Monday, September 28

HII kali! Mtumishi mmoja anayetumikia nafasi ya ulinzi katika Kanisa Katoliki la Mtakatifu Petro (St. Peter) lililopo Oysterbay jijini Dar (jina halikufahamika), amenaswa katika chumba cha kuhifadhia chakula kinachoitwa Mwili wa Kristo (ekaristi) ndani ya kanisa hilo.

Akiwa kwenye hali ya sintofahamu baada ya kukamatwa.
Kwa mujibu wa mtawa (sista) mmoja wa kanisa hilo aliyeomba hifadhi ya jina, awali tabia ya wizi wa chakula hicho ambacho ni mkate (ekaristi), divai (mvinyo) na vifaa vingine, mali ya kanisa ilikithiri kanisani hapo mpaka kufikia hatua ya baba paroko kuamuru kufungwa kwa kamera ya Closed-Circuit Television (CCTV) ili kuweza kumnasa mwizi huyo.
KUNA WALIOKATWA MISHAHARA
MTANGAZAJI maarufu wa Kipindi cha Keeping Up With The Kardashians, Kim Kardashian amezidi kuchafuka baada ya video yake nyingine aliyorekodi akifanya ngono kuzagaa kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii.
Video hiyo inamuonesha Kim akifanya ngono na mwanaume ambaye hakuweza kufahamika jina lake lakini kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali vya habari Marekani vinadai si mumewe, Kanye West.
Hiyo inakuwa video ya pili kwa mwanadada huyo ikimuonesha akifanya ngono baada ya ile ya awali ambayo alijirekodi akiwa na ‘Ex-boyfriend’ wake Ray J.

jide.jpg 
Lady Jaydee
KATIKA maisha siku zote tunashauriana kwamba tusitegemee chanzo kimoja cha fedha. Kama wewe ni muajiriwa basi unatakiwa kuwa na vyanzo vingine vya kujiingizia kipato ili usipate tabu pindi ajira yako inapokoma.
Kwa Tanzania asilimia kubwa ya wasanii na hata watu wa kawaida wamekuwa wakijisahau kuhusiana na ishu hii. Wengi wao wakiona wametoka na wimbo ‘uka-hit’ basi huona kama wamefika na kuanza kufanya matumizi ya fedha hovyo jambo ambalo baadaye hujutia na kujikuta wakiwa ombaomba kwenye baa na mitoko mingine mbalimbali.
kombani (2)-001Jaji Mkuu Msitaafu, Joseph Sinde Warioba akichukua nafasi na kuketi.kombani (4)Viongozi mbalimbali wakiwasili Viwanja vya Karimjee jijini Dar, kwa ajili ya kuaga mwili wa marehemu Celina Kombani.

Tuesday, September 15

Kuna stori za baadhi ya Viongozi wa Africa kung’ang’ania kukaa madarakani hata baada ya vipindi vyao vya uongozi kuisha, pia wako ambao wanaendelea kuongoza kihalali kutokana na mabadiliko ambayo wameyafanya kwenye Katiba ili waendelee kuongoza !!
Siku chache zilizopita nilikusogezea stori kuhusu Rais mwenye umri mdogo kuliko wote Duniani, leo nakupa hii toka ndani ya Africa… unajua Marais wanaoongoza kwa kuwa na umri mkubwa? List niko nayo hapa mtu wangu, kila mmoja na picha yake kabisa !!
rais
1. Rais wa Zimbabwe Robert Mugabe ana miaka 91, ndiye Rais mzee kuliko wote, ameshinda urais kwa muhula wa saba

tuni
2. Beji Caid Essebsi-Ana miaka 88, amekua Rais wa Tunisia tangu Desemba 31 2014

Mapacha wawili, Peter na Paul watoto wa Marehemu Chief Moses Okoye, Dunia inawafahamu kwa jina la P Square kupitia sanaa ya muziki wanaoufanya… kwenye moja ya Interview wakiwa Nigeria waliwahi kusema moja ya vitu wanavyoviogopa sana ni UMASKINI !! Hicho kinawafanya wajitume sana kwenye kazi yao.
Unaambiwa mwaka 2014 jamaa walinunua nyumba mbili za kuishi ndani ya Atlanta Marekani… lakini story kuhusu wao kwa siku ya leo inahusu jamaa kununua apartment nyingine tatu, yani ndani ya ghorofa moja kuna apartment zao tatu ambazo wamezinunua kwa ajili ya makazi yao, Peter, Paul na kaka yao ambae ndio Manager wao pia, Jude ‘Engees’ Okoye.


.
.
Ni stori inayoendelea kuchukua healines kwenye mitandao mbalimbali kuhusu Aunt Ezekiel na Vicent Kigosi, sasa leo Sept 15, 2015 ripota wa millardayo.com alikutana na Aunt Ezekiel na kueleza sababu zilivyomfanya yeye kuhama UKAWA na kuhamia chama cha Mapinduzu.

Msanii huyo alipokutana na ripota wa millardayo.com alithibitisha na kusema..’Kweli nimetoka Ukawa na kuhamia CCM hayani maamuzi yangu binafsi ambayo nimeyafanya baada ya kukaa na kufikia kwamba Magufuli ndio anafaa kuwa Rais wangu kwasababu ni mtu ambaye anakupa

Dunia ina mambo, wapo wanaokubaliana na msemo kwamba umri ni namba tu na sio kitu cha kujali sana unapokuwa kwenye suala la mapenzi.

Stori kwenye kurasa za Magazeti Uganda, kichwa cha Habari ni Ndoa ya Bibi wa miaka 70, Zaituni Nakanda na kijana wa miaka 27, Steven Tikubuwana… wawili hao wana mipango ya kuwa na Ndoa halali kabisa mapema iwezekanavyo mwaka 2016 na kwa sasa wanaishi pamoja tena kwenye nyumba ya Chumba kimoja tu ambayo inamilikiwa na Zaituni !!

Steven anasema wazazi wake hawajui lakini iko mipango ya kuwakaribisha nyumbani kwao ambako wanaishi yeye na Zaituni, baadae wataendelea na mambo mengine ikiwemo mipango yao ya Ndoa.

Unajua love yao ilianzaje? >>> ‘Sikuwa na kazi na sikuwa hata na mahali pa kuishi kwa karibu miezi miwili. Alinikaribisha nyumbani kwake na tukaanza maisha’ >>> Hayo ndio majibu ya Steven Tikubuwana.

Baadhi ya ndugu na watu wa karibu hawakubaliani na uamuzi wa Steven kuwa na uhusiano na Bibi huyo lakini mwenyewe anasema hata haimuumizi kichwa !!

Monday, September 7

Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima. Picha na Maktaba
Dar es Salaam. 
 Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima kesho anatarajia kujibu mapigo kuhusu tuhuma dhidi yake zilizotolewa na Katibu Mkuu wa zamani wa Chadema, Dk Willibrod Slaa ambaye hivi karibuni alimweleza kuwa ni mshenga wa Edward Lowassa kwa viongozi wa Chadema.
Akizungumza jana katika kanisa hilo lililopo Ubungo huku akishangiliwa na waumini wake waliokuwa wakiimba; “mshenga, mshenga, mshenga...’ Gwajima alisema kuna watu wanaodhani kwamba atazungumza masuala ya Dk Slaa kanisani hapo.
Kama umekua ukifuatilia akaunti za Diamond Platnumz na mpenzi wake Zari tangu mtoto wao Tiffah azaliwe utakua umekutana na picha nusu ambayo anaonekana mtoto wao huyo na sehemu kubwa hua ni kuanzia kwenye kidevu kushuka chini.

Mitandao ya Kijamii ina nguvu yake kubwa sana sikuhizi, stori yoyote ikiibuka inasambaa kwa kasi kubwa sana kupitia mitandao hiyo tena kwa kasi kuliko chombo kingine chochote cha Habari !!
Rais wa Mexico alijikuta kwenye wakati mgumu baada ya picha yake kusambaa ikionesha amevaa soksi kwa kugeuzia juu chini, yani ile sehemu ya kisigino inaonekana kama iko kwa juu!
dt.common.streams.StreamServer
Enrique Peña Nieto alivyoshiriki mbio hizo Mexico katikati ya August 2015.
Rais huyo, Enrique Peña Nieto alipigwa picha katikati ya Mwezi August 2015 wakati akishiriki mbio fupi katikati ya Jiji la Mexico, camera za paparazzi zikanasa miguuni, alivaa soksi


.
.
Stori ninayokusogezea sasa hivi ni hii kutokea 88.1 Mwanza kuhusu Shopping Mall mpya inayotarajiwa kufunguliwa wakati wowote ambayo itakuwa ikiitwa jina la rais wa jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete.
Kwa mujibu wa afisa mahusiano wa jiji la Mwanza


Ligi Kuu Tanzania Bara msimu wa 2015/16 inaanza mwishoni mwa wiki hii Septemba 12 na itashirikisha timu 16 zitakazokuwa zimetoka mikoa tisa tofauti huku zikicheza kwenye viwanja 13 tofauti.
Timu hizo ni bingwa mtetezi Yanga, Simba, Azam, Kagera Sugar, Mtibwa Sugar, JKT Ruvu, Mwadui FC, Coastal Union, African Sports, Majimaji, Toto Africans, Mgambo Shooting, Mbeya City, Tanzania Prisons, Ndanda FC na Stand United.
Viwanja vitakavyotumika ni: Taifa, Nangwanda, Mkwakwani, Majimaji, Azam Complex, Kambarage, CCM Kirumba, Sokoine, Mwadui, Manungu, Jamhuri, Ali Hassan Mwinyi na Kaitaba.
1. Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam

Ligi Kuu Tanzania Bara inaanza Jumamosi hii huku klabu za Simba, Yanga na Azam zikiwa ndiyo zilizotumia gharama kubwa kwenye usajili katika msimu huu wa 2015/16.
Dirisha la usajili wa wachezaji wa Ligi Kuu Bara kwa ajili ya msimu wa 2015/16 lilifunguliwa Agosti 6, 2015 na lilifungwa Agosti 30 mwaka huu.
Wafuatao ni baadhi ya wachezaji waliosajiliwa kwa fedha nyingi kwa ajili ya msimu wa 2015/16 unaoanza mwishoni mwa wiki hii:
Donald Ngoma (Yanga)- Sh105 milioni
Yanga ilitumia dola 50 (Sh 105 milioni za Kitanzania) kumsajili Mzimbabwe Donald Ngoma na kumfanya kuwa mchezaji aliyesajiliwa kwa gharama kubwa zaidi nchini Tanzania kwa mwaka huu.
Mwinyi Kazimoto (Simba)- Sh50 milioni

Pengine kituo cha redio cha eFM ndio habari ya mjini kwa sasa. Kwenye daladala, vijiweni, sokoni
Mkude Simba
Pengine kituo cha redio cha eFM ndio habari ya mjini kwa sasa. Kwenye daladala, vijiweni, sokoni na kwenye baa nyakati za asubuhi, lazima ukute watu wanasikiliza redio hiyo ambayo imeanza kwa nguvu mwaka huu kwa kuajiri watangazaji maarufu kutoka vituo mbalimbali vya redio nchini.
Lakini kivutio kikubwa na matangazo yake yanayowekwa kwa ajili ya kuitangaza redio hiyo.
Ndani ya matangazo hayo yumo Mkude Simba, ambaye vichekesho anavyobuni huwavunja mbavu wengi.
Vichekesho hivyo huwa katika mfumo wa majibizano baina ya mtu mmoja anayeonekana kuwa ni mbumbumbu asiyejua kitu na mwingine ambaye humuuliza maswali kuhusu mambo mbalimbali.
“Ilikuwa kama zari tu,” anasema Mkude Simba, ambaye jina lake halisi ni Musa Yusuf au Kitale.
“Ilituchukua muda mrefu kuhangaikia maisha yetu kimaisha. Watu wengi walikuwa wakituchukulia poa tu. Hawakuelewa umuhimu wetu.

Sunday, September 6


Leo ndio siku iliyosubiriwa kwa hamu na wananchi wa Igunga kumpokea na kumsikiliza kiongozi huyu ambaye in kipenzi cha wapenda mabadiriko Mh Edward Lowassa




Mindombinu bora ni mj aya sababu inayofanya miji kukua kwa kasi sana hasa kwa nchi zinazoendelea  duniani.
Katika pitapita zangi nimekutana na hizo hoteli kubwa na Maarufu duniani ambazo nyingi zilijengwa wakati wa vita ya dunia lakini mpaka sasa ni miongoni mwa hotel za kifahari kabisa duniani.
Zote zimekuwekea hapa na miaka iliyojengwa hoteli hizo
HOT1
The Taj Mahal Palace ipo Mumbai, Chinaalijengwa mwaka 1903

Kuna usemi unaosema duniani watu wawili wawili kwa maana ya kuwa kila mtu duniani ana mtu aliyefanana naye. Huenda ukawa hujawahi kuonana na mtu unayefanana naye ila huwa inaamika kuwa yupo tu sema bado haijatokea bahati ya nyinyi kukutana. Septemba 6 nakusogezea hii list ya mastaa wa soka na filamu wanao fanana.
tumblr_mls7siviiJ1rrzrk2o1_500
Angel Di Maria kushoto anafanana na muigizaji Dev Patel.
.
.
Ni kijiwe kingine kabisa ambacho kinawakutanisha watu wa nguvu kwenye mikoa mbalimbali Tanzania, hapa inaliwa nyama choma, marafiki wanakutana na kuenjoy good music pembeni, michezo ya watoto, burudani ya live band na mengine mengi.
Hizi ni baadhi ya pichaz kutoka kwenye Nyamachoma Festival iliyofanyika Sept 5,2015 viwanja vya Leader Club Dar es Salaam.

Tuesday, September 1


Kama kungekuwa na uwezo wa kutumia Computer kupika chakula maisha yangekuaje? Au kama simu yako ingekuwa na uwezo wa kupokea ujumbe wa kukutaarifu kuwa chakula chako kipo tayari maisha yangekuaje!?
Nimekutana na stori kutoka Marekani ambako Matt Van Horn na rafiki yake Nikhil Bhogal wametengeneza computer waliyoipa jina ‘June Intelligent Oven’.

DSC_7385

Dr. Wilbrod Slaa leo amezungumza na vyombo vya habari katika hotel ya Serena na kuzungumza mambo mazito kuhusu ukimya wake.
Nimekuwekea Pichaz 10 wakati akizungumza na waandishi wa habari
-