Tuesday, February 23

Rais Dr. Magufuli Ahakikishiwa Kuwa Hali Ya Burundi Ni Shwari.



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akimkaribisha Waziri wa Afrika Mashariki kutoka Nchini Burundi Bi Leontine Nzeyimana ambaye pia ni Mjumbe Maalum wa Rais wa Burundi Mhe. Pierre Nkururinza. Waziri huyo alifika Ikulu jijini Dar es Salaam kwa ajili ya mazungumzo na Rais pamoja na kumueleza hali halisi ya nchini Burundi.
==

No comments:

Post a Comment