Tuesday, August 6

Bongo Flava Prince, Diamond Platnumz yupo nchini Afrika Kusini kishule na kikazi pia. Staa huyo wa Kesho ameshoot video ya wimbo wake mpya ambao bado haujulikani ni upi mpaka sasa.

0b54d01efdd411e2bd3c22000ae90db5_7

Mafundi wa Afrika Kusini wakihakikisha plate ya Wasafi imekaa vizuri


0f7a71cefdef11e2999e22000a1f8afc_7

dd5ff8c8fdce11e2aa0322000a1fa408_7


bef82682fdd111e2a8b522000a9f3cba_7

Hata hivyo tofauti na video zake za awali, hii mpya amekata kisu kirefu zaidi kwa kushoot na miongoni mwa gari yenye thamani zaidi duniani, Ferrari. Cha kufurahisha zaidi ni kuwa gari hiyo inayotengenezwa na Waitaliano, imewekewa namba za gari binafsi kwa kuandikwa ‘Platnumz’ na Wasafi’.
Inaonekana hii, Diamond Platnumz aka Coca Boy amejiandaa kwenda international zaidi.

0 comments:

-