndiyo iliyowaondoa mashabiki hawa kutoka katika viti vyao baada ya kushinda kombe la taifa bingwa Afrika. Kombe hilo lilikuwa limewakwepa.
Timu ya taifa ya Nigeria Super Eagles ndiyo iliyowaondoa mashabiki hawa kutoka katika viti vyao baada ya kushinda kombe la taifa bingwa Afrika. Kombe hilo lilikuwa limewakwepa.
MIWANI:
Zimbabwe ilikwenda kwenye debe mara mbili, kupigia kura kura ya maamuzi na uchaguzi mkuu. Mugabe ndiye aliyeshinda na huyu ni mmoja wa mashabiki wake.
Zimbabwe ilikwenda kwenye debe mara mbili, kupigia kura kura ya maamuzi na uchaguzi mkuu. Mugabe ndiye aliyeshinda na huyu ni mmoja wa mashabiki wake.
Nchini Afrika Kusini mambo yalikuwa mitindo mipya na ya kisasa kwenye mashindano ya mitindo ambayo vijana hawa walishiriki.
Eneo
la Mashariki mwa Congo lilivamiwa na waasi wa M23 kwa karibu mwaka 2013
wote, lakini mwishoni baada ya juhudi nyingi za jeshi la DRC na UN
waasi hao walisalimu amribaada ya kupata kipigo kikali.Eneo
la Mashariki mwa Congo lilivamiwa na waasi wa M23 kwa karibu mwaka 2013
wote, lakini mwishoni baada ya juhudi nyingi za jeshi la DRC na UN
waasi hao walisalimu amribaada ya kupata kipigo kikali.
Mnamo
mwezi Juni, jeshi la Senegal lilimkaribisha Rais Barack Obama kwa ziara
yake ya Afrika akianzia nchini humo na kisha kuelekea Afrika Kusini na
Tanzania.
Shambulizi
la kigaidi lilikumba Kenya mwezi Septemba ambapo watu zaidi ya sitini
na tano waliuawa baada ya wanamgambo wa Al shabaab kuteka jengo la
westgate kwa zaidi ya siku TATU
MAOMBI:
Maombi yalifanywa kote nchini humo hali ilipozidi kuwa mbaya
Maombi yalifanywa kote nchini humo hali ilipozidi kuwa mbaya
Disemba
dunia iliomboleza kifo cha hayati Nelson Mandela alipofariki akiwa na
umri wa miaka 95.Alizaliwa kijijini Qunu na alizikwa tarehe 15 mwezi
Disemba.
HUZUNI:
Mjane wa Mandela Garaca Machel na aliyekuwa mke wa Mandela Winnie Mandela wakiomboleza kifo cha mzee Mandela wakati wa mazishi ya shujaa huyo wa Afrika. CHANZO BBC.
Mjane wa Mandela Garaca Machel na aliyekuwa mke wa Mandela Winnie Mandela wakiomboleza kifo cha mzee Mandela wakati wa mazishi ya shujaa huyo wa Afrika. CHANZO BBC.
0 comments:
Post a Comment