Monday, December 30


 
 

-Rasimu ya Katiba hii ni ndefu kuliko ya kwanza ina ibara 271 ya kwanza ilikuwa na ibara 240
 
-wananchi wametoa maoni mazito kuhusu uongozi
na utawala bora


-lugha ya kiswahili lugha ya taifa.

-Madaraka ya Rais yamepunguzwa.
-wabunge wasiwe mawaziri
-kuwe na ukomo wa wabunge
-wananchi wawajibishe wabunge
-spika/naibu wasiwe wabunge wala viongozi wa juu wa vyama vya siasa.

-kuwepo na jeshi moja la Polisi na Usalama wa Taifa.

MUUNGANO
39000 walitoa maoni kuhusu muungano Tanzania Bara,na karibu wote wa Zanzibar walitoa maoni kuhusu muungano

-Taasisi nyingi zilipendekeza serikali tatu.

Malalamiko upande wa zanzibar
Serikali ya Tanganyika imevaa koti la Tanzania
-mambo ya muungano yamekuwa yakiongezeka
-kumuondoa rais wa Zanzibar kuwa Makamu wa Rais

Malalamiko Tanzania Bara.
-Zanzibar imebadili katiba yake na kuchukua madaraka ya Jamuhuri ya Muungano
-Wananchi wa Tanzania Bara kutokuwa na haki ya kumiliki ardhi Zanzibar

Mambo mengi ya Muungano yamebadilishwa bila kufuata Katiba.

TUME IMEPENDEKEZA MUUNDO WA MUUNGANO UWE WA SERIKALI TATU

0 comments:

-