Sultan Kosen,30 mwenye urefu wa 8’3″ raia wa Uturuki ambaye
ndiye binadamu mrefu kuliko wote kwa sasa katika mwaka 2013,amefunga
ndoa ya kufurahisha iliyohudhuriwa na watazamaji wengi kutokana na urefu
wa mkewe Merve Dibo,20 aliyemuoa kwa kuonekana mfupi akiwa na urefu wa
5’8″ kulinganisha na Sultan Kosen ambaye amemzidi kwa tofauti ya 2′ 5”.
Tuesday, October 29
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment