Wednesday, August 21


Naibu katibu mkuu wa jumuiya ya afrika mashariki (EAC) Bi JESCA ERIYO wa kwankwanza kulia akifungua mafunzo ya ujasiriamali kwa vijana katika ukumbi wa LI
GHT IN AFRICA




Baadhi ya vijana walioshiriki katika kongamano hilo wakiimba wimbo wa jumuiya ya afrika mashariki katika ukumbi huo


Naibu katibu mkuu wa jumuiya ya afrika mashariki (EAC) Bi JESCA ERIYO na wageni wengine mbalimbali wakiwa katika picha ya pamoja na watoto yatima wa kituo cha LIGHT IN AFRICA kilichopo Hai Kilimanjaro.


Naibu katibu mkuu wa jumuiya ya afrika mashariki (EAC) Bi JESCA ERIYO na wageni wengine mbalimbali wakiwa katika picha ya pamoja na watoto yatima wa kituo cha LIGHT IN AFRICA kilichopo Hai Kilimanjaro




Naibu katibu mkuu wa jumuiya ya afrika mashariki (EAC)akiwa na baadhi ya watoto wa kituo hicho










Naibu katibu mkuu wa jumuiya ya afrika mashariki (EAC) Bi JESCA ERIYO akizindua kongamano la vijana kutoka nchi wanachama wa jumuiya ya afrika mashariki (EAC)








Naibu katibu mkuu wa jumuiya ya afrika mashariki (EAC) Bi JESCA ERIY,Wakurugenzi na washiriki mbalimbali wakiwa katika picha

0 comments:

-