Taarifa hiyo inasema kwamba upepo huo na mawimbi utakuwa kwenye tarehe 25 hadi 26 mwezi 12 mwaka 2013.
Kipindi hiki cha sikukuu watu wengi huwa wanapenda kwenda maeneo ya beach kwa ajili ya mapumziko sasa inabidi tuwe makini kama sio kutafuta aina nyingine ya mapumziko.
0 comments:
Post a Comment