Msanii Pam D,alivyofunika usiku wa kuamkia leo DAR LIVE
Staa
wa Wimbo wa Nimempata anayesumbua vichwa vya mastaa wa muziki wengi wa
kike, Pamela Daffa ‘Pam D’ akingusha bonge la shoo Idd Mosi ndani ya
Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala-Zakhem jijini Dar
usiku huu.
No comments:
Post a Comment